HATIMAE IRAN YAJIBU BAADA YA TAARIFA ZA MASHAMBULIZI YA ISRAEL

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 เม.ย. 2024
  • Vyanzo mbalimbali vinaarifu kuwa leo Ijumaa, Israel imefanya shambulio la kulipiza kisasi katika ardhi ya Iran. Vyombo vya habari vya Iran vimeripoti kwamba milipuko ilisikika katika mji wa katikati mwa Iran wa Isfahan , lakini afisa mmoja Tehran ameliambia shirika la habari la Reuters kwamba milipuko hiyo ilisababishwa na mifumo ya ulinzi wa anga ambayo ilifanikiwa kudungua droni tatu.
    Viongozi wa Israel na hata jeshi la nchi hiyo hawajazungumza chochote kuhusu taarifa hii. Afisa mwandamizi wa Iran ameiambia Reuters kuwa nchi hiyo haina mpango wa kujibu mara moja shambulio hilo, ambalo taarifa kutoka Tehran zinasema halikuwa na madhara makubwa.
    If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
    COPYRIGHT VIOLATION
    For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.

ความคิดเห็น • 156

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm หลายเดือนก่อน

    Ewe mwenyezi mungu zidi kuinusuru iraan nauwaingize waiziraili na washilika waoo pamoja na Kila wanacho kitevemea
    amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 2 หลายเดือนก่อน +11

    Usimwachie mtandike muyahudi mbwa huyo kashindwa na hamas anauwa watoto mashambulizi yatakuepo

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 2 หลายเดือนก่อน +1

      Tutakuja mezani 😂😂😂 mlisema Israel haiwezi kupiga tena na hapo hizo ndege 3 zilikuwa nizakiuchunguzi tu ili badae wajuwe kuwa wanaanzia wapi kuipiga Iran 😂😂 sasa subiri Iran wajibu afu muone Israel ilivyo na watu hamta amini mtasema ni Marekani coz watu wamekalilishwa kuwa Israel hawana kitu.

    • @Maxpaul-oi8pw
      @Maxpaul-oi8pw 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@georgekimasaofficial1629israel ni nchi hatari sana na inauwezo mkubwa sana sio wa kawaida

  • @user-hn6kv6xe7m
    @user-hn6kv6xe7m 2 หลายเดือนก่อน +5

    Iran usicheleweshe

  • @alisaid9920
    @alisaid9920 2 หลายเดือนก่อน +3

    Marekani hana nia ya kuleta suluhu Palestine

  • @rajabumkali9731
    @rajabumkali9731 2 หลายเดือนก่อน +3

    Potelea mbali

  • @zainulabidiendhulfikar7398
    @zainulabidiendhulfikar7398 2 หลายเดือนก่อน +6

    Piga hiyo allahu Akbar long lives Iran

    • @IsayaSamweli-pm4dd
      @IsayaSamweli-pm4dd 2 หลายเดือนก่อน

      Mralia kuliko Cha mbwa Koko kama gaza siyo muda mrefu mnamidomo sana wakati hamna uwezo wowote

    • @IsayaSamweli-pm4dd
      @IsayaSamweli-pm4dd 2 หลายเดือนก่อน

      Israel imewabipu tu hata setlait hazikuona

    • @binseif2216
      @binseif2216 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@IsayaSamweli-pm4ddSASA isaya unachuki au ushabiki we wangeuliwa ndugu zako na hao waisrael ungependa????

    • @IsayaSamweli-pm4dd
      @IsayaSamweli-pm4dd 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nisingependa na sikupenda kabisa, na tusishabikie vita, hamasi walitangulia kushamburia na kuua Waisraeli na kuwateka wengi na kufanya uharibifu mkubwa ndipo Israel wakaamua kulipa kisasi na maumivu makali huko gaza, Leo Irani wameshamburi na waislam wote wanashangilia lakini Israel ililipiza kisasi ndio wanaonekana wamekosea sana.

    • @binseif2216
      @binseif2216 2 หลายเดือนก่อน

      @@IsayaSamweli-pm4dd Jaribu kufatilia Hamas wasingeshambulia israel hivihivi,israel ni wachokozi kwa muda mrefu sana hata mitandao ikawa haitoi tena habari juu ya uonevu wa israel juu ya palestine pia kumbuka hamas wanaua wanajeshi tu sio raia lkn israel wanauwa wazee,watt vijana hawajali

  • @user-vo4lv6zn5n
    @user-vo4lv6zn5n หลายเดือนก่อน

    Iran iishambulie tu israel kwa kujibu kipigo kwa kiwango kikubwa tu

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 2 หลายเดือนก่อน +2

    Iran hakika itashidwa dhidi ya choko choko zake

    • @user-vo4lv6zn5n
      @user-vo4lv6zn5n หลายเดือนก่อน

      Hujijui israel unayoifahamu haina uwezo isiposaidiwa

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 หลายเดือนก่อน

      CHOKO CHOKO ZA IRAN AU NI ZAKO WEWE USIEJUWA LOLOTE

  • @MichaelDonaldnchingaMichaelDon
    @MichaelDonaldnchingaMichaelDon 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wailamu wanadanganywa nao wanakubali Ilani awezi ifanya islaeli chochote najua mnanyama tu

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 2 หลายเดือนก่อน +4

    Free Palestine

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb 2 หลายเดือนก่อน +6

    Wacha tumalizanevhatuwezi kubali muisrael atawale dunia awe mungu wa ardhini awauwe watu wasio na hatia na hakuna hatua yoyote inachukuliwa

  • @muhitira
    @muhitira 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dunia mbovu isiokua na haki sawa,inatawaliwa na mashetani yaki marecani na yaki yahudia Alaana ya Mwenyezi Mungu iwe juu yao,ivi kweli bin Adam mnafungwa macho na kuwaombea hao Wasio thamanisha Wengine aspokua kabila lao inaskitisha Sana,FREE PALESTINE,Mtatambua lini ukatili wa hao ,Walimwengu mmebweteka bweteka hamueleweki

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie ni ushabiki lakini ukweli ni kwamba hizi Nchi zote zina uwezo mkubwa wa kivita

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo ni vita ya,mmarekani na mwarabu

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 2 หลายเดือนก่อน +2

    piga Palestina mbwa mkubawa huyo

  • @user-bv4qw9qm4g
    @user-bv4qw9qm4g 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu ibariki Israel Mungu ilinde Israel kwa utukufu wa jina lako ishinde vita hii Kwa kishindo Mungu ibariki pia Tanzania

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 2 หลายเดือนก่อน +3

    Waslamu nimagaidi,wapigwe mbwa awaleote

    • @IdrisaAbdallah-ze2cq
      @IdrisaAbdallah-ze2cq 2 หลายเดือนก่อน

      Gaidi wewe kafiri mkubwa

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 2 หลายเดือนก่อน +1

      isaAbdallah-ze2cq ukafikir upo ndani kaburi la mtume Mohamed .. 😊😊

    • @issalyanali4119
      @issalyanali4119 2 หลายเดือนก่อน

      Mayahudi maumbwaaa ,,,ndo maana Hitler aliwaua sana ,,,,wanaleta migogoro sana

    • @user-vw6er5rz2y
      @user-vw6er5rz2y 2 หลายเดือนก่อน

      Usitwambie mbwa chunga ulimi wako

    • @AllykhamisAlly-nq5jk
      @AllykhamisAlly-nq5jk 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@annasolomon9855mbwa kafiri babaako mtume wetu kakukosea nini apo ata umtaje.

  • @angulileelectrical6368
    @angulileelectrical6368 2 หลายเดือนก่อน +6

    Israel haiwezekani kupigwa Tena watajalibu lakini hawataweza,Iran ni nchi ndogo isiyokizi viwango kuishinda Israel ili angalau isiumizwa saaaana inahitajika iungane na nchi zote za kialabu angalau wanaweza kuigusa kidooogo,bila hivyo Iran itachapwa Kama katoto

    • @dasilvajr9647
      @dasilvajr9647 2 หลายเดือนก่อน

      Hii imeenda labda mpaka ziungane nchi 6 za kiarabu lakini bado watafurushwa.

    • @user-jv4gm5qd8h
      @user-jv4gm5qd8h 2 หลายเดือนก่อน +1

      Israeli imewekwa na MUNGU hakuna wakuifuta

    • @issalyanali4119
      @issalyanali4119 2 หลายเดือนก่อน +2

      Akili ndogo we unafikiri Tanzania haijawekwa na mungu? Na nani anaweza ifuta Tanzania

    • @hamidudigogo5863
      @hamidudigogo5863 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hv wewe unajua Iran sawa na Tanzania embua jiulize VIKWAZO alivyo wekewa IRAN Toka 1979 tena VIKWAZO vikubwa na bado uchumi wake upo juu hategemei dawa Wala siraha vyo atafanya mwenyewe na hategemei mtu kama Alivyo kua Israel tegemezi

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 2 หลายเดือนก่อน

      kwa sababu inalindwa na Marekani na washirika wake?

  • @IsayaSamweli-pm4dd
    @IsayaSamweli-pm4dd 2 หลายเดือนก่อน +5

    Waislam msio na akili mnashangilia irani kumshamburia Israel lakini Israel ikishamburia waarabu mnaanzaga kulia lia.....oneleeni huruma wenzenu wanawake na watoto ambao ndiyo hupitia mateso makali kupitia vita hizo.

    • @othmanally1230
      @othmanally1230 2 หลายเดือนก่อน

      Ww ndo huna aklii waislm wana aklii timam acha upuuzi

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 2 หลายเดือนก่อน

      Akili ya kuchambia labda hapo sawa😊😊​@@othmanally1230

    • @bhaijanali5092
      @bhaijanali5092 2 หลายเดือนก่อน

      Wew shoga ndio huna akili namashoga wenzako

    • @ibrahimfarha3853
      @ibrahimfarha3853 2 หลายเดือนก่อน

      Wakomee wa islam hayawani weee

  • @MichaelDonaldnchingaMichaelDon
    @MichaelDonaldnchingaMichaelDon 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu wa Islaeli waonyeahe walabu kwamba wewe ni Mungu wa Islael

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 2 หลายเดือนก่อน

      Kwaiyo wewe huna Mungu

    • @suleimaniamadi1441
      @suleimaniamadi1441 2 หลายเดือนก่อน

      Iran sio mwalabu haw ni waajemi

    • @user-jp7ix6fc6y
      @user-jp7ix6fc6y 2 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @MussaYusufu-ln1dd
      @MussaYusufu-ln1dd 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu niwawote islaili mashoga Mungu hawezi kusafiri mashoga

  • @wilbadmallyastore3672
    @wilbadmallyastore3672 2 หลายเดือนก่อน +6

    Israel ni taifa takatifu la Mungu.

    • @user-xy9bs1uh6w
      @user-xy9bs1uh6w 2 หลายเดือนก่อน

      We mzima Taiwan la mungu laua watoto na wanawake watu waloua manabii we wasema taifa la mungu

    • @user-xy9bs1uh6w
      @user-xy9bs1uh6w 2 หลายเดือนก่อน

      Israel taifa la mungu ila si watu wale

    • @mustafamasudi8093
      @mustafamasudi8093 2 หลายเดือนก่อน

      Ndy taifa la Mungu lakini hawamjui yesu na wala c wakristo asa kwa nini na wewe kwa nn mkristo na hufuati dini ya uyahudi?

    • @hassankaita1039
      @hassankaita1039 2 หลายเดือนก่อน

      Nikweli hakuna Taifa lisilo la Mungu Mataifa yote ni ya Mungu ni sawa useme Saudia ni nchi tukufu utakua unakosea sema Kuna sehemu baadh ni tukufu kama vile bethelehemu na msikiti mtukufu wa Aqsa na mfano wa sehemu hizo kama ilivyo Saudia siyo yote ni tukufu Bali ni pale makka na Madina na zile sehemu za kihistoria hivyo msiwe mwakurupuka somen historia hivyo pia muisrael huyu sio huyo umjuaye aliye tajwa katika vitabu vitakatifu

    • @AbbasSaid-fp5rg
      @AbbasSaid-fp5rg 2 หลายเดือนก่อน

      Unatombwa wewe

  • @suhadsalim5528
    @suhadsalim5528 2 หลายเดือนก่อน

    Marekani ni mnafiki mkubwa

  • @deuslucas2256
    @deuslucas2256 2 หลายเดือนก่อน

    Ondoeni vikwazo kwanza haya Naye mmweke vikwazo

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona hao umoja wa ulaya hawaja laani,,,,maumbwaaa hao

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 หลายเดือนก่อน

    Kuna umuhimu wa kuanzisha umoja wa mataifa mwingine, utakao kuwa na usawa

  • @seifmasoud3061
    @seifmasoud3061 2 หลายเดือนก่อน

    Iraan hiyo ndio furaha nzuri ulikua ukiisubiri.uwa mayahudi wote kwa nuclear. Uwa wte

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 2 หลายเดือนก่อน

    Muungu hambaki israili ikishauw watu woote kisha kifo kitamgeuka tuu

  • @rashidhussein-cq2si
    @rashidhussein-cq2si 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kwanini hayo mashambulizi hayajalaaniwa?

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 2 หลายเดือนก่อน

      Waaniwe na nani labda kwa ajili gani.. huezi Ilani Israel hata kidogo Hilo ni Taifa teule

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 2 หลายเดือนก่อน

      Taifa teule la ushoga likokaribuni kuangamizwa kama sodoma na gomoa​@@annasolomon9855

  • @jonasmbwambo3546
    @jonasmbwambo3546 2 หลายเดือนก่อน +1

    Akijibu ndo nitajua kuwa mtoa roho Sasa anataka roho za Hawa maostadhi wa iran

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani unavyo Ona Israel inaweza kupambana na Iran? Utakuwa una Shida flani tu Israel hamna kitu Zaid ya ushoga Wana ufadhili

    • @stephanosospeter1709
      @stephanosospeter1709 2 หลายเดือนก่อน

      Ndio mtajua kuwa israel ni mtoa roho,

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 2 หลายเดือนก่อน

      We huna Unacho kijua Mdogo Wangu Zaid ya bendera fata upepo alafu Israel Jamani Sio wakristo wenzenu Israel wanauchukia Ukristo na sio wakristo Hawa ni mashetani

  • @sergiokibala5459
    @sergiokibala5459 2 หลายเดือนก่อน

    Haa waesilamu wanatuletea machafuko sana duniani.

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 2 หลายเดือนก่อน

      Shoga kama shoga katika ubora wako

    • @ally1702
      @ally1702 2 หลายเดือนก่อน

      Ivi unajua kuwa muesrail ndo alianza kupiga ubalozi wa Iran

    • @stephanosospeter1709
      @stephanosospeter1709 2 หลายเดือนก่อน

      C mbabe ndio maana, na sio kupiga tu adi kauwa

  • @NasriKilua
    @NasriKilua 2 หลายเดือนก่อน

    Watu msiongeee msio yajua huu ni mzozo wa muda mrefu toka enzi za mababu

  • @britonkinyunyu4290
    @britonkinyunyu4290 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hamasi waliuwa 1200 wakatumia raia kujikinga Sasa 37000 wamezikwa halafu unazungumza Irani aliwahi piga nani?😮

    • @bhaijanali5092
      @bhaijanali5092 2 หลายเดือนก่อน

      Tunawajua mashoga kwakujisifu tulia mwanaume awaonyeshe kazi

  • @mohamedswaleh6778
    @mohamedswaleh6778 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uongo huo

  • @MichaelDonaldnchingaMichaelDon
    @MichaelDonaldnchingaMichaelDon 2 หลายเดือนก่อน

    Kombola 300 waoga hao

  • @bakarikhamis7752
    @bakarikhamis7752 2 หลายเดือนก่อน

    Tusubirie ajibu lran kama atapigwa kama mtoto. Ngoja ashushe drones za atomic

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 2 หลายเดือนก่อน

      Matisho yasio na maana 😅

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 2 หลายเดือนก่อน

    Waacheni wapugane na asisaidiwe Mtu hapo ili ashishe adabu.. na wataheshimiana!!!

  • @user-xo9we4yx1c
    @user-xo9we4yx1c 2 หลายเดือนก่อน

    Acha uninga eti isrel nitaifa la mungu mungu aliwalaani toka zama na zama

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 2 หลายเดือนก่อน

      Hayo ni maneno ya mtaani 😅😅😅 utapasuka ukiiwaza Israel jaribu kuwaza yako 😅😅

  • @seifmasoud3061
    @seifmasoud3061 2 หลายเดือนก่อน

    Israil ni mchumba tu mbele ya Iraan

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125 2 หลายเดือนก่อน +1

    Israel will win this war no matter what

    • @user-rn9og1rk3l
      @user-rn9og1rk3l 2 หลายเดือนก่อน

      It is obviously God is with Israel

    • @konshazikonsha6180
      @konshazikonsha6180 2 หลายเดือนก่อน

      ​​@@user-rn9og1rk3l
      Pointless ever seen!!!
      USA,UK, CANADA, GERMANY, FRANCE, ITALY,An main more Ar with Them.
      In case you don't know Fool!!!🚮

  • @zainabndete8713
    @zainabndete8713 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uongo

    • @IdrisaAbdallah-ze2cq
      @IdrisaAbdallah-ze2cq 2 หลายเดือนก่อน

      Izirair imeraniwa

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@IdrisaAbdallah-ze2cqimeraaniwa 😅😅😅 jamani nendeni kwanza na shuleni mrudi kuitukana Israel humu 😊

  • @kafwimbimilambo8556
    @kafwimbimilambo8556 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe uko mchambuzi wakweli

  • @user-jp7ix6fc6y
    @user-jp7ix6fc6y 2 หลายเดือนก่อน

    Akifanya myahud au wa magharib mataifa mengine yanatoa wito lkn akifany mrusi au iran mataifa yana laaaani vikali😂

    • @agustinohizza1395
      @agustinohizza1395 2 หลายเดือนก่อน

      Waislam Kila mtu akiongea lazima ataje ushoga kwani nyinyi mna nini mnaongozwa na propaganda nawongo

  • @yusuphyunusi-zz1hx
    @yusuphyunusi-zz1hx 2 หลายเดือนก่อน +3

    Iran inaiogopa Israel

    • @YustoMlay-cv4zb
      @YustoMlay-cv4zb 2 หลายเดือนก่อน +1

      Exactly

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 2 หลายเดือนก่อน

      Ingekua ina iogopa wala asinge shambulia direct Israel nae angepiga ubalozi ila Iran kaonesha asha kama me ni mwamba

    • @issalyanali4119
      @issalyanali4119 2 หลายเดือนก่อน

      Waejami ni watu wana akili ,,,SI waarabu asili,,,hawakurupuki ,,,,sile silaha walizotuma Israel ni zakawaida ,,,, ballistic missiles Sasa kisasa ni 7 tu na zote zilipenya Israel,,,,,, Israel hawezi kuwaondoa wairani pale ,,,,wairani sio waparestina.

  • @britonkinyunyu4290
    @britonkinyunyu4290 2 หลายเดือนก่อน +2

    Irani ni mtoto mdogo atasahulika kama sadamu

    • @bakarikhamis7752
      @bakarikhamis7752 2 หลายเดือนก่อน

      😅😅 Hujui kitu boss nyamaza tu.

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 2 หลายเดือนก่อน +1

    God bless Israel awatandikehao magaidi

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 2 หลายเดือนก่อน +1

    Don't play with Israel again

  • @britonkinyunyu4290
    @britonkinyunyu4290 2 หลายเดือนก่อน +2

    Irani ni kama hamasi tu atachapwa kama sadamu chezea Israel wewe

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 2 หลายเดือนก่อน

      Awo hamas mwez wa 7 huu ata mateka 10 wale hawaja okoa na watu wana silaha za kienyeji tu, ijekua Iran kila siku anaunda silaha zake mwenyewe