Bisimillah Walakuata innabillah TabarakaAllah
Allah awajalie kila la kheri nyote munaofanya Daawa.Wallahi nawapenda sana ndugu zangu waislamu.kwani hiyo ni hidaya kubwa muliopewa na Allah .tusemeni ALHAMDULILLAH.
nikweli hatamiminawapendasanaa pianawatakia maishamalefu nawakawenimfano wakuingiapeponi nasitukifuatia
I real enjoy it kabisa Allah akuzidishie ingekuwa kilasiku mafunzo kahayo watu wengi wange slim kwasababu wengi hawaelewi ndio mana wanafatafata tu
am aa christian but i love this guy please muslims lets not hate eachother i love this religion too
Masha Allah Allah awalipe ujira mwema mashekh wetu na pamoja na wasilam wote In sha Allah
mwenyezi mungu awazidiehie masiku ilimupate kutufunza zaidi..
ningelikua bado sijaolewa ningeomba uniowe hata kwa Ayatul kursih, napenda san Saidi Kinyogoli kwa hekima nabusara wako unapo elimisha watu, Allah akujalie nama Sheikh wetu wote Jannat Firdausi
Mashaallah tabarakallah Mungu awaongoze kwa kila jambo
Bisimillah Masha Allah
WAALEYKUM ASALLAAM WARAHMATHULLAH WABARAKATHU OUR DEAREST BELOVED BROTHER, MUHAMMADH ABDULKAREEM!!!
MASHAALLAH! ALLAH BLESS ISLAM & MUSLIMS AND ALSO GUIDE THE ALL THE NON-MUSLIMS TO YOU'RE ONLY CHOSEN BEST RELIGION, AL-ISLAAM!!!
mashaAllah nimejifunza mengi alhamdulillah mola awape afya njema na awalinde na kila baya mbele yenu
Ustadh Saidi Allah akulipe kheri waumin tumejifunza mengi kwenu
ALLAH wazidishie umri wazidi kutufunza
MASHAALLAH
nawatakiaaa Kila Laheri kwakutoaa Dawaa muweze kueelimisha ulimwengu inshaal nawatakia Fadhila njema
waaleikum salaam shekh Muhammad abdulkarim Allah awahifadhi ndugu zangu
Mashaallah 💓
MAANSHAALLAH
Allahu akbar takbir
Mungu alipowanyima roho mtakatifu aliwamaliza kabsa mtautafuta sana ufalme wa Mungu na hamwezi ,Ila kupinga na kubadili maana ya maandiko mpo vzr sana na wajinga wasiojua biblia wanazani mpo sahihi ,,
Haya ni mafundisho yalio wazi kabisa kabisa ila uongofu ni wake yy Allah
Kinyogori mola akuzidishie.
Ewe mwenyezimungu wape afya njema waendelee kulitangaza jina lako
Ustaadh habib kinyogoli m/ungu akuuongoze unajitahidi sana vijana Kama nyie ndio mnatakiwa kutongoza ktk dini yetu tukufu..
Napenda kumsikiliza anavyoongea.
mungu akubarik ustadh said endelea na kazi ya mungu na ufe katika dini ya kiislam na allah awe radhi na wewe na waislamu kwa jumlaa duniya nzimaaa
ALLAH Azidi kuwaongoza na azidi kuwapa umri mrefu muzidi kutuelimisha maana sisi tulo mbali nanyi twafaidika Wallah
Allah ajaalie kazi za da'awa mnazofanya ziwe ni sababu ya kuwafanya wasio waislamu kuujua ukweli na kufuata njia ya haki in shaa allah! Na mpate malipo makubwa kwa Allah S.W.
inshaallah mwenyezimungu akuzindishie uzidu kutukumbusha
Huyo msomaji ananikoshaga 😂
mashaallah Saidi Kinyogoli napenda unavyoelimisha,Mimi ningeomba unioe kwa suratul ikhlas hata kama ni mke wa 2 ama 3 hakuna shida
youtub is the best.
Allah Awape Husunulkhaatima mwisho wenu....Awape Taufiq kwa Daawa yenu..shkh Said usichoke kumtangaza Allah....
Allah akuongoze shehe
mhadhara mzuri
Ilmu iko apa
Kin'yogoli
MashaAllah kinyogori kaanzia mbali.m.mungu atamlipa kheir ishaAllah kaz wanayofanya sio ndogo
Alaah akkbar mungu akuonge walahi naflai kuona warithi wa mazinge mungu mkubwa
Allah awajalie
Shehe kinyogori mungu akuingize katika pepo yake
M.à
Najisikia raha sana nikikusikiliza shekhe wangu saidi kinyogoli wewe ni hatari wa dawa
mola awabariki
shekh kinyagoli allah akujaalie umri mrefu ila naombeni namba zenu wew na ustadhi mazinge na maulana
alhamdulillah kwakuwa muislam
nnnnnnn
Allahubariq
Mashalla
Ishaallah
wapendwa waislam kuhusu swala la mungu kuzaa msizungumie kama mnaweza naomba unifafanulie kuhusu kua ni nan aliesababisha kuzaliwa kwa yesu mkiweza ntashukuru
happness Ulomi mungu ndio aliyesababisha yesu azaliwe
Adamu hakuwa na baba wala mama ila Mungu akasababisha awepo
Malaika hawana wazazi ila kwa uwezo wa Mungu akawaumba
Kwa miujiza kama kawaida yake Mungu akamleta Yesu kimiujiza bila baba
Mungu akisema kua na jambo hukua
Ni Allah peke yke nd mwenye uwezo uo hakuna mwengine na amefanya ivo ili kuthibitish uwezo wke
Mungu ndie amesababisha yesu akazaliwa kwa neno kunfayakun kuwa linakuwa
pwaaaaaaaaaa
Haya ni mafundisho yalio wazi kabisa kabisa ila uongofu ni wake yy Allah
Allah azidi kukupa afya ustadh kinyogol
Mnahisani gani ninyi wabakaji na wafuga majini
Samahani lidya lete dalili ya kuthibitishia umma wote wa waislam na wasio waislamu ya kwamba uislam na waislam ni wabakaji na wafuga majini please kindly produce tangible evidence, vinginevyo tuombe msamaha Kwa kutukashifu na kutuzulia ubaya huo mkubwa kabisa Tena Kwa hekima na utulivu.
Skk said shk mazinge dkt sulley
Muft yahaya na wahazil wote
Allah awape maisha malefu mzidi kuwafundisha wasio elewa kilicho waleta hapa dunian
Allah awape pumzi Ishaallah
na wataeelewa hao makafil wasio mjua Allah na m2me wake Muhammad S.a.w