ANJELLA AMNYEA VIBAYA HARMONIZE BAADA YA KUPEWA GARI NA ZUCHU/WASAFI KUNA MAISHA KULIKO KONDE GANG

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • Tumepiga Story na ANJELLA
    ````````````````````````````````````````````````````
    Facebook Page @chazymedia
    instagram @chazymedia
    Tiktok @chazymedia
    ``````````````````````````````````````````````````````````````

ความคิดเห็น • 34

  • @aldinhomkayumba9921
    @aldinhomkayumba9921 17 วันที่ผ่านมา +8

    Baada ya yote, jueni kwamba Anjella kajulikana kupitia Harmonize. Tusi sahau hilo❤

    • @stateofart1089
      @stateofart1089 16 วันที่ผ่านมา +2

      Kama ambavyo Harmonize amejulikana kupitia Diamond 🤣🤣🤣

    • @Kondegirl
      @Kondegirl 15 วันที่ผ่านมา +2

      Very true man 👍👍 you deserve a bottle of soda

    • @AsungaSteven
      @AsungaSteven 7 วันที่ผ่านมา

      That's the point, most of us tend to forget where we came from.

  • @nurdinibrahimu7312
    @nurdinibrahimu7312 19 วันที่ผ่านมา +3

    Nakupenda sana dada Angela unaposemaga kioo o kioo oo na sauti Yako VA kuvuma Yani unajua sana kuimba nashangaa toka umeachana na konde asiejua kumiliki lebo hujatupa Radha sasa tunataka Ladha 🎉🎸🎸🎸🎵🤳

  • @SandraMwanajuma
    @SandraMwanajuma 19 วันที่ผ่านมา +2

    Uzuri Anjella anajua kujibu maswali ❤❤❤

  • @prince001tv5
    @prince001tv5 12 วันที่ผ่านมา +2

    Kama si@Harmonize singekujua hivo nyamaza tu Anjela piga kazi ununue gari lako hata Hilo litachukuliwa tu usipofanya wanavyotaka, Wanadamu wabaya 😢

  • @ahmedsaidi2239
    @ahmedsaidi2239 20 วันที่ผ่านมา +1

    Very Good Angella It's Every Artist's dream to be Signed Wasafi lebel.

  • @JJoshua-nc6hu
    @JJoshua-nc6hu 19 วันที่ผ่านมา +1

    Kumbuken kua mikataba ya wasanii ikoje na msiwe mnaongea tu anjella kupokonywa gari nikwasabu alivunja mkataba mwenywe koz mali za lebo zinatakiwa kuchukuliwa kwaiyo msiwe waongeaji sana ndugu zangu ❤

    • @CamweziKarrashnekov
      @CamweziKarrashnekov 19 วันที่ผ่านมา

      Hakuna chakuteteya hapo, mikataba ya wcb na harmo hamtaki kuinyoosha mnakaliya kusema oo walimnyonya .mbwaa nyiyee leo imekula kwenu hata kama hamjapika.anjela mlimnyonya sasa zuchu kamdahawisha mateso ya ugengeni

  • @Qs3557
    @Qs3557 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hujapona vzur mguu unaufichaga sana

  • @djjailoskyelambeya6072
    @djjailoskyelambeya6072 19 วันที่ผ่านมา +1

    Usimtukanr mamba wakati bado haujavuka mto haya yangu macho😂😂😂🥺

  • @steveabel5819
    @steveabel5819 20 วันที่ผ่านมา +1

    Ni mimi tu nimeona hilo wigi la angela kwambele😂😂 ila nampenda❤

  • @NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb
    @NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb 18 วันที่ผ่านมา +1

    jama wa ptv ana sauti ya kinafki sana utaskia DIAMOND PLATNUM ATA AWE ANAMUHOJI MUUZA MIHOGO

  • @user-du8pk9ww2s
    @user-du8pk9ww2s 16 วันที่ผ่านมา

    Harmonize ndo amekutoa anjela pourquoi humilié konde tu es incra kuwa na adabu na konde pumbavu from 🇨🇩🇨🇩

  • @emanuelbaha-x8u
    @emanuelbaha-x8u 7 วันที่ผ่านมา

    Achana na harmonize misifa

  • @user-nr7zq2rr1r
    @user-nr7zq2rr1r 20 วันที่ผ่านมา

    Nice

  • @djjailoskyelambeya6072
    @djjailoskyelambeya6072 19 วันที่ผ่านมา +1

    Kama hao wanakupenda si wakupeleke hospital 🏥 ukatibiwe mguu wako upone kuliko kukupa gari na ww umepata kibuli kuyasema yote hayo haya anjella yangu macho tuu🥺

    • @AsaloLocha
      @AsaloLocha 19 วันที่ผ่านมา +1

      nawewe hacha jehuri kwani ahuja sikiya zhuu akimwambiya kuhusu ugonjwa wake

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 13 วันที่ผ่านมา

    Muheshimu tu hata kama ajakupa chochote yey ndo kakufanya leo kuwa anjelah

  • @buchomillion4743
    @buchomillion4743 15 วันที่ผ่านมา

    MTA gazaji hujui kuuliza maswali.unaongea sana huulizi point za msingi.

  • @user-hx6cl2bc1y
    @user-hx6cl2bc1y 15 วันที่ผ่านมา

    Angela umeona majibu ya kiboko ya wachawi alikuambia utainuka na alikupa milioni moja ila ulisahau kumuonyesha huo mguu huenda

  • @user-lx7ez3rq4c
    @user-lx7ez3rq4c 11 วันที่ผ่านมา +1

    Tenda wema nenda zako

  • @olivestraders
    @olivestraders 17 วันที่ผ่านมา

    Wana habari ulizeni maswali ya kujenga

  • @BossGift01
    @BossGift01 20 วันที่ผ่านมา

    Nyinyi wa tanzaniya muma Nini

  • @bululaomary8494
    @bululaomary8494 วันที่ผ่านมา

    Ovyo

  • @user-dn5ug4ez4n
    @user-dn5ug4ez4n 15 วันที่ผ่านมา

    Konde boy analoho mbaya mueshimu mikataba

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 20 วันที่ผ่านมา +1

    Aache kunywa pombe na asiendekeze mapenzi apige mbona nyimbo zake nzuri tu

    • @AgnesJohn-f1r
      @AgnesJohn-f1r 20 วันที่ผ่านมา

      Nahisi wewe ndo unamnunuliaga au unamuuziaga

    • @geomangi6123
      @geomangi6123 20 วันที่ผ่านมา

      true

  • @justinjulius2666
    @justinjulius2666 18 วันที่ผ่านมา

    Muda utaongea

  • @NillahDyao
    @NillahDyao 20 วันที่ผ่านมา

    Kaonge tena pimbi wewe

  • @djjailoskyelambeya6072
    @djjailoskyelambeya6072 19 วันที่ผ่านมา

    Kwanza siyo pisi kali kama anavyosema harmonize alimuokota huko hata watu walikuwa hawajui jina la anjella ba harmonize yupo poa sanaa kwa diamond hautoki mpaka ulipe million mia sita nenda kichwa kichwa saini mkataba hatokuacha usimtukane mamba wakati bado haujavuka mto gari tuu mitusi inakutoka mdada 😂😂😂😂

    • @BrunoHaule
      @BrunoHaule 16 วันที่ผ่านมา

      Yaan mpk unalipa 600m mpunga upo