Founder TZ - Niepushie (Official Music Video)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ม.ค. 2024
  • Artist :Founder Tz
    Song : NIEPUSHIE
    Producer :Spadebeatz
    Director : Tolo Pro
    Realesed under NDP BRAND

ความคิดเห็น • 5K

  • @user-rr2yd5ij2e
    @user-rr2yd5ij2e 6 หลายเดือนก่อน +28

    D voice ana la kujifunza kama unaungan n mim gonga like

  • @TharakaAgozzeMedia
    @TharakaAgozzeMedia 6 หลายเดือนก่อน +58

    Kama unamkubali kijana wenu likes hapa tufike 1k views tunataka kujua Kenya, Tanzania,Somali, Uganda, Sudan and Ethiopia ni wangapi wengi fans kwa Ndogo wetu

  • @MikeKing-qk5kf
    @MikeKing-qk5kf 5 หลายเดือนก่อน +10

    Anaye mkubali dogo founder tz agonge like🎉🎉🎉🎉mpeni.maua yake

  • @rodgersosoro
    @rodgersosoro 5 หลายเดือนก่อน +7

    Watching from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪The Best song ever 🔥🔥
    Wapi likes za Kenya🔥🔥🔥

  • @AROMAAR_KING001
    @AROMAAR_KING001 6 หลายเดือนก่อน +41

    Sisi Kenya Huwa tunasapoti watanzania na Huwa hamtupii likes, nipeni likes 20 tukisonga 🔥💯☑️☑️☑️☑️☑️☑️

    • @willymoaziz254
      @willymoaziz254 6 หลายเดือนก่อน +1

      Wakenya hatufeki upendo Yani tupo real

    • @AROMAAR_KING001
      @AROMAAR_KING001 6 หลายเดือนก่อน +3

      @@willymoaziz254 sure💯

  • @ckhomes3341
    @ckhomes3341 6 หลายเดือนก่อน +69

    If I had a record label I will record you ASAP❤ .... BIG TALENT Kenyans let's gather here🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @Chachkid
      @Chachkid 6 หลายเดือนก่อน +3

      Ke

    • @boscoboyarachuga
      @boscoboyarachuga หลายเดือนก่อน

      Love❤ brother 🎉

  • @valeryatieno63
    @valeryatieno63 8 วันที่ผ่านมา +4

    Mungu muepushe na wasafi watazima nyota yake😢😢❤

  • @emanuelmsoffe7255
    @emanuelmsoffe7255 2 หลายเดือนก่อน +8

    Wanaoendelea kumkubali dogo wekeni like hapaaaaaa

  • @ramboiddrambo3056
    @ramboiddrambo3056 6 หลายเดือนก่อน +11

    kama unamkubali founder tz gonga like bx nipate ata kumi tumsapoti dogo🙏🙏

  • @user-op5sm7nv5x
    @user-op5sm7nv5x 6 หลายเดือนก่อน +10

    Hii nyimbo imenigusa aise tena nimelelewa na Single Mother kuna muda unataka ulaumu ila unashindwa mana hujui nani mwenye kosa
    Embu naombeni hata like 10 tu 😢😢

  • @oltetiangaroya8489
    @oltetiangaroya8489 5 หลายเดือนก่อน +5

    Bwana mdogo upo vzr
    Utafika mbali
    Fanya kama Wewe
    Usiwape wajanja wakutumie hiki kipaji ni chako mwenyewe

  • @Yushimelody
    @Yushimelody 5 หลายเดือนก่อน +8

    Dogo anakimbiza trending ata bila kiki wapi maua yake founder tz❤❤

  • @user-tz4jb7uy2p
    @user-tz4jb7uy2p 6 หลายเดือนก่อน +10

    Sisi kama wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tutazidi kusimama na watanzania wapi like s zangu watanzania

  • @Kotelvo8273
    @Kotelvo8273 6 หลายเดือนก่อน +1292

    Wakwanza 🇺🇸 💯💯💯nipeni likes zangu 💯🙏🏿

    • @Chachkid
      @Chachkid 6 หลายเดือนก่อน +20

      Chukua 😅

    • @user-th3kp9rx2x
      @user-th3kp9rx2x 6 หลายเดือนก่อน +13

      Chukua🎉🎉🎉

    • @DorcasNamafu-dk2rn
      @DorcasNamafu-dk2rn 6 หลายเดือนก่อน +12

      Mashallah dogo❤❤, keep going son

    • @kambiyusufu2776
      @kambiyusufu2776 6 หลายเดือนก่อน +12

      Mdogoangu mungu akubaliki sana

    • @Chachkid
      @Chachkid 6 หลายเดือนก่อน +14

      @@DorcasNamafu-dk2rn pitia na kwangu tafazali

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 25 วันที่ผ่านมา +4

    Mtoto huyu kipaji sana , mashairi yake yanachoma sana,anaimba vitu vya maana,anaburudisha,anaelimisha na anamuabudu Mungu ampishie na mabaya ya Dunia.
    Daah htr tupu

  • @user-of3yo8hx7x
    @user-of3yo8hx7x 5 หลายเดือนก่อน +5

    Foundertz foundertz foundertz nmekuita Mara tatu km kusoma tumesoma lkn tupo wap wewe simamia unachokiamini...❤❤❤

  • @edwinstephano5345
    @edwinstephano5345 6 หลายเดือนก่อน +15

    Walioplay hii nyimbo zaidi ya mala Moja naomba like zenu🔥🔥🔥

  • @fiston-asifiwe
    @fiston-asifiwe 6 หลายเดือนก่อน +12

    Uyu dogo ana kipaji kikubwa kweli 🔥🔥

  • @KassimOmary-ul7vz
    @KassimOmary-ul7vz 2 หลายเดือนก่อน +7

    Dogo unajua kuandika nakuimba ii ngoma imegusa moyo wangu Allah akufanyie wepesi utafika mbali

  • @davidmutinda952
    @davidmutinda952 5 หลายเดือนก่อน +4

    Dah dogo mshairi gwiji wewe 🔥🔥zidi kuzidi twakuombea mema na makuu na mola atuepushie sote🙏

  • @tendaimachalo3713
    @tendaimachalo3713 6 หลายเดือนก่อน +8

    D voice unasikia mwamba huyo???nyimbo 10 za D voice anazifuta kunyimbo moja tuuu,,,❤❤❤❤

    • @MpaliandaTVTz
      @MpaliandaTVTz 6 หลายเดือนก่อน +1

      Oya wewe unamaono sanaaa tena sanaaaaa

    • @tendaimachalo3713
      @tendaimachalo3713 6 หลายเดือนก่อน

      Mwenyeshida amufwate muganga dogo anajuwa

    • @KarinyoBlandTZ
      @KarinyoBlandTZ 6 หลายเดือนก่อน

      Kweli anajua

  • @brightonvictorkimsehyeon7892
    @brightonvictorkimsehyeon7892 6 หลายเดือนก่อน +7

    Aliotazama zaidi ya mara mbil kama mim gonga like 👍 🔥🔥🔥😍😍😍

  • @Subsribed
    @Subsribed 4 หลายเดือนก่อน +6

    Kama una mkubali Founder TZ tujuane kwa like ❤❤❤❤❤

  • @PatrodaSogole-bd6yh
    @PatrodaSogole-bd6yh 5 หลายเดือนก่อน +3

    Nimependa sana ujumbe na uimbaji wako umewazidi hata wasanii wengine wanaojiita wakubwa God bless u my brother.100%

  • @ZAGAKENYA
    @ZAGAKENYA 6 หลายเดือนก่อน +5

    Hata wasafi wakikataa hii nyota kijana twampenda kenya,wapi likes za founder 😢 😢😢❤❤❤
    #ZagaKenya

  • @KashindiIlundu
    @KashindiIlundu 6 หลายเดือนก่อน +9

    Tunahohangalia mara kumi 10 tujuwane ❤️❤️❤️❤️kutoka hapa labda mda wa match ya Congo uheneye🇨🇩👌🥰❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @user-ln4rg6on8h
    @user-ln4rg6on8h 5 หลายเดือนก่อน +4

    Wakwanza from USA 🇺🇸 ♥️ ❤️ 💕 wapi likes zangu

  • @eriquenyabicha5454
    @eriquenyabicha5454 2 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu dogo namkubali tena sana. Much love ❤ from 254🇰🇪

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 2 หลายเดือนก่อน

      Amna kitu kaka, uo mziki apa Tanzania huwez uza, the music business no longer needs this song type in EA market labda aswitch

  • @Beatricewambui-qf1gs
    @Beatricewambui-qf1gs 6 หลายเดือนก่อน +24

    🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 Kenyan well represented here

  • @Kidabitangassa
    @Kidabitangassa 6 หลายเดือนก่อน +8

    Team founder naomba like

  • @mbihaclassic794
    @mbihaclassic794 5 หลายเดือนก่อน +5

    Diamond platnum anaona mbal lakin hii zahabu imempitaaa 😢😢 aisee d voice ata robo afikii

  • @user-kt4hx2yu3n
    @user-kt4hx2yu3n 5 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤❤❤❤ noma sana mungu akusimamie tunakuombea uzidi fanikiwa

  • @SOS_VILLA
    @SOS_VILLA 6 หลายเดือนก่อน +6

    Kama unaaamini hii ngoma utaenda trending nipe like zangu🔥🔥

  • @ChimamyMamy
    @ChimamyMamy 6 หลายเดือนก่อน +8

    Najipata nasikiliA uku chozi lanitoka Sina uwezo Wala Mimi sio marufu SI msanii sio muigizaji Wala sio mchekeshaji pia Sina uwezo wa kumsapoti uyu mtoto ila ningekua na uwezo mungu ningekua karibu nae adi nione amefanikiwa ndo niachane nae ila kaka nakuombea mungu ❤❤❤❤ utafanikiwa inshallah amini mungu yupo

  • @dominicekamais3021
    @dominicekamais3021 5 หลายเดือนก่อน +3

    Ndo tumejitoma huku kumpa hiki kipaji heko..huyu dogo kwa kweli anaeza...pokea zetu salaam 🇰🇪

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 5 หลายเดือนก่อน +4

    Umeomba sana dogo kaza 🔥🙌🇶🇦

  • @fredrickbodi6029
    @fredrickbodi6029 6 หลายเดือนก่อน +8

    Huu wimbo aivyoiachia jana kwakweli ndo wimbo ambao leo nausikiliza huu ndo wimbo wangu namba moja kwa huu mwezi yaan toka mwaka umeanza ndo wimbo wangu namba moja

    • @elialigoha9468
      @elialigoha9468 6 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa tangu mwaka umeanza hakuna Ngoma Kali kama.hii

  • @mikedon254
    @mikedon254 6 หลายเดือนก่อน +7

    Kama unaaminia kipaji cha huyu ndogo gonga like❤🇰🇪🙏🇹🇿

  • @ZachariaMwita-bu7rw
    @ZachariaMwita-bu7rw 5 หลายเดือนก่อน +4

    Big up sana dogo unaweza 💯🔥🔥🔥

  • @Kross27-n8d
    @Kross27-n8d 2 หลายเดือนก่อน +5

    Ihi ngoma Ni kali forever💯
    Daima mbele mwiko Mola #Niepushie #foundertz

  • @dirakidaramadhani369
    @dirakidaramadhani369 6 หลายเดือนก่อน +8

    Tunaomkubali founder tz nipeni like wanangu

  • @demotobutelo2674
    @demotobutelo2674 6 หลายเดือนก่อน +9

    Hongera sana dogo kwa kazi mzuri ❤

  • @NuruVitusi-mq3kn
    @NuruVitusi-mq3kn หลายเดือนก่อน +5

    Safi sana dogo Pambana mtegemee Mungu sana atakufikisha mbali

  • @mwalimjm8711
    @mwalimjm8711 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hapa Kenya walaihi napenda nyimbo zako sauti ni fine kabisaaa blazah❤ continue pushing bro your going well man

  • @KINGSHALA
    @KINGSHALA 6 หลายเดือนก่อน +14

    One love from kenya 🇰🇪🔥🔥🔥hii wimbo ni true story kwangu na kwako mafuns aki l love him 🇰🇪💥

    • @isha_king12pro
      @isha_king12pro 6 หลายเดือนก่อน +1

      Hapo sasa unyama sana ❤❤❤
      By_Director_isha_king B
      mtoto wa mama kandu

  • @dogoshemi3353
    @dogoshemi3353 6 หลายเดือนก่อน +7

    Dg tutazidi kuku push adi ufike malengo 💪💪

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 4 หลายเดือนก่อน +4

    huyu mtoto atakuja kuliteka soko la mziki wa bongo fleva maadamu asimamiwe na manejimenti bora tu aendako asijichanganye na miluzi mingi atulie sana kwenye kuchagua menejimenti ,amsikilize sana Babu tale atafika mbali sana mola mtangulizie hekima

  • @KrispinMassawe-e8b
    @KrispinMassawe-e8b 6 วันที่ผ่านมา +3

    Dogo Mungu akuepushie akufanyie wepesi ufanikiwe

  • @Mrmasila9549
    @Mrmasila9549 6 หลายเดือนก่อน +11

    Jamani aliye ludia hii video mala 32 naombeni like zangu 🙏🙏🙏❤🎉😊 naomba like kwa fujo Ngoma tam video Tam

  • @Kizzamusic
    @Kizzamusic 6 หลายเดือนก่อน +7

    Umenibadilisha imani nilijua ulibahatisha ila sasa naamini unaweza
    Name ndio shabikiyako namba 1
    Kikubwa muombe mungu tu
    Tunao mkubali dogo tu LIKE hii community
    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 10 วันที่ผ่านมา +3

    Unaweza sana namimi nitaendelea kukusapoti milele namilele

  • @elishangomele9937
    @elishangomele9937 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu hapokei rushwa,, Mungu akufanikishe mdogo wangu

  • @nature_world1
    @nature_world1 6 หลายเดือนก่อน +9

    Tumeamka watu wa usa 🇺🇸 ngoja tuisukume adi 270k😅

  • @KarinyoBlandTZ
    @KarinyoBlandTZ 6 หลายเดือนก่อน +9

    SIKU3 TRENDING NO1 anaebisha nani mondi na jay watashushwa kwa huu wimbo anaebisha nani??

  • @HarrizonAsitwa
    @HarrizonAsitwa 9 วันที่ผ่านมา +2

    Huu wimbo nao dah uko juu sana nausikiza siku nzima bila kuchoka mungu saidia huyu dogo na kipaji zaidi

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 5 หลายเดือนก่อน +4

    Utafika mbali sana mdogo wangu Inshallah ❤

  • @Mukomariboy
    @Mukomariboy 6 หลายเดือนก่อน +4

    Kama unaamini hii ndio next superstar talent Ya bongo fleva nipe likes

  • @vaddijmattycitty799
    @vaddijmattycitty799 6 หลายเดือนก่อน +7

    Big up brother kenya 🇰🇪 tunakupenda

  • @user-qc2kb4gj3c
    @user-qc2kb4gj3c 5 หลายเดือนก่อน +3

    Dogo sina la kusema unajua adi unakela kaza mungu atabless

  • @anniexyzeynat001
    @anniexyzeynat001 3 หลายเดือนก่อน +3

    Just listened to this song nikiwa kwa matatu, and immediately went to download , l like the message 💜💜💜💜

  • @David_Guetta93
    @David_Guetta93 6 หลายเดือนก่อน +6

    Is back Again musani wangu pendwa sana Asant kwa ujumbe wako muzuri hii wimbo hayiniishi hamu kila mda nabaki nawusikiliza😓😓😓🙌🙌🙌🙌🙌

  • @gideonpaulo2238
    @gideonpaulo2238 6 หลายเดือนก่อน +11

    Jaman walio ludia ngoma zaidi ya malambili kama mm gongo likes hata kumi tu tujuwane❤❤❤❤

  • @catherinegerald1620
    @catherinegerald1620 หลายเดือนก่อน +3

    Melodi nzuri sana. Dogo uje utoe rumba nzuri watu waburudike zaidi🎉🎉🎉

  • @mrcliffkaguru254
    @mrcliffkaguru254 5 หลายเดือนก่อน +4

    ❤❤mrcliff kaguru254 comedian hapa kenya nimekubali kazi safi

  • @maswaladigitalplatform.7613
    @maswaladigitalplatform.7613 6 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana dogo,, umewapita hadi hao wanao tuenyesha maisha yao ya chumbani,, nyimbo yako haijaisha kama movie za kibongo

  • @JanuaryYolamu
    @JanuaryYolamu 6 หลายเดือนก่อน +5

    kama unaamini kuwa niepushie ningoma nzur kuliko ata mapozi au why gonga like tusepe na founder tz mpaka 2025😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-pb8gy6vy8v
      @user-pb8gy6vy8v 6 หลายเดือนก่อน +1

      Iyo nikwel 😂😂😂🎉🎉

    • @JanuaryYolamu
      @JanuaryYolamu 6 หลายเดือนก่อน

      @@user-pb8gy6vy8v bonge langoma dogo yuko bomba sana

  • @user-qb4ix4mk3j
    @user-qb4ix4mk3j 5 หลายเดือนก่อน +4

    ❤❤umetisha dogoo💪💪

  • @FrancisMutua-iw4dl
    @FrancisMutua-iw4dl 4 วันที่ผ่านมา +1

    Founder tz umeweza👊🏾🔥🔥Dogo hatari

  • @gloriahlvlyn3423
    @gloriahlvlyn3423 6 หลายเดือนก่อน +5

    🇰🇪🇰🇪uyu mtoto anaweza jameni much love 💞💞💞

  • @user-xy2tv4fq1t
    @user-xy2tv4fq1t 6 หลายเดือนก่อน +5

    Imajin game ya Nigeria vs Cameroon inachezwa ya Afcon time umeachilia ngoma hii yako sa nakaa tu nikiicheza sifuatilii mpira tena😂💪 much love from messi kadenge 254.❤

  • @CatherineIkwila
    @CatherineIkwila 3 หลายเดือนก่อน +3

    Yan mpaka nikajikuta natokwa chozi daaaah we dogo atali❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mpaka ❤❤❤❤❤❤❤❤ tena

  • @NURUHASSAN-lm9cl
    @NURUHASSAN-lm9cl 3 หลายเดือนก่อน +5

    maisha yana mambo mengi mpka kuzishika shilingi
    utapitia mambo mengi mpka utasema eti mola hakupendi

  • @user-cs4nj4yn8d
    @user-cs4nj4yn8d 6 หลายเดือนก่อน +4

    Wa congo 🇨🇩 angaliyeni mtoto wenyu ❤❤🎉

    • @user-pb8gy6vy8v
      @user-pb8gy6vy8v 6 หลายเดือนก่อน

      Tunamuona🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EmmanuelMukumbwa-xh7vk
    @EmmanuelMukumbwa-xh7vk 6 หลายเดือนก่อน +6

    Jamani mpeni Maua founder huku ni lusaka Zambia

  • @HemedMjema
    @HemedMjema 2 หลายเดือนก่อน +5

    dogo ni fundi sana ana kipaji kikubwa sana na mziki anaujua sana hakika atafika mbali mwenyezi mungu amtangulie

  • @user-wt9gs5qz5t
    @user-wt9gs5qz5t 5 หลายเดือนก่อน +3

    utatisha mwanangu.nakuombea usiogope

  • @adamjonasi8078
    @adamjonasi8078 6 หลายเดือนก่อน +5

    Itoshe kusema dogo anajua sanaaa 🙌🙌

  • @juliusmwanza1815
    @juliusmwanza1815 6 หลายเดือนก่อน +5

    Yani dogo fikra zake za kiutu uzima..Mungu akuzidishie kipaji ufike mbali🇰🇪🇰🇪

  • @user-js4rz5ee1l
    @user-js4rz5ee1l 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akusaidie ufike mbali mdgo angu❤

  • @josphatibrahim4136
    @josphatibrahim4136 5 หลายเดือนก่อน +3

    Konde Music wanafaa kusign haka katoto. Huyu ataenda mbali sana.

  • @YudasEmmanuel
    @YudasEmmanuel 6 หลายเดือนก่อน +8

    Dogo una vitu vingi sana kichwani mwako, ngoma zako ni fundisho sana kwa jamii, mungu akubariki sana

  • @SifunaAustineSifuna
    @SifunaAustineSifuna 6 หลายเดือนก่อน +4

    Waa kijana wakushitua tz ni huyu ❤❤bambana dogo Kenya twakupenda

  • @mercychisulo-ke9kd
    @mercychisulo-ke9kd หลายเดือนก่อน +2

    Great talent you are the next big artist my Zambian 🇿🇲 people let's show him love ❤ much love from Zambia darling

  • @DouglasAchoki
    @DouglasAchoki 2 หลายเดือนก่อน +5

    ❤❤❤❤kijana ako poa utaenda far nakuombea mema

  • @azihzah57
    @azihzah57 6 หลายเดือนก่อน +5

    Nmefika huku from Kenya 🇰🇪 wapy likes zetu kwa dogo🔥🔥🔥

  • @chidzodunda
    @chidzodunda 4 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mtoto mungu azidi kumbariki na kipaji chake❤❤

  • @paxog
    @paxog 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kazi nzuri bro 2024 ni yako❤🇺🇲🇺🇲

  • @officialritchie4708
    @officialritchie4708 6 หลายเดือนก่อน +6

    Uk vzur sana kijana mdogo ila nakutabiria na kukuombea utakuja kuw msanii mkubwa tz, east africa na africa kwa ujumla.... likes button kwa ajili ya wish hi 👇

  • @DoctorEvarist
    @DoctorEvarist 6 หลายเดือนก่อน +4

    Acha tujipoze na hii mdogo wangu ❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏

  • @user-tx4uh3qj4s
    @user-tx4uh3qj4s 5 หลายเดือนก่อน +2

    Janja inshaalaaah alah afany wepesi na huu mwaka tutatoboa tu hata kwa tochi an nakukubali sana ❤❤❤

  • @AdrianSabudema-mn9tn
    @AdrianSabudema-mn9tn 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mwambaaa endelea upo vizuri,
    Endelea kuimba mashairi yenye mafunzo kwa jamii utatoboa tu na nyimbo zako zitaishi sana mioyoni mwa watu,
    Watu hata huku vijijini wanazipenda sana kila rika ,wakubwa kwa watoto maana hazina matusi,
    Tuliho kifura kibhondo

  • @user-nx8de1om4k
    @user-nx8de1om4k 6 หลายเดือนก่อน +5

    Nakupenda bure mdogo wangu pia mungu akufanyiye wepesi utimize ndoto zako amen🙏🙏

  • @nasorohusein-uz4hv
    @nasorohusein-uz4hv 6 หลายเดือนก่อน +7

    Daaah nyimbo imenigusa Sana 😭 🙏 mungu akufungulie njia zaidi

  • @OlipaDaglass
    @OlipaDaglass 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nimejukuta nalia daah pambana mdog wangu nakupenda ❤️ ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wenye pesa wamshike huyu Dogo mkono huu wimbo apate video nzuri. Nimwimbo mkali Sana kwa ujumbe uliomo

  • @saumuhamadi-wo7st
    @saumuhamadi-wo7st 6 หลายเดือนก่อน +5

    Waeza sana bro naipata nkiwa ndani ya saudi iko swa ❤❤❤❤

  • @juniorplatnumz5147
    @juniorplatnumz5147 6 หลายเดือนก่อน +5

    Founder tz Nakukubali sanaaaa hapa Kenya. Lazima utatoboa❤❤🌟🌟🌟🌟

  • @pauljuwala6468
    @pauljuwala6468 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ee mungu akuepushe na nuksi mikosi ufikie ndoto zako unajua sana dogo langu

  • @okeyJackson998
    @okeyJackson998 5 หลายเดือนก่อน +3

    Only One From Congo 🇨🇩❤ Nipeni Like Zangu ❤🥰

  • @viralmovie149
    @viralmovie149 6 หลายเดือนก่อน +11

    I was suggested here while listening to the song “Dupe - BULLETPROOF” 😮😮