Congratulations lady that's so real, so creative and you've made it so simple. Doesn't need any expensive items to make. Be blessed and wish you growth in your work as you continue to bless more people with your knowledge.
Naomba nifahamishe kuhusu hiyo casting powder kwakweli uko vizuri nifundishe na Mimi niweze kufanya biashara ya biscuit nakupenda Sana hila bado sijajuwa kuzipika
Asante dear nimejifunza but hapa leo kua unga uzidi kipimo Cha sukari na blue band alafu nahitaji castered powder pia cookie cutters zinapatikana kwenye maduka la vyombo nashukuru sana
Custard powder kaz yake ni kuweka unjano yan ina rangi ya njano na hyo chumv ukikosa unaweza kuweka hata mchanga inazuia moto wa chini usiunguze biscuits
Congratulations lady that's so real, so creative and you've made it so simple. Doesn't need any expensive items to make. Be blessed and wish you growth in your work as you continue to bless more people with your knowledge.
I have watched the video with no sound and it made alot of sense and simple to understand
How can one dislike this fabulous peace of kitchen abilties? I like everything
I'm also wondering.
Asante dear kwa maarifa Mungu aendelee kukupa zaidi nawe utupe sisi zaidi kazi nzuri sana nitaifanya hii
Amen Amen
Naomba nifahamishe kuhusu hiyo casting powder kwakweli uko vizuri nifundishe na Mimi niweze kufanya biashara ya biscuit nakupenda Sana hila bado sijajuwa kuzipika
Wonderful video🕵 will try this even as I await the glorious coming of the Messiah 1 Thessalonians 4:15-17
You are very creative my dear! Unafikiriaga nje ya box and huo ndo tunauita I tofauti!!!❤️❤️❤️❤️
Waoooh I real real like to see a woman cooking like this
Bravo my dear
Nitajaribu na mie😋🤗🤗💞
Nice and easy recipe thanky so much but i have a question the custard thing is it important kuweka ???
Napenda sana recipes zako za biskuti zinanipa morale ya kujifunza sana na najaribu kila mara
Mungu akubariki Dada kwa share hizi informations.
I did exactly that but didn't include custard powder. Well the biscuits were still nice
Hello
Hey ..nlitumia you recipe juzi and the outcome was fantastic😍🤗🤗 Thanks
Hiyo sio blueband, ni prestige margarine, kampuni mbili tofauti, please notice the different.
Nimezipenda sana 😋 hapo na kahawa yako looo
Wow! Njia rahisi ya kuandaa biskuti! Natumai kujaribu mapishi tofauti tofauti kwa raha zangu.
Asante mpenz nafurahia sana kujifunza jikoni kwako 🙏🏽 naomba kujua custard powder inasaidia nini kwenye kupika?
Is this same as cookies? I love cookies 🥠, God bless you
Custard powder? That's a new one! Thanks 😊
Her voice is so soothing
Wa kwanza kuonaaa gonga like hpaa ...
Maa shaa ALLAH 🥰
Hiyo cutter ya love bei gan
New tips during quarantine
Bwana Yesu akubariki kwa kufundisha mambo ya maana hakika hili ni darasa
Omba kujua Kama unatumika umeme kuoka bisukuti unaweka dk ngapi na Moto kias gani
Hi, Asante kwa video hii. Nilikua natafuta namna ya kubake cookies.
Nimependa sana .Mungu akubariki sana.
Ahsante dada kwa somo barikiwa sana
Kweli ika sija ku subscribe bure una fanya kazi ime onekana kabisa
You make it look easy..I love it😋😋
🙌 vizuri sana nita garibu 😇😇💕💝💝👍
Hongera sana Biscuits zinapendeza haswaa nimezipenda.
Asante dear nimejifunza but hapa leo kua unga uzidi kipimo Cha sukari na blue band alafu nahitaji castered powder pia cookie cutters zinapatikana kwenye maduka la vyombo nashukuru sana
Wawooo asante kwa kutufundisha mapishi ,nitajaribu.
Wewe kiboko wa pishi na mwalimu mzuri tu hadi Raha, asante mamito
That really amazing great work .hope you channel grows ...thanks for the tips😂😂😂😂
Ni lazima utumie custard powder
Is it optional to put eggs because i am allergic.
You are very talented ,well fone
You inspire me tangu zamani na Mimi nataman kuanza
Asante kwa ujuzi najihisi utajiri wanikaribia
Amen 🙏
thanks alot but what if i dont have custard powder ?
Cool recipe dear
Shukran my biscuit zimetokelezea
Zangu zimekuwa laini sijui tatizo ni nini nimekosea wapi? Naomba msaada
Kwa kweli unajua kupika Sana😍👏👏👏
asante dear
Wooow, nimeipenda sana hii Mami 😋😋😋🌺
Ni nzuri kweli asante sana
Kazi nzuri mrembo. Be blessed
maa shaa Allah
Asante my dear kwa video nzuri👌👌👌
asante dear
Wow Masha Allah nimependa mapishi yako
Hi sister I'm from Somalia and I'm a new friend
Hi
hi
Video nzuri
Thank you for the story 👌👌👌👌👏👏👏
GOOD ONE
You are the best
Huweki maziwa!
Blueband robo inatumia unga kia's gan na mayai mangap
Wow 😋😋
Nimependa kweli ,dada kama mtu hana blueband anaeza tumia mafuta gani mengine ????
Wow! ubarikiwe dada ntafanya
Asante dear nimependa but naomba kujua chumvi inasaidia nn au naweza tumia mchanga au lazima chumvi
Nimependa 😍 😍
Asa nte dada umenifunza kupika mkate,mandazi asa nte sana
Ahsante
Wow.. Nimependa sana
Waoh! You are a genius.
Wow. Kazi nzuri dada.👌
Je, chumvi haiharibu plate ya jiko la gesi?
Badala ya chumvi unaweza kuweka mchanga hapo chini?
honestly, i enjoy the accent
Hiyo castad pouda inapatinaje! Dada
Nimekupenda bure
🥰🥰🥰
I love cooking and baking
Kazi nzuri ✅✅✅✅✅✅✅✅✅👍👍👍
Waa waa nice
Unaweka moto kwa jiko na juu ya kifuniko _? Mafasirio zaidi
Nimependa sana. Nina maswali,
1. Lazima nitumie custard powder?
2. Huo chumvi tunatupa au tunatumia baadaye?
Nashukuru
Pls reply hii ya custard powder
Custard powder kaz yake ni kuweka unjano yan ina rangi ya njano na hyo chumv ukikosa unaweza kuweka hata mchanga inazuia moto wa chini usiunguze biscuits
Love all of your biscuits videos very yummy
Napenda saaannaaa. doh
Custard powder ni Lazima?
Thanks much dear
Great
Kwenye oven unatumika Moto kias gani na dk ngap
Awesome
WwWwwwwww this was amazing
Umetumia maji
Nimependa nitajaribu kesho kuwapikia wanangu
Nitajaribu!Ingawa sina sufuri kubwa
Sorry, ukiwa unaoka biskit au keki kwenye yes na chumvi, hauweki mkaa juu?! Na kama hauweki juu inatokea brown?
Mh nihatari sana usijaribu
Kama hauna kastini unaweka nini?
wooooow........
Woow! Good job
Thanks for this. Unatusaidia sana
💗💗💗
Nzuri sana ila custard powder cjaipata huku kwetu hamna
Mimi sijawai jaribu bila custard, lakini unaweza jaribu
Inapatikana karibu kwenye supermarket zote.
Wow
Must try kwa kweli.. Nice dia
Naweza tumia mchanga badala ya chumvi?
Good
Hey Ika,naomba kuelewa kwanini umetumia chumvi kwenye sufuria?
Chumvia au mchanga inahifadhi joto