Kama unamkubali kijana wenu likes hapa tufike 1k views tunataka kujua Kenya, Tanzania,Somali, Uganda, Sudan and Ethiopia ni wangapi wengi fans kwa Ndogo wetu
Hii nyimbo imenigusa aise tena nimelelewa na Single Mother kuna muda unataka ulaumu ila unashindwa mana hujui nani mwenye kosa Embu naombeni hata like 10 tu 😢😢
Mtoto huyu kipaji sana , mashairi yake yanachoma sana,anaimba vitu vya maana,anaburudisha,anaelimisha na anamuabudu Mungu ampishie na mabaya ya Dunia. Daah htr tupu
Najipata nasikiliA uku chozi lanitoka Sina uwezo Wala Mimi sio marufu SI msanii sio muigizaji Wala sio mchekeshaji pia Sina uwezo wa kumsapoti uyu mtoto ila ningekua na uwezo mungu ningekua karibu nae adi nione amefanikiwa ndo niachane nae ila kaka nakuombea mungu ❤❤❤❤ utafanikiwa inshallah amini mungu yupo
Huu wimbo aivyoiachia jana kwakweli ndo wimbo ambao leo nausikiliza huu ndo wimbo wangu namba moja kwa huu mwezi yaan toka mwaka umeanza ndo wimbo wangu namba moja
huyu mtoto atakuja kuliteka soko la mziki wa bongo fleva maadamu asimamiwe na manejimenti bora tu aendako asijichanganye na miluzi mingi atulie sana kwenye kuchagua menejimenti ,amsikilize sana Babu tale atafika mbali sana mola mtangulizie hekima
Umenibadilisha imani nilijua ulibahatisha ila sasa naamini unaweza Name ndio shabikiyako namba 1 Kikubwa muombe mungu tu Tunao mkubali dogo tu LIKE hii community ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Imajin game ya Nigeria vs Cameroon inachezwa ya Afcon time umeachilia ngoma hii yako sa nakaa tu nikiicheza sifuatilii mpira tena😂💪 much love from messi kadenge 254.❤
Uk vzur sana kijana mdogo ila nakutabiria na kukuombea utakuja kuw msanii mkubwa tz, east africa na africa kwa ujumla.... likes button kwa ajili ya wish hi 👇
Mwambaaa endelea upo vizuri, Endelea kuimba mashairi yenye mafunzo kwa jamii utatoboa tu na nyimbo zako zitaishi sana mioyoni mwa watu, Watu hata huku vijijini wanazipenda sana kila rika ,wakubwa kwa watoto maana hazina matusi, Tuliho kifura kibhondo
D voice ana la kujifunza kama unaungan n mim gonga like
Kama unamkubali kijana wenu likes hapa tufike 1k views tunataka kujua Kenya, Tanzania,Somali, Uganda, Sudan and Ethiopia ni wangapi wengi fans kwa Ndogo wetu
Top🎉
Nina mkubali huyu dogo
Hakika mm pia nimemkari huyu mtoto yaani diamandi aendelee kumpa,faraja anaimba vizuri2
🎉❤❤
Anaye mkubali dogo founder tz agonge like🎉🎉🎉🎉mpeni.maua yake
Watching from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪The Best song ever 🔥🔥
Wapi likes za Kenya🔥🔥🔥
Sisi Kenya Huwa tunasapoti watanzania na Huwa hamtupii likes, nipeni likes 20 tukisonga 🔥💯☑️☑️☑️☑️☑️☑️
Wakenya hatufeki upendo Yani tupo real
@@willymoaziz254 sure💯
If I had a record label I will record you ASAP❤ .... BIG TALENT Kenyans let's gather here🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ke
Love❤ brother 🎉
Mungu muepushe na wasafi watazima nyota yake😢😢❤
Wanaoendelea kumkubali dogo wekeni like hapaaaaaa
kama unamkubali founder tz gonga like bx nipate ata kumi tumsapoti dogo🙏🙏
Hii nyimbo imenigusa aise tena nimelelewa na Single Mother kuna muda unataka ulaumu ila unashindwa mana hujui nani mwenye kosa
Embu naombeni hata like 10 tu 😢😢
Bwana mdogo upo vzr
Utafika mbali
Fanya kama Wewe
Usiwape wajanja wakutumie hiki kipaji ni chako mwenyewe
Dogo anakimbiza trending ata bila kiki wapi maua yake founder tz❤❤
Sisi kama wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tutazidi kusimama na watanzania wapi like s zangu watanzania
Wakwanza 🇺🇸 💯💯💯nipeni likes zangu 💯🙏🏿
Chukua 😅
Chukua🎉🎉🎉
Mashallah dogo❤❤, keep going son
Mdogoangu mungu akubaliki sana
@@DorcasNamafu-dk2rn pitia na kwangu tafazali
Mtoto huyu kipaji sana , mashairi yake yanachoma sana,anaimba vitu vya maana,anaburudisha,anaelimisha na anamuabudu Mungu ampishie na mabaya ya Dunia.
Daah htr tupu
Foundertz foundertz foundertz nmekuita Mara tatu km kusoma tumesoma lkn tupo wap wewe simamia unachokiamini...❤❤❤
Walioplay hii nyimbo zaidi ya mala Moja naomba like zenu🔥🔥🔥
Uyu dogo ana kipaji kikubwa kweli 🔥🔥
Dogo unajua kuandika nakuimba ii ngoma imegusa moyo wangu Allah akufanyie wepesi utafika mbali
Dah dogo mshairi gwiji wewe 🔥🔥zidi kuzidi twakuombea mema na makuu na mola atuepushie sote🙏
D voice unasikia mwamba huyo???nyimbo 10 za D voice anazifuta kunyimbo moja tuuu,,,❤❤❤❤
Oya wewe unamaono sanaaa tena sanaaaaa
Mwenyeshida amufwate muganga dogo anajuwa
Kweli anajua
Aliotazama zaidi ya mara mbil kama mim gonga like 👍 🔥🔥🔥😍😍😍
Kama una mkubali Founder TZ tujuane kwa like ❤❤❤❤❤
Nimependa sana ujumbe na uimbaji wako umewazidi hata wasanii wengine wanaojiita wakubwa God bless u my brother.100%
Hata wasafi wakikataa hii nyota kijana twampenda kenya,wapi likes za founder 😢 😢😢❤❤❤
#ZagaKenya
Tunahohangalia mara kumi 10 tujuwane ❤️❤️❤️❤️kutoka hapa labda mda wa match ya Congo uheneye🇨🇩👌🥰❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Wakwanza from USA 🇺🇸 ♥️ ❤️ 💕 wapi likes zangu
Huyu dogo namkubali tena sana. Much love ❤ from 254🇰🇪
Amna kitu kaka, uo mziki apa Tanzania huwez uza, the music business no longer needs this song type in EA market labda aswitch
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 Kenyan well represented here
Team founder naomba like
Diamond platnum anaona mbal lakin hii zahabu imempitaaa 😢😢 aisee d voice ata robo afikii
❤❤❤❤❤❤ noma sana mungu akusimamie tunakuombea uzidi fanikiwa
Kama unaaamini hii ngoma utaenda trending nipe like zangu🔥🔥
Najipata nasikiliA uku chozi lanitoka Sina uwezo Wala Mimi sio marufu SI msanii sio muigizaji Wala sio mchekeshaji pia Sina uwezo wa kumsapoti uyu mtoto ila ningekua na uwezo mungu ningekua karibu nae adi nione amefanikiwa ndo niachane nae ila kaka nakuombea mungu ❤❤❤❤ utafanikiwa inshallah amini mungu yupo
Ndo tumejitoma huku kumpa hiki kipaji heko..huyu dogo kwa kweli anaeza...pokea zetu salaam 🇰🇪
Umeomba sana dogo kaza 🔥🙌🇶🇦
Huu wimbo aivyoiachia jana kwakweli ndo wimbo ambao leo nausikiliza huu ndo wimbo wangu namba moja kwa huu mwezi yaan toka mwaka umeanza ndo wimbo wangu namba moja
Kweli kabisa tangu mwaka umeanza hakuna Ngoma Kali kama.hii
Kama unaaminia kipaji cha huyu ndogo gonga like❤🇰🇪🙏🇹🇿
Big up sana dogo unaweza 💯🔥🔥🔥
Ihi ngoma Ni kali forever💯
Daima mbele mwiko Mola #Niepushie #foundertz
Tunaomkubali founder tz nipeni like wanangu
Mimi Nina mkubali haswaaaa bila unafki
Hongera sana dogo kwa kazi mzuri ❤
Safi sana dogo Pambana mtegemee Mungu sana atakufikisha mbali
Hapa Kenya walaihi napenda nyimbo zako sauti ni fine kabisaaa blazah❤ continue pushing bro your going well man
One love from kenya 🇰🇪🔥🔥🔥hii wimbo ni true story kwangu na kwako mafuns aki l love him 🇰🇪💥
Hapo sasa unyama sana ❤❤❤
By_Director_isha_king B
mtoto wa mama kandu
Dg tutazidi kuku push adi ufike malengo 💪💪
huyu mtoto atakuja kuliteka soko la mziki wa bongo fleva maadamu asimamiwe na manejimenti bora tu aendako asijichanganye na miluzi mingi atulie sana kwenye kuchagua menejimenti ,amsikilize sana Babu tale atafika mbali sana mola mtangulizie hekima
Dogo Mungu akuepushie akufanyie wepesi ufanikiwe
Jamani aliye ludia hii video mala 32 naombeni like zangu 🙏🙏🙏❤🎉😊 naomba like kwa fujo Ngoma tam video Tam
Umenibadilisha imani nilijua ulibahatisha ila sasa naamini unaweza
Name ndio shabikiyako namba 1
Kikubwa muombe mungu tu
Tunao mkubali dogo tu LIKE hii community
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Unaweza sana namimi nitaendelea kukusapoti milele namilele
Mungu hapokei rushwa,, Mungu akufanikishe mdogo wangu
Tumeamka watu wa usa 🇺🇸 ngoja tuisukume adi 270k😅
SIKU3 TRENDING NO1 anaebisha nani mondi na jay watashushwa kwa huu wimbo anaebisha nani??
Huu wimbo nao dah uko juu sana nausikiza siku nzima bila kuchoka mungu saidia huyu dogo na kipaji zaidi
Utafika mbali sana mdogo wangu Inshallah ❤
Kama unaamini hii ndio next superstar talent Ya bongo fleva nipe likes
Big up brother kenya 🇰🇪 tunakupenda
Dogo sina la kusema unajua adi unakela kaza mungu atabless
Just listened to this song nikiwa kwa matatu, and immediately went to download , l like the message 💜💜💜💜
Is back Again musani wangu pendwa sana Asant kwa ujumbe wako muzuri hii wimbo hayiniishi hamu kila mda nabaki nawusikiliza😓😓😓🙌🙌🙌🙌🙌
Jaman walio ludia ngoma zaidi ya malambili kama mm gongo likes hata kumi tu tujuwane❤❤❤❤
Miye mara tano
20
Toka jana ilipo toka napiga usiku kucha had now
❤️❤️❤️❤️
daaaah hii song ni kwamba dogo kaona mbali snaa
Melodi nzuri sana. Dogo uje utoe rumba nzuri watu waburudike zaidi🎉🎉🎉
❤❤mrcliff kaguru254 comedian hapa kenya nimekubali kazi safi
Safi sana dogo,, umewapita hadi hao wanao tuenyesha maisha yao ya chumbani,, nyimbo yako haijaisha kama movie za kibongo
kama unaamini kuwa niepushie ningoma nzur kuliko ata mapozi au why gonga like tusepe na founder tz mpaka 2025😂😂😂😂😂😂😂😂
Iyo nikwel 😂😂😂🎉🎉
@@user-pb8gy6vy8v bonge langoma dogo yuko bomba sana
❤❤umetisha dogoo💪💪
Founder tz umeweza👊🏾🔥🔥Dogo hatari
🇰🇪🇰🇪uyu mtoto anaweza jameni much love 💞💞💞
Imajin game ya Nigeria vs Cameroon inachezwa ya Afcon time umeachilia ngoma hii yako sa nakaa tu nikiicheza sifuatilii mpira tena😂💪 much love from messi kadenge 254.❤
Yan mpaka nikajikuta natokwa chozi daaaah we dogo atali❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mpaka ❤❤❤❤❤❤❤❤ tena
maisha yana mambo mengi mpka kuzishika shilingi
utapitia mambo mengi mpka utasema eti mola hakupendi
Uko sahh
Wa congo 🇨🇩 angaliyeni mtoto wenyu ❤❤🎉
Tunamuona🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani mpeni Maua founder huku ni lusaka Zambia
dogo ni fundi sana ana kipaji kikubwa sana na mziki anaujua sana hakika atafika mbali mwenyezi mungu amtangulie
utatisha mwanangu.nakuombea usiogope
Itoshe kusema dogo anajua sanaaa 🙌🙌
Yani dogo fikra zake za kiutu uzima..Mungu akuzidishie kipaji ufike mbali🇰🇪🇰🇪
Mungu akusaidie ufike mbali mdgo angu❤
Konde Music wanafaa kusign haka katoto. Huyu ataenda mbali sana.
Dogo una vitu vingi sana kichwani mwako, ngoma zako ni fundisho sana kwa jamii, mungu akubariki sana
Waa kijana wakushitua tz ni huyu ❤❤bambana dogo Kenya twakupenda
Great talent you are the next big artist my Zambian 🇿🇲 people let's show him love ❤ much love from Zambia darling
❤❤❤❤kijana ako poa utaenda far nakuombea mema
Nmefika huku from Kenya 🇰🇪 wapy likes zetu kwa dogo🔥🔥🔥
Huyu mtoto mungu azidi kumbariki na kipaji chake❤❤
Kazi nzuri bro 2024 ni yako❤🇺🇲🇺🇲
Uk vzur sana kijana mdogo ila nakutabiria na kukuombea utakuja kuw msanii mkubwa tz, east africa na africa kwa ujumla.... likes button kwa ajili ya wish hi 👇
Acha tujipoze na hii mdogo wangu ❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏
Janja inshaalaaah alah afany wepesi na huu mwaka tutatoboa tu hata kwa tochi an nakukubali sana ❤❤❤
Mwambaaa endelea upo vizuri,
Endelea kuimba mashairi yenye mafunzo kwa jamii utatoboa tu na nyimbo zako zitaishi sana mioyoni mwa watu,
Watu hata huku vijijini wanazipenda sana kila rika ,wakubwa kwa watoto maana hazina matusi,
Tuliho kifura kibhondo
Nakupenda bure mdogo wangu pia mungu akufanyiye wepesi utimize ndoto zako amen🙏🙏
Daaah nyimbo imenigusa Sana 😭 🙏 mungu akufungulie njia zaidi
Nimejukuta nalia daah pambana mdog wangu nakupenda ❤️ ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Wenye pesa wamshike huyu Dogo mkono huu wimbo apate video nzuri. Nimwimbo mkali Sana kwa ujumbe uliomo
Waeza sana bro naipata nkiwa ndani ya saudi iko swa ❤❤❤❤
Founder tz Nakukubali sanaaaa hapa Kenya. Lazima utatoboa❤❤🌟🌟🌟🌟
Ee mungu akuepushe na nuksi mikosi ufikie ndoto zako unajua sana dogo langu
Only One From Congo 🇨🇩❤ Nipeni Like Zangu ❤🥰
I was suggested here while listening to the song “Dupe - BULLETPROOF” 😮😮