I had to come back and listen to this song today. 29 January 2024. I really try to understand God but I have failed, short story, Have you ever been in pain and tears in a moment and then within the same hour you're in overwhelming Joy. That's my story today.
Huu wimbo unanifanya nasikia damu inakimbia kwa kasi kwenye mishipa yngu na nywele zinasisimka. Hakika mungu yupo ndani ya huyu mtu aimbi ili kupata pesa ila anaimba kumsifu bwana. Tunakupenda joshwa. Wengi tumeokoka kupitia nyimbo zako
MUNGU APEWE SIFA ZOTE NA VYOTE NI VYAKE. TUKIFUNULIWA HILI TUTAKUBALI BILA SHURITI KUPOKEA UWEPO WA MUNGU MILELE NDANI NA NJE YA MAISHA YA KILA SIKU KWA UTUKUFU WA BWANA, AMEN.
I had to come back and listen to this song today. 29 January 2024. I really try to understand God but I have failed, short story, Have you ever been in pain and tears in a moment and then within the same hour you're in overwhelming Joy. That's my story today.
Acha tu i nyimbo skuwa naijua
Ni Wimbo mzuri sana una uweza wa kiungu ndani yake
May God see you through
Huu wimbo unanifanya nasikia damu inakimbia kwa kasi kwenye mishipa yngu na nywele zinasisimka. Hakika mungu yupo ndani ya huyu mtu aimbi ili kupata pesa ila anaimba kumsifu bwana. Tunakupenda joshwa. Wengi tumeokoka kupitia nyimbo zako
Mim pia jmn🥺
Kazi nzuri san bro watu wasumbawanga tunaenjoy sana dante karesa mbeya moja
Nmejikuta nauangalia huu wimbo tangu asubuhi...Mungu akubariki mtumishi brother joshua na mkeo
Barikiwa mtumishi was Bwana kazi yako ninjema.
Joshua Mlelwa Mungu akubariki mno na ainue zaidi huduma yako ya uimbaji
Tunakupenda mtumishi hakika nyimbo hii inanibariki
Ameen! Wimbo mzuri Siku zote hakika Yesu Ni Bwana!
Ukovizuli mutumishi wa mngu na kuombea kwa mungu adhidi kukupa kipawa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿
Jina la Bwana lihimidiwe. . ubarkiwe sana kaka Joshua
Hii nyimbo itaishi milele....mungu ambariki sana Joshua mlelwa
Joshua ,Mungu akubariki
Ubarikiwe sana kaka Joshua kwa huduma yako, Mungu azidi kukuinua juu juu juu zaidi
Hongera sana. uimbaji wako hauchuji mtumishi.Mungu azidi kukuinua.
Brother Joshua wewe ni mwamba wa miamba usiye tikisika jina la bwana libarikiwe
Barikiwa mtumishi, yani nabarikiwa mno, mungu akuinue sana tu.
Mungu ainue huduma yako Joshua! Asikufungukie Wala kukuacha nimebarikiwa na nyimbo zako Sana ! Rael kutoka Kenya
Mungu wa mbinguni akubariki kwa kazi nzuri uifanyayo
Wimbo umenibariki, God bless you Man of God
Karibu Ngomeni Tena ilikuwa ni🔥🔥🔥🔥
Ameeen Mtumishi kweli Yesu ni mtam Ubarikiwe mtumishi Joshua wimbo huu nimebarikiwa sana 🙏🙏
Nyimbo zake na sipenda sana kaka jeshua mungu akubariki
Hakika wewe ni Mungu.unanitendea maajabu
ubarikiwe baba mwimbo ni mzuri sana
Imekaa vizuri sana barikiwa mno
Hongera Joshua wimbo mzuri sana
Huu wimbo unanibariki sana
Asante mtumishi wa Mungu kwa wimbo huu... Mungu akubariki sana katika JINA LA YESU
Yesu, hakika wewe ni baba yangu..👏👏
Barikiwa sana mtumishi
Wimbo unanibarki sana Mungu akuinue pakubwa kwa sababu unamtumikia katk roho na kweli.
bonge la wimbo amenifurahisha sana mzuka wake umeenda sawa na muziki
Naipenda saana hii nyimbo jmn❤️🥰💕
natamani siku na mimi nisimame na kulisifu jina la bwana
Barikiwa sana !
Amen Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
MUNGU Wetu ni mwema sana najiskia furaha Kwa nyimbo hii.
Mungu akubariki sana
Hii nyimbo hado ina uhai ndani yake. Asante sna Brother Joshua kwa wimbo huu
Ni kwel mungu anatutetea GOD bless you brother joshua
Unanibariki sana huu wimbo hakika wewe no Mungu Wa hali ya juu..
Kazi nzuri mtumishi Mungu akubariki
Ubarikiwe sana kwa wimbo mzuri sana una mwinua Mungu kwa utukufu mkuu sana anaogmfanya kwetu ..naipenda sana huu wimbo hakika
Joshua you bless me so much with you're music ministry.
This song has blessed and ministered to me for years.
Asante Mungu kwa wimbo huu.
God bless you broo
Amen nyimbo nzr brother Joshua
The upper room praise.
Mungu ni mwema kila wakati
Mashariki ya mbali nitasifu hallelujahaaaaaaaaaaah
This real worship. God bless you, Mtumishi wa Mungu.......
One the most humble servants of God I know
David's dance!!! Let the name of Jesus Christ be lifted high. Glory to God
Huu ndio wimbo wa kumsifu Mungu. Umeimbwa kwa hisia zote. Hata mwili umeimba wimbo huu. Bro Josh hukubahatisha kutunga na kuimba wimbo huu.
Unamwabudu Mungu katika roho na kweli barikiwa sana.This is the meaning of praise and worship
This real worship
Hakika wewe Ni baba Asante yesu kwa rehena zako maishani mwangu🙏🙏❤️❤️❤️
My brother your more blessed bro
MUNGU APEWE SIFA ZOTE NA VYOTE NI VYAKE. TUKIFUNULIWA HILI TUTAKUBALI BILA SHURITI KUPOKEA UWEPO WA MUNGU MILELE NDANI NA NJE YA MAISHA YA KILA SIKU KWA UTUKUFU WA BWANA, AMEN.
kaka Joshua wimbo huu nakumbuka mbali Mungu acheni aitwe Mungu
Haleluyaaaaaaaaaaaaaaaa
Ubarikiwe mtumishi kwa Huduma njema
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu hakika nimeona nguvu za Bwana kipitia huu wimbo
Nawapenda sana watumishi was MUNGU.
Huu wimbo unaishi haujawahi kuisha nguvu. Jina la Bwana lihimidiwe
daaa wimbo unaniludiaha Kwa bwana uuu kanan
I love the song very much Mr kaskas
Watamwimbia Bwana kwa Roho na kweli ndio hii.
Jamani kwa wimbo huu namuona mungu USO kwa USO jamani ka Joshua mugu azid kukuinua hakikayeye ni mungu
MUNGU mwenye huruma, kubariki, Kuponya, kulinda, kutoa na kuchukua
Nabarikiwa sana Ongela sana kaka
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu ,Mungu azidi kukutumia na kukubariki milele na hata milele
Haleeluuya aaaa,barikiwa
Nabarikiwa sana MUNGU ukutunze
Joshua is my favorite singer of all time, bless u bro
Ubarikiwe mtumishi
Nilichelewa kutujua huu wimbo jmn
Wimbo huu unanibariki sana kweli, Mungu azidi kukuinua mtumishi wa Mungu.
Noel Swai ata Mm sana
Noel Swai kwelli kabisa
Kikoti arusha nabarikiwa sana nanyi kwa nyimbo zenu
Barikiwa kwa huduma yako
Anajua sana Joshua, namuona yesu nikimsikia akiimba
hakika nimebalikiwa na huu wimbo balikiwa sana mtumishi wa mungu. songa mbele na yesu
Mungu akubariki sana joshua wimbo unagusa sana
"Sitaacha kuimba, sitaacha kusifu...... " Kazi nzuri saana
Nakupenda sana kaka Joshua
Hakika wewe Ni Mungu asanteee
Ameeen Ameeen ni wewe
Moyo wangu wakusifu roho yangu yakufulahia hallelujah 2021 twende p1
🖐️
Ubarikiwee mnooo
Jamani nimewamiss sana mungu aendelee kuwabtia nguvu kwq utumishi wen sistar scolla mungu yu mwema kwako kikoti arusha
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Utukufu ni wako Yahwe
MUNGU AKUONGEZEE UPAKO ZAIDI, YANI UNAIMBA KATKA ROHO.
Jamani ilipendeza ulipoimba kijito nyama nawale wengine
Keli unajua unaweza kaka
Princess June of United Kingdom beautiful song
My best song ever, mungu azid kukutumia milele brother Joshua natamani nifikie viwango vyako one day
Mungu mwenyezi akufanikishe Sana Ndg yangu!
Hii ngoma ulipiga mwaka
gani? Ngoma hatari kweli kweli
HALLELUJAH 🙌
much love bro
Be blessed bro Jo
Mungu nimwaminifu
HAKIKA MUNGU NI MWEMA SANA
Huyu jamaa Yuko sawa
Nakumbuka mbali Sana,barikiwa bro joshua
Brother joshua