EXCLUSIVE: SALIM KIKEKE NA SABABU ZA KUICHAGUA CROWN MEDIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 พ.ค. 2024
- Salim Kikeke Live na Temidayo
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz - บันเทิง
Wengi humu mnamsifia kikeke kwa sauti kwa jinsi alivyo tulia anavyo jibu maswali huku akiwa live ila embu muangalieni temidayo alivyo tulia confidence aliyokuwa nayo sijawai msikia before sehemu yoyote but jamaa katulia anauliza maswali short and clear
Yeah Yuko vizuri sanaaa
Yuko vyedi sanaaaa😂
Alikuwa anatangaza zamani
Yani 2 professionals
Temidayo mkali
Sauti yenyewe inajieleza 🔥🔥🔥twende na like apa
Hakikisheni mnalike pale juuu
Nilichelewa kuona hii ❤ila sauti kiswahili chake very clean Mungu ampe maisha marefu our brother kikeke❤❤❤me nampenda bwana
Nikiwa gikombaa Nairobi . Big upp❤❤ oll fan's king music and crown media
Chunga simu ma pick pocker ni wengi alafu usisahau kuniletea viatu
Asante sana Alikiba now tunatamba mjini
Wana crown Media tujuwane apa
AMA KWELI SALM KIKEKE ANA SAUTI YA MAMLAKA AISEE✊
Mi timu kiba atariii nawakubaliiiiiii sanaaaaa
Sikiliza Vocal Hy 😅 Ngonga Like Kama Unakubal Sauti
I see crown media to be the greatest media within tz and outside tz keep note
ndio ndio 🙌🙌🙌 hii imekaa fressshhhh kinoma.... can't wait for it aisee
Niko live crown toka TZ🇹🇿 KILIMANJARO 🔥🔥🔥🔥🔥🤣
😂😂😂😂
Hakika #HapaNiNyumbani kabisa karibu sana homeboy #Salim_Kikeke
Uyo jamaaa mwenye kipara kama mimi😮 udevu kama mimi namkubaliii, nafurahishwa sana na kikeke
Hapa ni nyumbani 🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Crown fans give me like 👍 from south africa 🇿🇦
Sauti ya kazi kabisa
HAPA TUMEPATA BBC YA AFRICA TZ . Hapa sasa nimepata CHANNEL kutoka TZ🇨🇩🇺🇸❤️
These are really profesional personalities in terms of media in Tanzania heko crown media
Nawafata vizuri nikiwa hapa Germany 🇩🇪
tupeane mailing bana
Nakuelewa sana kikeke
Kwenye kazi kuna kazi.Hongera crown mnaupiga mwingi✍️
Duh mkali sana kiutangazaji duh . Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda na kukutunza.
Noma sana crown media mmetisha sana
Ukimsikiliza salim kikeke utajua ni moja wa partner wa crown media
Utajua wewe
Wewe kama mimi tuliosoma quba
Ni kweli
Everthng is perfect salim kikeke awe partner au awe ndo boss wa crown hyo haijalishi but hii media is another lever.
Haswaaa,,,,anahisa zakee
Safi sana hapa na nyumbani tuko pamoja na kazi iendelee
Mimi na deal na camera daaah 🙌🙌 na setup ya location nzuri SANAAAAAA♥️♥️♥️♥️🙌🙌🙌
Wapo poa
Wale tunaotaka crown izinduliwe Mwanza gonga like hapa mpaka king atuambie lini wanazindua mwanza😢
Tupooo
Hiyo Sauti ya Salim kikeke bwana daaah❤❤❤
Acha tu🔥🔥🔥🔥
Shikamoo Salim kikeke#Habari za leo crown 👑 Media
Niko live na Crown 👑
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nakuona Bro😂
Kiukweli tangu utike BBC Mpaka leo hii nimehamia King 👑👑 kikeke na king 👑👑 KIBA yeooooooooo💪🏽🥂🙏🏼
Kikeke mtu wa maana kabisa
Ki keke alikiba mungu awapemaisha malef
Wow 👏🏿👏🏿love it. Hicho kionjo jaman❤❤
CROWN 👑👑👑👑👑👑🔥🔥🔥🔥
Hapa ni nyumbani 👑👑👑👑
Tunakukubali sana.kikeke
Salm kikeke Yuko vizur sana
Moja kwa moja kutoka crown
Kipindi chako Cha kwanza kitakua lini br tusikie hiyo sautinya radi ✊
Sauti ya Kikeke imekaa kimkakati sanaa😮, 🔥🔥🔥
Safi Kbs Crown média
👑👑👑 2 kings
Mungu Mwema kuja salimu kikeke crawn fm nawaombeeni dua iwe amina
Mtu wa maana kabisa ❤❤❤
Karibu sana
Hapa ni nyumbani kweli😢😢❤❤
Safi sana
Crown tv 📺 camera 📷 🔥
🎉🎉🎉apewe Maya yake
King keke
Crown fm
King Kiba King Kikeke
Nafuaya Crown 👑 toka 🇨🇩✌️ bila hata chenga moja kabisa😊😅
Ila sauti mmetisha sanaa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉Nyie
Kikeke ni gwiji kweli kweli juu ya utangazaji🔥🔥🔥🔥
Kabisaaa
Namkubali sana huyu gwiji yeye na Charles Hillary,Mkamiti Kibayasi,Fadhili Mpunje,Pili Mwinyi.
Well done
Baba utukuzwe naaiona Crown ikija vyema na ikiwa na nidham . Baba ibariki Crown FM na CROWN Media
Saf familia,93.2Crown fm jiji la mawe
Mwamba huyu apa kazi ipo Radha nzr sauti nzuri inakonga nyayo big up broo
Woooooow kazi imeanza 👑
Hii ya kuchukua vijana nimeipenda sana ni vizuri kuchukua watu wapya ili tupate Radha mpya
❤ kikeke unaatari!! Nitakupa dada 😂😂❤
😂😂😂😂😂
Kikeke upo makini sana ,,, napenda the way unavyojibu upo active dahhhhh yaan mm niwe live nijibu hivyo😅😅 dahhh najijua tutakanyagana hapo utasikia kata hiyo😂😂
Brother kikeke 🎉
Gwiji kama Gwiji mwenye Crown yake👑🎉
❤❤❤❤ ase niko nawe Kikeke pamoja Crown raisi King Kiba ❤❤❤❤
Hii crown niyaalikiba au wote wawili
Wote hao wawili
Bonge la Usajili yaani Kama Ni Mchezaji Basi Ni Lionel Messi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera King Kiba
Sio usajili, crown yake
@@georgemhalla8853 Yao Sio Yake Wote Wamewekeza Kijana
Unaumia ukiwa wapp😂
Asante sana salimu kikeke kwenda crown mshauri ally kiba kuwa na kipindi malumu cha kukumbusha watanzania mahdiri na uzalendo kipindi cha siyasa
Kwa kweli hapa ni nyumbani
Ok kumbe crown media kikeke nae anahusika, nae ni Mkurugenzi, hapa sasa nimeelewa.
Hongereni sana kwa wazo zuri
Mbona kama hii interview nimewahi iona inakueje live😮
𝑾𝒆 𝒖𝒎𝒆 𝒐𝒏𝒂 𝒘𝒂𝒑
de ja vu
Hii crown 👑 ni ya kikeke mtakuja kuniambia
Kutoka USA 🇺🇸 Nawapata
Kikeke ni mtangazaji mwenye brand kubwa kuliko mtangazaji weyote yule Tanzania na afrika kwa ujumla
Kutoka Zanzibar 👊
King Kiba 4life ❤❤❤
Salim Kikeke ni Muhusika Sio Mwajiriwa Hapo Crown
Hawa wote Ni Msimbazi Crown Kumenoga❤❤❤❤❤
The fastest upcoming media in Tz and outside boundaries of Tz.
Great founders in Media Industry. Hoping to see more and very fascineting news globally.
Kazi ianze na moto kama usajir ulivo ndo lamsingi
Nice voice by kikeke salim
i love this, King Kiba and King Kikeke you guys you have done it very smartly👏👏
Halafu msisahu kulike
Mfalme wa habari
Usikivu wa hii radio na kamera zake ni international
Huyu jamaa ametulia sana kwenye kutangaza aisee nimekuwa nikimsikiliza sana tokea nasoma primary & secondary hasa ifikapo ile mida ya saa kumi na mbili alfajili,,, chukua maua yako aisee 🎉🎉🎉🎉🎉
Hapa ni Nyumbani kweli Mimi pia soon nafungua kijiwe cha kahawa hapo hapo karibu na Nyumbani
Wabongo muna dharau Sana Sababu Alikiba ameanzisha hii media munatamani kila kitu kiwepo .. tulieni muone huyo kikeke atafanya makubwa sana
Hahahhaha nimecheka sanaa
Hahahahaha
we will rally behind you, u got our back
Hahaha au uuze madafu hapo karibu
Hapa ni nyumbani
Kazi Nzuri sana ❤
#HapaNiNyumbani
Noma sana
ukimsikiliza salim vizuri utagundua kua crown media ni yakwake
Asa Shda iko wapp😂
Voice tu itakubali kusikiliza hiyi interview 😂😂😂🎉🎉🎉
Founder of crown Media🔥kikekee