ANGALIA JINSI HUYU DADA ALIVOMSALITI MUMEWE NA MTEJA WAKE | MEA CULPA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- JE WEWE NI HUYU?
• Unataka kukuza kipato chako na kujiingizia laki 1 Hadi 5 kwa week.
• Unataka kuanzisha biashara kwa kutumia muda Wako wa Ziada.
•Tunapanua WiGo wa soko hapa Jijini tunatafuta watu chanya ambao tunaweza kufanya nao kazi.
• Tumejikita katika tasnia ya afya inayompa mtu nafasi ya kumiliki mfumo wa usambazaji WA bidhaa na kukuza kipato chake.
kama ni wewe au Kuna mtu unamfahamu basi:
TUPIGIE +255758665268
AU
KWA MITANDAO YA KIJAMII
Facebook, Instagram,TikTok
KAMA
@biasharainalipa
⚠️CREDITS:
Watch Full movie on :
Movie name : MEA CULPA
Genre : Drama,Thriller
Year : 2024
Follow us :-
Instagram-www.instagram....
Tiktok- tiktok.com/@e7bits
Follow KONKA on Social :-
Instagram-www.instagram....
Tiktok- tiktok.com/@izkonka
Enjoy huu unyama, samahani kwa freeze frames nyingi....❤
Usijari mwamba tunainjoi tuuu ✌️✌️❤
Usjali🥰
kaka jitaid uwe unatoa kwa siku ata mbili kaka mim kila siku nataka kuk fatilia
Usjalli ata ije audio tuuu tutaruka nayo..unyammaaaa
Baba usichelewe kutuwekea mizigo hii ulipost tik tok kipande nikawa naisaka sana isee twende sawa🤜
Oyaaaa wanangu unyama huu hapa naomben like hata 100 ila Mwamba unauwa snaa
@E7bits umetisha nakubali saaana aina ya simulizi vile unavyosimuliaaa UNYAMAA
Sawa sawa kk ni unyama kabisa no omba ata like 5 tu nduguzangu
Team konk tujuwan kwaku like 🎉
wakwanza kaka unyama sana..🎉🎉😂😂
Asante mwamba tunainjoi tuuu unajua sana kutufurahisha mwamba ❤❤❤
Wa 2 leo naomba like 10tuu
Jamaa unajua kuhadhia San aisee kama unamkubali gonga like ❤
Oyaa wanangu eeh. Gongen sas izo like za kumwag kwa konkaa zee la kuton zee la town apo like ztembee mpak 5k.. mtakuwa mmetsha san
Wapili like zangu jaman ❤
Ni unyama kweli!!
Sem kaaaal
Mambo hayo ni yetu kbs kaka wanazengo tupeane like zetu🎉❤
Konka nakuomba tuletee ile BEATS OF NO NATION ❤🎉
Mninyime bas izo like mmeskia
Bro post daily movie unakaa sana
Wa kwanza nikichek unyama, like zangu please 👍👍👍 4:38
Oa JAMA konka umeupiga mwingi huw napenda San mov zako
Noma saana hii movis🎉🎉🎉
Sema we bro unajua Hadi unajua Tena wapo wanao fanya kama ww ila hawafany kama unavyo fanya we fund na unasauti ya kpekee unajua kutafsil vzr❤❤
Nilingogewa kweli 😭😭😭🤗🤗
Ngoma kali
Wakwanza jamann
Mimi ni wa Tatu apa like zangu
Unyama kak huu
Ipo powa sana
Mwanangu unanimalizia bando langu.
Konka nakubali, unajua mwamba..
Watano leo😂nipeni like apa
Unyama sana kaka
Hatareee sana
Umetisha big bro ❤❤
Mr konka tangazo mwisho sauti haiko Sawa niipo chini sana
Nakukubali Sana sana sana snap
Yaani Igweeee
Ila "NILIGONGEWA😂😂"
Up vzr brooo,, napend sana movie zak🎉
Unyama tuu
Kudadadekiiii e7bitss mwenyewe hujawahi kufeli mbona nakubal kazi kishenz mzee
wa kwanza kenya 254
Hii umeirudia kakaaa😢😢
Tuliaa kaka tupate vitu vizr
Yp nakumbuka imerudiwa
Ndio ,karudia
Sema hii movie sijaielewa kabisa 😊
😂😂tuliza kichwa kina mambo mengi hiko ndomana huelew...movie inaeleweka sanaaa❤
nikiwa kama mwn family wa E7 bt na E7 max hamna baya wakuu
Wazee wa Mipunduko na walete wekeni like hapa
👇🏽
Unajua sana Mungu akufikishe mbali
Wakwanza
Unyama ni mwing naomba recap ya. Miracle in cell 7 🙏🙏
❤❤❤
Mmh atali movie Kali cana❤❤❤❤
Oy WW hii kali sana😂😂😂😂😂
Upo vzr kaka
@@CharlesLihanjiro-np8md KVP ndugu
Unyamaa
Niligongewa😢
🔥🔥🔥
Naipataje hii movie
Netflix
Nicheki WhatsApp nikutumie ila utanichangia buku la bando tu
Mimi kwangu video inakuwa inaganda ganda sjui kwann
Sio kwako tu, nimegandisha sana ili kukwepa copyright
Unatumia simu gan 😂😂
@@e7bits_tz hapo sawa maan naona nailizwa natumia simu gani
Iko vzr 🎉
🎉
Waleteeee 😂🎉🎉🎉🎉
Kwamba iiiiiii 😂akakimbia ooooa unajua mwamba 💕💕💕
😅😅😅😅😅😅😅😅😅. Leo umekuja na ki2 inaitwa ngumu kumeza😅😅😅😅
unyama sana
Nimekuwa wa kwanza
Jamvi la kila mwenye tundu😂😂😂😂😂😂 E 7bits .. @IZKONKA #UNYAMA
summary nzuri😊😊😊😊
Kak ❤❤ il hun bay🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Huyu dem ni Kerry rowland
Hiii picha haiko sawa inaganda ganda sijuwi sababu gani
Hii noma
Wapiliii
Kaka hongera sana unajua ❤🎉
Yeees, Mia ni Kerry Rowland
Woyooooo❤❤❤❤
atali sana unyama mwing sana
Unachelewesha san daaah
Nomaa Sanaaa Hiiii🙏🙏🙏
Fanaya kila siku ....tunapata recap
Nimeangalia bonge bonge moja la muvi sanaaa
Jina la movie?
Moves inaitwaj
Leo umetisha sana🎉❤❤😊
❤
Mm nime gongewa sana
❤nakukubali🎉
Niligongewaaa pia😂😂😂
No 1
Nimegongewa kumamake ila fresh life moves on
Niligongewa 😂😂😂
KAKA UNATUWEKA SAAAANAAAAAAA MPAKA TUNAMISS VOICE…..TUNAAMUA KURUDIA ZA NYUMA😂😂😂😂
Kwel kakaaaaa😂😂😂
Mrago au😂😂😂😂
Mzee wa movie kwa kiswahili Nlikuwa naomba MOVIE flani inaitwa BOOK OF CLARENCE 🙏🏽
Nasisi tusemaje nyie mligongewa je sis🤣🤣🤣😜😜
Na nyie semeni wananigongea
Nimekubali kazi yako
Doh movie kal sana❤
Inaitwaje jaman
@@graceallymea culpa
Asante sana
mim sijaelewaaa ssa lengo lilikuaaaa nn??
Tunakupenda❤❤❤❤❤
Duhhh hatar
Best one
Wekambali nawatoto❤❤❤😂😂
Nakukubali sana mzazi
Kak mbn Leo imeganda ganda
Nakupenda wekaka❤🎉😮
Nakupenda pia
😂😂😂 Acha tamaaa
@@ferdinandlazaro15 😂😂😂ximpendi ulivyo mahanixha bhna
@@MariamuRajabu-el9ev Nakutania tu