NDUGU WAWILI WASHIKILIWA KWA TUHUMA ZA KUMUUA MWENZAO KWA KUGOMBEA MALI, AKUTWA SHIMONI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 30

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 11 วันที่ผ่านมา +8

    Hawa ndugu wa sasa nikukaa mbali nao mm na wao wafanye mamb yao na mm nifanye yangu 🙌

    • @sirielsamweli
      @sirielsamweli 8 วันที่ผ่านมา

      Yaaaani ndgu ni wabayaaaaaa hata ukikaaa nao mbaliii wao hawalali ni mmmm mara mmmmm mara mmmmmm, gugu tuuuuuuu

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 11 วันที่ผ่านมา +6

    Wanaroho mbaya kuliko shetani mungu amrehemu mama wa watu

  • @AdrusHassan-c5m
    @AdrusHassan-c5m 10 วันที่ผ่านมา +1

    Dah hii dunia mahali inaelekea ni mtihani sana yaani ndugu wanauana juu ya mali mungu atunusuru

  • @EliudiKwiyukwa
    @EliudiKwiyukwa 11 วันที่ผ่านมา +2

    Kazi nzuri jeshi la polisi,ni wajibu wenu ndo maana mnalipwa.na hv wale waliotekwa wakapotea wakauwaa hv kuna ukweri wwt au ilikuwa mapichapicha,kama kuna mtz Ana info au chanzo crocheted cha mwisho wa haya,kama walipatikana au anitumie pls.

  • @ImeldaSaire-ye2xq
    @ImeldaSaire-ye2xq 8 วันที่ผ่านมา

    Dah! yani vijana wamemuua dada yao! 😢

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 11 วันที่ผ่านมา +2

    Tamaa mbaya😢😢

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 10 วันที่ผ่านมา +1

    Du, Dada yao. 😢

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 6 วันที่ผ่านมา

    Daaa Yani mtu unaondo uhai wanduyako kisamali

  • @RayOmar-vk2nn
    @RayOmar-vk2nn 11 วันที่ผ่านมา +5

    Sasa wakinyongwa kama Kongo si itakua vyema

  • @mteulemnyama7858
    @mteulemnyama7858 11 วันที่ผ่านมา +1

    Saa nne mchana tena

  • @JumbeOjaso
    @JumbeOjaso 8 วันที่ผ่านมา

    Hongereni polisi kwa tukio hili, na la Ally kibao lililo fanyika mchana kweupe ,tunataka majibu yake.
    Muuaji ni muuaji,no matter anatoka wapi.
    Wote washitakiwe.

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 11 วันที่ผ่านมา +3

    Tamaa ya mali,

  • @MinakiPazi
    @MinakiPazi 7 วันที่ผ่านมา

    Hiyo.imetokea.uko.tegeta.bahari.beach..daa.inauma.sana

  • @PromiseSimkwai
    @PromiseSimkwai 11 วันที่ผ่านมา +3

    Alafu inaonekana marehemu ni ndugu kabisa na watuhumiwa

  • @FatumaJuma-b2g
    @FatumaJuma-b2g 8 วันที่ผ่านมา

    Wanyongwe tu nawao

  • @LAZAROBOMANI-ex6bj
    @LAZAROBOMANI-ex6bj 11 วันที่ผ่านมา +2

    Duuuh!!?

  • @hakunamatata8065
    @hakunamatata8065 11 วันที่ผ่านมา +2

    Pumzka kwa Amani mama wa watu

  • @gervaslukaya1637
    @gervaslukaya1637 11 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa sasa pitisheni sheria tu kama congo mtu anae uwa nae auwawe tu.ni uzuni sana

  • @verobecamfipa8655
    @verobecamfipa8655 8 วันที่ผ่านมา

    Na wao wauliwe jamani ili liwe funzo aina haja ya kesi apo

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 11 วันที่ผ่านมา +2

    Kuna ndugu hawafanyi kazi wanawaonea wivu waliopata nankuamua kumuua

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 11 วันที่ผ่านมา +2

    Damu ya mtu lazima ukamatwe

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 11 วันที่ผ่านมา +2

    Duh

  • @EvaristMaliwa
    @EvaristMaliwa 11 วันที่ผ่านมา +2

    Uvivu tu wakulima

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 11 วันที่ผ่านมา +1

    Wilaya ya Kinondoni na nchi ya DENMARK? 😂😂 we mtangazaji rekebisha kauli.

  • @GeorgeElias-p5o
    @GeorgeElias-p5o 11 วันที่ผ่านมา +1

    Ifike mahali adhabu ya kupigwa risasi hadharani iwepo na itekelezwe. Waarifu hawana hofu kabisa

  • @AmaniMathod
    @AmaniMathod 6 วันที่ผ่านมา

    HAYA SASA WAMEPATA NINI..? MNAOZEA JELA KWA TAMAA FANYENI KAZI HAKUNA UTAJILI WA KILAHISI

  • @emmanuelnjelekela6299
    @emmanuelnjelekela6299 11 วันที่ผ่านมา +1

    Hao mapumbavu wantongwe had kufa

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 11 วันที่ผ่านมา +1

    Huu ukatili wamefanya