BOB JUNIOUR: ALIKIBA NA MIMI TULIMZAA DIAMOND,ALIKIBA KANIFUNDISHA VITU VINGI KWENYE MUZIKI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

ความคิดเห็น • 118

  • @erastomadary2891
    @erastomadary2891 2 ปีที่แล้ว +5

    Hongera Sana Bob Junior kwa hekima kubwa.

  • @peterlucas2461
    @peterlucas2461 2 ปีที่แล้ว +12

    👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻shukrani bob junior kwa kutulete simba himself 🔥🔥🔥🔥

  • @lugoyezebedayo5634
    @lugoyezebedayo5634 2 ปีที่แล้ว +7

    Noma nimefurahi sana kusikia hivyo Bob na diamond wawapendaaa sana

  • @annabadru2352
    @annabadru2352 2 ปีที่แล้ว +13

    Unaakili sana dogo M mungu awazidishie mapenzi wewe na SIMBA wako🙏🏽❤️

  • @sahimtv4742
    @sahimtv4742 2 ปีที่แล้ว +3

    Aisee! bob umeongea vizuri sana ubarikiwe

  • @DjCastro_01
    @DjCastro_01 2 ปีที่แล้ว +4

    Mkono Wa Bob Hauja Wai Kuozesha Nyama Bali Umeskuma Na Kuzalidha Mazao Makubwa Sana . Big Up Sharo #Bobjunior

  • @dogotwaanails_mafunzo
    @dogotwaanails_mafunzo 2 ปีที่แล้ว +13

    King 👑 music ✌️

  • @peter4650
    @peter4650 2 ปีที่แล้ว +5

    Mwenyezi Mungu akuzidishie bob junior

  • @SwahibAjamy
    @SwahibAjamy 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mondi muheshimu sana kiba na sharobaro

  • @mjungatv8172
    @mjungatv8172 2 ปีที่แล้ว +13

    Dakika ya 2 sekunde 20 mpaka 30 Hakunagaaaa😂😂😂🙌For Sure interview za Bob nazipenda Sana saivi namfatilia Sana broo😂😂🙌

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 2 ปีที่แล้ว

      😀😀

  • @michaelmwananono1168
    @michaelmwananono1168 2 ปีที่แล้ว

    Nimeielewa sana yani pongez sana kwa bob

  • @DULLAHMASTER
    @DULLAHMASTER 2 ปีที่แล้ว +3

    On trending♂️♂️💪

  • @erastomadary2891
    @erastomadary2891 2 ปีที่แล้ว

    Sikieni neno la Bob junior fadhila ni Siri, hongera Sana Bob Junior kwa hekima kubwa,amesema fadhila hawezi kusema kafadhiliwa kwenye yapi.

  • @torontotv4381
    @torontotv4381 2 ปีที่แล้ว

    Makini sana 💪👍💜

  • @ruphencewambugha966
    @ruphencewambugha966 2 ปีที่แล้ว

    Wow mungu akufungulie hiyo miangaza

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 ปีที่แล้ว +1

    Unaroho safi sana bob

  • @salimurashid5608
    @salimurashid5608 2 ปีที่แล้ว +3

    Bob junior umenena ukweli sana

  • @jacksonyphilirbety4684
    @jacksonyphilirbety4684 2 ปีที่แล้ว +1

    Bob junior ni msenge kumbe

  • @richardmosses6776
    @richardmosses6776 2 ปีที่แล้ว +1

    Mr chocolate uko nom sana

  • @jackycollins2744
    @jackycollins2744 2 ปีที่แล้ว

    And sorry tô say só u grow my guy...

  • @fellyvoicetv4433
    @fellyvoicetv4433 2 ปีที่แล้ว +2

    Bobjunior ninyoko aiseee😍😂😂😍

  • @jackycollins2744
    @jackycollins2744 2 ปีที่แล้ว

    But bob Junior is too cute🙈🙈

  • @shaqyromar7735
    @shaqyromar7735 2 ปีที่แล้ว

    Yupo deeee!

  • @kulatendaudi7671
    @kulatendaudi7671 2 ปีที่แล้ว +5

    Bob unaakili sana

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 2 ปีที่แล้ว

      Naona kamvuta dem kamla denda katikati ya interview wameficha angalia dakika ya 8:37 🤣🤣🤣

  • @fasterwalker1464
    @fasterwalker1464 2 ปีที่แล้ว +3

    Naona kamvuta dem kamla denda katikati ya interview wameficha angalia dakika ya 8:37 🤣🤣🤣

  • @jcwformediatv5032
    @jcwformediatv5032 2 ปีที่แล้ว +1

    Bom trabalho

  • @mohdabdullaomar1427
    @mohdabdullaomar1427 2 ปีที่แล้ว +5

    Ivi uyu bob junior anavuta bangi???

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 2 ปีที่แล้ว +4

    Yupo High 😂😂

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz 2 ปีที่แล้ว +2

    Bob Junior ndo anatakiwa apambane ili afike level ya Lava Lava🙄🙄

  • @dogotwaanails_mafunzo
    @dogotwaanails_mafunzo 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwana ume unajisifu kua unakata viuno Sana 🤣🤣Umelalayooo

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 2 ปีที่แล้ว +2

    Hahahahahahaha Huyo dem atakoma Ku date na Bob junior

  • @mansamunsa4202
    @mansamunsa4202 2 ปีที่แล้ว +1

    Lava lava maskini wa watu 😭😂😂😂

  • @ArabiAyubu
    @ArabiAyubu 2 ปีที่แล้ว +1

    Anaongea point sana ila sasa!!

  • @davidmbwilo4954
    @davidmbwilo4954 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mwamba anapenda sana chini

  • @salehabdulhamid1895
    @salehabdulhamid1895 2 ปีที่แล้ว

    Njaaa mbaya

  • @marydzame4347
    @marydzame4347 2 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂apo kwa kukatika viuno😅😅😅😅na uhandsome na 😅😅😅kupendwa na madem wazuri😅😅😅

  • @snopfedy
    @snopfedy ปีที่แล้ว

    👋👋👋👋👋

  • @emmadominic9601
    @emmadominic9601 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyo dada mbona kama anatumia carorait?Alafu sio mzuri kabisa

  • @brayvannysimba7014
    @brayvannysimba7014 2 ปีที่แล้ว +7

    Lavalava na Alikiba😂😂😂😂

  • @jafnasog1493
    @jafnasog1493 2 ปีที่แล้ว

    Mr misifa uzuri wa Bob junio hapo tayari asgapiga vyombo vingi so yeye Tena hapo

  • @sharifurashidi3666
    @sharifurashidi3666 2 ปีที่แล้ว +1

    Bob junior uo uongo ulikuw nabifu na diamond Tena kipindi kile crauzi redio ndo mulikuwa munaongeleana mabifu acha uongo tunakumbuk sn

  • @djkombo3752
    @djkombo3752 2 ปีที่แล้ว +5

    Kwa hiyo duu kamtongoza junior arafu kwa Maelezo huyu duu ndo katika wale madem zake wakali
    Nishusheni kituo Cha mwisho 🧐

  • @nimbonaalexandre1159
    @nimbonaalexandre1159 2 ปีที่แล้ว

    Bob kond gang

  • @mjungatv8172
    @mjungatv8172 2 ปีที่แล้ว +2

    Hakunagaaa😂😂🙌

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 2 ปีที่แล้ว

    Dem mwenyewe ana ahibu kinyama hataki kubusiwa

  • @jimmykim9833
    @jimmykim9833 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa mental anaonekana hayuko sawa saiv

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz 2 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe uyu nae chawa😂😂😂

  • @sampaulyahekkima7025
    @sampaulyahekkima7025 2 ปีที่แล้ว

    Jamaa anajipiga kifuaaaa ..

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 2 ปีที่แล้ว

    Ishi miaka mingi sharobaro hakika Umeua....

  • @alufonsmakambi3468
    @alufonsmakambi3468 2 ปีที่แล้ว

    Moves majitu

  • @dullazero7465
    @dullazero7465 2 ปีที่แล้ว

    Choko kweli ww unajisifia kama dem

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 2 ปีที่แล้ว

    Kwan ungemuacha demu home ingekuwa vibya alfu nguo siku nyingin mchagulie😄😄😄

  • @lukmanjamal196
    @lukmanjamal196 2 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji kumbe choko

  • @benardfrank
    @benardfrank 2 ปีที่แล้ว +2

    Kweli kiba Kwanza mondi ndokafwata

  • @mshangaf1726
    @mshangaf1726 2 ปีที่แล้ว

    msanii wa kwanza mwenye digrii tatu

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 2 ปีที่แล้ว +1

    Anasema kweli na ndiyo kweli yenyewe

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 2 ปีที่แล้ว +1

    Mapenzi ni faragha, unapotaka kuwaonyesha watu tena harharani unataka nini, binadamu hupendelea kuonyesha vitu ambavyo ni vigeni kwake,. Unapotaka jamii ione kwamba uko na dem, maana yake bado unatuachia maswali watazamaji, maana Kwa tasnia ya habari siyo habari. Lakini unatufanya tutumie nguvu kubwa kufanya habari za kiuchunguzi, nini kimejificha baina yako. ..😆

  • @kassimali2273
    @kassimali2273 2 ปีที่แล้ว +1

    Mbona mkali sn haipendezi ww m2 mzima saivi

  • @hamisngalama1857
    @hamisngalama1857 2 ปีที่แล้ว

    Nc1

  • @bakariathumani8105
    @bakariathumani8105 2 ปีที่แล้ว

    Kama shogaa,yani

  • @rohityalsina1840
    @rohityalsina1840 2 ปีที่แล้ว

    Anapendwa na watoto wazuri harafu demu wake enyewe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mala 20 ndo amfikie wa kwangu

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 2 ปีที่แล้ว

      Naisi kamnyonya mate kwenye interview ndomaana wameficha jamaa sizan km havuti bangi 🤣🤣🤣

  • @msemakweli371
    @msemakweli371 2 ปีที่แล้ว

    Kwaiyo wewe ndio Mama king Kiba ndio baba😂🤣🤣

  • @samwelpaul6944
    @samwelpaul6944 2 ปีที่แล้ว +1

    psychological huyu hayuko sawa 😁

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 2 ปีที่แล้ว

      Naona kamvuta dem kamla denda katikati ya interview wameficha angalia dakika ya 8:37 🤣🤣🤣

  • @makondegeneration2967
    @makondegeneration2967 2 ปีที่แล้ว

    Bob acha bangi

  • @hurumandobo6001
    @hurumandobo6001 2 ปีที่แล้ว

    Kwa lava lava ujakosea kak

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 2 ปีที่แล้ว

    Hiyo alichofanya Bob Junior, kisaikolojia inatafsiri kitu fulani ambacho kimejificha kwake. Hiyo ni Defensive mechanism

    • @lubavacastory1831
      @lubavacastory1831 2 ปีที่แล้ว

      Wewe ni Jiniazi kama Mimi ...ni wachachesana tutagundua Hilo...na kwakuongezea hapo Juu...Stress zinamzidi muda Sio mrefu atakuwa anatukana kwenye Mahojiano.

  • @mlenglewis1747
    @mlenglewis1747 2 ปีที่แล้ว +1

    Alikiba tena?😂😂🤣

  • @khalidhamka9567
    @khalidhamka9567 2 ปีที่แล้ว

    Hkn kitu kikubwa na chakuheshimu teknorojia na Mungu Bob junior sio ww miaka mitatu imepita ulisema diamond hakukupa hta kumi hdi masikio yako yaliharibika kwasababu ya kutengeneza album ya mond leo umekuja na swala la milioni 10???? Hahahahaaaaaa Ila

  • @aminataamina9438
    @aminataamina9438 2 ปีที่แล้ว

    Hakunaga duuuu huyujamaa....ilaanajua sana

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 2 ปีที่แล้ว

    Aliekwenda leba alikua Nani Kati yenu

  • @meshackhaule
    @meshackhaule 2 ปีที่แล้ว

    Bobjunio ndiomaana atumsikii ujinga mwingi mno .. ila presenter anachangia ujinga kuhoj watu wenye ujinga mwng

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 2 ปีที่แล้ว

      Naona kamvuta dem kamla denda katikati ya interview wameficha angalia dakika ya 8:37 🤣🤣🤣

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 2 ปีที่แล้ว

      Bangi aijawai kumwacha mtu Salama

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 2 ปีที่แล้ว

    Diamond hajawahi kusahawu Aliko Toka

  • @idrisahussein6654
    @idrisahussein6654 2 ปีที่แล้ว

    Gulu Ramadan ni babaako

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy3940 2 ปีที่แล้ว

    Mihasira 😆😆

  • @ngwanasongowelero7153
    @ngwanasongowelero7153 2 ปีที่แล้ว

    Mmmh

  • @simiyudante1870
    @simiyudante1870 2 ปีที่แล้ว

    Mukwende hukooo

  • @hamisikisuju8223
    @hamisikisuju8223 2 ปีที่แล้ว

    anajiamini hataaar

  • @mudirachu9587
    @mudirachu9587 2 ปีที่แล้ว +1

    Nuks huyu nae alisema mwenyewe nasibu anarombaya wampijia spokei sms arudish leo kifumgu kimepita et akuna mxm

  • @takyatupu6839
    @takyatupu6839 2 ปีที่แล้ว

    Chawa kazin 🤣🤣🤣

  • @bitunimtunguja3666
    @bitunimtunguja3666 2 ปีที่แล้ว

    😀😀😀😀😀😀

  • @didomanyota5344
    @didomanyota5344 2 ปีที่แล้ว

    Huna akili wewe unaweza kufananisha ali kiba na lava lava

  • @showejikinjekitile5942
    @showejikinjekitile5942 ปีที่แล้ว

    Dhaty

  • @nassjog990youtube6
    @nassjog990youtube6 2 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaji daaah hujui kuhoji malegends kabisa uko kama unapigwa mti

  • @mohamedsalim52
    @mohamedsalim52 2 ปีที่แล้ว

    Alafu leo hii dogo anawadharahu....,,

  • @robertgilbert9453
    @robertgilbert9453 2 ปีที่แล้ว +4

    Mtangazaji kumbe shoga

    • @africanbeadwork9434
      @africanbeadwork9434 2 ปีที่แล้ว

      Kumbe hujui

    • @hallowkij5677
      @hallowkij5677 2 ปีที่แล้ว

      Aisee kwelii au???!

    • @Lassana755
      @Lassana755 2 ปีที่แล้ว

      @@africanbeadwork9434 analiwa au anakula

    • @nassjog990youtube6
      @nassjog990youtube6 2 ปีที่แล้ว

      Skupingi SHOGA uyu

    • @lolojunior5808
      @lolojunior5808 2 ปีที่แล้ว

      Ndugu zangu msihukumu watu, bila ushahidi Dunia imeisha hii acheni hivyo vitu

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 2 ปีที่แล้ว

    Look like Comedy, poor interview to witness I think

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 2 ปีที่แล้ว +1

      Thats an understatement is the worst thing i have ever watched. nashangaa watu huku wanasifia nini. sijui hata nianzie wapi kuikoso maana everything is just poor it kinda explains why jamaa alipotea kimziki

    • @worldhappiness1181
      @worldhappiness1181 2 ปีที่แล้ว

      @@thabitdaudi9815 I wonder then

  • @askchigo3717
    @askchigo3717 2 ปีที่แล้ว

    MCHEZO WA KARATA 21
    th-cam.com/video/nY3wGmpnKi4/w-d-xo.html

  • @psuccess6045
    @psuccess6045 2 ปีที่แล้ว +1

    Diamond Platnumz 🔥🔥🔥🔥🔥👉 👉👉👉👉th-cam.com/video/u_SvHoeHeUI/w-d-xo.html