Kufuru iko wapi sasa hapo..? Mnatumiaje kiswahili kihuni/udaku Uongo "Amenunua kwa shilingi za kitanzania...." Ukweli "Amenunua kwa dola za kimarekani sawa na shilingi za kitanzania ....blah..blah..blah.." Acha uhuni kwenye kiswahili
Muslims mnachokiwazaga ni umauti tu, mnaishi duniani kama wafu, sasa mnafanya nin si muwaamuru familia zenu zikawazike, kila jambo kifo. kama umejikatia tamaa ni wew wacha watu waishi duniani kama wapo peponi, mwishowe ufw ukute ata iyo pepo yenyewe mnayoambuwa haipo
Iyo bei ni rahisi sana
Beautiful jmn kweli vidole havilingani🤪
Ingekuwa tanzania iyo pesa tungejenga Madaraja chato tungelipa den la mkamata ndege PAMOJA NA WANAFUNZI TUNGEENEA MABOOM NCHI NZIMA
Kama fala vile
Angekuja hapa bongo hiyo hela angenunua nusu ya mkoa na watu wake. Ha ha haaaa, dunia!
Bajeti ya nchi... haha
Umeona eheee😂😂😂😂😂😅😅👌
Kufuru iko wapi sasa hapo..?
Mnatumiaje kiswahili kihuni/udaku
Uongo "Amenunua kwa shilingi za kitanzania...."
Ukweli "Amenunua kwa dola za kimarekani sawa na shilingi za kitanzania ....blah..blah..blah.."
Acha uhuni kwenye kiswahili
Nice
Usiludie kumuita Osama gaidi
Umekosea ni dola,25 sawa na bilion 63..
Pepo ya dunia tu hii
Kwakweriii Allah atujaharia mwisho mwema 👏
Muslims mnachokiwazaga ni umauti tu, mnaishi duniani kama wafu, sasa mnafanya nin si muwaamuru familia zenu zikawazike, kila jambo kifo. kama umejikatia tamaa ni wew wacha watu waishi duniani kama wapo peponi,
mwishowe ufw ukute ata iyo pepo yenyewe mnayoambuwa haipo
@@hallin9561Duh!!!
Bilioni 25 kwa MTU Kama huyo ambaye alikuwa Ni rais wa nchi Ni pesa ndogo sana .
mpaka kichwa kinauma ngoja nikunywe kindonge kisha niendelee kuota.
Sio mchezo.
Kwa hiyo mauaji ya obama kwa osama ni sifa ? Aiseee wajinga sana nyie