Jamani Mimi wakwanza kusikia simulizi za Kaka Lucas lumbasi kijana mtulivu kijana mwenye busara kijana mnyenyekevu mashabiki tuwendelee kusikia Lucas wapendwa naomba like zenu hongera Lucas kwa simulizi ya odama❤❤❤❤❤❤❤🎉
Yaan kaka LULU uko vizuri kwanza tu hiyo sauti jmn niko ladhi nisile ila nisikize tu hizi hadithi zako mimi napenda kukuita kaka LULU. Uko juu kaka be blessed
Lucas Lumbas,hongera sana kwa utunzi na uandishi wa kufikirika unaogusa maisha ya watu wengi.Naamini mwisho wa simulizi itaishia kwenye furaha ya ODAMA KUOLEWA NA STEWART. *Boss wa kazini na mwenye Hotel).
Kwa kweli kaka Lucas Lumbasi mungu azidi kukubariki sana simulizi ni nzuri inamafunzo niwe mkweli nimejifunza kitu apo kwa usiropoke mahusiyano yako ya nyuma yaliyopita kwa mpenzi wako mpya na vingi tu ila siwezi kusema yote mungu akubariki sana congratulations 👏👏👏❤❤❤❤🎉🎉🎉
Shukrani Lucas kwani hapa kuna kuburudika na madini kama yote yakujirekebisha na kujijenga kupitia odama na vicky kwani mwisho wayote kimbilio na jawsbu la mwisho katika maisha ya mtu ni MUNGU pekee
😂😂😂😂maneno ya Dada kapita kushoto Dah huyu mdada kachizika kweli na mapenzi ila siku litamkuta Jambo shubiri nahisi itakuwa afadhali mm pale yangu sikio
😂😂😂afu ningekuwa sijawahi kupitia ama kuyasikia maneno matamu kama hayo Baada ya kumaliza hii simulizi ya odama ambayo sijui itaishaje ningemtafuta mwanaume MHB na mwenye maneno matamu km ya Stewart ila sasaaaa mh apana 🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️
Kumanisha wadada wOte waliokok hspo hotel huyo boss kapita nao odama mybe ndo wifimaterial yani haiwezi tokea kwangu mm ..halafu huyo joan mybe nimapenzi yanamlixa ama kunakitu ameambiwaa tutajua mbele yasafari bn
Kazi nzur sana kk Lucas mungu akuweke miak 1000 najifunza vitu vingi sana kupitia simiriz zako🌹🌹🌹
Kazi nzuri Kaka lumbas,listening from Kenya 🇰🇪,much ❤
Jamani Mimi wakwanza kusikia simulizi za Kaka Lucas lumbasi kijana mtulivu kijana mwenye busara kijana mnyenyekevu mashabiki tuwendelee kusikia Lucas wapendwa naomba like zenu hongera Lucas kwa simulizi ya odama❤❤❤❤❤❤❤🎉
Huyu dogo ameiva wallahi ...hanaga pupa🎉🎉🎉lucas the blessed one
Jamani utafannya sirari ju simurizi Sako
nimechelewa ila sio kiivo naombn lik zen jamn ♥️❣️
Mashabiki nipeni like tuwendelee kusikia sauti ya Kaka Lucas mtulivu kijana mzuri Hana maringo jikaze na simulizi nzuri uko poa sana❤
Aki endeleya hivo ni powa kama hatatuleteya bya ma VIP kama fulani.
😂😂😂😂😂😂😂😂@@josephineuwizeye8250
Nzuri
Yaan kaka LULU uko vizuri kwanza tu hiyo sauti jmn niko ladhi nisile ila nisikize tu hizi hadithi zako mimi napenda kukuita kaka LULU. Uko juu kaka be blessed
Much love from Kenya 🇰🇪
Woow Odama mtoto na nyota yake kudadadeki mambo yanazidi kuchemka asante lucas nimeinjoy
Lucas Lumbas,hongera sana kwa utunzi na uandishi wa kufikirika unaogusa maisha ya watu wengi.Naamini mwisho wa simulizi itaishia kwenye furaha ya ODAMA KUOLEWA NA STEWART. *Boss wa kazini na mwenye Hotel).
Kwa kweli kaka Lucas Lumbasi mungu azidi kukubariki sana simulizi ni nzuri inamafunzo niwe mkweli nimejifunza kitu apo kwa usiropoke mahusiyano yako ya nyuma yaliyopita kwa mpenzi wako mpya na vingi tu ila siwezi kusema yote mungu akubariki sana congratulations 👏👏👏❤❤❤❤🎉🎉🎉
Dah kweli simulizi ni tamu na imebeba cha kujifunza kwenye maisha
Upo juu maana sio kwa udhungu huo simulizi nzur❤❤❤❤❤
Asante Sana Kwa mafundisho mazuri❤❤
Odama uko na dada mwema sana mungu azidi kumlinda ili aendelee kukupa mwelekeo
Sana ila tatizo hamshirikishi mambo yake na hapo ndo anafeli
Sometimes mambo na love guys assume they can hide, kumbe mapenzi kikohozi 😂haifichikii
Wooooo hakika my brother Lucas ❤ simlizi Nzuri sana pia ina mafunzo kazi nzuri mungu akulinde my dear brother
Odama hakuwa mlahisi ban mwanamke yeyote asingemkataa uyo boss
Nasubiri part 3, Asante sana story ni nzuri sana
Nzuri nimependa
Ahsante kaka Lucas simulizi zako zina mvuto sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Waooh asante kwamwendelezo bro lucas ❤❤❤❤❤❤
Jamani hiyo sehemu ya msitari mashallah ❤❤❤❤❤
Hatimae Odama anaingia kazi..hongera Kaka Lucas
❤❤❤❤❤,😂s🎉za 🎉😂
Kupitia kaka Lucas angalau wanaume wetu wanapata vijineno vya mahaba 💃
Shukrani Lucas kwani hapa kuna kuburudika na madini kama yote yakujirekebisha na kujijenga kupitia odama na vicky kwani mwisho wayote kimbilio na jawsbu la mwisho katika maisha ya mtu ni MUNGU pekee
Niko kwenye Kumi bora from Uganda 🇺🇬
Mkaka mwenye sauti yake town ❤mbona kama ndo boss😂 haya banaa utakuw n wewe❤❤❤
Asante sana lucas lumbas ❤❤❤
Wakwanza leo nipeni mauwa yangu❤❤❤❤
🎉🎉
Wow asante sana lucas 🎉🎉🎉❤
😂😂😂😂 ukisikia mahaba ndiyo haya 😂😂😂
Love♥️♥️♥️ from Saudi Arabia twende nalo bro Lucas 🎉🎉🎉🎉🎉
Shukran kaka Lucas Lumbasi tumaenjoynoo ubarikiwe❤❤❤
Penzi limechanua ..twende sasa kaka lucas
Ikiwa huyu Stewart anampenda kweli Odama kutakuwa na vita kuu ya tatu ya dunia 😂😂😂😂😂😂😂
Very stor so much ❤❤
Kk Lucas upo vzr❤❤❤❤
Nyie lucas iyo sauti hatar maana nacheka kweli
Namba3 jaman kaka lks
😊
Yani nilikuwa naisubili kwaamu nijuwe atimayake odama jmn angelijua asinge fanya kile kitu kwaza❤❤❤🇴🇲🇴🇲
Kazi nzuri kaka LUCAS
Wakwanza ❤❤❤❤
Ahsante kaka ❤❤❤sana
Khaaa 😂😂😂😂 Odama,huna chakumlipa wakati umeshamtolea utu wako wote 😂😂😂😂 chaa!
❤❤❤❤❤❤❤
Maboss hali zao ndio hivyo
😂😂😂😂maneno ya Dada kapita kushoto Dah huyu mdada kachizika kweli na mapenzi ila siku litamkuta Jambo shubiri nahisi itakuwa afadhali mm pale yangu sikio
Much love from Burundi❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
😂😂😂afu ningekuwa sijawahi kupitia ama kuyasikia maneno matamu kama hayo Baada ya kumaliza hii simulizi ya odama ambayo sijui itaishaje ningemtafuta mwanaume MHB na mwenye maneno matamu km ya Stewart ila sasaaaa mh apana 🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️
Ahsanteee sana kaka lucas ❤❤🎉🎉
Ucje ukatwambia odama ataachana na boss wake
Jaman odama hadi huruma
Saa tisa ni mbali lucas
Lukas acha kuongea kingereza unatuvuruga wajomba😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Shukran lukac lumbac😊
ᴷᵉᵉᵖ ᵍᵒⁱⁿᵍ ᴸᵘᶜᵃˢ ⁱ ⁿᵏᵒʷ ʸᵒᵘ ʷⁱˡˡ ᵐᵃᵏᵉ ⁱᵗ .. ᴺⁱᵖᵒ ʰᵃᵖᵃ ⁿᵃʷᵉ ᵐᵖᵃᵏᵃ kileweke🎉🎉🎉
Mashaal ❤❤😂🎉🎉🎉😢😢
Wow🎉🎉 magic voice
Waoh❤❤❤❤
Waooooo❤❤❤
Nes❤
Am listening 🎧
Wow nice story
Wao❤❤❤❤❤
Kaka lucas odama 3
Ni juavyo rafiki sio wakuaminika kwani unae mdhania kuwa ndie akufaae ndie adui mkubwa
Nice ❤❤❤❤
Nimefika 2
Ila dada yake odama ni mwema kweli
Yes
❤️❤️❤️
Utamu usiolinganishwa na.chochote❤❤❤simulizi kuliko mapenzi yenyewe
Nimechelewa lkn nimefika
Kumanisha wadada wOte waliokok hspo hotel huyo boss kapita nao odama mybe ndo wifimaterial yani haiwezi tokea kwangu mm ..halafu huyo joan mybe nimapenzi yanamlixa ama kunakitu ameambiwaa tutajua mbele yasafari bn
Waooooohh
Thanx kwa muendelezo
Lucas kithungu ichoooo😂😂😂,,ila stewat ameweza namaneno matam jmni ❤
Tuhamie uuku kwenye simulizi juu uuku ndio kuna wapenzi wabusara😂😂
Umekipenda au😊😊
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI saaanaaaaa yni nko hoi unavyokiongea😅😅uctucheleweshee bac muendelezo kipenzy tunakupenda bure huna majivuno 👍🤗
ˢᵃⁿᵃ ᵗᵘ ᵐʷᵃⁿᶻᵒ ᵐᵐ ʰᵃᵖᵃ ˢⁱᵗᵒᵏⁱ ⁿⁱᵐᵉᶻⁱᵐᵃ 😁😁😁@@MwanatumuJumaa-rj4fg
❤❤❤❤🎉
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤🎉🎉🎉
Jamani maneno matam haya unais kam unaambiwa ww😂😂😂
🤣🤣🤣🤣hii ni kwa sisi mayatima wa mapenz
Yaaan acha tu mapa wivu
🤣🤣🤣🤣 atali yn
@@BissaumathyCassim-vn5ux umeona eeeh😁
❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 2:01:39
😂❤❤❤
weka.basi.iyo.sehem.ya.tatu
Wow 🎉🎉🩵🩵🩵
Et ni haramuuuuuuu
Waoh❤❤❤
❤❤❤❤🎉
❤❤❤❤❤❤❤
❤
❤️❤️❤️
❤❤❤
Waoh❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤