![JKU HABARI ZANZIBAR](/img/default-banner.jpg)
- 360
- 1 032 409
JKU HABARI ZANZIBAR
Tanzania
เข้าร่วมเมื่อ 24 ต.ค. 2016
Kukamilika kwa Soko Kuu la Mwanakwerekwe Kutawapa Fursa Wananchi wa Zanzibar.
Kukamilika kwa Soko Kuu la Mwanakwerekwe Kutawapa Fursa Wananchi wa Zanzibar.
มุมมอง: 516
วีดีโอ
JKU Wamuaga Aliekua Co wa Kikosi cha JWTZ Dunga
มุมมอง 71121 วันที่ผ่านมา
JKU Wamuaga Aliekua Co wa Kikosi cha JWTZ Dunga
Taarab Maalum ya Shamrashamra za Ushindi wa Ligi Kuu Zanzibar
มุมมอง 12421 วันที่ผ่านมา
Taarab Maalum ya Shamrashamra za Ushindi wa Ligi Kuu Zanzibar
JKU Wafanya Mazoezi Kuimarisha Afya Zao
มุมมอง 19221 วันที่ผ่านมา
JKU Wafanya Mazoezi Kuimarisha Afya Zao
Angalia kidumbaki cha JKU katika usiku wa Shamrashamra za Ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar
มุมมอง 708หลายเดือนก่อน
Angalia kidumbaki cha JKU katika usiku wa Shamrashamra za Ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar
Shamrashamra za Ushindi wa Ligi Kuu Visiwani Zanzibar kwa Jeshi la Kujenga Uchumi.
มุมมอง 286หลายเดือนก่อน
Shamrashamra za Ushindi wa Ligi Kuu Visiwani Zanzibar kwa Jeshi la Kujenga Uchumi.
Mkuu wa JKU Kanali Daima akabidhi vifaa vipya kwa vikundi vya sanaa na utamaduni
มุมมอง 221หลายเดือนก่อน
Mkuu wa JKU Kanali Daima akabidhi vifaa vipya kwa vikundi vya sanaa na utamaduni
Kocha Msellem Aeleza Sababu za JKU Kupata Kombe la LIGI KUU Visiwani Zanzibar
มุมมอง 480หลายเดือนก่อน
Kocha Msellem Aeleza Sababu za JKU Kupata Kombe la LIGI KUU Visiwani Zanzibar
Timu ya Mpira wamiguu ya JKU Yakabidhiwa Kombe la Ligi Kuu 2023/24 Katika viwanja vya Amani Studiam
มุมมอง 784หลายเดือนก่อน
Timu ya Mpira wamiguu ya JKU Yakabidhiwa Kombe la Ligi Kuu 2023/24 Katika viwanja vya Amani Studiam
JKU Yaanzisha Studio Mpya za Kisasa za Runinga Kupitia Kitengo Cha Habari JKU Makao Makuu Saateni.
มุมมอง 1.3Kหลายเดือนก่อน
JKU Yaanzisha Studio Mpya za Kisasa za Runinga Kupitia Kitengo Cha Habari JKU Makao Makuu Saateni.
Timu ya JKU Waichapa Timu ya Uhamiaji katika Mashindano ya FA
มุมมอง 276หลายเดือนก่อน
Timu ya JKU Waichapa Timu ya Uhamiaji katika Mashindano ya FA
Maafisa na Wapiganaji Pamoja na Vijana wa JKU Wafanya Usafi Katika Soko Kuu la Mwanakwerekwe
มุมมอง 1.6K2 หลายเดือนก่อน
Maafisa na Wapiganaji Pamoja na Vijana wa JKU Wafanya Usafi Katika Soko Kuu la Mwanakwerekwe
JKU yabeba makombe ya Ligi ya Mwenge Cup 2024
มุมมอง 2692 หลายเดือนก่อน
JKU yabeba makombe ya Ligi ya Mwenge Cup 2024
JKU Waichapa Timu ya KVZ Bao 2 - 0 Michuano ya ligi kuu ya PBZ Katika vya Amani Complex
มุมมอง 1072 หลายเดือนก่อน
JKU Waichapa Timu ya KVZ Bao 2 - 0 Michuano ya ligi kuu ya PBZ Katika vya Amani Complex
JKU Football Team Waichapa Timu ya Kikosi cha Valantia Zanzibar Bao 2 - 0
มุมมอง 1892 หลายเดือนก่อน
JKU Football Team Waichapa Timu ya Kikosi cha Valantia Zanzibar Bao 2 - 0
Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2024 Kukabidhiwa Wilaya ya Magharibi A Unguja
มุมมอง 6962 หลายเดือนก่อน
Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2024 Kukabidhiwa Wilaya ya Magharibi A Unguja
JKU Football Club Waichapa Taifa Jang'ombe Katika Mashindano ya FA Visiwani Zanzibzr
มุมมอง 962 หลายเดือนก่อน
JKU Football Club Waichapa Taifa Jang'ombe Katika Mashindano ya FA Visiwani Zanzibzr
Mwenge wa Uhuru Wapokelewa katika Mkoa wa Mjini Magharibi Visiwani Zanzibar
มุมมอง 9342 หลายเดือนก่อน
Mwenge wa Uhuru Wapokelewa katika Mkoa wa Mjini Magharibi Visiwani Zanzibar
JKU Kuwa hatua za mwisho kukamilisha ujenzi wa Soko Kuu la Mwanakwerekwe
มุมมอง 1.2K2 หลายเดือนก่อน
JKU Kuwa hatua za mwisho kukamilisha ujenzi wa Soko Kuu la Mwanakwerekwe
JKU Yajivunia Ujenzi wa Soko Kuu la Mwanakwerekwe
มุมมอง 2.2K2 หลายเดือนก่อน
JKU Yajivunia Ujenzi wa Soko Kuu la Mwanakwerekwe
JKU Wafungua Mafunzo ya Polic Jeshi iliyowahusisha Kikosi cha Zimamoto na Jeshi la Kujenga Uchumi
มุมมอง 9312 หลายเดือนก่อน
JKU Wafungua Mafunzo ya Polic Jeshi iliyowahusisha Kikosi cha Zimamoto na Jeshi la Kujenga Uchumi
JKU Kua Hatua ya Mwisho katika Ukamilishaji Mradi wa Ujenzi wa Soko Kuu la Mwanakwerekwe
มุมมอง 6K3 หลายเดือนก่อน
JKU Kua Hatua ya Mwisho katika Ukamilishaji Mradi wa Ujenzi wa Soko Kuu la Mwanakwerekwe
JKU Sports Club Waichapa Bao 2-1 Timu ya Ngome Sports Club Katika Michuano ya Ligi Kuu Zanzibar
มุมมอง 1243 หลายเดือนก่อน
JKU Sports Club Waichapa Bao 2-1 Timu ya Ngome Sports Club Katika Michuano ya Ligi Kuu Zanzibar
Mashindano ya Riadha Afrika mashariki na Kati Kufanyika Zanzibar Viwanja vya Amani New Complex.
มุมมอง 1653 หลายเดือนก่อน
Mashindano ya Riadha Afrika mashariki na Kati Kufanyika Zanzibar Viwanja vya Amani New Complex.
Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari JKU Mtoni Wakiwa katika moja ya darasa la Masomo ya Computer
มุมมอง 2643 หลายเดือนก่อน
Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari JKU Mtoni Wakiwa katika moja ya darasa la Masomo ya Computer
Rais wa Zanzibar Atembelea mabanda ya JKU wakati wa Uzinduzi wa Sherehe za Muungano
มุมมอง 6663 หลายเดือนก่อน
Rais wa Zanzibar Atembelea mabanda ya JKU wakati wa Uzinduzi wa Sherehe za Muungano
Vijana wa Ujenzi wa Taifa wa Fani ya Ufundi Mchundo wakiwa katika Muendelezo wa Masomo yao
มุมมอง 3713 หลายเดือนก่อน
Vijana wa Ujenzi wa Taifa wa Fani ya Ufundi Mchundo wakiwa katika Muendelezo wa Masomo yao
VIJANA WA SKAUTI VISIWANI ZANZIBAR WAZINDUA KAMBI MPYA KATIKA MAENEO YA FUONI CHUNGA
มุมมอง 8373 หลายเดือนก่อน
VIJANA WA SKAUTI VISIWANI ZANZIBAR WAZINDUA KAMBI MPYA KATIKA MAENEO YA FUONI CHUNGA
Hermonise Aungana na Khadija Kopa ktk Burudani za Uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano
มุมมอง 7153 หลายเดือนก่อน
Hermonise Aungana na Khadija Kopa ktk Burudani za Uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano
Vijana wa Ujenzi wa Taifa wa JKU wajitokeza katika Bonza la Uchangiaji Damu Salama
มุมมอง 3053 หลายเดือนก่อน
Vijana wa Ujenzi wa Taifa wa JKU wajitokeza katika Bonza la Uchangiaji Damu Salama
Naomba kujua bei ya kueka braces
Mashallah
Maa Shaa Allah Tabarakallah..❤😅
Tunafurahi kwa ushauri
Ni kweli hilo tumeliona hayo yote tutarekebisha inshaalah
halaf background ingependeza iwe ni vipindi vya mpira kuliko vipindi vya makala ambavyo vinahusu kaz za jeshi na sio mpira
Hilo neno la kati jku habari ingependeza likiwa.halipo
Dah long time age, I remember it , I have presented
Hongera boss wangu Kwa kuzidisha ubunifu nzuri sana
Naipongeza time tangu ya jku kwa ubingwa bora
Kuenguliwa. Kwa. Wakuu. Wa. Vikosi
Kama ulaya
jku juu
Respect
Good
Saf sna
😂
Allah azidishie baraka katika Jeshi letu
Ahsanteni sana kwa maoni yote mlotushauri tunayazingatia na tunaahidi tutayafanyia kazi kwa vitendo kwa kua ni mwanzo mtuvumilie malengo yetu ni kuboresha zaidi
Safi sana
Hongeren sana
Hii channal ina mtangazaji mmoja tu (wewe) nao sion Mtangazaj mwengine akiripoti habari kila siku wewe
kweli kaka , ukizingatia zidi ni dume 🤣😂
Safi sana ila camera tunaomba iwe canon napia msoma habar awe karib kdg man nahis yuko mbali
😂😂😂😂😂😂
Safi sana makamanda wetu , kwa hakika ni munastahili kuigwa
Bravooo
Jku habari safiii mambo ya kisasa hongereni
Tufumbeni macho vipofu Zanzibar bwana 😂😂😂
uwe unaonyesha mazngira basi km unasoma tatifa ya habari
Matumbaku
Bata roho ilo
🎉
Mseto uniform za jkt mnavaa nyinyi mlio ajiriwa wakat hizo wavae kuruta 😂😂😂😂
Bravo 👍👍
Unaongea sana mendishi tatizo
serikali ifanye bei nafuu kwa wafanyabiashara sio mlango laki8 kwa mwezi
Pamoja sana
nemo moja tafazali
❤❤❤❤
Zanzibar 🫡
Good Jkuz
Nb kwa yeyeto atakae kutwa nje anafanya biashara faini iwe kubwa sana kama millioni 5 au 6 lengo sio kukumoa lengo kuwa watu wasifanye kosa lililo ainishwa...
Hjlzmshw kuangalia mwanmme unagubu utazani demu
@@binseidy3366 kuangalia nini sasa mbona kama umekurupuka mwanamke
Wamachinga na wamasai watajazana nje hapo Watauza miwani taa za chaja pamoja na dawa za kiganga na Serikali haitawafanya kitu ,watasubira Mr President aje kuwatoa wakati wao wapo kina mkuu wa wilaya mkuu wa mkoa pamoja na Madiwani ,Manispaa wenyewe wacha tusubiri tuone nawambia watajazana kibao nje ya soko hapo Hiyo ndio Zanzibar bhana
hemu luweni profesheno bhana kwenye kuelezea jambo pamoja na mchkua picha nae awe anajiongeza kuchanganya picha siyo mlipo simama ndo hapohapo mnatumalizia mb bure
Zanzibar to the world
Kazi iendelee
❤ asante sana Walez wangu
5 star souk
JKU+KZU=🤝💪
Ajira vijana wa jku tumewekwa nyumaaa
Mzee vijana tumejenga soko la kwerekw tumejenga viwanja vya matumbaku asubh na mchana zikija ajira tunaambiwa tulipe milion2 sisi masikini watoto wa wakwezi na wakulima tufanye nn