Mashaalah sheik osman Allah akujalie Maisha marefu inshaalah kwa kutupa ilmi ya dini shke osman Allah akupe zaidi inshaalah sheik osman na pia kazi iko chini sana haki naomba unielewe my dia niekyangu ya jaba sahi iko chini karibu sana haki sikuwa pesa nzuri nime lipa madeni my dia sory ❤❤ wabilahi taufig my dia 💕
Shukran sanaaa Sheikh Othman. Kweli kabisa tuna speed katika kutaka vitu. Subra imekosekana. Allah atupe subra na mazingatio, katika kukimbilia vitu. Hakika vya kukimbilia having kheir hata kidogo. Allah akujazi kheir Sheikh wetu.
MashaAllah Lakini naomba unisadie na uwasaidie watu wote wanaodhani Uislamu ni dini kaanzisha Mtume Mohamed Wakati umeanza zamani kwakuwa ww una elimu zaidi a
BORA YAKO SANA KUJIFANANISHA NA WATU WA KHERI KULIKO WALE WANAOJIFANANISHA NA KINA DIAMOND NA ALI KIBA ALLAH AKUZIDISHIE KHERI NYINGI KATIKA AMALI ZAKO NASI PIA... Amiyn.
Shekhe samahani hakuna aliyekamilika ktk Ilmu sote tuna mapungufu,,hata Mtume alikosea pale alipoiharamisha hasali iipohalalishwa na Allah. Mkamilifu pekee ni Allah. Na Mtu anapokosea yafaa kumkosoa huo ndiyo uislamu. Ni hivi: Yaqubu hajawahi kumsujudia Yusuph vile ulivyoelewa wewe na wala malaika hawajawahi kumsujudia Adamu hivyo unavyofikiri wewe. Kiarabu ni Rugha Pana na Neno moja Laweza Kuwa na Maana si Chini Ya Kumi. Usipojua Uliza watu wenye Ujuzi wakufundishe. Kusujudiwa kwa Kuweka paji lako la USO Chini hiyo ni Kwa Ajili Ya Allah tu pekee. Hata ile kitendo cha kumuheshimu Mtu Sana ni kusujudu pia. Uliza ufundishwe.....
@@omarynguli5910 wale malaika walijifanya wanajua na wanajuzi wa Mambo,, Allah baada ya kumfundisha Adamu majina ya vitu vyote na Hekima ya kila jina, ,Akawaambia malaika haya niambie majina ya vitu hivi na hekima ya Kuwepo kwa Majina ikiwa Nyinyi ni wajuzi. Wakasema Hatuna Ilmu ila ile uliyotufundisha Hakika wewe ni mjuzi na mwenye Hekima. Majina Yaweza ikawa ni rahisi kuyataja ila ukashindwa kutoa sababu ya Kuweko kwake. Wakashindwa kuelezea na kuyataja. Akamuambia Adamu haya teleza: Alipowachambulia...Allah akawambia si mnaona sasa,,,sikukuambieni kama mimi Mtaalamu wa Mambo. Akawambia haya sasa msujudieni Adamu,,,wote walimsujudia ila ibilisi. Point ipo hapa. Kusujudu ilivyokusudiwa hapo ni kumkubali kwa ilimu aliyokuwa nayo,,,Kwahiyo Malaika wote walimkubali ila Ibilisi Alikataa na akafanya kibri na akawa ktk watu makafiri. Kwahiyo kama Una Ilmu na ukaitumia vyema basi wewe unakuwa zaidi ya malaika. Ila kwa jini akiitumia ilimu yake vyema anakuwa kama malaika na wala hawezi kumzidia hapo. Sie wanadamu na majini tuna utofauti mkubwa Sana ktk akili japo wao wametushinda ktk uwezo wa kimaumbile kama kujibadilisha na Kasi ktk kusafiri. Safari ya kutoka hapa Kwenda macca Jini anaitumia ndani ya dkk tano keshaenda na Kurudi. Uwezo huo siye hatukupewa. Ila Akili zetu zina Nguvu kushinda zao. Hiyo ndiyo sababu iliyofanya Sie tuwe Bora kushinda wao na watuogope na kutuandama. Watakaobahatika kuingia peponi Allah atafanya kinyume chake. Wanadamu wa peponi watakuwa wanawaona majini ila majini hawawaoni Binadam. Na wanadamu watapewa Uwezo wa kuizunguka pepo yote na kuimaliza kwa madakika au Sekunde. Kwani upana wa pepo ni kama kutoka hapa hadi mbinguni. Na safari moja hadi kuimaliza pepo ni miaka 500 kwa kutumia kutumia shombo Chenye kwenda Kasi. Allah atajaalia watu waliyojaaliwa kuingia peponi wataizunguka yote kwa masekunde au madakika. Kwahiyo Mwanadamu hadi kimaumbile bado ataendelea Kutamba kwa Jini.
@@omarynguli5910 mfano huo mbona hata hapa duniani unasomeka: Kwani Mwenye ilimu na asiyekuwa na ilimu ni yupi anayekubalika zaidi Yaani akiongea yeye watu wote kimyaa?? Na je mwenye ilmu ndogo na mwenye ilmu kubwa yupi anayekubalika zaidi?? Yaani akikohoa tu watu wote kimyaa ni Yupi?? Basi ivyo ilivyofanywa mbinguni. Kusujudiwa kwa Adamu ni Kule malaika kumkubali na kumuona si wa kawaida. Mwanadamu anao Uwezo wa kuhifadhi msahafu,,na mavitabu kibao na ukamuuliza ktk hayo akakuambia. Malaika hilo hawawezi. Kuhifadhi Mambo Mengi malaika hawawezi. Mtihani huo uko hata kwa majini. Binadaamu pekee ndiye Mwenye kuweza hiyo Kazi. Ndiyo maana Allah akasema nataka nimlete ktk Ardhi kiongozi. Na kiongozi Mwenyewe ni Binadam. Hayo Majukumu ya UONGOZI wangepewa malaika wasingeliweza. Ili uwe kiongozi basi Kichwa chako kinapaswa kifanye kazi vizuri kweli kweli.
Masha Allah mwenyezi mungu aku weke katika pepo yake Isha Allah
Ma'ashallah, anaongea kama shekhe Othman Maalim. Jazakallahu khair.
Allah atupe mwanzo mwema na mwisho mwema
Jazaaka Allah khair ewe sheikh Uthman
الله اكبر
Mashaalah sheik osman Allah akujalie Maisha marefu inshaalah kwa kutupa ilmi ya dini shke osman Allah akupe zaidi inshaalah sheik osman na pia kazi iko chini sana haki naomba unielewe my dia niekyangu ya jaba sahi iko chini karibu sana haki sikuwa pesa nzuri nime lipa madeni my dia sory ❤❤ wabilahi taufig my dia 💕
Hakika na enjoy sana sheh
Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️
From Kenya... Napenda kuskiza mawaida yako sheikh Othman
MashaAllh Akuzidishie kula kheir
Allah akujarie
Maa shaa Allah tabarakallah we shekh barikillah fiq nakupenda kwa ajili ya Allah allah akuzidishie
Hiko kisa cha nyoka 😅😅😅😅
Masha Allah... I love to see everyday sheikh Othman... Allah Akuzidishie Ilmu yako...
Mashaallah
Mashallah
MashAllah tabaraka rahman wajazaaqa Allah kher Sheikh Othman
Saaana Leo kapendeeza
Ma shaallah
Nimemuona habity
MashaAllah
SHEKHE mungu akuzidishie
Masha Allah mungu akulipe kheri insha Allah
Masha Allah m namuamini Sana huy sheikh ❤️❤️❤️
mashaa allah mashaa allah
❣️
Mashalaah
Salallahu Alaihi Wasalam
Shukran sanaaa Sheikh Othman. Kweli kabisa tuna speed katika kutaka vitu. Subra imekosekana. Allah atupe subra na mazingatio, katika kukimbilia vitu. Hakika vya kukimbilia having kheir hata kidogo. Allah akujazi kheir Sheikh wetu.
Maasha laah shekh
Uwa napenda kusikiliza mawaiza
MashaAllah Tabaraka Rahman JazakaAllah khayra jazaa
MaashaAllah shekh Allah akuzidishie ilim lakin kuna kisa cha Dhulkarnain ulisema uta kimalizia mpaka sasa bado hatukioni Kama ulivo tuahidi
Mashaaallah
Maa shaa Allah
mola Atukuzwe
hakika huyu nikama Othman maalim
MashaAllah Lakini naomba unisadie na uwasaidie watu wote wanaodhani Uislamu ni dini kaanzisha Mtume Mohamed Wakati umeanza zamani kwakuwa ww una elimu zaidi a
Asallam aleykum Sheikh kwahivyo ata Mwanamke anaweza kuadhin?? Anapokutana na majanga kama ya nyoka
Mbona jina Michael huku kwetu Uganda Kampala ni la wa kristu vipi sheikh alisilimu tu nakubakiza jina au ni mtindo wa huko tu
A w w.
Kama sikusumbui nisukumie number zako shekh.
Shekh mi nina wivu nawew ujue
Bora iwe Wivu ya kheir si ya husida
Subhanallah Imani mi mwanaumme hahaha ningekua Mwanamke ningekua nimesha wafata wakeze kuwaomba Waniruhusu Nimguse tu
Vdhf In Sha Allah niyakher Ila Allah atakapo niruzuku watoto nikawapeleka kwake wakasome Akakata Nitabadirisha Hahaha
BORA YAKO SANA KUJIFANANISHA NA WATU WA KHERI KULIKO WALE WANAOJIFANANISHA NA KINA DIAMOND NA ALI KIBA
ALLAH AKUZIDISHIE KHERI NYINGI KATIKA AMALI ZAKO NASI PIA... Amiyn.
Shekhe samahani hakuna aliyekamilika ktk Ilmu sote tuna mapungufu,,hata Mtume alikosea pale alipoiharamisha hasali iipohalalishwa na Allah. Mkamilifu pekee ni Allah. Na Mtu anapokosea yafaa kumkosoa huo ndiyo uislamu. Ni hivi: Yaqubu hajawahi kumsujudia Yusuph vile ulivyoelewa wewe na wala malaika hawajawahi kumsujudia Adamu hivyo unavyofikiri wewe. Kiarabu ni Rugha Pana na Neno moja Laweza Kuwa na Maana si Chini Ya Kumi. Usipojua Uliza watu wenye Ujuzi wakufundishe. Kusujudiwa kwa Kuweka paji lako la USO Chini hiyo ni Kwa Ajili Ya Allah tu pekee. Hata ile kitendo cha kumuheshimu Mtu Sana ni kusujudu pia. Uliza ufundishwe.....
Subhannallah
me sijakuelewa empu nipe ufaham walipo ambiwa Malaik wamsujudie Adam walimsujudia namna gani
@@omarynguli5910 subhanallah Allah,,Unanipa smtihani mkubwa
@@omarynguli5910 wale malaika walijifanya wanajua na wanajuzi wa Mambo,, Allah baada ya kumfundisha Adamu majina ya vitu vyote na Hekima ya kila jina, ,Akawaambia malaika haya niambie majina ya vitu hivi na hekima ya Kuwepo kwa Majina ikiwa Nyinyi ni wajuzi. Wakasema Hatuna Ilmu ila ile uliyotufundisha Hakika wewe ni mjuzi na mwenye Hekima. Majina Yaweza ikawa ni rahisi kuyataja ila ukashindwa kutoa sababu ya Kuweko kwake. Wakashindwa kuelezea na kuyataja. Akamuambia Adamu haya teleza: Alipowachambulia...Allah akawambia si mnaona sasa,,,sikukuambieni kama mimi Mtaalamu wa Mambo. Akawambia haya sasa msujudieni Adamu,,,wote walimsujudia ila ibilisi. Point ipo hapa. Kusujudu ilivyokusudiwa hapo ni kumkubali kwa ilimu aliyokuwa nayo,,,Kwahiyo Malaika wote walimkubali ila Ibilisi Alikataa na akafanya kibri na akawa ktk watu makafiri. Kwahiyo kama Una Ilmu na ukaitumia vyema basi wewe unakuwa zaidi ya malaika. Ila kwa jini akiitumia ilimu yake vyema anakuwa kama malaika na wala hawezi kumzidia hapo. Sie wanadamu na majini tuna utofauti mkubwa Sana ktk akili japo wao wametushinda ktk uwezo wa kimaumbile kama kujibadilisha na Kasi ktk kusafiri. Safari ya kutoka hapa Kwenda macca Jini anaitumia ndani ya dkk tano keshaenda na Kurudi. Uwezo huo siye hatukupewa. Ila Akili zetu zina Nguvu kushinda zao. Hiyo ndiyo sababu iliyofanya Sie tuwe Bora kushinda wao na watuogope na kutuandama. Watakaobahatika kuingia peponi Allah atafanya kinyume chake. Wanadamu wa peponi watakuwa wanawaona majini ila majini hawawaoni Binadam. Na wanadamu watapewa Uwezo wa kuizunguka pepo yote na kuimaliza kwa madakika au Sekunde. Kwani upana wa pepo ni kama kutoka hapa hadi mbinguni. Na safari moja hadi kuimaliza pepo ni miaka 500 kwa kutumia kutumia shombo Chenye kwenda Kasi. Allah atajaalia watu waliyojaaliwa kuingia peponi wataizunguka yote kwa masekunde au madakika. Kwahiyo Mwanadamu hadi kimaumbile bado ataendelea Kutamba kwa Jini.
@@omarynguli5910 mfano huo mbona hata hapa duniani unasomeka: Kwani Mwenye ilimu na asiyekuwa na ilimu ni yupi anayekubalika zaidi Yaani akiongea yeye watu wote kimyaa?? Na je mwenye ilmu ndogo na mwenye ilmu kubwa yupi anayekubalika zaidi?? Yaani akikohoa tu watu wote kimyaa ni Yupi?? Basi ivyo ilivyofanywa mbinguni. Kusujudiwa kwa Adamu ni Kule malaika kumkubali na kumuona si wa kawaida. Mwanadamu anao Uwezo wa kuhifadhi msahafu,,na mavitabu kibao na ukamuuliza ktk hayo akakuambia. Malaika hilo hawawezi. Kuhifadhi Mambo Mengi malaika hawawezi. Mtihani huo uko hata kwa majini. Binadaamu pekee ndiye Mwenye kuweza hiyo Kazi. Ndiyo maana Allah akasema nataka nimlete ktk Ardhi kiongozi. Na kiongozi Mwenyewe ni Binadam. Hayo Majukumu ya UONGOZI wangepewa malaika wasingeliweza. Ili uwe kiongozi basi Kichwa chako kinapaswa kifanye kazi vizuri kweli kweli.
Masha Allah... I love to see everyday sheikh Othman... Allah Akuzidishie Ilmu yako...