Acha kupoteza watu mzee tubu dhambi okoka uende mbinguni mzee acha hadidhi hazikusaidii ivi mzee na umri huo bado huelewi kuwa YESU ni mwokozi na ndo mwenye mbingu ,wewe bado hujui hata korani hebu soma habari za mhamadi mwenyewe anakwambiaje yeye hajui anako kwenda ila anajikabidhi kwa huyo issa yaani YESU ,sasa wewe umekaria hadisi kwa jina la YESU okoka
Acha kuongea kiarabu ,wewe tubu dhambi okoka ,acha hadithi za uongo,uongo hebu soma maandiko haya ya biblia neno la MUNGU lililo sahihi injili ya yohana 3:16 Mathayo11:28 Isaya45:20
Maallimnaa Jazaka Allah khaira, achan na huy kafiri ambye haelewi nin maana ya kafiri
Kafiri ni yule ambaye hataki kuokoka hebu mzee nikupe andiko hili waraka wa yuda 1:4
Na mzee nkusaidie makafiri unao waongelea ni wale wote ambao hawajaokoka na kumwamini YESU yaani wale wanao mpinga YESU huyu ndoo kafiri
Acha kupoteza watu mzee tubu dhambi okoka uende mbinguni mzee acha hadidhi hazikusaidii ivi mzee na umri huo bado huelewi kuwa YESU ni mwokozi na ndo mwenye mbingu ,wewe bado hujui hata korani hebu soma habari za mhamadi mwenyewe anakwambiaje yeye hajui anako kwenda ila anajikabidhi kwa huyo issa yaani YESU ,sasa wewe umekaria hadisi kwa jina la YESU okoka
Yeye ( Muislam) anamini Yesu lkn anamini Yesu ni mtume wa Mungu
Ww endelea kuamini hayo maandiko na sisi tuache tuamini Qur'an ambacho ni kitabu cha haki na ukweli...
Acha kuongea kiarabu ,wewe tubu dhambi okoka ,acha hadithi za uongo,uongo hebu soma maandiko haya ya biblia neno la MUNGU lililo sahihi injili ya yohana 3:16 Mathayo11:28 Isaya45:20