Wewe sio mwana simba usidanganye watu wewe hakuna mchambuzi anaeisema simba vibaya kama huyo boya yaan amefikia hatua ya kusema simba ana asilimia 4 ya kuchukua ubingwa,je asilimia 4 kama simba ndio ina hiyo na timu itakayo shika mkia itakuwa na asilimia ngapi? Hakuna mtu mnafk kama huyo mchambuz japo sishangai siku hiz watu wanaokotana2 huko hawajasomea nao wanachambua @@barakamangoko6042
Usibadilishe maneno uendelee kuponda hivyo hivyo😊
Huyu mshamba hayuko sawa kihakili kwakuwa mala anaongea ivi mala vile❌️
Chibu dangote respect congratulations
Nautoe zile asilimia ulizotoa utakuja kukosa maneno
Kwan yanga kasajal wachezaji gani ??
Hellow
Acha uwongo brother humuoni matola
huyu jamaa mnafiki ww c ulikuwa waiponda Simba boy ww
Kiki zitawaua wacha-mbuzi
Mpanzu atakuwepo leo amevaa kofia la kuziba uso😅
Ivi kweli yule alovaa mask atakua mwenyewe?
Yule mtale
Huyu ni utopolo sijui unamhoji nin angalia nafasi ya kaizer aliyokuwa nayo nafasi ya 10 sio kiwango sahihi kuizungumzia endelea kuponda
Si lazima uwe mchambuz wa soka kaka
Huyu sio mchambuzi ni kibara
Haya tutaona bwana
Inatakiwa wachambuzi wengine wajifuze kwako, hongera sana🎉 mim ni Simba lakin sipendi kupambwa na mchambuz napenda waongeee uhalisia wa Hali iliopo.
Wewe sio mwana simba usidanganye watu wewe hakuna mchambuzi anaeisema simba vibaya kama huyo boya yaan amefikia hatua ya kusema simba ana asilimia 4 ya kuchukua ubingwa,je asilimia 4 kama simba ndio ina hiyo na timu itakayo shika mkia itakuwa na asilimia ngapi? Hakuna mtu mnafk kama huyo mchambuz japo sishangai siku hiz watu wanaokotana2 huko hawajasomea nao wanachambua @@barakamangoko6042