Kibonge Wa Yesu - Neno Moja (Official Music Video) SMS Skiza 8021080 to 811
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- Mawazo ya mwanadamu wakati Mwingine ni ya kukata tamaa lakini Mungu anaweza kusimama na kauli yake Moja tu inayoweza kubadili hatima ya Mwanadamu na kurejesha vilivyopotea na kuhuwisha vilivyokufa. Wimbo huu ukawe wa Urejesho na uponyaji wa majeraha kwa kila moyo uliyoumizwa na kukosa tumaini Mungu akawe Msaada kwako katika Jina la Yesu. Amen!🙏
John 5:5-6
Audio produced by @kstarrecords255
Video directed by @mrazalia
Bvg : Nuru mwaipungu
Get it on ALL DIGITAL PLATFORMS
Listen to NENO MOJA by Kibonge Wa Yesu
On Boomplay: www.boomplaymu....
On Audiomack: audiomack.com/....
©2024KiboMelodies.All rights Reserved.
#kibongewayesu #gospelmusic #NenoMoja #Semanenomoja
Verse 1
Kauli yako moja tu inaweza kubadili hatima
kauli yako inabadilisha mambo
kauli yako moja inaweza kunitengeneza
vilivyo kufa kwangu vikachipuka tena
na nimekuja hapa Mungu na uchumi wangu ulioyumba, afya yangu nafsi yangu uvihuwishe tena
kuna muda nakubali huenda sababu ni mimi mwenyewe
ule muda najikwaa kwa kufuata yangu na kukuacha wewe
uliempa ndege uwezo wa kupaa angani haya matatizo,shida kwako ni kitu gani?
uliempa samaki uwezo apumue majini haya masimango,mateso ebaba tupilia mbali
Hook:
Nikakuomba Mungu nakuomba kama kulia nimelia sana inatosha
ninakuomba Mungu nakuomba kama kuchekwa nimechekwa sana inatosha
baba Mungu wangu wee
.
Chorus:
Sema neno Moja
ninakuomba useme
nipo tayari kupokea
kwa neno lako ntapona Yesu
sema neno moja
kwa neno lako ntashinda mie
nipo tayari kupokea
baba Mungu wangu wee
sema neno moja
ninakuomba useme
nipo tayari kupokea
kwa neno lako ntapona Yesu
sema neno moja
kwa neno lako ntashinda mie
nipo tayari kupokea
Verse 2
kama batimayo nipo kando ya njia
Ooh Baba
nakusubiri useme ili nione
Ooh Baba
japo nimesikia mengi ya kunikatisha tamaa ila neno lako moja linaweza niinua tena
Nimeomba sana mpaka wanasema ninapiga kelele
ila sichoki bado nakazana kukusubiria wewe
kama kukwama nimekwama
na kiza kimetanda
nategemea neno lako nuru liniangazie
kama msaada sijaona kwa watu wadunia
nategemea ulie juu unisadie
hook :
Nikakuomba Mungu nakuomba kama kulia nimelia sana inatosha
ninakuomba Mungu nakuomba kama kuchekwa nimechekwa sana inatosha
baba Mungu wangu wee
Chorus:
sema neno moja
ninaomba useme
nipo tayari kupokea
kwa neno lako ntashinda
sema neno moja
mhh
nipo tayari kupokea
kwa neno lako nitainuka tena
sema neno moja
neno la baraka
nipo tayari kupokea
neno neno lako
sema neno moja
neno la kunitajirisha
nipo tayari kupokea
litanipa amani
neno litanifariji
MUNGU AKUTANE NA HAJA YA MOYO WAKO KUPITIA WIMBO HUU AMEN🙏👇🏻
th-cam.com/video/rpu6RwHMKvM/w-d-xo.htmlsi=bQkLEmNzw-s9IWtR
Amen🙏
Amen
amen amen 🙏
Amina
Amen
Mziki wa wakati wangu.Wimbo umekuwa anthem kila siku nkingoja Bwana aseme neno.Natumai yote aliyoahidi kwangu ni mwaminifu kutimiza.Wapi likes za kukubali "neno moja" kutoka kwa Baba Mungu..
Kakaangu kabisa 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
mdg ake kibo🙏🙏
Hatari pacha 🔥🔥🔥
pacha pacha🙏🙏
Niko tayari kusikia Mungu wangu sema neno moja barikiwa sana kibonge wa Yesu
Mungu amenijibu maombi kupia wimbo huu ❤❤❤❤
Nyimbo nzuri sana
Songiiii limepita bila kupingwa🎉
ubarikiwe sana baba
Nirikuwa nayitafta sana hii nyimbo
🔥🔥🔥🔥🔥Now my destiny is here.... Baba sema neno moja🙏
Huu wimbo umekuwa wa baraka sana kwenye maishaa yangu
Sem neno moja MUNGU wangu
Sema neno moja kwangu Yehovah
Kibo melodizaaaaaaa
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 😢
😢😢😢😢sema neno moja tu my God 😢😢
Hongera sana Mtumishi wa Mungu, kazi nzuri mnoooo
Moto sana hii
Unajua unajua Tena ❤❤❤ Mungu akubariki
Amina ubarikiwe saana 🙏🔥
Huu wimbo YESU wangu.. ni zaidi ya wimbo ni INJILI ilio beba wokovu, ni maombi yenye TUMAINI la kusubiri neno la KRISTO liletalo matokeo yasio na majuto
ameen ameen ubarikiwe sana
Kabisa umeninua tena moyo wangu pale nilipokua naelekea kukata tamaa. Amina ubarikiwe kaka Kwa nyimbo nzuri.❤
Sanaaaaa sanaaaa kijanaaaaaa vijana mbeyaaaaa mnanipa rahaaaaaaaaa
ubarikiwe sana
Sema neno moja 🙏
Ameeen Asante kwayote yawe sema neno 1😢
Asubuhi mchana usiku siichoki
Barikiwa sana
Nyimbo Iko vizur sana kaka piga Kaz
Umetishaa mtumishiiii👏👏👏
Amen ❤❤❤❤❤
Wimbo mzuri sana 🙏 🙏
Balikiwa mtumish
Amina barikiwa sana Mtumishi wa Mungu aliye hai
❤❤
From Kenya am ohangla gospel rhumba kazi safi brother nipewe likes tukifuatana
Utunzi mzuri
Sema neno moja asante sana mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
ameen🙏
Nyimbo nzuri sanaa hi imenivusha kwa ujumbe mzuri
MUNGU AKUBARIKI SANA PACHA
Amen Amen blessings brother 🫴🫴
Amen
Kibonge hongera Sana,unatuhudumia na tunapokea mioyo inainuka Tena ubarikiwe kazi nzuri sana
Ameen ameeen🙏🙏
Fundi kama fundii masharaha sweet merodies uwiiii eshama yako.1000
ubarikiwe sana
Barikiwa sana mtumishi hii ni zaidi ya nyimbo🙏🙏🙏🙏🙏🙏
ameen ameen mjomba🙏
Neno moja tuu baba❤😢
Ubarikiwe sana
Wimbo wa baraka🙏
barikiwa sana mtumishi wa MUNGUnapokea baraka sana
Ameen ameen
Sema neno Yesu wangu
Amen Amen
🎉🎉🎉 kaka umetisha Sana
Hii imeenda💯
Baba baba mikono yako imebarikiwa sana🙌
Alooo bro hili song jemaa hakika neno Moja march Moja Mungu akubless kaka Kibo hakuna mwingine kama wewe 👏👏 K Star Mwana wa Zebedayo producer umetisha sana song limenoga sanaaa🤝🤝🙏🏼🙏🏼
Ameen ameeen
Congratulations servant of God
Neno Moja TU...❤🎉
Ubalikiwe mtumishi wa mungu
Ameen ameen
Mungu abariki sana neno kazi ya mikono yako 🙏
ameen ameeen🙏🙏
Inspirational. May God keep uplifting you.
Sina shaka na boss wangu @kibongewayesu kazi ni nzuri sana... kipekee nakupa nyota 5 kaka director MR AZALIA unampatia sana ndugu yetu 🔥🔥🔥
ubarikiwe sanaa
Your my best blessed artist
Hii kubwa sana mtumishi wa Mungu
shukran sana my sis
Sema neno moja
Hongera sana kaka hakika Mungu aseme neno Moja nimebarikiwa sana 🎉🎉🎉
Ameen ameeen
Napenda sana nyimbo zako zinanibariki sana bro 🙏♥️
ubarikiwe sana
Wimbo huu una uzito wa aina yake... nimebarikiwa kwa sana
Ubarikiwe sana
Wow wimbo mzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Shukran sana
kazii nzuriii barikiwa sanaa sanaa mtumishii
ameeen
Huu wimbo umeniingia sana
ubarikiwe sana
Mungu akutimie kwa viwango vya juu
Ameeen ameen
Mungu azid kukutumia ktk kaz yake yeye 🎼❤️❤️
Ameen
Amina ❤❤❤❤
🙏
Waaaaaooo just waaaaaooo
bless u
Wimbo mzuri Hongera
shukran sana
Kaka Kaka Ujumbe Mzuri Sana, Nimebarikiwa Mno
🙏🙏🙏
Barikiwa sana, Mungu aendelee kukuinua juu ❤❤
Ameen ameen🙏
Wonderful sana
Sema neno moja nimebarikiwa sana mungu akubariki kawimbo katamu
Daahhhh kazi nzuri sana kaka be BLESSED zidi kuinuliwa na Mungu
Ameen ameen ndugu yangu🙏
Sema neno moja kwa maisha yangu yesu wangu. Nyimbo nzuri hii
Neno moja baba angu najiungamanisha na wimbo kukusihi Yesu wangu 🙏🏻
ubarikiwe sana
Wimbo muzuri sana....
shukran sanaa
Mungu akuzidishie nguvu katika huduma yako💥💥💥
Ameen
Woooow… hongera kwa kazi nzuri my brother
shukran sanaa
Kaka uwezo snaa ujumbe mzitoo🔥🔥
shukran sanaaa
I really love the song from DRC
Amina ubarikiwe mtumishi 🎉
ameeen
Ninabarikiwa sana na nyimbo zako Amen
Sema neno moja tu.thanks Sana. Very inspiring song
bless u
SEMA NENO MOJA BABA
Ameen
Yes!
🙏🙏
Neno moja tu na tutapona🙏💯💥
ameen ameen
Barikiwa sana kamanda kb KAZI nzuri 🎉🎉🎉🙏🙏🙏
shukran sanaa
Nyimbo zako zina utukufu na unamheshimisha Mungu,✌️❤️❤️❤️🙌🙌LOCATION NZURI SANA THE LAND OF GOD WITH SON KIBO
Mungu akubariki sanaa
Hongera sana Kaka angu rafiki angu kwa Mwakatage
shukran sana
Kibo melody ❤❤❤❤❤
baba🙏🙏
Sema NENO moja bwana moja tuuu
ameeen
Big idea kibonge wa yesu
This song keeps me moving every day, only one word is enough
Song ni fire 🔥🔥 Mungu azidii kukuinua zaidi
AMEEN AMEEN
Ubaŕikiwe
Amen 🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
ndagha malafyaleeeee opyolileeeeeeeeeeee❤❤❤
ena nkamu🙏🙏