WAZIRI WA AFYA AWASHA MOTO OCEAN ROAD
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Dar es Salaam. Waziri wa Afya Dk Doroth Gwajima amepiga marufuku maofisa wa wizara kuingia mikataba ya aina yoyote inayohusisha kuagiza mashine za matibabu kwenye taasisi na badala yake jukumu hilo liachwe kwa taasisi husika.
Amesema wizara itakuwa na jukumu la kutafuta fedha na miradi lakini mikataba ya ununuzi wa mashine itaingiwa na taasisi husika ili kuwapa fursa ya kuchagua mashine inayowafaa na wanayoweza kuisimamia hasa inapohitaji matengenezo.
Agizo hilo amelitoa baada ya ziara yake katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) na kubaini uwepo wa mashine mbili zenye dosari, moja ikiwa haifanyi kazi kabisa huku nyingine ikiwa na mapungufu katika ufanyaji kazi wake.
Mojawapo ya mashine hizo ni ya X ray ya kisasa (digital Xray) ambayo licha ya kuwa na uwezo wa kufanya vipimo vingi kwa wakati na kutoa majibu ya uhakika imeelezwa kuwa na vikwazo katika uchukuaji wa picha kulingana na hali ya mgonjwa husika.
Nyingine ni mashine inayotumika kupima saratani ya matiti (mammography machine) ambayo iliharibika Novemba 30 mwaka jana ikiwa ni miezi miwili baada ya kufikishwa katika taasisi hiyo na kuanza kutumika.
Akiwa kwenye chumba cha Xray, Dk Gwajima alihoji ufanyaji kazi mashine hiyo huku akieleza kuwa tayari anazo taarifa za ndani ndipo alipoelezewa mapungufu yake.
Ndugu Waziri, Tanzania siyo masikini, bali baadhi ya watu ndio masikini wa kufikiria.
Mama safisha wizara. Hongera rais kutuletea huyu mama. Hii wizara ina shida nyingi sana
Mama nimekupenda bureeee, Mungu akutangulie.
Damu ya Yesu ikufunike.Mumeo should be proud!
No cheni no wigikichwani ni vitenge kwenda mbele nywelefupi.... Waogope sana taipu hizo...zinakuwaga kazikazi tuu.... Nakupenda dk doroth gwajima Mungu akulinde saana ....
Huo muda wakwenda kukaa saloon anautoa wapi wanakwenda nimlegelege muagalieni hata mbunge wa MbeyaTulia
Yaani mimi namkubali Sana huyu waziri yuko vzr na ana upana Sana wa mawazo na uelewa Mama big up💪💪 yaani uko vzr .nakutabiria MUNGU akulinde uje kua waziri mkuu wa kwanza mwanamama!
Wana wake tunaweza hongera sana mama
Abaki hapa hapa wizara ya afya atunyooshe
Safari hii Majambazi wanakiona chamtema kuni kwa kugongwa kweli kweli kwa mujibu wa Sheria.Vile vile na Hawa wakufanya kazi kwa mazoea hawana pakutokea.
Kuwa na waziri anayejua sekta ni Jambo jema Sana
Sanaaaaa
Gwajima nakupenda sana
Lkn hakujui
Mwacheni mama wawatu afanye kazi ajipendekeza nn wakati anawatakia maslahi yenu
Mama wape elimu waliishi kwa mazoea
Safiiii
Mama awa watu watakuapasua kichwa. ila ninavyoona hawakuwezi.
Huyu kiboko yao ummy mwalimu ulikuwa mpole mno japo kazi uliifanya vema.......ogopa mwanamke mwenye pesa tajiri halafu ananyoa nywele
Hana mda wa kupoteza kwenda Salon
hapo ni kazi kazi
Hahahaha
😂😂😂😂😂😂
Ummy sio sekta yake, alikuwa mtendaji wa kisiasa sio taaluma. Hivyo hakuwa anajua wanayomueleza kitaaluma kama ilikuwa sahihi au la. As long as wakimpa siasa ya maneno yaliyonyooka, anaridhika.
Barikiwa sana,mama! Hana muda wa kupoteza saloon, hapa kazi tu!!!!!
Tatizo mama unaongea bila kuchukua hatua yoyote.chukua atua haraka sana sana. Ndio utasonga mbele hongea sana
Ilondioneno yeye akiongea akitoka wembeuleule
Sekta ya afya wasomi wachache uwez kufukuza kila mtu n lazima uwape muda na kuwakumbusha taratibu za kazi,,
Mama.hili ni eneo lako sahihi 100%Mawaziri wengi wamepewa vitengo wasivo na utaalamu navyoo.
Wazir upon vizuri
Miongoni mwa mawaziri huyu mama ana kitu cha kipekee.Nimeona comment moja kuwa huyu mama angefaa kuwa waziri mkuu, naunga mkono lakini wacha asafishe hii wizara.
Piga kazi waziri
Jamani hivi Tanzania ilikuwa ikiogozwaje? Uongozi ulikuwepo hata tungefanya nini maendeleo yalikuwa ni vigumu kuyatimiza. Baada ya miaka hii mitano, tukitaka Tanzania bora lazima Dr Magufuli na timu yake aongezewe miaka mingine saba kuiweka Tanzania sawa.
Kabisaaaaa
ogopa sana mtu anaenyoa babar shop
Madam upo vzr sana kwa ufatiliaji piga kaz but toka moyoni nakuomba uwe na selfsecurity nawa jua binadamu, ucnywe hata maji uliyoandaliwa na management unapokwenda kwa supervision na MUNGU akutangulie na akulinde kwa kazi unayofanya ya uzalendo kwa kumsaidia Raisi JPM
Kweli mama unasafisha nyumba
Mama njoo bagamoyo hospital ya wilaya ni shida
Kweli Watanzania wezangu Chadema chini nyamaza Tundu Lissu na Mbowe wangeweza kazi hii kweli?
Wasingeweza
Huyu mama aje kuwa MAKAMU WA RAIS Awamu ya 6.
Mama ningefanikiwa kukuona ningekupa zawadi ambayo hujawahi kupewa
Muhimbili Dr Gwajima Waziri ufike.....wanakimbizwa Mloganzila wakaonokee huko.
Yani huyu mama na Jafo ndo mawaziri bora
Watu walikuwa wanafanyakazi wakitaka hapa kuwa na MTU wa kufatilia, sasa huyu wizara take iyo wata nyooka
Uzuri mh.waziri anafaham ni taaluma alyoxomea hapo hawamdanganyi
Mama asante ocean road hapohapooo walikuaga wanaficha faill LA marehemu baba yangu ,,mkitoa hela mnaletewa ctasahauuu
Majambazi qatakiona chamtakuni
Hapa Raisiwetu kapata waziri konki mama anaejielewa anaejiamini mtanyookatu
Ummy Mwalimu ana la kujifunza hapa, katoka Alvaro Morata kaingia Christiano Ronaldo😂
Huyu mama atakuwa Ana ukoo na aliyekuwa mkuu wa mkoa wa tabora (agrey)
Hahahaha
Hahaha fitness umenifanya Michele Sana umeonaee nn mpk umeaema hivyo anaundg Na agery mwandri hahaaa yaani daah
Yule Mzee mwari kwa nn hapewi wizara na yy jamani.Wangekuwa safu moja na huyu mama heeehe!
@@olivamarunda8318 anavoongea yaan na jinsi alivo makini misisitizo, ata utendaji wa huyu mama, kama unamfahamu vizuri agrey mwanri, utakuwa umenisoma
@@husseinally5550 lazima watu wangetia akili,
Jembe la watanzania huyu mama halali hata usingizi nahis, hongera magufuli kwa kuona mbali
Kwa hyo ocean road yote imeungua moto? Alitumia kiberiti au moto wa kawaida?Zima moto walichelewa au waliwahi ndugu mtangazaji?
Wabane
Mama toka nao nnje hao wanatesa sana wagonjwa
Safi Sana serikali ya magu
Hivi haya matatizo ya Tanzania tatizo ni wananchi au serikali
DAWA YA KUJENGA HESHIMA YA NDOA. kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... .
Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo.
1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia
2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk
4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka
5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha
6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility)
7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika
8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)
9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume
🔟 Inarutubisha mayai
NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA
Epuka aibu hii na rejesha furaha " dawa hii ndio kiboko yao
Karibuni sana ofisini kwetu
Wasiliana kwa 0764581267/0623270820
Njooni huku tujifunze neno na tumwabudu Mungu ktk Roho nakweli bonya link hii chat.whatsapp.com/Cio1IeWyfsHE9miJz12oZv
Mh Waziri njoo na huku Sumbawanga ni shida tupu.
Uko haji mana kuna wachawi watupu
Safisana
Doooò mpeleke china pale tazara temeke fundi mzuri tu????M South Africa ja
Tatizo atuaminiani unakumbuka yakuhusu ndege kuchoma Twiga wamechora wazawa
Safi sana mama mkubwa
DAWA YA ALKALINE kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... .
Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo.
1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia
2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk
4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka
5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha
6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility)
7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika
8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)
9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume
🔟 Inarutubisha mayai
NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA
Epuka aibu hii tumia" ALKALINE " ndio kiboko yao
Karibuni sana ofisini kwetu msaada zaidi
Wasiliana kwa 0622945360 /whatsapp 0719174248
Ila huyu amefichua uvundo mkubwa sana.
Chukua mahamuz mama kwenye afya ni shida
HONGERA MJOMBA MAGU KWA KUTULETEA HIKI CHUMA WIZARA HII. ARAFU KUNA WIZARA FURANI NATAMANI UTULETEE CHUMA KAMA HIKI ILE WIZARA AIJAKAA SAWA.
Vp
Jaman nasikia mama gwajima ni mke wa mbunge gwajima
Mama njoo na kishapu kuna madudu mno
Hongera.mama chapakazi
Yani wewe mama ningepata kuonana na wewe ningekupa zawadi ambayo hujawahi kupewa
H h h hao ni hasara kwa taifa
Kazi inaendelea.
Mama huyo
Kweli kbsaa madaktari walifanya madudu ya kijinga kbx
Huyu waziri sidhani kama mme wake anamuheshimu
The problem with my beloved Tanzania every public officet will carry song cameras anywhere they go to prove that they are working.
It's just common every for any leading goverment official to be followed by cameras when out on assignment so doesnt it hurt you to see how those goverment officials were signing useless contracts
Bora hiyo kuwatia hofu kidogo tutasonga
Mention one or two countries where gov officials are not followed by the media? Stop talking if you dont have facts😀😀
Just give us
@@makongorowassira6593 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@makongorowassira6593 I real like your comment.
Huyu mama watoto wake wanakazi sio kwa kuongea huko
Hii ndio awamu ya tano, mtapiga maneno mpaka miaka kumi itaisha. Matatizo ya wanyonge yanaendea
Uongozi wa afrika bhana mtu akiingia hutaka kuonesha Kama waliopita walikuwa hamnazo🤣🤣🤣🤣 ila watu tumezoa ndio maana tupokimya tu😁😁😁
Nelison akili huna wewe,, na kinachokutesa ni wivu na roho mbaya ndo vinakusumbua
@@katwigayona8041 Acha mihemuko bro swala la akili limetoka wapi ? Kumbuka maisha yako hawezi kwenda kwa kumtegemea mtu bali ni wewe mwenyewe .Fikilia zaidi unavyo jibu comments zako coz bundle ni langu na simu ni yangu huwezi nipangia chakucoment .
@@nelsonchivaula6574 acha ujinga hata kama bando ni lako na simu ni yako uchangine upuuzi rukuuangalie tu,,acha zako bhana
@@katwigayona8041 kumbe una matatizo weweunamihemuko Sana Ila tambua wenyeakili timamu huwa hawahemuki hivyo ndio maana ukiangalia comments za watu ni chache hii inamaana wanatazama facts sio nani kasema bro !! Jiheshimu kwani anachoongelea ni Cha Taifa sio Mimi wala wewe .Wenye akili hawatumii akili kukashifu watu wewe ndio wale wanao ishi kwakusuport watu ili mkono uende kinywani wengine tunashi kwa akili zetu.
AnajIpendekeza tu kwa JPM kwa kuiga style yake.
Kwa hiyo anayosema ni uongo?Tumia akili unapocomment !Acha ushabiki usiokuwa na tija
@@kaundajulieth1741 , Simply hii style ya kuumbuana mbele ya Camera siipendi. Hii ni style ya 'populism" aliyoianzisha JPM ili kujionyesha anafanya kazi na yuko upande wetu sisi walala hoi, kumbe anajitengezea jina tu. Anahitaji makofi. Hawa watendaji wadogo siyo rahisi na vyema kubishana na boss wao mbele ya camera.Hapa mama ananguruma peke yake na wanamsikiliza na kukubaliana naye tu. Mambo mengine yanahitajika vikao maalum, halafu maamuzi ndiyo kiongozi anayotoa hadharani. Mkubali msikubali hata mnitukane, nchi haindeshwi kwa kuzomeana, kuumbuana au kutumbuana hadharani. Hizo ni tabia za kishamba, kidikteta na kijinga.
Basi wewe labda ndo unamsikia,miaka yote yuko hivyo huyo hanaga mchezo bro.Unafikiri kapewa uwaziri bure?? Huyo ni hands on..subiri uone atakavyoinyosha wizara.
Sasa wataka ajipendekeze kwa Mbowe? Kuiga vitu vizuri toka kwa wengine sokujipendekeza.
Unapotumwakaz lazima ufanye kaz.hao wanaosema anajipendekeza fwatilia kazizao.niwavivu wazembe nawanao subir kusimamawa.nandomaana hatuendelei.kila anapojitokeza mwafrika mwenzetu anaeweza kutuvusha bas sisi ndowakwanza kumbeza. Tutakua watumwa wafikra had lin?waafika tuamke