ANJELLA AMNYEA VIBAYA HARMONIZE BAADA YA KUPEWA GARI NA ZUCHU/WASAFI KUNA MAISHA KULIKO KONDE GANG
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Tumepiga Story na ANJELLA
````````````````````````````````````````````````````
Facebook Page @chazymedia
instagram @chazymedia
Tiktok @chazymedia
``````````````````````````````````````````````````````````````
Baada ya yote, jueni kwamba Anjella kajulikana kupitia Harmonize. Tusi sahau hilo❤
Kama ambavyo Harmonize amejulikana kupitia Diamond 🤣🤣🤣
Very true man 👍👍 you deserve a bottle of soda
That's the point, most of us tend to forget where we came from.
Nakupenda sana dada Angela unaposemaga kioo o kioo oo na sauti Yako VA kuvuma Yani unajua sana kuimba nashangaa toka umeachana na konde asiejua kumiliki lebo hujatupa Radha sasa tunataka Ladha 🎉🎸🎸🎸🎵🤳
Uzuri Anjella anajua kujibu maswali ❤❤❤
Kama si@Harmonize singekujua hivo nyamaza tu Anjela piga kazi ununue gari lako hata Hilo litachukuliwa tu usipofanya wanavyotaka, Wanadamu wabaya 😢
Very Good Angella It's Every Artist's dream to be Signed Wasafi lebel.
Kumbuken kua mikataba ya wasanii ikoje na msiwe mnaongea tu anjella kupokonywa gari nikwasabu alivunja mkataba mwenywe koz mali za lebo zinatakiwa kuchukuliwa kwaiyo msiwe waongeaji sana ndugu zangu ❤
Hakuna chakuteteya hapo, mikataba ya wcb na harmo hamtaki kuinyoosha mnakaliya kusema oo walimnyonya .mbwaa nyiyee leo imekula kwenu hata kama hamjapika.anjela mlimnyonya sasa zuchu kamdahawisha mateso ya ugengeni
Hujapona vzur mguu unaufichaga sana
Usimtukanr mamba wakati bado haujavuka mto haya yangu macho😂😂😂🥺
Ni mimi tu nimeona hilo wigi la angela kwambele😂😂 ila nampenda❤
jama wa ptv ana sauti ya kinafki sana utaskia DIAMOND PLATNUM ATA AWE ANAMUHOJI MUUZA MIHOGO
Harmonize ndo amekutoa anjela pourquoi humilié konde tu es incra kuwa na adabu na konde pumbavu from 🇨🇩🇨🇩
Achana na harmonize misifa
Nice
Kama hao wanakupenda si wakupeleke hospital 🏥 ukatibiwe mguu wako upone kuliko kukupa gari na ww umepata kibuli kuyasema yote hayo haya anjella yangu macho tuu🥺
nawewe hacha jehuri kwani ahuja sikiya zhuu akimwambiya kuhusu ugonjwa wake
Muheshimu tu hata kama ajakupa chochote yey ndo kakufanya leo kuwa anjelah
MTA gazaji hujui kuuliza maswali.unaongea sana huulizi point za msingi.
Angela umeona majibu ya kiboko ya wachawi alikuambia utainuka na alikupa milioni moja ila ulisahau kumuonyesha huo mguu huenda
Tenda wema nenda zako
Wana habari ulizeni maswali ya kujenga
Nyinyi wa tanzaniya muma Nini
Ovyo
Konde boy analoho mbaya mueshimu mikataba
Aache kunywa pombe na asiendekeze mapenzi apige mbona nyimbo zake nzuri tu
Nahisi wewe ndo unamnunuliaga au unamuuziaga
true
Muda utaongea
Kaonge tena pimbi wewe
Kwanza siyo pisi kali kama anavyosema harmonize alimuokota huko hata watu walikuwa hawajui jina la anjella ba harmonize yupo poa sanaa kwa diamond hautoki mpaka ulipe million mia sita nenda kichwa kichwa saini mkataba hatokuacha usimtukane mamba wakati bado haujavuka mto gari tuu mitusi inakutoka mdada 😂😂😂😂
Yaan mpk unalipa 600m mpunga upo