Sio wanaume wote, wanaume wengine hawapendi wake zao wawategemee wanataka mwanmke ajitegemee ndio maana haonekani wa maana mbele ya mke wake mke utakuta anajivisha mwenyewe na watoto pia ananunu chakula na mwanamme kazi yake kumsifia mke wake kwa kuweza kusimama ktk kujitegemea je huyo mwanamme atahitajika mbele ya mke wake au kuonekana kuhitajika
Ameeeeen kwa mafundisho hayo Mazur kwa wana ndowa
Asante sana pastor umenisaidia mahali nitalekebisha barikiwa sana
Hakika n kweli tupu mafundisho yako,Mungu akubariki Mch.Mmbaga.
Jamani nimegundua Kwenye masomo yako kunamadi🙏
Umenibariki sana mchungaji ubarikiwe sana
asante pastor,Mungu aendelee kukutumia
Ubarikiwe pastor kwa mafundisho
Amen
Asande kwa mafunzo mazuri sana
Ee mungu tusaidie sisi vijana tuwe na ndoa nzuri.
Hahahaaaahhh umenifundisha sana nakunifurahisha pia Amen
I like Pr mmbaga🙏
Sio wanaume wote, wanaume wengine hawapendi wake zao wawategemee wanataka mwanmke ajitegemee ndio maana haonekani wa maana mbele ya mke wake mke utakuta anajivisha mwenyewe na watoto pia ananunu chakula na mwanamme kazi yake kumsifia mke wake kwa kuweza kusimama ktk kujitegemea je huyo mwanamme atahitajika mbele ya mke wake au kuonekana kuhitajika
Asanteee
Atina Minzani nitakuwa mwema ktk ndoa yangu pamoja na family yang
+Lydia Majula Ubarikiwe
Amina mtumishi wa mungu
asante kwa mafundisho mazuri naomba mungu aniwezeshe ili nitakapopata mume wangu niweze kuyatekeleza haya kwa mapenzi ya mungu
Margrate Matuku Mungu akupe
+Mahubiri Kiswahili Tv amen pastor am humble let his will be done....
natafuatilia mahubiri yako nikiwa Kenya
Margrate Matuku Baba akusaidie
Pastor napenda sana ushauri na masomo yako. Mungu akilinda.
Mungu akulinde Parstor.
Kweli kabisa. We baba mchungaji unajua
Laini From Heaven
Hongera pr mmbaga