ALICHOKISEMA MUDATHIR BAADA YA KUWAKANDA 6-0 VITAL'O NA KUPOKEA MAMILIONI YA GOLI LA MAMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

ความคิดเห็น • 66

  • @ip_header
    @ip_header 23 วันที่ผ่านมา +13

    Kazi nzuri kwa wanajeshi wetu, lkn bado kunachangamoto ya kuConvert chances to Goals, forward inabidi waongeze umakini, kupata chance nyingi ni ngumu hasa kwa hatua za mbele zaidi

    • @musamagulu2023
      @musamagulu2023 23 วันที่ผ่านมา +2

      Hilo neno bro,yaan inatakiwa tupatapo chance tu iwe goal,
      H1 tumetengeneza nafasi 9 shot on target lakin goal1 hapo ni kosa kubwa sana.

    • @AbuhTechTz
      @AbuhTechTz 23 วันที่ผ่านมา

      ​@@musamagulu2023 hakuna team ya hivo Duniani kwamba kil nafas goal haiwezekn lazim kunanafs zitapotea tu

    • @samsonkomba0000
      @samsonkomba0000 23 วันที่ผ่านมา

      Huu mpira majameni😅😅😅😅😅

    • @Dilammy6764
      @Dilammy6764 23 วันที่ผ่านมา

      Hiyo Madrid tu haipo hivyo...this is football

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 24 วันที่ผ่านมา +10

    Eee Mungu ahsante kwa zawadi hii kubwa na tutakushukuru na kukutukuza kila iwapo leo . Amina.

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 23 วันที่ผ่านมา +7

    Yanga oyeeeeeeee raha kama zote tumefurahi 💚💛💚💛💚

  • @MariamZanzibari
    @MariamZanzibari 23 วันที่ผ่านมา +6

    Alhamdulillah mashaallah❤❤❤❤

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 24 วันที่ผ่านมา +8

    Yanga Bingwa💚💛💚💛

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 23 วันที่ผ่านมา

    Asante sana mungu wetu Kwa kutuheshimisha na Hawa vijana , viongozi ,mashabiki na benchi lote la ufundi katika jina la YESU kristo Amen

  • @TeddyPaul-qo2iy
    @TeddyPaul-qo2iy 24 วันที่ผ่านมา +4

    All the best my team hope to see you finally ❤🎉keep it up

  • @ZainabuJabiri-c5s
    @ZainabuJabiri-c5s 24 วันที่ผ่านมา +6

    Naipenda yanga nikiwa USA my yanga will love you forever inshaa allaah🎉

    • @MassoudAlly-c9e
      @MassoudAlly-c9e 24 วันที่ผ่านมา +1

      Upo state gani Zainabu?

    • @ZainabuJabiri-c5s
      @ZainabuJabiri-c5s 24 วันที่ผ่านมา

      @@MassoudAlly-c9e Kentucky, na wewe?

    • @ZainabuJabiri-c5s
      @ZainabuJabiri-c5s 23 วันที่ผ่านมา

      @@MassoudAlly-c9e oh sorry minipo Kentucky

  • @beduisega466
    @beduisega466 24 วันที่ผ่านมา +6

    🗣I love yangaaaaaaaaaa❤❤

  • @MauBonde
    @MauBonde 24 วันที่ผ่านมา +7

    Jamaa kwenye mechi ngumu anatulainishia big Sana kwake

  • @edinamwanasenga1584
    @edinamwanasenga1584 24 วันที่ผ่านมา +6

    Yanga mkubwa 🎉🎉🎉🎉

  • @godblessnetworkcollege9953
    @godblessnetworkcollege9953 24 วันที่ผ่านมา +9

    Yanga bingwa

  • @stevenbiz6019
    @stevenbiz6019 24 วันที่ผ่านมา +8

    Yanga BINGWA

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 24 วันที่ผ่านมา +7

    Mudathir

  • @mwansasujonny3536
    @mwansasujonny3536 24 วันที่ผ่านมา +7

    Mtu sanaaaa

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 24 วันที่ผ่านมา +6

    Natamani sana yanga wafike finally ya caf champion,,ila tukipata wachezaji wawili tu beki kisiki na kiungo mkabaji

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 24 วันที่ผ่านมา +10

    CHAMA IS NEXT LEVEL, HE LOVES TO ASSIST ANF IF NEEDS BE FOR HIMSELF.

    • @UmmyMsafiri
      @UmmyMsafiri 23 วันที่ผ่านมา +2

      Chama kapata kungwi mzur Mr gamondi kwani we huogopi

  • @ismailkiwawas5982
    @ismailkiwawas5982 23 วันที่ผ่านมา +3

    😂mi mwenyewe nawaogopa kwakweli mpo🔥🔥

  • @MukhusinMahmoud
    @MukhusinMahmoud 24 วันที่ผ่านมา +20

    Mliokua mnalia wabadilishe mic mmeiona hio 😂😂

    • @NeemaAkyoo-s4s
      @NeemaAkyoo-s4s 24 วันที่ผ่านมา +4

      Ndyo tumeona na nikawaida kitengo chetu cha habar ni wasikivu mno nadhani wanaptia comment na kufanyia kazi maoni yetu

    • @davidedward2202
      @davidedward2202 24 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂😂😂hapo hatuwadai maana mimi ni mmoja wao

  • @AngelinaHassan-fe3jp
    @AngelinaHassan-fe3jp 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu ibariki yanga ifike fainal

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 23 วันที่ผ่านมา +2

    Yanga bingwa ligi kuu bingwa club bingwa

  • @ziadamiraji9511
    @ziadamiraji9511 24 วันที่ผ่านมา +3

    Yanga tamuuu we huogopi 😂😂😂😂
    Mudathir uyo

  • @user-yh6iw9nv2p
    @user-yh6iw9nv2p 23 วันที่ผ่านมา

    Naipenda sana yanga

  • @user-pv3ip3uk2s
    @user-pv3ip3uk2s 23 วันที่ผ่านมา +1

    Chama uyooo

  • @user-cs9jb8ok4v
    @user-cs9jb8ok4v 23 วันที่ผ่านมา +3

    Wee huogopi 😂😅

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 23 วันที่ผ่านมา +2

    Chama alindwe kabisa.

  • @JacksonKiwike
    @JacksonKiwike 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi km BOSS waYANGA BD CJAIYONA YANGA NINAYOITAKA

  • @josepeter8033
    @josepeter8033 21 วันที่ผ่านมา

    Mungu atusaidie hasa wachezaji wetu

  • @HEAVENLYTVCINEMA
    @HEAVENLYTVCINEMA 24 วันที่ผ่านมา +3

    Hyo ndio Mic ya kiuandsh .ila iyafutwe yenye ubora zaidi na ya kisasa

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 23 วันที่ผ่านมา +2

    Gamond mtu mbadi sana, goli 8?!! 😂😂

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mudathiri mwamba huyu sio ndani ya league na kimataifa hii ndo maana ya mchezaji mkubwa.

  • @user-vf5pp2wn1f
    @user-vf5pp2wn1f 23 วันที่ผ่านมา +1

    Nic San jmn mko vizuli wanayang tuko poa san🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 23 วันที่ผ่านมา +1

    From boda boda to Young Africa🙆🙆🙆🙆🙆

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 23 วันที่ผ่านมา

    Jaman chamaaaa

  • @budodianthony8094
    @budodianthony8094 23 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 23 วันที่ผ่านมา

    Daima mbele nyuma mwiko ✅✅💛🖤💚

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 22 วันที่ผ่านมา

    Oyooooooo

  • @eliaupendo
    @eliaupendo 24 วันที่ผ่านมา +1

    Wehuogop mda buana

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 23 วันที่ผ่านมา

    Chama kama anapiga akaweka kwa mudathir ...we huogopii 😂😂😂

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles 23 วันที่ผ่านมา

    maswali yako yanakuwa direct sana, yaani swali lina sehemu yajibu, uliza swali linalotaka mtu mwenyewe ndio atoe maelezo.

  • @Rolemodel_wa_taifa
    @Rolemodel_wa_taifa 24 วันที่ผ่านมา +2

    WE HUOGOPI

  • @TwahaAliMtumbi
    @TwahaAliMtumbi 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mudaaaa

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 23 วันที่ผ่านมา

    Hii IMEENDA Hadi final hakika we huogopi?

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mashine hiyo

  • @youngshisha6115
    @youngshisha6115 24 วันที่ผ่านมา

    Here we Go lads

  • @MalinoKadwame-u1c
    @MalinoKadwame-u1c 24 วันที่ผ่านมา +2

    Muda

  • @user-wr1iu5re2c
    @user-wr1iu5re2c 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kizimkazi

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 24 วันที่ผ่านมา

    🎉

  • @Jennyjonh
    @Jennyjonh 23 วันที่ผ่านมา

    Alwatan huogop 😂😂😂

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 24 วันที่ผ่านมา +1

    Akhui Al watan mwambie huyo Primo aanze kufanya mazoezi naona ana anza ananenepa kwakweli