yani kwa edna hamulali jamani nawapa maua yenu kweli ila tuna enjoy yani huyu musimuliyaji hatuchanganyi yani kama felix mwenda respect lucas lumbasi🇧🇮❤️❤️❤️❤️🥳🥳🥳🇧🇮🙏🏻
Mi naona kwakutenganisha Edna na pacha wake Edna ndie ananguvu ila pacha wake alikuwa wakawaida maana kipindi Roma anamunyonga Alves Edna akamukumbatiya Roma na kurudi kwenye hali yake yakawaida ndio maana Edna hawezi kumuacha Roma na Roma akiwa mbere ya Edna hanajambo sasa sijuwi michepuko yake itajificha wapi, na huyo the Don atauliwa na Roma mwisho wa simulizi.
Bro lucas hukata...mana nakumbuka pia mm niliuliza hapo nyuma ukanyamaza nikasema anajifnya hamu nazo huyo😀😀 kazi yako kama nizuri kwann tusikuzawadishe 🥳🥳
Yani nibora nisile ila nisikiye edina❤❤❤🎉🎉🎉🎉
yani kwa edna hamulali jamani nawapa maua yenu kweli ila tuna enjoy yani huyu musimuliyaji hatuchanganyi yani kama felix mwenda respect lucas lumbasi🇧🇮❤️❤️❤️❤️🥳🥳🥳🇧🇮🙏🏻
Sijachelewa sana asante sana kaka Lucas Lumbas Allah akulipe kheri Inshaallah Twakupenda sana ❤❤❤❤❤
Jamn Edna oyeeee wenzangu jamn mau to mblii ak
😊Hatimae ila me naamini Roma atakuja ashinde kwenye hii vita yao na kamwe hawawezi kutengana Roma na Edna ni mpaka kifo
nimebadilishwa jina kutoka CHOMBEZO kuwa THE STORYTIME tz.. Jamani huko story inayobamba ni ya CHIOMA na sio ya minyanduano ila ni kali saaaaaana 😍😍
Ww ata ukitaka kuita ednaroma sisi tuta accept na chioma tutamskiliza zam ya wanawake kucheet uko😅😅😅
🤣🤣🤣🤣 ahhh utafikiri ni vizuri vile😂😂😂😂😂@@jasminmohagthari3730
Yani ww basi tu huko chombezo kuna utamu wake nahuku kunautamu wake ju kwa ju😊
Simulizi ya Edina ni 🔥🔥🔥 juu na msimuliaj anajuw mpaka anajuw tenaaa,,,,,,,,, embuuu wanaokubaliana na meme gonga likes apaaa
Ww tena haya nko hapa mamaa❤
@@SusanNeema-re3hr achaaa tu yan Lucas lumbas atatuua
@@ElizabethIsaya-io2bn 🌷🌷
@@TeklaNdekeja mamboo ni 🔥🔥🔥🔥
Kabsaaaa msimuliaji anaweza hady anaweza tenaaaaa napokee 🎉🎉🎉 yake
Jaman simlizi ya Edina naipigia salut hakika nitam San jaman
Yan kweli hii story usipo isikiliza vizur na kuilewa hautaelewa mpk inaisha maana inaenda mbele na kurud nyuma hapa sasa tunaenda mbele
Kube siko peke yangu kuona inaenda mbele ukirudi nyuma❤
Mauwa kwa Romo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
❤❤ nipo ndani nyumbani mwa Lucas lumbas, endina watupa puresha ,mweke sawa mwamba atulie,. Like japo kiduchu rafk zangu tukopamoja ad mwshooooo🌹🙏🏃
Nmefika baby like😂😂
Pamoja san🤝
Kipenzi changu chenyewe ❤
@@jasminmohagthari3730wangeni wasio tulia majumbani mwao kunichelewesha tu na EDNA lakini nimefka❤
Leo kazi yangu n ku like tu❤
Kaka Lumbas hakika Edna anaupendo wa dhati Kwa watoto Roma afanye kweli ili wapate mtoto mwingine wamama mpo nawapenda sana
The don nimwanamke
Eee leo meza umechafuka, karibu nisadie, roma na lanlan ni wakulaji wazuri sana, mnipe like plz
Mi naona kwakutenganisha Edna na pacha wake Edna ndie ananguvu ila pacha wake alikuwa wakawaida maana kipindi Roma anamunyonga Alves Edna akamukumbatiya Roma na kurudi kwenye hali yake yakawaida ndio maana Edna hawezi kumuacha Roma na Roma akiwa mbere ya Edna hanajambo sasa sijuwi michepuko yake itajificha wapi, na huyo the Don atauliwa na Roma mwisho wa simulizi.
Hii simuliz heri nkose kula ilanskose kusikiza🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Kwa hivyo seventeen na edina ni pasha🎉🎉🔥🔥
Woooow thanks bro kwa part nyingine karibuni tena jmn like zenu pls
Bismillah😂😂😂 twendeeeeeeeeee kaziiiiiiiiiii
Jamani edna
Yanibweni unamdanganya Denis🤣🤣🤣 jamn Denis umeingia chakiume😜😜
Yaan bas tuu hapa nilikua nawaza nikutafute inbox lucas hii edna sio ya kukaa sana banaaae😂😂😂
At least Leo volume iko powa
Daa! Roma anaharakati za vitumbua mpaka basi🤣🤣🤣🤣 kichwani mwake ni vitumbua tu 😂😂😂
😅😅😅😅
Roma Ni mwisho na mtoto wake atakua na nguvu za baba yake
Mimi WA 21 sawa na simuliz em nipeni namimi Leo nainjoy🤣🤣🤣🤣❤️❤️❤️
🤣🤣🤣 Lucas nimecheka eti kutoka mtu hai mpaka mfu parapanda hitalia parapanda😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣anafurhsha kwel mda mwengne
Numero uno jamani naombeni likes zenu kibao 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao Lucas
Nimewai leo ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mm wa mbali🎉❤
Namm walu like 5 sjachelewa sn
Woyooo
❤❤❤❤❤
Hello mashabiki wenzangu naona views wengi lakn like kidogo why
😂😂😂 like father like daughter 😂😂😂😂 utambulisho huo wa baba na mwana
Kumekucha kumekuch jmn mambo ni motooo
Nice
Daa!hao wanne hao utauza nyumba ili uwalipie lunch au breakfast 🤣🤣🤣🤣🤣
Si nyumba Bali ni figo
@@annahnyansiaboka451 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣utanilipa mbavu zangu 🤣🤣🤣🤣🤣
Roma mahi wangu kapatikana dam yake mwenywe inamtoa nishai si alijifanya kushinda mdoli haya kivumbi leo😂😂😂
Mimi namu amini roma ramoni eke eyi mze watotozi yeni mwenye kupiga golizake mjini❤❤ unani maliza kweli
Wow Edna IPO hewani
Baba na mwanaaaaaaaaa
🤣🤣Lucas hiyo sauti ya brandina inaniyacha hoo nacheka mpaka basi🤣🤣🤣🤣
Swez chelewa jmniii
Edna baki na mme wako lanlan atakufuatatu kwa hali yoyote
Watu hawachlew jmniii duuuh hii simuliz ni moto
Nimewai wa 8 jamaniii nipeni lake zenu
🤣🤣🤣 Lucas utaniua kwa kucheka nacheka mpaka basi🤣🤣masikini brandina ukikaa na Roma utakufa mapema kwa presha🤓🤓🤓
Hatari sana
Roma ananibwaga mbn hazangamuii edna😂😂
😂😂😂 Nimecheka kama kichaa vita vya Dennis na roma, mama roma anahaha kweli🤣🤣🤣
Lucas nasemaje kuna namna twaeza kupa zawadi ndugu yangu?
Kwanini ishindikane😅
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI Weka hapa kaka,me nimekuvulia kofia kwakweli
Juu ukiambiwa upin mpesa no walenga hio story@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI
Bro lucas hukata...mana nakumbuka pia mm niliuliza hapo nyuma ukanyamaza nikasema anajifnya hamu nazo huyo😀😀 kazi yako kama nizuri kwann tusikuzawadishe 🥳🥳
@@SusanNeema-re3hr kweli kabisa aweke hapa tufanye mambo
Aweeweee ngoja nipate utam kwanza arafu nikidadavua chochote ntacomment haya like ziusike😂😂
❤❤
🎉🎉🎉🎉
Hiviiiiii izi sauti zote ni zako Lucas😍😍😍😍 ao una team kabisa mamaeeeee
Leo nimechelewa ..😅 uzuri roma huwa hachokozi mtu hao ndo wanamchokoza
Hii simulizi nitamu paletunapoona mapambanoyaroma namaadui. Nakusii mwandishi mapambano yawemarefu kidogo kwanihapo ndoutamu unaponoga.
Roma atasema ameua😂😂
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mimi.nikangalia.hivi.huyu.lanlan.alitumwa.tu😂😂😂😂
🥰🥰🥰😍
Waoo 7❤❤❤😂😂🎉🎉🎉
Ama Mimi Sina wasiwasi na Roma Pete inamtosha jiwe wabebe tu
Wasita lewo
Simulizi ya edna nitamu hatariii 🇴🇲🇴🇲❤️
🎉🎉🎉
Watu kwel walikuwa Wanaisubir hii story
Thanks ❤
🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂Roma mwanao huyoo like father like son ama ni daughter mana sijajua jinsi yake
Nipe like plzz 🙏
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mh jamani ivi huu🔥🔥 alio uchokoza kuwauwa watt wa vigogo akiwemo ndugu yake ata uzimaje sa apa edina sata mchukia kwakiwango kikubwa nakumuacha 🙂
Mimi nimeshoka na Edna
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yaan uyu dennis kaenda kujilinganisa na roma wetu aya lala salama mpendwa wetu
Jamani najuwa wengi wanahamu ya kuona minyanguano ya roma na edina lakn mm naham ya kuona roma akipambana na athena
🎉🎉🎉❤❤❤
Letanamba yajuu dj
Asant kaka Lucas ri nazubiri semu 22 na 23
😂😂😂 kaka lucas nimecheka kweli lanlan ni baba yake roma
Edna yuampenda Rama walai likes wajameni
🤣🤣 mtoto karithi kwa baba
Na vyakurithi vinazidi😂😂😂
😂😂 yan lanlan kaniacha hoi na vile anatumia nafasi ya pili umoja 🙌🙌
❤❤❤😂
Ya 22
M niwa kwanza ama!?😢
Mm wa pili jaman kaa nilikua nasubir sana❤
Asante kaka lucas
Ndiyooo😂😂😂
Hakka ongera👏
@@Sidrasidra636 ᵀᵘˡⁱᵃ ᵗᵘˢᵏⁱˢᵉ ᵏᵃᵐᵃ ˡᵉᵒ ᴿᵒᵐᵃ ᵃᵗᵃᵘʳᵘᵐⁱʷᵃ 😁😁😁ⁿᵃ Edna
Ataki nkumepa vitumbwa roma
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Blandina tulia apo
Jaman nahis na edna atakuw nae xo mtu wa kawaida maan xo kwa ubamsa huo
Haezi kuwa mtu wa kawaida juu asingeweza kubond na Roma kiasi hicho
ᴷⁱᵈᵒᵍᵒ ⁿⁱˢⁱⁿᶻⁱᵉ😅😅😅
Amka wewe mtoto anapenda kula ka babake
😅😅😅😅@@nurianaramadhan
Woyooo😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🩵
Dhu mpk ss sjw stering wa hii simuriz ata sjw ni nan kati ya roma athena au yung boin tusubir tuone
❤❤❤❤❤😂😂😂😂
❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤😊
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤