EXCLUSIVE: Simulizi ya mtu mrefu kutoka Chato hadi Marekani | Futi 7.5

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2021
  • Mtazamaji wa Mwananchi Digital Wakati binadamu wa kawaida akikadiriwa kuwa na urefu wa futi 5 hadi 5.5, hali ni tofauti kwa Julius Charles mwenye urefu wa futi 7 na inchi 5.
    Katika exclusive wiki hii Hariet Makweta ametembelea katika eneo la mbagala mbande jijini Dar es Salaam na kukutana na Kijana Julius Charles ambaye amefunguka na kuelezea historia ya maisha yake kutoka chato hadi Marekani Karibu.
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 86

  • @donaldndesaiya6587
    @donaldndesaiya6587 2 ปีที่แล้ว +2

    Sauti nzuri(sauti ya zege),jaribu utangazaji !!Fuatilia safari yako ya Marekani,anga limefunguka baada ya chanjo...

  • @alfinmbilinyi1326
    @alfinmbilinyi1326 2 ปีที่แล้ว +3

    Iko siku lazima nifike chato kwa JPM kunavivutio vizuri vya utalii .mtu mrefu kuliko wote Tanzania anatoka chato!hii nimeipenda serikali mtumieni huyu jamaa kwa utalii yuko vizuri.avalishwe nguo yenye picha ya ngorongoro ikiwa na maandishi ya ngorongoro is among the seven wonders of the world itasaidia kutuletea watalii pia kuitangaza tanzania.serikali ikimpa pesa huyu nikitu kizuri imejilipa yenyewe zitarudi kupitia utalii.kazi kwenu viongozi kivutio hicho Toka chato.

  • @marwasibena7590
    @marwasibena7590 2 ปีที่แล้ว +2

    Why can't big business companies utilize Joshua Charles's uniqueness as an ambassador for their brand names and products and give him endorsements so that he lives a decent life.... Please help him out folks.

  • @obedilizer3412
    @obedilizer3412 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa umeongea vizuri Sana Ila mwishoni kwenye..... sijaelewa vizuri

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 2 ปีที่แล้ว +1

    Siyo Samia kuna waziri wa khabari sanaa na michezo! anafaa ashughulike na haya mambo!

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 2 ปีที่แล้ว +3

    Mtafuteni dada mmoja anaitwa Francesca Martin ni mdada mrefu kama huyo nimesoma nae Dakawa Morogoro mwaka 1999

  • @jonhmakesimagoma3563
    @jonhmakesimagoma3563 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimekukubari,

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 2 ปีที่แล้ว

    jaman

  • @emmanuelmogela5871
    @emmanuelmogela5871 2 ปีที่แล้ว +1

    Noma sana jamaa yuko juu

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ndugu anapenda maisha ya kiwango Fulani Ila akili yake tegemezi na asipo funguka ataishia tegemezi na kubezwa

  • @winfridaw.mwashala289
    @winfridaw.mwashala289 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akupe haja ya moyo wako

  • @falconheavy9
    @falconheavy9 ปีที่แล้ว

    He should be the tallest Man in Africa

  • @dianajohn8520
    @dianajohn8520 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu kaka nimesoma nae tuition mapambano,mcheshi kweli tulikuwa tunamuogopa

  • @danielalfred8684
    @danielalfred8684 ปีที่แล้ว

    Ni noma

  • @winfridaw.mwashala289
    @winfridaw.mwashala289 2 ปีที่แล้ว

    Jamani interviewer amefanya kazi yake vizuri

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 2 ปีที่แล้ว +1

    Nkweli kaka hayonimapenzi ya mungu nahuyo mkewe yuko hivyo hivyo ao nimfupi

  • @msetikebwasi8367
    @msetikebwasi8367 2 ปีที่แล้ว +1

    Chanzo cha kuwa hivi ni ubongo kukosa control.

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyujama Tajiri engekuepo hapa.marekani

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaa nilimuona Seattle ilakosa alilofanya alijitambulisha kuwa anatokea Kenya

    • @larickmtui2852
      @larickmtui2852 2 ปีที่แล้ว

      Upo seatle pande zipi nakujaga sana huko mzee naendaga kijij kinaitwa sila

    • @msetikebwasi8367
      @msetikebwasi8367 2 ปีที่แล้ว

      Chanzo cha kuwa hivi ni ubongo kukosa control.

  • @markgeorge2929
    @markgeorge2929 2 ปีที่แล้ว +3

    Mbona mie naona anaurefu wa kawaida tu, kuna watu warefu huko Sudan.

    • @davidngwesa
      @davidngwesa 2 ปีที่แล้ว +1

      Futi 7.5 si urefu wa kawaida wewe. Hata hao wa South Sudan wapi wengi tu anawazidi

    • @thabitiykitwana1271
      @thabitiykitwana1271 2 ปีที่แล้ว

      Mtu mrefu katika inchi ya Tanzania

    • @markgeorge2929
      @markgeorge2929 2 ปีที่แล้ว +1

      @@davidngwesa Wa Sudan wa kusini ndo wanao ongoza kwa urefu duniani, na hasa kutoka kwenye kabila moja. Ni warefu hasa! huyu cha mtoto! Na angalia record ya mtu mrefu duniani mbona huyu kawaida sana. Na hayupo kwenye record yoyote ile!

    • @mdzainb3722
      @mdzainb3722 2 ปีที่แล้ว +3

      Ssa si umesema Sudani Sudani na Tanzani wapi na wapi wao watatangazwa kwao hko sudani ila ssi tunamtangaza huyu wetu

    • @markgeorge2929
      @markgeorge2929 2 ปีที่แล้ว

      @@mdzainb3722 Sorry siko kubishana, naongelea viwango vya kimataifa. Mi watu niliokutana nao niwarefu zaidi ya huyo. Ndo maana simshangai namwona wa kawaida tu. Tusilazimishane !

  • @yusuphkassimu227
    @yusuphkassimu227 2 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji nae mfupi sana

  • @khamiskapopo6206
    @khamiskapopo6206 2 ปีที่แล้ว +2

    Bado ajamfikia hashimu thabit

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 2 ปีที่แล้ว +1

    Broo hili lakupigwa hebu tueke sawa,inakuaje kwa mfano yaani watu wanakupigaje,

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 2 ปีที่แล้ว

      Alipokuwa mdogo,sasa usijaribu.

    • @omanghomangh9098
      @omanghomangh9098 2 ปีที่แล้ว

      @@uledimtumwa2406 😀😀😀😀😀

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete9015 2 ปีที่แล้ว

    Du! Hii toll

  • @modestazaver3901
    @modestazaver3901 2 ปีที่แล้ว

    Mimi nirikutana nae gerezani siku moja Hamad ase nusu nifeee moyo namwili wng uriweweseka

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 2 ปีที่แล้ว +1

    Unapigwaje brooo? Ww ni hujachangamka tu sio wakupigwa, punguza upole, chapa kila anayezingua au njoo nikupe the way you can fight every single kilaza 😀😀

  • @godfreyntambi7763
    @godfreyntambi7763 2 ปีที่แล้ว

    Nani nashangaa

  • @chikuluchidodokochiitingan340
    @chikuluchidodokochiitingan340 2 ปีที่แล้ว +2

    Hichoo ni kilemaa😂😂

  • @benitoilulatvpilla144
    @benitoilulatvpilla144 2 ปีที่แล้ว +1

    Nilishaonana nae mwenge mpaka mama mmoja alitaka kukimbia nikamzuia asikimbie jamaa alinambia freshndugu yangu

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa uwexi kuwa na mpenzi maana utakuwa mrefu kote

    • @flowinkayombo4645
      @flowinkayombo4645 2 ปีที่แล้ว +1

      Ni vyema ukawa na moyo wa kumpa moyo mwenye tatizo na si kumwambia lugha zitakazomkatisha tamaa ,tambua hata ww unaweza ukawa unawatoto au ukawa bado unatafuta watoto nadhani utajisikia vibaya Sana mungu akikupa mtoto atakaekuwa mrf zaidi ya huyu kaka

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 2 ปีที่แล้ว

    namjua yupo hapo mbagala wala hayupo marekani

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 2 ปีที่แล้ว

    Sasa wanashtuka nn sasa kuna wengine vimbilikimo.ila vimbilikimo wafupi wanachekesha.urefu ndio dill utuletee mamiss

    • @pendael02
      @pendael02 2 ปีที่แล้ว +1

      Hakuna alichagua kuwa vile alivyo, hata wewe hukuchagua jinsia yako au kuwa hivyo ulivyo. Mheshimu Mungu kwa uumbaji wake kuanzia kiroboto hadi tembo

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 2 ปีที่แล้ว

    Nina mme mrefu Lakini huyu kiboko MUNGU fundi. Lakini urefu wake ndio mtaji achangamki fursa pambana ww ni mtaji unaoniuza pambana utafika tu!

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 2 ปีที่แล้ว +1

    huu ni ugonjwa

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe8930 2 ปีที่แล้ว

    Tozi kama tozi

  • @yusuphyustace7304
    @yusuphyustace7304 2 ปีที่แล้ว

    Aje atangaze utalii nyumban kwake chato,

  • @allyhassan8370
    @allyhassan8370 2 ปีที่แล้ว

    Siku iyo naludia mpilani usiku nilimuona uyu kavaa kazu weee uliza kilichotokea Sasa

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 2 ปีที่แล้ว

    Yaani yeye amekaa, wewe umesimama na bado umeongeza kakiti ndio umejisikia huru 🙄🙄🙄🙄, nawewe dada unaweza kuwa kijidada cha msitu wa Congo 😀😀😀😀

  • @noelmbise9157
    @noelmbise9157 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaa anampenzi au mke

  • @ashurajuma3624
    @ashurajuma3624 2 ปีที่แล้ว +2

    Jilani yangu uyo msongola

    • @salummussa804
      @salummussa804 2 ปีที่แล้ว

      Huyo jiran yako hatar

    • @mwitajohn4882
      @mwitajohn4882 2 ปีที่แล้ว

      Kinyosi anamnyoaje sasa kama huyu dada kapanda Kwa kiti kumhoji

  • @keffajacob8952
    @keffajacob8952 2 ปีที่แล้ว +1

    we mtangazaji..muulize ana demu kweli huyo jamaa🙈🙈 maana.....hatareii🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🙊🙊

    • @fredrickfidelis3770
      @fredrickfidelis3770 2 ปีที่แล้ว

      huyo dogo sio wachato kazaliwa mtaa wa igogo majuberi na kabila ni mkurya

    • @fredrickfidelis3770
      @fredrickfidelis3770 2 ปีที่แล้ว +1

      msaidie mwita kaka yako acha saund

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukifunga azam kichwani unanasa bila chenga

  • @agathajoseph2874
    @agathajoseph2874 2 ปีที่แล้ว

    Goriati

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 ปีที่แล้ว

      😃😃😃🤭🤭🤣🤣🤣 Ni kweli!💯✔️

  • @elizafumbuka9377
    @elizafumbuka9377 2 ปีที่แล้ว

    Sauti k m ya yule mrefu mwingine thabiti na pia thabiti alicheza basketball

    • @mambachagulaga7234
      @mambachagulaga7234 2 ปีที่แล้ว +1

      Watu warefu wote sauti zao ziko hivyo!... ni maumbile yao.

  • @thomasmerinyomollel3544
    @thomasmerinyomollel3544 2 ปีที่แล้ว

    Wewe ni hazina mojawapo wa nchi nenda kwa raisi mojakwamoja mwenyewe atakupa kazi inayokustahili

  • @mayungachristopher744
    @mayungachristopher744 2 ปีที่แล้ว

    Du

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 2 ปีที่แล้ว

    Ngongoti

  • @edgarmwijuki7481
    @edgarmwijuki7481 2 ปีที่แล้ว +4

    Kama umebaki kumshangaa jamaa kama mimi...tujuane

    • @godkoloi1460
      @godkoloi1460 2 ปีที่แล้ว

      Alipigwa utoto sio umri huo fuatilia mahojiano ya nyuma Alisha chana mtu Taya kwa kofi Moja tu

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana3129 2 ปีที่แล้ว +2

    Shida ni akili mgando...badala ya kutumia akili unataka misaada
    Mfano...anzisha kijiwe cha kupiga picha na mashabiki wako...na kila shabiki anakulipa...utaona matokeo

    • @oldskuladimuzabongo8873
      @oldskuladimuzabongo8873 2 ปีที่แล้ว +1

      Kweli

    • @marwasibena7590
      @marwasibena7590 2 ปีที่แล้ว +1

      Kila kitu kinaanza na mtaji bana... Mbona machawa feki wanapewa dili nono nono kiholela nchini?!
      Jamaa ni mwana spoti na naamini makampuni ndizo zimezembea kwa kujifanya hawamuoni Joshua Charles... Sio poa.

    • @gadafimasoud310
      @gadafimasoud310 2 ปีที่แล้ว +1

      Mpe ushauli sio kumbeza,ww mwenyewe inaonekana akili zako ni tope

  • @samwelhiinyamhangahiileosi1060
    @samwelhiinyamhangahiileosi1060 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa sauti yake siyo nzur

    • @nyamwinukankwera3749
      @nyamwinukankwera3749 2 ปีที่แล้ว

      We nae eti sauti mbona mnakufuru aaaah

    • @mdzainb3722
      @mdzainb3722 2 ปีที่แล้ว +1

      Muazime yako mbona wwe mfupi kuliko yye

  • @godwin5884
    @godwin5884 2 ปีที่แล้ว +1

    Kuna mwingine huku