Kama ndoa ndio ticket y kwenda mbinguni mtaenda wengi😂😂😂 mtupishe n ndoa zenu watu tuache kuzaa umri unaenda hd ndoa? Hao waume zenu ndo wanazid kuzaa nje y ndoa😂
@@PaulinaSemindu-ob3de Kila mmoja ataubeba mzigo wake mwenyewe wewe huwendi kuulizwa wa mwenzio na mwenzio haulizwi wako wewe unaeona kuzaa nje fine kazi iendelee kila mmoja na kaburi lake
@@FatimaAli-of4gh hongera ww ulieolewa mana hata asieolewa alitaman awe kwenye ndoa na umri unaenda hajaipata" sawa na mtu aliekosa kizazi hakupenda awe tasa lkn watu utasikia ndo mana mgumba ww" kwahy Kama ulivyosema kama kuzaa bila ndoa dhambi tutapata wengi nyie watakatifu kwenye ndoa mbarikiwe 🙏
Hongera sana love Yesu ainuliwe kwa ajili yako ❤
Am happy for you sister!!! Yesu aitunze baraka yangu
Ubarikiwe Sana apo umenigusa moyo wangu dada Munalov
Hongera sana muna❤❤❤
Amen nimependa maneno yako kumsifia Mungu
HongeraMuna endelea kumtukuzaMungu wetu
Kwani ukizaa kimya kimya haitoshi?
Hongera mwaya
Muna mungu mkubwa.yaaani kakupa Patrick mwingine
Hongera Allah ampe afya njema na amkuze
Hongera kwake,,afu casto dikson yupo wapi,,eti milard ayo
Hongera mama TEST MONN❤❤❤❤❤
Woow 🎉🎉🎉🎉🎉
Ameeeen🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Hongera zake
Usiseme zaidi kila mtoto ananafasi yake
Casto Dick nilipahatika kumuona mwaka Jana,Yuko na hard time sana
Ushasiki anajina la Dickinson jina laana ilo😮😢
Yesu aitunze baraka yake kwakuzaa bila ndoa nyie mnalaana na yesu wenu asee
Mshukuru Mungu ww,ulie pata ndoa
@@ConsolataWilla
Kwani huyo alietia mimba hana vigezo vya ndoa ikiwa vyote vya ndoa washavifanya
Kama ndoa ndio ticket y kwenda mbinguni mtaenda wengi😂😂😂 mtupishe n ndoa zenu watu tuache kuzaa umri unaenda hd ndoa? Hao waume zenu ndo wanazid kuzaa nje y ndoa😂
@@PaulinaSemindu-ob3de
Kila mmoja ataubeba mzigo wake mwenyewe wewe huwendi kuulizwa wa mwenzio na mwenzio haulizwi wako wewe unaeona kuzaa nje fine kazi iendelee kila mmoja na kaburi lake
@@FatimaAli-of4gh hongera ww ulieolewa mana hata asieolewa alitaman awe kwenye ndoa na umri unaenda hajaipata" sawa na mtu aliekosa kizazi hakupenda awe tasa lkn watu utasikia ndo mana mgumba ww" kwahy Kama ulivyosema kama kuzaa bila ndoa dhambi tutapata wengi nyie watakatifu kwenye ndoa mbarikiwe 🙏