MTU MREFU KULIKO WOTE TANZANIA/MPENZI WAKE ANAMFIKIA KIUNONI/KITANDA ANACHOLALA/CHANGAMOTO/STAMINA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2020
  • Mtu ambaye anadaiwa kuwa ni mrefu zaidi Tanzania, amefunguka na kusema anapata changamoto nyingi akiwa katika maneno ya watu kutokana na urefu wake.MTU MREFU KULIKO WOTE TANZANIA/MPENZI WAKE ANAMFIKIA KIUNONI/KITANDA ANACHOLALA/CHANGAMOTO/STAMINA
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 128

  • @afyayangutime8738
    @afyayangutime8738 3 ปีที่แล้ว +1

    Ishallah mwenyezi Mungu azifanye changamoto zake kuwa mafanikio yake kupitia umbile lake

  • @salhamrishoaish9292
    @salhamrishoaish9292 4 ปีที่แล้ว +6

    Jamani mimi mtangazaji unanichesha ila 😂😂😂ila pore umepatatikana maana sikwaufupi huo mimi nainjoi hapa naona m2 mrefu na mfupi

  • @daughterofziontv530
    @daughterofziontv530 3 ปีที่แล้ว

    But he is handsome, I love his voice, Gods plan I like how God does his things

  • @drraizkidume867
    @drraizkidume867 4 ปีที่แล้ว +3

    Haka kajamaa karefu kweli dhuuu.. Mi namfikia mpajani tuum from Mozambique

  • @kemalswaleh9527
    @kemalswaleh9527 3 ปีที่แล้ว

    Ilove u a voice and u a height

  • @tatushoke6856
    @tatushoke6856 4 ปีที่แล้ว

    pole mtangazaji mana wabadili mikono du mwanakulitaka mwanakulipata mana hapa nacheka mpaka bc hhhhhhhh carry mtangazaji wako kakoma hhhhhhh mara kwapani da pole love

  • @mukaplatnumz2313
    @mukaplatnumz2313 4 ปีที่แล้ว +4

    Mhhhhhhhh hivi kama walete shindano la mapambano nyie wawili nani ambaye anaweza kumchapa mwenzake? 😂😂😂 Brother yuko vizuri mno kwenye kuchuma hembe mtini kwake ateseki.

  • @kemalswaleh9527
    @kemalswaleh9527 3 ปีที่แล้ว

    Waoooh nice

  • @leonardmanyanza1058
    @leonardmanyanza1058 4 ปีที่แล้ว +3

    Jamaa limetulia kwenye interview halina wenge

  • @Soccer_Life2
    @Soccer_Life2 4 ปีที่แล้ว

    mbofinya link kuwona movie part 1 th-cam.com/video/E4IgUJ-4-Go/w-d-xo.html

  • @bahatijoseph8763
    @bahatijoseph8763 3 ปีที่แล้ว

    Hahahahahahaha😂😂😂
    Mtangazaji mpaka Mkono umechokaa...

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 3 ปีที่แล้ว

    Suruali ya mtangazaji ndo boxa ya bwana Tall 😬😬😬😬😬😬😬🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @hamimhamis2549
    @hamimhamis2549 4 ปีที่แล้ว

    Duuuu htr

  • @Boaz22
    @Boaz22 4 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂mtangazaji mpaka unapata tabu kumuhoji😅😅

  • @chaliwachuga519
    @chaliwachuga519 3 ปีที่แล้ว +3

    Uyo ukitembea na yeye akitembea polepole wewe unakimbia

  • @caronmussa3543
    @caronmussa3543 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashine hapo hatar ndefuuuu

    • @jescamachibya7724
      @jescamachibya7724 4 ปีที่แล้ว

      Caron Mussa hahaha una mawazo ka yang inakutoa kizaz

  • @angelokihaka8363
    @angelokihaka8363 4 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji mkono huo utavunjika

  • @vennymaxmillian1870
    @vennymaxmillian1870 3 ปีที่แล้ว

    Nimekumsi Sana j

  • @glorianishimwe1587
    @glorianishimwe1587 4 ปีที่แล้ว +7

    Hahaha nimeceka mutangazaji utacoka shingooo

    • @bahatijoseph8763
      @bahatijoseph8763 3 ปีที่แล้ว

      Hahahahaha af eti na yeye anakaza Sauti Kaka Jamaa Tolu

  • @ashamfinanga6216
    @ashamfinanga6216 4 ปีที่แล้ว

    Kwan mtangazaji amekaa au amesima...coz sielew hiyo distance

  • @mashombomashombo9233
    @mashombomashombo9233 4 ปีที่แล้ว +1

    Mbona kawaida huyo kwa broo wangu ni mfupi Sana

  • @salmangassu1011
    @salmangassu1011 4 ปีที่แล้ว +2

    Ungechukua ngazi maana huomkono lazima ukauchue😀😀😀

  • @jacklinemwanga1691
    @jacklinemwanga1691 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwa kwel ni mref na anajikubal sana

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 ปีที่แล้ว

    Hahahahahaha jmn duuh mimi ni mrefu ila huyu..

  • @Allelua2024
    @Allelua2024 ปีที่แล้ว

    Nenda rwanda wapo warefu waschana

  • @humphreymwihambi4330
    @humphreymwihambi4330 4 ปีที่แล้ว

    Baraka Samson alionyeshwa na ITV mwaka 2016 alikuwa mrefu zaidi. Ana futi 7 na nchi 4.

    • @jackinemsechu1231
      @jackinemsechu1231 4 ปีที่แล้ว

      Uyu nae c saba na pont zke na ww,uwe unasikiliza vizur

    • @vennymaxmillian1870
      @vennymaxmillian1870 3 ปีที่แล้ว

      Kweli ila baraka hayupo tz Toka ameenda tibiwa nyonga hajalud tz kwaiyo kwa Sasa bro ndo mrefu zaid

  • @saadakiyungi6437
    @saadakiyungi6437 4 ปีที่แล้ว

    Hatare

  • @munyievarist3070
    @munyievarist3070 3 ปีที่แล้ว

    vp voice?

  • @Kazubassyathyvry89
    @Kazubassyathyvry89 4 ปีที่แล้ว +1

    Duhhhh

  • @AhmedSalah-ri3es
    @AhmedSalah-ri3es 4 ปีที่แล้ว +2

    Ndugu mtangazaji naona kma unachoka kunyoosha mkono na shingo hio hhahaha

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 4 ปีที่แล้ว

    Kazi unayo ukimfikishia maiki nae anainua shingo juu leo umempata wakukupa adabu kazini

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣 Mtangazaji Umetia Akili, Mkono Una Maumivu. Hongera kwake.

  • @azorindege3583
    @azorindege3583 4 ปีที่แล้ว

    Sijaelewa mtangazani alivyouliza "umezaliwa hivi hivi?" Viwanja vya jeikeei

  • @ashuuyusuf3978
    @ashuuyusuf3978 3 ปีที่แล้ว

    Ndo wakome kuoji watu...wamezoea piereliquid

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mariamothman7404
    @mariamothman7404 4 ปีที่แล้ว

    Roja umefinikwa yaan kama katoto😁😁😁ninavyo kuangalia😁😁😁

  • @youngyayoo2805
    @youngyayoo2805 4 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha wauliza jamaa Kama kwao yeye ndio mfupi peke yake au mrefu ww vipi huoni

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 3 ปีที่แล้ว

    mnasena uyo ni mrefu kuliko wote je mshawai kutana na mimi?

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 4 ปีที่แล้ว

    Kuna mwingine mrefu tunakaa naye jirani .ni mpole sana sijui huyo uliemkuta sabasaba ground.

    • @vennymaxmillian1870
      @vennymaxmillian1870 3 ปีที่แล้ว

      Huyu pia nimpole Sana... Anapenda utani kucheka pia ila ukimkolofisha anakuhama tyuuu hapendi makuu namtu

  • @florabaruti8032
    @florabaruti8032 3 ปีที่แล้ว

    Muulize kuhusu ndonga yake inaulefu gani??

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 4 ปีที่แล้ว

    Mtangazaj8 kuuliza umezaliwa hivihivi inashangaza kwakweli. Mtu azaliwe hivyo na ukubwa na urefu hivyo mtangazaji anauliza maswali ya ajabu sana. Binadamu anakua kwa miaka 38 mwisho haendelei kukua. Mtangazaji alipokuwa shuleni hakuwa makini kujifunza.

    • @emmamatemu8225
      @emmamatemu8225 4 ปีที่แล้ว

      Maswali yake kwanza yanamnyanyapaa, Mimi ningemtia kofi

  • @siwajafari5125
    @siwajafari5125 4 ปีที่แล้ว

    Kipen bsnes

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo5032 3 ปีที่แล้ว

    Duuu huyu mrefu

  • @lelyafriaq4240
    @lelyafriaq4240 4 ปีที่แล้ว +1

    Leo roja umekomejeeee

  • @zuleajuma7697
    @zuleajuma7697 4 ปีที่แล้ว +2

    Mtto wa Kisukima huyo mbengu

    • @akshaydavid159
      @akshaydavid159 3 ปีที่แล้ว

      Huyo ni Mkurya sio msukuma acha kudanganya watu

  • @zephanialubuva9208
    @zephanialubuva9208 3 ปีที่แล้ว

    Mama yangu Mdogo anaitwa Joyce ni mrefu kuliko huyo Dodoma

  • @ramadhansagutangu5902
    @ramadhansagutangu5902 4 ปีที่แล้ว

    Daaa

    • @michaelsimon9908
      @michaelsimon9908 4 ปีที่แล้ว

      Asili yake ni mtu wawapi huyu jamaa?

  • @chancequeen4710
    @chancequeen4710 4 ปีที่แล้ว +1

    Sauti kama ya konk🤣

  • @jonesnyembo7094
    @jonesnyembo7094 4 ปีที่แล้ว +4

    Mtangazaji umeikala ama umeshimama?🤣🤣🤣🤣🇨🇩💪

    • @devidydevidy2301
      @devidydevidy2301 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ameikala huyo

    • @adbashtv6701
      @adbashtv6701 4 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @tajo8276
      @tajo8276 4 ปีที่แล้ว

      Ameichalaa😂😂

  • @pindabutter2736
    @pindabutter2736 4 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji kwanini umempigia magoti jamaa?

  • @mwanaidhassan229
    @mwanaidhassan229 4 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @elizabethkisogole34
    @elizabethkisogole34 4 ปีที่แล้ว +1

    Inamana Mtangazaji umeshindwa kyjiongeza kumuomba akae?

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 4 ปีที่แล้ว +1

      Akikaa mtamuonaj kama kwel mrefu yeye ndio angesimamia stul maana anaumia shingo

    • @elizabethkisogole34
      @elizabethkisogole34 4 ปีที่แล้ว +1

      Tumeshamuona kwamna nimrefu ila after angemuomba akae

  • @happysalva9480
    @happysalva9480 4 ปีที่แล้ว +3

    IVi MTANGAZAJI KAKAA AU AME SIMAMA🤣🤣

  • @mwalimuuomary2674
    @mwalimuuomary2674 3 ปีที่แล้ว

    Uyo co mchz

  • @halima23862
    @halima23862 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyu ungekuwa huku USA lazima angekuwa mbali sana Team za Basketball wangempigania

    • @jeromemwingira7877
      @jeromemwingira7877 4 ปีที่แล้ว

      USA Huo urefu ni wa kawaida, wapo wengi sana

  • @SamsungA-su2qj
    @SamsungA-su2qj 4 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣

  • @johnsigara2062
    @johnsigara2062 3 ปีที่แล้ว

    Kabila gani huyo mwamba?

  • @scanyboytz8937
    @scanyboytz8937 4 ปีที่แล้ว

    Hahahaha

  • @zaharajuma5019
    @zaharajuma5019 4 ปีที่แล้ว

    😂😂😂 eti umekata wingu 😂😂😂😂

  • @worldwide9207
    @worldwide9207 4 ปีที่แล้ว +2

    Uyu mwamba ni wale wa Black American kabisa

    • @happysalva9480
      @happysalva9480 4 ปีที่แล้ว

      Ma black America awakuwagi ivo😅

  • @Kazubassyathyvry89
    @Kazubassyathyvry89 4 ปีที่แล้ว +1

    Sasa mbona kama mzee kisha eti bado mda wa kuoa,duh

    • @rashidmohamedi1495
      @rashidmohamedi1495 4 ปีที่แล้ว

      Anamboo kubwa awez kuoa

    • @reenyaysher7639
      @reenyaysher7639 4 ปีที่แล้ว

      Rashid Mohamedi 😂

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 4 ปีที่แล้ว

      @@rashidmohamedi1495 😂😂🙌🙌umeionea wapi jamani wee umwniacha hoi

  • @aisha-ro5fr
    @aisha-ro5fr 4 ปีที่แล้ว

    Itakua wame m zoom😂

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 4 ปีที่แล้ว +1

    Kweli ntaomba akiniowa mtu kama huyu tusinunue gari anibebe tu mgongoni inatosha tena safari itakuwa fupi kwa mastor njian

    • @khalfaniyesu8912
      @khalfaniyesu8912 3 ปีที่แล้ว

      Ndoa unaitaka?

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 3 ปีที่แล้ว

      @@khalfaniyesu8912Yaap Kwa ukoo wa Yesu tena🙌🙌🙌

    • @khalfaniyesu8912
      @khalfaniyesu8912 3 ปีที่แล้ว

      @@cheiknamouna2058 Upo tayari kuolewa na mm?

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 3 ปีที่แล้ว

      @@khalfaniyesu8912 Kwani jamani ndo wewe kweli au unatania

    • @khalfaniyesu8912
      @khalfaniyesu8912 3 ปีที่แล้ว

      @@cheiknamouna2058 Nitumie number yako, nikutumie picha

  • @salhamrishoaish9292
    @salhamrishoaish9292 4 ปีที่แล้ว

    Wewe mrefuu😛nataka uniowe

    • @AliHassan-mf3dx
      @AliHassan-mf3dx 4 ปีที่แล้ว

      Njoo nikuowe mm salha nipe namba yako!

    • @AhmedSalah-ri3es
      @AhmedSalah-ri3es 4 ปีที่แล้ว

      Salha inaonekana unapenda vitu virefu unajua ana machine ndefuu

    • @antoinettedjumapili2522
      @antoinettedjumapili2522 4 ปีที่แล้ว

      @@AhmedSalah-ri3es 😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣

    • @jackinemsechu1231
      @jackinemsechu1231 4 ปีที่แล้ว

      @@AhmedSalah-ri3es Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha

    • @Mtu_mrefutz
      @Mtu_mrefutz 3 ปีที่แล้ว

      0689591590

  • @geofreylucas9469
    @geofreylucas9469 3 ปีที่แล้ว +1

    Ofcourse hapo atakuwa amerith kutoka kwa babu yake by genetic concept

  • @salhamrishoaish9292
    @salhamrishoaish9292 4 ปีที่แล้ว +3

    😂mtangazaji panda kistuliii

    • @fettyakida5580
      @fettyakida5580 ปีที่แล้ว

      Safi urefu ni mzuri mimi mwenyewe nimempenda

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 4 ปีที่แล้ว

    Mtangazaj leo umepatikana hay maswal yako nimejikuta nacheka mwenyew

  • @michaelsimon9908
    @michaelsimon9908 4 ปีที่แล้ว

    Ni kabila gan huyu jamaa?

  • @aishanatamaniningekuepoktk5062
    @aishanatamaniningekuepoktk5062 4 ปีที่แล้ว

    Roja mwambie akae huyo atakuumiza shingo

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 3 ปีที่แล้ว

    Tuone viatu miguu yake

  • @mrsochu-hv7bm
    @mrsochu-hv7bm 4 ปีที่แล้ว +3

    Duuh uyu mtu mashine yake ipoje jamaniii 🙄

  • @Kazubassyathyvry89
    @Kazubassyathyvry89 4 ปีที่แล้ว

    Duhhhh

  • @leonardmanyanza1058
    @leonardmanyanza1058 4 ปีที่แล้ว

    Jamaa limetulia kwenye interview halina wenge