ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Haya matatizo yanafanywa na watu kutowajibika siyo ccm kumbukeni hao watumishi ni binadamu maana moyo ni fichio la siri tuwalaumu wazazi wao hakuwafundisha kumwogopa mungu unapopewa kazi hapo unatumwa na mungu zingatieni hili
Kwa hiyo ccm yooote imeozaaaa kabaki makonda na samia 😂😂😂😂😂
Hao wanaoshangilia wanamaumivu makali ni siri moyo,.. Mungu atupe nguvu😢😢😢
Kule nyuma wanavyo haha mmmh kimeumanaaaaaa!!!!
kweli naona wanatokota
Mmmhapatoshi😊😊😊
Jembe chukua fomu 2025, Kwa vyovyote umepita ❤️ lake zone.
Haya sasà mnaona watu wanateseka watu hawafanyi kazi kumbe wizi mtupu je rais wetu ndo afanyeje mtu umepewa kazi unafanya hovyo 😢😢😢😢😢😢
Makonda good job ❤❤❤❤
Wenye haki wakitawala nchi hufarahi lakini wasiohaki wakitawala nchi hulia machozi na mang'uniko naa huzuni
Ccm wanajivua nguo wapinzani jipigieni sasa
Watu tunaonewa sana mpaka tunajuta kuzaliwa
Ccm sasa inaimaliza upinzani
JPM MY LOVERY DADYNAHISI MACHOZI
Matius Levi ameyatimba
Ni 7000 za kenya ama ni dollar??
Matatizo hayo yote yamefanyika chini ya uwangalizi wa CCM na watanzania bado wamekwama tu kwa CCM. WAMBUBAFU TU.
C mliletewa Magufuli mkamuua
Haya matatizo yanafanywa na watu kutowajibika siyo ccm kumbukeni hao watumishi ni binadamu maana moyo ni fichio la siri tuwalaumu wazazi wao hakuwafundisha kumwogopa mungu unapopewa kazi hapo unatumwa na mungu zingatieni hili
Kwa hiyo ccm yooote imeozaaaa kabaki makonda na samia 😂😂😂😂😂
Hao wanaoshangilia wanamaumivu makali ni siri moyo,.. Mungu atupe nguvu😢😢😢
Kule nyuma wanavyo haha mmmh kimeumanaaaaaa!!!!
kweli naona wanatokota
kweli naona wanatokota
Mmmhapatoshi😊😊😊
Jembe chukua fomu 2025, Kwa vyovyote umepita ❤️ lake zone.
Haya sasà mnaona watu wanateseka watu hawafanyi kazi kumbe wizi mtupu je rais wetu ndo afanyeje mtu umepewa kazi unafanya hovyo 😢😢😢😢😢😢
Makonda good job ❤❤❤❤
Wenye haki wakitawala nchi hufarahi lakini wasiohaki wakitawala nchi hulia machozi na mang'uniko naa huzuni
Ccm wanajivua nguo wapinzani jipigieni sasa
Watu tunaonewa sana mpaka tunajuta kuzaliwa
Ccm sasa inaimaliza upinzani
JPM MY LOVERY DADY
NAHISI MACHOZI
Matius Levi ameyatimba
Ni 7000 za kenya ama ni dollar??
Matatizo hayo yote yamefanyika chini ya uwangalizi wa CCM na watanzania bado wamekwama tu kwa CCM. WAMBUBAFU TU.
C mliletewa Magufuli mkamuua