Na kwa vile wanyamwezi sio watu au vipi pumbavu zako kuwa na heshima na makabila ya watu basi ujinga tu ndo ulotutawala katika akili zetu nasio mambo ya msingi
Kwa haluna alietulia kwao akafatwa kwenda kuuliwa bali ukileta fujo katika nchi na kwa lengo la kutaka kuivunja amani basi utayapata yasokurizi pia mtaisha kusema maneno yaso maana kwenu
kazi nzuri mashallah
Hongereni sana kwa kuhitimisha mafunzo ya uongozi wa kati
Big up kz nzur
Hongera mkuu
Uzi mpya wa Jku mkali sana 🙌🏼
big up kwenu
Kaz iyendeleee
Naona wanyamwezi watupu
Na kwa vile wanyamwezi sio watu au vipi pumbavu zako kuwa na heshima na makabila ya watu basi ujinga tu ndo ulotutawala katika akili zetu nasio mambo ya msingi
nimejikuta natamani kua mmoja wao
Usijl jitahid kumuomba mungu tu
Tutakuwa wote tukaze sala na Kupambana
Together we can
🎉
Hanakitu hapo nimaujitu wananuka damu za waznzibari wenzao
Hakuna 018 rekebisheni kijeshi huanza na int 0 1 mpaka int 0 9 Kisha hapo huja na int ya 10 na kuendelea
Kwani hilo ni jeshi au ni kikundi cha wqnamgambo qaliokusanywa pamoja Kwa ajili ya kuendwleza uchumi?
@@miltonjohn9779kwa katiba ya znz kf no 143 ni jeshi
Amna lolote ngojeni 2025 muje mtumike kuuwa waislam wenzenu
Kwa haluna alietulia kwao akafatwa kwenda kuuliwa bali ukileta fujo katika nchi na kwa lengo la kutaka kuivunja amani basi utayapata yasokurizi pia mtaisha kusema maneno yaso maana kwenu
Sasa si mrudi Oman mlikotoka, mnang'ang'ana nn kuishi Tanzania?