Mambo yanayoweza kusababisha gari kula mafuta mengi licha ya kuwa na cc ndogo

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ค. 2021
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our TH-cam Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

ความคิดเห็น • 21

  • @sandaymgunyi6268
    @sandaymgunyi6268 หลายเดือนก่อน

    Kyando Naomba Namba zako

  • @henryjulius213
    @henryjulius213 2 ปีที่แล้ว +4

    Karibu Tena Kwa mafundisho

  • @NiyonkuruJackson-dq2mr
    @NiyonkuruJackson-dq2mr 11 หลายเดือนก่อน

    Asante sana bro, nimeipenda iyo

  • @johnmwasakilali6984
    @johnmwasakilali6984 2 ปีที่แล้ว +2

    fundi jibu swali ndipo ueleze maelezo ni mengi kama mwanasiasa

  • @martinchatila320
    @martinchatila320 2 ปีที่แล้ว

    Tunashukru Sana kwa Elimu Kama hizi maana tunakosea bila kujua

  • @pwalter335tv5
    @pwalter335tv5 ปีที่แล้ว

    Maelezo mengi mkuuu

  • @isaacs3904
    @isaacs3904 ปีที่แล้ว

    Wote wababaishaji tu...jamaa haelezei chochote anaongelea vitu vingi mno na kujichanganya

  • @suleabdullah2247
    @suleabdullah2247 2 ปีที่แล้ว +1

    Natamani mtangazaji achukue mud mfupi na injinia awe na mud mpana kufafanua mada

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 2 ปีที่แล้ว +1

    Fundi kwanini ukiwasha gari mafuta yanapugua kidogo?. Gari yangu ni silinda 6 ni ya petroli.kwanza sipandi gari bila kukagua nje, pili maji,oil ,tatu nikingia ndani ya gari Nasali ,nafunga mkanda ndipo niwashe gari. Asante kwa mafunzo.

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 2 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji amuulize mtaaiam, maswali mafupi ya uchochezi/uchokonozi, kuchokonoa habari, maneno mengi ambayo ndio utaalam wenyewe amwachie mtaalam,

  • @hamadishaibu8490
    @hamadishaibu8490 ปีที่แล้ว

    Gar Ina mambo mengi ambayo usababisha kura mafuta kwaiyo inategemea ni kipi kibovu mafundi wAnaerewa ir

  • @lwxgle002
    @lwxgle002 2 ปีที่แล้ว

    Huyu fundi anajua, natamani ningepata contact zake...

  • @mkonyitv3391
    @mkonyitv3391 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji ana kierehere kama yeye ndo fundi

  • @pascorseve2308
    @pascorseve2308 2 ปีที่แล้ว

    Je Kuna uhusiano Kat gearbox kua mbovu na ulaji wa mafuta?

  • @Eagle-One.1501
    @Eagle-One.1501 ปีที่แล้ว

    Mnafanya vizuri sana kutuletea elimu lakini huyu anae andaa hizi video ndio anaharibu yaani hicho kipeperushi cha usafiriwako kila dakika kina onekana mbele ya picha mpaka vitu vingine havionekani tafadhali sana jirekebisheni kwenye hili hii video imekua mbaya kwasababu ya hicho kitu kimoja tuu
    Au kama wanao andaa kipindi hawana weledi fukuzieni mbali yaani mpaka kipindi kina kosa ladha bhana

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 5 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji muachie fundi mbona unaongea sana

  • @onesmomahenge9025
    @onesmomahenge9025 2 ปีที่แล้ว

    Plag zikiungua je, hazisababishi mafuta kutumika zaidi?!

    • @onesmomahenge9025
      @onesmomahenge9025 2 ปีที่แล้ว

      Nimekusoma kwenye plug

    • @iddyjuma2263
      @iddyjuma2263 ปีที่แล้ว

      Kuweka N ndio inaongoza, Darasa zuri naa liwe endelevu,Madereva wengi hawataki kusoma.