NAMNA YA KUOMBEA MZALIWA WAKO WA KWANZA KAMA LANGO LA FAMILIA YAKO - Prophet Rolinga
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- #HaleluyaTv #ProphetRolinga #OmegaMinistriesChurchofAllNations #OCOAN
Kuendelea kupata Shuhuda mbalimbali na Maneno zaidi, tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamii:-
Haleluya APP : play.google.co...
Facebook : / prophetrolinga
Instagram : / prophetrolinga
TH-cam : / haleluyatv
Audiomack : audiomack.com/...
This prayers goes to my sister Jane and my daughter Catherine wafunguliwe baraka na mafanikio Katika Jina La Yesu Amina Amina Amina 🙏🙏🙏
Najiunganisha kwenye ibada hii ya mtoto wa Kwanza naomba mwenyezi mungu mwingi wa rehema akanifungulie kila milango iliyojifungwa naomba mungu wangu akavunje kila vifungo avunje vunje maagano ya mizimu,maagano ya kichawi yatoweke na kukaa mbali Mimi.
Namuunganisha mtoto wangu wa Kwanza katika ibada hii, pamoja na Kaka yangu deo gaspar
Ameen, mtoto wangu wa kwanza afunguliwe katika jina la Yesu.
Najiunganisha ibadaa hiiii nikiwa mtoto wa kwanza ktk family Weston Nzunda naomba nifunguliwe mlango wa mafanikio Uchumi ndoa Mungu naomba nifungue kwenye kifungo Cha madeni
Namuunganisha mama yangu Agripina na haya maombi apokee uponyaji wa kichwa
Naunganisha mtoto wangu phoenix akiwa mzaliwa wangu wa kwanza
Amen hallelujah hallelujah amen 🙏
Amen ........ mtoto wangu wa kwanza afunguliwe
Najiungamanisha kama mzaliwa wa kwaza mungu nifungue
Najiungamanisha na madhabahu hii Mimi kama mzaliwa wa kwanza
Nijiunganisha ibada hii nifungiliwe kiuchumi kwajina la yesu Mimi ni mziliwa kwanza
Mungu naomba niondoleee giza na kunikambizi mibaraka yangu ya mzaliwa wa kwanza ktk family yangu nikiwa mtoto wa kwanza Mungu naomba nifungue kwenye kifungo Cha madeni uchumi ndoa niwe mtoto wa malango ya mafanikio👏👏👏👏👏👏👏👏🇿🇲🇿🇲😭😭😭😭
Niko Kenya najiunganisha na madhabau ya omega
Amen.mtoto wangu afunguliwe akiwa mzaliwa wa kwanza
Najjiuganisha ibadan hiiii nikiwa. Mtoto
❤❤❤😊
❤❤❤❤❤ Hallelujah 👐
Merci seigneur
Timely message
Mzaliwa wa kwanza ni YESU KRISTO mwenyewe yeye ndie mzaliwa wa kwanza
MUNGU ni kumbuke