KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote; Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu; Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo. Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada. Tuongoe njia iliyo nyooka, Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.
Maandiko yako Wazi kwambia Mwenyezi Mungu alimtuma Mtume wake, Masih, kwa wana wa Israel....Watu wapotoshaji wanadai, kwa ukakamavu na ushupavui eti anaitwa Yesu, eti kwa kuwa wanaona imeandikiwa kwa Biblia ya Kiswahili kwamba Malaika wa Mungu aliyetumwa kwa Bikra Mariam ndiye alisema mwanae ataitwa YESU. Ajabu ya viumbe, Hawawezi kujiuliza, kwani huyo Malaika aliongea Kiswahili? Wakijiuliza watajua jina Yesu lilitoka mbinguni au la..?
Mkristo 1: yesu ni Mungu
Mkristo 2: yesu si Mungu ni mwana wa Mungu.
Mtihani
Masha Allah Ustaz
Msabato ashamAliza maneno,haya kujeni mpige shahada huku
مشأ الله تبارك الله
Mashaallah Allah the Great
Yesu Asema wakujue mungu moja was pekee na yesu kristo uliyetuma kwa hivyo yesu no mtume
Ukweli uko wazi tu yesu(issa) a.s n Mtume kama Musa Ibrahim n Mohamad rehm n amani ziwafike wote
ALLAHU AKBAR ♥️
MashaLLAH
Wakristo wasome Bible
Msomee Q72:1-14 msabato wa jina huyo
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote; Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu; Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo. Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada. Tuongoe njia iliyo nyooka,
Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.
Allah amuongeze nguvu amulide ampe afya subra dawa iendelee kwa neema ya uislamu
Maandiko yako Wazi kwambia Mwenyezi Mungu alimtuma Mtume wake, Masih, kwa wana wa Israel....Watu wapotoshaji wanadai, kwa ukakamavu na ushupavui eti anaitwa Yesu, eti kwa kuwa wanaona imeandikiwa kwa Biblia ya Kiswahili kwamba Malaika wa Mungu aliyetumwa kwa Bikra Mariam ndiye alisema mwanae ataitwa YESU. Ajabu ya viumbe, Hawawezi kujiuliza, kwani huyo Malaika aliongea Kiswahili? Wakijiuliza watajua jina Yesu lilitoka mbinguni au la..?