Asante sana kwa eliminate MUNGU akubariki sana aana, naomba kuuliza. Mkungu aina ya mzuzu, kile kishungi kinapokwisha kabisa chote ndo mkungu unakua umekomaa naweza kuukata au unaendelea kbakia kwenye shine lake mpaka mud gani?
Watanzania bwana vitu kama ivi comment tatu ila watu wakichafua hali ya hewa comment laki 1 machawa wakizungumzia upupu coment elfu, tuna ujinga mwingi sana ndo mana nyerere alitwambia adui yetu n ujinga nimeamin
kazi nzuri sana Mwananchi hongereni nimejua sasa kupanda migomba
Miche ya migomba naipataje
Very nice maashaallah
Safii Baba, endelea kutufunza zaidi.
Nashukuru sana kwa jali kazi yako haswa
Safi sana jembe halimtupi mkulima
Mimi nataka miche ya ndizi Mzuzu ya maabara naipataje nipo kibaha Nina hela 4
shamba safii sana dah hadi raha
Nimejifunza kitu mungu akubariki
Mungu akupe nguvu kwa kutupa taaluma hii sahihi ya kilimo cha migomba
Wewe acha ushamba hakuna zao la ndizi kuna zao la migomba
Asante mtaram
Asante sana kwa eliminate MUNGU akubariki sana aana, naomba kuuliza.
Mkungu aina ya mzuzu, kile kishungi kinapokwisha kabisa chote ndo mkungu unakua umekomaa naweza kuukata au unaendelea kbakia kwenye shine lake mpaka mud gani?
Kutoka shimo moja hadi lingine unatakiwa umbali gani ?
Watanzania bwana vitu kama ivi comment tatu ila watu wakichafua hali ya hewa comment laki 1 machawa wakizungumzia upupu coment elfu, tuna ujinga mwingi sana ndo mana nyerere alitwambia adui yetu n ujinga nimeamin
Ukweli unauma
watanzania wao nyimbo tu
Tunashabikia vitu ambavyo kiuchumi havina mchango wowote. Kweli TU wajinga maana tunashindwa kuchagua vipaombele.Hatari sana kuchezea muda🤔😭
Nahitaji ndizi kwa wingi bei gani upo wp
Je hzo ndiz huwaga zinakubari kila maeneo nikimaanisha km mrima ambao unaasili ya mawe mawe
mtaalam naomba weka namba nahitaji miche
Ndoo 5 za samadi ni ndoo kubwa au ndogo??
Ndoo ya lita 10 au 20 ya mbolea ?
Naomba ya mtalamu huyu
Dar Migomba inastawi?
Ndoo ya lita 10 au 20 ya mbolea ?😅
👍
Dawa ya ugonjwa wa matawi ya ndizi kuwa manjano ni nn!?
ungojwa wa mnyauko unadawa?
Kuna dawa ya kuua minyoo ktk migomba?
@@isayaanthon7063 nipe dawa ya myauko wa ndizi mshare
Nipe dawa ya myauko wa ndizi mshare
Ndoo ya lita 10 au 20 ya mbolea ?
Ndoo ya lita 10 au 20 ya mbolea ?
Ndoo ya lita 10 au 20 ya mbolea ?
Ndoo ya lita 10 au 20 ya mbolea ?