Kayumba! Una kipaji kikubwa sana mdogo wangu. Endelea kuchapa kazi kuna siku watu wengi zaidi watakuelewa. Ni bahati mbaya sana kwamba muziki wa Tanzania umehodhiwa na majina machache. Lakini tungeangalia vipaji na ujuzi wa kuimba, sioni namna ambayo wewe ungekosekana kwenye waimbaji 10 bora hapa Tanzania. Nakutakia kila la heri na usikate tamaa.
Daaaa raha sana nyimbo zako zinapenya hadi kwa ubongo asiye kuelewa ana mtindio wa ubongo , mungu akubariki ktk kazi zako , waliosema umeoendelewa bss sasa watajua ukweli uko wapi
Uyu mziki naupenda mpaka basi jamani kwani like bei gani ili munipeye .
Tujuane tnao usikiliza huu wimbo zaid 2024
Tupoo❤❤
Unajua hadi unakera an blood. Bonge la Toto
Bonge la hit
Bonge la song
Congratulations broo
One of my best song can't wait stop, your star have got shine like bulb so keep move on KAYUMBA
Kayumba! Una kipaji kikubwa sana mdogo wangu. Endelea kuchapa kazi kuna siku watu wengi zaidi watakuelewa. Ni bahati mbaya sana kwamba muziki wa Tanzania umehodhiwa na majina machache. Lakini tungeangalia vipaji na ujuzi wa kuimba, sioni namna ambayo wewe ungekosekana kwenye waimbaji 10 bora hapa Tanzania. Nakutakia kila la heri na usikate tamaa.
kama unampenda my wako gonga like na kama unamkubali kwamba ni bonge la toto gonga like
Ndo yeye nampendaa San 🥰🥰🥰🥰🥰iyo sautiii 2 jmn
Kwel haichosh saut amazing haichosh kurudia Kam umerudia hii ngom Zaid y mar tan ngog like twend saw +254 itambe nakulubali San kayumba
Huu wimbo naupenda mpaka nikisikiliza najikuta nalia tu🥰🥺🥺🥺
Kama ww ni bonge la toto gonga like👍👇
Mbona kimia sana sikuhizi kijana,unatutesa wenziyo
Bonge ya dude
Bonge la Toto..ni shiida Nyingine 🔥🔥🔥
Ùk
Jamani wana Group Munipe ogera namimi mwezenu 🤲🤲🤲
Wow!!.. Kanumba umetisha jaman mwaaaaaaah..
My best song 2024❤❤
Kayumba my favorite artist from tz ❤❤much love from kenya ❤❤❤
I love your voice 🔥🔥👌👌from 🇰🇪
Umetisha kaka
Huu music naupenda saana kupita maelezo🥰
Simpo Wangu
Ndio wewe uliye shinda bss 2015
nakukubali sana Kayumba
Ndo yeye kayumba....nakupendaga kinoma
Wakimbize sanatu mzee wakazi huaga nakuelewa Sana piga kaz kaka
Dah mwanangu kayumba unajua hongera sana kaka
Yaan naipenda ad bhac😘😘😘🌹🌹🌹
Jamani uyu kaka a najuwa kuimba sna jamani iyi nyimbo na Ipenda sana
Hii ndio talent ya ukweli wapi like zangu
Sawasawa my lovely musician
Umeyokelezea.hii.hongera kayumba
Big up kijana chapa kazi muda ukifika utaongea.Ninakukubali kitambo.
I never knew this guy. the guy is on fire I'm love with your music
Nakupendaka bure kaka wewe nifundi good work
Kayumba ulikua na haki ya kuwa mshindi bss asee
The first time I saw you I knew you were going to be the winner. And yul go far .see yourself now..always thank God. You're going far. Una nyota
Kayumb mzik unaujua honger San @@@
Unajua sanaaaa, komaa utatoka
Kweli hy kaka Anaweza sana tena nyimbo zake nazipenda sanaa kweli
Bonge lenyewe Sijajmtia mbooni niaminicho mkufunzi moyo wako auzindua barakoa sawia zidi babu zindua
Dash yaan ananikosha na hayo mashairi ❤❤❤❤
Nc kayumba kanzi Nzuri sanaa
bonge la toto ngomakali sana
Baba bg up sanaaaa
Haujawahi kufeli bro never dissapoiment l think yuo should be promoted much more with you TZ Social part form keep it up 💪
Sisi wakenya tumekubali hii ni bonge la ngoma
Bonge la ngomaaa. Bonge la video
DamN!!!! Hili ni bonge la ngoma Mzee salute
🔥🔥🔥🔥🔥
Bonge la toto😂❤❤❤ 2024
Huu wimbo nimeuridia Zaid ya Mara 50
bonge bonge bonge 😍😍😍latotooooooo 😍 kayuuuuuumba ww nouma Leo ndio nimekukubali dogo nice song
Bonge ranyimbo mdogowangu kza mngu anakuona
"nami huwa nazingatia, buku miambili zangu nazituliiza"
hiki ndo kipande kinanikosha, big up #Kayumba bonge la nyimbo hii
😂
Nakupenda Adam wang 🙏🙏❤️
Hakuna kukata tamaa pambana mdogo wangu kayumba
Umetishaa mzee baba
Noma sana
Kweli naukubali sana
Mwamba anajua sana namkubali
True star wenginine wanasubiri
Kayumba fundiiiiiii
Jamani kupendwa rahaaaa
Rocking man mziki mkali kaka
Naupenda huu wimbo jaman
ni bonge la toto , bonge la ngoma nakubal sana kayumba og
Penda sana hii nyimbo jaman
That's awesome type Ya nyimbo Kama hii itakufikisha mbali stay here verse ya kwanza na coras nimezikubali mno keep it up and never give up
bonge LA Toto
tunawashaaaaa moto
Dogopambana yaniwewenifundi kayumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
washaaaa motooooo dogo langu more motooooooo
2024 bado tuna sikiliza mziki mzuri
Ñgoma kali mzee babaaa!!!!,kaza butiiii!!!,from j aka juñior
Pika pakua
hatari hatari umetisha
Piga kolabo na nandy hakika itakuwa ngoma kali
Ujama wampe tunzo kabisa
Mbona uyuu jamaa mkalii saaana.!👏 Bonge la t...
kayumba bado tuko na wewe mashabiki zako tunakuomba uwendelee paka mwixho usije ukatutupa tukakosa pakwenda ndugu
Sio poa Latisha
I wish naweza subscribe 100 times... My all time favorite artist❤️
Kayumba nimeipenda San kaza but
wimbo mtamu kama mboo
Inanikosha sanaaa
Motivational Heart Love,,,,,,,
Skills is more raising, Bonge la toto,,,√√√√
Waaaaaat!! That voice on top.. top..top.."bonge la toto"+254🌷🌷
Pp.
We jamaa nlikuwa nakuchukulia powa ila kuanzia leo mi shabiki yako niko tunduma
hongera sana Kayumba una nyimbo nzuri mno, wewe ni moto wa kuotea mbali.
Kakaangu nyimbo unajua kuzituliza daah💃💃💃💃💃
Bonge la wimbo
Daaaa raha sana nyimbo zako zinapenya hadi kwa ubongo asiye kuelewa ana mtindio wa ubongo , mungu akubariki ktk kazi zako , waliosema umeoendelewa bss sasa watajua ukweli uko wapi
@KAyumba You so really artist no I salute you 🙌
naipenda kinoma yani
Kayumba fanya kazi
Kwanza UNA SAUTI NZURI
Pia UMEANDIKA VIZURI. Nakuhakikishia utapata VIEWS wakutosha
Napenda.nyimbo.za.huyu..kk.sana.kaza.utafika.mbali..
Bonge la ngoma, pambana mkaliiii, nakukubali san ngoma zako zote n 🔥🔥🔥🔥🔥🔥hii imetisha knoma noma 💪💪
Kijana una nyimbo tamu sana,hujawahi kuniangusha
Peace kayumba unajua sana bila ubishi
Nakukubalii sanaa kayunba
Unajua san mzee
Nakukubali kinyama
Mashaallah sauti tam sana
Nakukubali sana.
I really like his music...keep pushing that spirit.... Dope jamm
Kali sana kaka
Ndio yeye Mwenye kisima changu chafurah😘😘😘😘😘😘
Ah! Mm cna maneno kwako nikiisikia saut yk napata homa gafla bonge la boy
Bonge la jisongi kama ulivyo imba kaka ngoma imetuliaa sanaaa tu