ASKOFU MWANAMAPINDUZI KWA UCHUNGU "RAIS HAJAANDIKA ILE HOTUBA KAANDIKIWA/KAWAVUNJA MOYO WAFIWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- ASKOFU MWANAMAPINDUZI KWA UCHUNGU "RAIS HAJAANDIKA ILE HOTUBA KAANDIKIWA/KAWAVUNJA MOYO WAFIWA
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Ongea mtumishi wa mungu unamuwakilisha mungu. Mungu anawapenda watenda haki na watetea haki hivyo anatumia watu kama wewe kumwakilishia yeye haoa duniani. Usivunjike moyo mtumishi watu wengi wanakuarlewa. Keep it up.
Maneno ya hekima ila kwa wapumbavu na mamluki wa kushangilia ujinga tu ndiyo wataona unachoongea si sahihi.
Ngoj mimi nikasikilize zang hotuba za makofuli
Kuna kichambo na hotuba kile ni kichambo
Asante. Sana. Mwanamapinduzi mungu Akurinde. Na Akubariki
Mungu hamtupimtuwake
Kusema kweli nampenda rais wangu ila huyo aliyemwandikia hiyo hotuba mmmmmh!!!
Unampenda kwalipi
@@chusseboywcb2808unafiki tuh
Hata kama kaandikiwa kwani hana uwezo wa kupambanua mambo.
Mchungaji leo mbona umebadilika hivyo? Naona ukweli umeshauona !!!
MAKURUKUTABU! DAAA MSAMIATI MKALI.😊😊😊
Mahulukutabu
Haswaaaa
We sio mtumishi wa mungu ni mtumishi wa mbowe
Pumbavu akili imssinzia. Pole sana.
Mtumishi wa babako
Tena katawaze macho ulale kenge ww
Wew sio mchungaji ni mwanasiasa tena mpinzani usijifiche kwenye uaskofu acha uaskofu uingie kwenye jukwaa tuone kama utaweza
Hahahahaaaa pole weee
Kama Ni mwanasiasa We unatakaje sasa
Mwandishi tafuta watu wa maana wa kuongelea mambo sio huyo mganga njaa kwa mbowe
Aliekwambia mama yetu ana muda wa kuandika khotba naniii
Hahahahaaaa langu cheko tuh
Mhhh
Mtumishi una njaa
Mpe chakula ale
Samia kalikoroga juzi. Ovyo kabisa. Eti watu wanauliwa duniani kote, kwa hiyo? Ndo sawa? Ulaya yakitokea mauaji muuaji anakamatwa na viongozi wanajiuzulu kwa aibu ya kushindwa kufanya kazi. Tanzania kutaanguka machafuko . Na yatasababishwa na CCM kwa uchu wa madaraka na ung'ang'anizi wa uongozi. Hamutakiwi mmechokwa
Si ukaongoze kanisa mambo ya siasa hayakuhusu ni husda tu kwa kua mama ni muislamu
Siasa inamhusu kiila raia acha ujinga
Sisi wanasiasa tunaenda Kanisani wewe kama hauendi kakojoe ulale mamae.
@@lovenessvisent9408 TATIZO LAKE HUYO UTOTO!
Jamani acheni kuchochea udini. Mnafaidika jini kwani?
Mama anazingua hakuna ni muislam au mnani anazingua atupishe
Kafundishe kondoo wewe mchungaji siasa haikuhusu mamruki wee
Nanyie wanasiasa kanisani na msikitini hua mnafwata nini??
Hata yeye ni raia wa nchi hii Kama wengine na ana haki ya kutoa mawazo yake Kama wengine wote.
Challenge mawazo au maoni yake kama unalo la kusema lakini siyo haki yake ya msingi
@@nicksonjk8479kwani yeye ssiyo raia wa nchi hii? We maisha haya hayawahusu?
Hakuna mtu ambayo haishi kwjli siasa
Mtu wenu..viatu vinampwaya….hovyoooo