Maasha Allah Bibi ninekuornda bure Alla kuhifadhi akupe afya daima na mwisho mwema in sha allah kua unajistir maana Una imaan ya quruan ,,,na quruan inatwambia tujistir Bibi yangu na swalaa swali atakulinda zaid
Astakafiru llaah tumuogopeni m mungu jamani wao wanajua hawatazeeka ama mana asahivi wakiona mzee tu hao wasiOkuwa na hofu na Allah wenyewe hawatazeeka labda jamani pole mama m mungu akupe mwisho mwema
Pole mama hakuna mchawi aue watoto wooote asibakize hata mmoja kweli?ni mitihani ya dunia majaribu tumeumbiwa binadamu ila afadhali uko na wajukuu Mungu ni mwema 🙏🏻
Mmmm. Mtihani kwakweli lisemwalo lipoooo jamani jamiii zetu za kiafrica kitu km hicho Mimi binafsi sishangai.ila muom ee mungu sana akuvue huo mtihani mkubwaaa sana mwenyez awe pamoja nawewe
Pole bb kwa huo mtihani wa Nakuambia mchaei wana ushahid gani adhana mbaya Mshukuru mungu ila bibi jistili na uswali umshatikie mungu kwa kusingizia mungu atakulipia
Pole mama kwa mitihani watoto 12 huna huna hata moja mtihani mungu atakusaidia ishaalah kama ni mwislam swali sana na kumuomba mungu kama ni mkristo hayo ni mengine😮
Bibi anakumbukumbu jaman anataja had mwez na tarehe😅Mm mama angu nikimuuliza trh yng ya kuzaliwa hakumbuki au atataja ck ukimuuliza Tena anataja nyngn mara nyngn Anakwmbia me ckumbuki bhn😅huw nacheka san yeye kazaliw 54, Ila hy asee anakumbukumbu mno had raha mashaallah
Jina la bibi ni nani ... Mimi ningeshauri abadilishe jina anaweza kupata bahati akapata maisha mazuri inawezekana jina lake ndio linamtia mikosi .... Kujaribu sio kushindwa na pia ajitahidi kuwa karibu na mungu .. na pia asiwaze saana manake hamna marefu yasiyo na ncha baada ya dhiki faraja
We hakuna mchawi anakubali kuapa kwa msahafu ata siku moja ila yy yuko tayari kwa hilo kwa ujasiri wote..it means si mchawi ni maisha tu mawazo yanamfanya apoteze muonekano
Pole bibi na mungu alikunusuru na edisi ( kipind hicho waitwa hivyo ) maana c kwa kudanga danga huko 😂sasa hv wajukuu wanakuita mchawi ukifa watagombania nyumba hiyo 😢
Mbwaaa kafiri wewe huna hata haya embu zungukia ukoo wako wote uone kama hamna bibi au ata shangapi mwenyee sura personal ilozeeka haswaaa roho mbaya tu inakusumbua shenziiiiiii
Pole Bibi yetu Mungu akupe faraja kuondokewa na Watoto 12 ni mtihani.pia jitahidi kufunika na kichwa Bibi yetu
Ili iwaje
@@masalakulwa7601 hivyo alivyojiachia yupo uchi lazima ajifunike vyema nimtu mzima pia
@@bahatihassan5413 kweli Kabisa
Pole sana jamani watu wana imani mbaya sana kila mzee wamuita mchawi ujana haudumu kuzeeka lazima😢😢😢
Bibi jistili hizo nywele zisionekane jistili mama angu nakupenda kwa ajili ya allah
Allah Atakufanyia Wepesi In Sha Allah 🤲 Na Mitihani Iliokufika.
Maasha Allah Bibi ninekuornda bure Alla kuhifadhi akupe afya daima na mwisho mwema in sha allah kua unajistir maana Una imaan ya quruan ,,,na quruan inatwambia tujistir Bibi yangu na swalaa swali atakulinda zaid
Astakafiru llaah tumuogopeni m mungu jamani wao wanajua hawatazeeka ama mana asahivi wakiona mzee tu hao wasiOkuwa na hofu na Allah wenyewe hawatazeeka labda jamani pole mama m mungu akupe mwisho mwema
Pole bibi na changamoto na hongera kwa kuwa na mwili mzuri ni mkakamavu vizuri
Pole mama hakuna mchawi aue watoto wooote asibakize hata mmoja kweli?ni mitihani ya dunia majaribu tumeumbiwa binadamu ila afadhali uko na wajukuu Mungu ni mwema 🙏🏻
Wote tumeona kama bibi ni nomaa. Lkn tunaogopa kucoment. Hila mmmmmmhh hapana kwa kweli.
Huyu bibi ni shida tu ndio imemuonyesha mzeee sana
Miaka 75 sio mingi...
Mmmm. Mtihani kwakweli lisemwalo lipoooo jamani jamiii zetu za kiafrica kitu km hicho Mimi binafsi sishangai.ila muom ee mungu sana akuvue huo mtihani mkubwaaa sana mwenyez awe pamoja nawewe
Kwa hiyo mchawi muogope allah
Pole sana bibi' ALLAH Atakujaalia Kheri bibi
Yan jaman wengne hatujawaona bibi zetu ata kwa picha alaf watu wanabibi wanamchezea😢😢Mungu atamlpa uyo mjukuuu
Pole bibi
Bibi kweli amekonda japo simjui hakuna mchawi wa kuuwa watoto wake wote
Pole bb kwa huo mtihani wa Nakuambia mchaei wana ushahid gani adhana mbaya
Mshukuru mungu ila bibi jistili na uswali umshatikie mungu kwa kusingizia mungu atakulipia
Pole sana bibi Mungu atakujalia wepesi
Mtu ukizeeka Sura inabadilika ngozi mtazamo huitwa mchawi lakini bibi yetu ni yule yule tumsaidieni
Pole sana bibi Allah atakupa subra
Mmmm bora tuseme Allah atuhifathi to
Duni imefik pabaya wat tumekuw wabaya kila mzee anaitwa mcaw atass tunaelekey uko kiukwel inauma sana
Pole bibi tupo pamoja nitakuja kukutembelea
Bibi mawazo mengi aliyoyapitia si mchezo kuzika watoto wote awo tumsaidie tu
Pole mama kwa mitihani watoto 12 huna huna hata moja mtihani mungu atakusaidia ishaalah kama ni mwislam swali sana na kumuomba mungu kama ni mkristo hayo ni mengine😮
Mungu ni mmoja
Pole sana bibi unajieleza vizur👌asaada Kwa bibi jmn🙏
Sema anatisha
Kweli wee mwuache mungu
Mh Mungu wangu Bibi anatisha akiangalia dah mpaka unasisimka
Watu wakiona umezeeka sura ikibadirika unaitwa mchawi😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu atakupa subra bibi, ila tumsaidieni bibi anahitaji msaada
Jamani jamani hiyo Sura sasa
Pole sana bibi
Kaka Zahir kabla ya kuwahoji watu Kama hawa uwe unawaambia wanajistiri kwanza
Pole Sana bibi😢😢
KAKA ZAHIR MUULIZE YEYE MUISLAM AJISTIRI KUJITANDIYA
POLE SANA DADA
Bibi anakumbukumbu jaman anataja had mwez na tarehe😅Mm mama angu nikimuuliza trh yng ya kuzaliwa hakumbuki au atataja ck ukimuuliza Tena anataja nyngn mara nyngn Anakwmbia me ckumbuki bhn😅huw nacheka san yeye kazaliw 54, Ila hy asee anakumbukumbu mno had raha mashaallah
Daah inauma sana! Kuzika watoto wewe unabaki nyuma😢
Jina la bibi ni nani ... Mimi ningeshauri abadilishe jina anaweza kupata bahati akapata maisha mazuri inawezekana jina lake ndio linamtia mikosi .... Kujaribu sio kushindwa na pia ajitahidi kuwa karibu na mungu .. na pia asiwaze saana manake hamna marefu yasiyo na ncha baada ya dhiki faraja
😢😢😢 Subhanallah Pole sana bibi 😢😢 Binaadam jamani 😢
pole san bibi
Nipo nipo kama sipo 😂
Mpeleke kwa kuhani musa tuone kama kweli ni mchawi au la
Sio mchawi ni uzee tu
We hakuna mchawi anakubali kuapa kwa msahafu ata siku moja ila yy yuko tayari kwa hilo kwa ujasiri wote..it means si mchawi ni maisha tu mawazo yanamfanya apoteze muonekano
Maybe she's a victim of witchcraft not a witch. 😪
Maskini jamani mwenyezi Mungu akupiganie bibi yetu
Watu kama hawa hatuamini ila Masada wa kwanza aende kwenye Dua mtajuwa ukweli upi
we mwenyewe sikuamini..
Leo wa kwanza nimewahi nashukuru. Mungu alhadulilah😅
😂 kanakwamba umewahi peponi 😅😅
Pole sana bibi mungu atakufariji 😢😢😢
Jina la bibi ni nani ... Mimi ningeshauri abadilishe jina anaweza kupata bahati akapata maisha mazuri
Pole bibi na mungu alikunusuru na edisi ( kipind hicho waitwa hivyo ) maana c kwa kudanga danga huko 😂sasa hv wajukuu wanakuita mchawi ukifa watagombania nyumba hiyo 😢
Pole bb
Hila bibi hanaogopesha 😥
Bwanawee
Astaghfirullah malipo duniani
Huyu bibi kama namfahamu
Au nimefananisha huyu namjua
Bibi msomi huyu anakumbukumbu nzuri sana
Hata ukimuangalia ana roho mbaya tu
hii comment yako yaonyesha UNA ROHO MBAYA
Ati nlikua nadangadanga😂😂
Bibi hajiadabii huyu ila kajiseme kweli nimecheka
Bibi nimependa maneno yake
Zahir unatukera na hizo background music
Eti apelekwe wap!😂😂😂 Imani zingine bwana duuuh
Alafu iyo camera inavomzoom 😂😂😂 duh sicheki kwa furaha mana nafikiria hii yangu itakuwaje na nitaitwaje mm jmn nikiwa mzee😂
😂😂we mjinga hasaa
😂😂😂😂 astakafirullah Yani wew umenifanya nicheke Mungu anisamehe
@@dijahmriri523 weee ndugu yangu uzee mtihani voo 🤣🤣🤣🤣
@@raiyanrahull1734 ndugu hujaona ivo anavovutwa na camera🤣🤣🤣
Shetani ni muongo sana 😅😅bibi tumchangie tu tusiangalie menghne kila mtu na yake akizeeka 😅
Ety nilikua na danga dangaa jamaan bb
wanauwagaa hakuna mtu mbaya kama mchaw Hana maanaa kabisa mchawi
eti janet yule bibiako alikuwa nchawi??!
. mungu you
Ila surua iliuwa sana watoto miaka ya nyuma
Hiii😢😮
😢😢😢
Jamani bibi ati nilikuwa nadangadanga tu😂😂
😂😂😂😂😂😂 bibi weweee eti nilikuwa nadangadanga tuu
Bibi naye Ali dangadanga kumbe shuhuli ilianza kitambo
we mwenyewe utazeeka na watashangaa kama huyu bibi nae !!....
Sema nini bibi sura yako tu inaonekana ww mchawi tu
Subhanallah Allah atakujibu utapofikia uzeeni
Mbwaaa kafiri wewe huna hata haya embu zungukia ukoo wako wote uone kama hamna bibi au ata shangapi mwenyee sura personal ilozeeka haswaaa roho mbaya tu inakusumbua shenziiiiiii
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Mtihani kwa kweli
Pole sana bibi yangu
Uyo Bibi aende kwenye maombi sura yake inaogopesha mbona
@@HadijaMsiba-hs1ks😂😅😅😅 duuuh jamani 😊
@@HadijaMsiba-hs1ks yan nimemugopa kwer
😂😂 mzee anajuwa maana ya kudanga, ila mashaalah anakasauti kazuri
Allaah yupoo naweee wachana na Manenoo yakishetwaniii hanaa dini Huyooo …. muachiyee mwenyezimngu
Kwani kakwambia hana dini
Nakwambia 😂😂😂😂😂😂
❔❔❔❔
Mwenzangu 12😢
❔❔
Mbona kama mchawi kweli
Asante kwa kushea mawazo nami
Jamanii. Jananii
ACHA UJINGA
Msenge wewe !mchawi anafananaje?
😂😂😂😂😂😂jamn umenichekesha
Pole sana bibi