@@CodeWithCrescent dunduka FC a k a kolo Qunini umefuata nn huku??,,,kwenye TH-cam channel yenu hamn mamb mazuri ni mateso mateso mateso,unakuja kujifariji huku mjukuu wa mangungu wewe
Kaka kumuelewa Eng Hersi mbona haitaji elimu 😂😂😂 madunduka yenyew yanamuelewa ..... Juzi juzi juzi tu walikuwa wanasema mangungu ,try again , moamed , dalali kwa umri wao na uzoefu wao wanashindwa na mtoto mdogo yuleee😂😂😂 alisikika dunduka mmoja akifoka Kisha akamalizia hiv Hebu nendeni kwa eng Hersi kajifunze kuendesha timu tuache ubabaishaji 😂😂😂
😂😂 mtani punguza kelele... Boss wa mpira anazungumza mwambie mangungu na try again boss wa vilabu Africa anatoa seminar elekezi w wachukue note book kalamu watazikuta 😂😂😂
😂😂😂 Kwan mangungu au try again walokuleteeni manzoki kwenye mkutano mkuu Kisha uwanjani unamkuta sawadogo 😂😂😂 ?? ?? Nafikir mtani tafsiri ya neno uwongo umelipata kupitia kamusi ya mkutano mkuu wa madunduka ..... 😅😅😅
😂😂ahsantee kwa kutufuatilia wananchi Naamini unatupata tena kwa Kasi ya 5G!!😂😂😂..Yaani Engineer huongea kama masikhara ila Utaona Matokeo yake na inshaAllah itakua na wewe Aduwwa Allah ayarejeshe kwako mabaya yoote unayotuwazia
😂😂😂 nakukumbusha tu kwenye moja ya ahadi zake eng Hersi 1. Kurudisha ufalme wa yanga tz bara nahisi kwa miaka 2 hii majibu unayo 2. Kufanya vzr kwenye mashindano ya kimataifa nafikiri - kuanzia last season kimataifa majibu unayo 3.Kurudisha zile goli 5 - nafikiria mabango ya 5G umekutana nayo 4. Ujenzi wa uwanja - nafikiria ndo unachoomba kisitokeee 😂😂 5. Ubingwa wa Africa - kwenye akili yako Kuna kitu kinakwambia ila kwa udunduka tu una amua kubishana na akili yako inakwambia kwa usajili wanofanya wataweza hawa ila kwa udunduka unasema hawawez NB : Manzoki aliletwa kwenye mkutano mkuu Kisha viongozi wenu wakachagua kumleta sawadogo kiwanjaniii 😅😅😅 ... Halaf mseme mangungu mnamtaka ?? Mkifungwa mnaanza kukumbuka nyimbo zetu kuhusu mangungu 😅😅😅
Hakika hili litakuwa jambo jema sana Rais wetu👏👏👏
Go president go, there is no stopping to our development 🖤💚💛
In sha A llah mjitahidi tunatamani uwanja wetu urudi kauda Enzi zile mpaka 1993 nakuendele ulikuwapo mpaka 1995
Mungu akujalie Rais wetu pamoja na Viongozi wengine wote ili mfanikishe hili
President Hersi 🔥🥰🥰
Oya yanga raha kama inakukera jichimbie shimo ujizike wananchiiiiiii 💚✨💚✨💚✨#Daimambelenyumamwiko
Raha ya kutolewa mapinduzi cup😆😆
@@CodeWithCrescentPole Dunduka huna ukielewacho
@@CodeWithCrescent dunduka FC a k a kolo qunii umefuata nn huku,,kwenye TH-cam channel yenu hamn mamb mazuri ni mateso mateso mateso
@@CodeWithCrescent kombe lenyew nuks
@@CodeWithCrescent dunduka FC a k a kolo Qunini umefuata nn huku??,,,kwenye TH-cam channel yenu hamn mamb mazuri ni mateso mateso mateso,unakuja kujifariji huku mjukuu wa mangungu wewe
Mungu awape viongozi wetu uwezo wa kusema na kutenda kwa wakati na kwa usahihi.
Baraka meliyo 1:08
Way to go Mr president
Mungu awe nasi
Asante raisi wetu wa yanga
Good luck mr president @ engineer hers 🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰
Niceee
Way to go, Inshaallah
Tunakutakia utekelezaji mwema daima mbele
raisi mweye ndoto zakuipeleka hiiclab mbali na tutafika
❤
Good
Huyu ni kiongozi haswa
Safi sana boss enengeer
Kiongozi makini anakupa maelezo uenye fact ndani yake
😢😮
President anafanya research zake vyema
🙏🙏
💚💚💚💚💚👋👋👋👋👋💪💪💪💪💪
Apa tunaelewana mainjiania tuu😅😅😅😅😅😅wengine mtulie ntawafafanulia badae
Kaka kumuelewa Eng Hersi mbona haitaji elimu 😂😂😂 madunduka yenyew yanamuelewa .....
Juzi juzi juzi tu walikuwa wanasema mangungu ,try again , moamed , dalali kwa umri wao na uzoefu wao wanashindwa na mtoto mdogo yuleee😂😂😂 alisikika dunduka mmoja akifoka Kisha akamalizia hiv Hebu nendeni kwa eng Hersi kajifunze kuendesha timu tuache ubabaishaji 😂😂😂
Utopolo hamuwezi kujenga uwanja nyie mshazoea kudanganywa kuku nyie
Nadhani wewe ndio kuku, ungesubiri kama mradi utatekelezwa au la siyo kurukia tu mipango ya watu. 😏
😂😂 mtani punguza kelele... Boss wa mpira anazungumza mwambie mangungu na try again boss wa vilabu Africa anatoa seminar elekezi w wachukue note book kalamu watazikuta 😂😂😂
😂😂😂 Kwan mangungu au try again walokuleteeni manzoki kwenye mkutano mkuu Kisha uwanjani unamkuta sawadogo 😂😂😂 ?? ?? Nafikir mtani tafsiri ya neno uwongo umelipata kupitia kamusi ya mkutano mkuu wa madunduka ..... 😅😅😅
Dunduka ni lidunduka tu halina akili hili
@@EliaMkumbo-wn7bm anaji zima data .... Huko aliko ana kalamu na diary ana note nondo za rais wa vilabu vyote Africa
Kwani nyie makolo mnao uwanja au ndo ule wa kule bunju ndo mlidanganywa kwamba Ni wa kwenu kumbe wa jamaa
Mlivowajinga mtasema ni ukweli huu😂😂
😂😂ahsantee kwa kutufuatilia wananchi Naamini unatupata tena kwa Kasi ya 5G!!😂😂😂..Yaani Engineer huongea kama masikhara ila Utaona Matokeo yake na inshaAllah itakua na wewe Aduwwa Allah ayarejeshe kwako mabaya yoote unayotuwazia
@@FirdausyAbubakary-bl2wohabari anazo huyu Dunduka
5G😂
😂😂😂 nakukumbusha tu kwenye moja ya ahadi zake eng Hersi
1. Kurudisha ufalme wa yanga tz bara nahisi kwa miaka 2 hii majibu unayo
2. Kufanya vzr kwenye mashindano ya kimataifa nafikiri - kuanzia last season kimataifa majibu unayo
3.Kurudisha zile goli 5 - nafikiria mabango ya 5G umekutana nayo
4. Ujenzi wa uwanja - nafikiria ndo unachoomba kisitokeee 😂😂
5. Ubingwa wa Africa - kwenye akili yako Kuna kitu kinakwambia ila kwa udunduka tu una amua kubishana na akili yako inakwambia kwa usajili wanofanya wataweza hawa ila kwa udunduka unasema hawawez
NB : Manzoki aliletwa kwenye mkutano mkuu Kisha viongozi wenu wakachagua kumleta sawadogo kiwanjaniii 😅😅😅 ... Halaf mseme mangungu mnamtaka ?? Mkifungwa mnaanza kukumbuka nyimbo zetu kuhusu mangungu 😅😅😅
Dunduka bana Heris siyo kama mangungu anawaahidi manzoki