ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Kramo,ni jitu,mpanzu bado mdogo,kwakua mwenyewe anaitaka Simba,atakuna tu hata kama sio msimu huu
Mungu ibariki ssc
Kramo safi
Itakuwa vzr Kama taarifa itakuwa na ukweli ndani yake
Kramo yupo vzuri sana
Mimi Dan Alex nasapoti kramo akiwemo simba
MO tunaomba Kramo apewe miaka 2 bila shaka, Onana ampeni nguo zake asafiri
Kramo atakua 1 mtaona wanasimba
Kramo abaki wew
Onana asepekramo abaki😅😅😅
Ni vzr abak kramo simba Yuko xafi xana
Simba pia tunafeli kwenye makocha wa viungo
Karmo ni mzur kuliko eote hpo
namtaka kramo mm naitwa nikorasi
Onana ahondoke na Matora
Boli litembee mwizi usimpigie mayowe mkimbinze kimiyakiya
Klamo asiondoke bonge la mchezaji
Iyo video ya cramo mboni sijaiona hta kwenye kikosi apo hatumuoni nyie munaangalia wapi munaponuona kramo
Kramo anatusha Simba nguvu1
Kiramo nimtu na nusu anakuja kutufulaisha wana simba
Media zingne ni mikundu tuu
Kramo mchezaji mzuri Sana tena sana 11:50
Kramo mwenywe hajaenda
Tunahitaji vitendo, na sio sifa za majina ya wachezaji
Matora ametuchosha na rushwa
Acha fitina, Matola pia ni mshabiki number 1 wa simba
Clamo abaki bhana
Ni mchezaj mzuri lakn kumbuken kakaaa mwaka mzima njee alaf kuhusu kufanya mazoez kama wanabyomuonesha hvy Ni uongo tu
Kramo asiondoke aondoke onana tafaadhari sana Simba NGUVU moja
Matola ni kocha Matola hachezi mpira anafundisha mpira kwani mwalimu anapofundisha darasani wanafunzi wote wanamuelewa?
Hapooo wa kumtoaa ni onanaa bhanaaa arokeeee huyoooooo
Wafanye kazi
Acheni uongo wa kipuuzi taarifa za uongo uongo atutaki kama amn content acheni kubwabwaja maneno
Atoke onana kramo abaki awe nampazu ataondoa ufarume wa azizi na chama
Bongo njaa Kali waongoooooo wakubwa sana
Karm abk jmn
Mmeanza huongo kocha amemuona saa ngapi?
Mimi nina iman na simba yangu mugu awape baraka
Nyie waongo mbona tp mazembo wamempeleka Baleke yanga kwa mkopo?
Binafsi nimefurahi qram ABAKI bana
Karmo bado tunamuhitaji sana atatusaidia
Aubin kram nibonge lamchezaj wampe miaka 2
Klamo ni bora kuliko ona!
Tuachieni kramo tumuone mabosi wetu wa simba kramo mtu na nusu afu memletea mafundi wenzake bala
Choko ngoja nikuunfollow kabsaa kocha hata ajafka unaongea nn choko ww
Kramo abakie
MO amesajiri ila shida ni Matora ni tanitzo
Uyu jamaa kilusi pale simba
Tatizo lake nn ?
@@user-gn6zz3bq4n Kila Kocha akija anafukuzwa yeye anabakia Xaxa nikipi kinacho fanya yeye abaki wezake wafukuzwe. Asituletee makundi ya wachezaji pale
Kramo ni mtu kuntu
Hivi simba huyo mshauri wao Nani Yan umuache mchezaji mzuri kama klamo
Kramo tumuone sasa wasimutoe
Onana andoke karmo abaki
Kwani wewe ni wakala wa kramo au ninyi ndio vijana wa hovyo mnaodhalilisha wasomi kwa kukosa weredi wa kazi zenu.
Crip gani inasambaa ya kramo acheni uongo uongo
Wajinga Sana nyie,kocha na kramo Wala hawapo bado huko.mnatafutwa kutukanwa
Kramo abaki jmn ni mwamba kweli kweli kama Elie mpanzu imeshindikana kusajiliwa
Acheni uongo nyinyi
Acha uongo. Kocha leo ndiyo anaenda Misri hajamuona mazoezini. Lakini wewe umeshaanza uongo wa kipumbavu.
Mo kashikwa na Matola wakati Matola jipu
Tunaomba klamo abaki siba maana uwezowake nimkubwa
Kramo,ni jitu,mpanzu bado mdogo,kwakua mwenyewe anaitaka Simba,atakuna tu hata kama sio msimu huu
Mungu ibariki ssc
Kramo safi
Itakuwa vzr Kama taarifa itakuwa na ukweli ndani yake
Kramo yupo vzuri sana
Mimi Dan Alex nasapoti kramo akiwemo simba
MO tunaomba Kramo apewe miaka 2 bila shaka, Onana ampeni nguo zake asafiri
Kramo atakua 1 mtaona wanasimba
Kramo abaki wew
Onana asepekramo abaki😅😅😅
Ni vzr abak kramo simba Yuko xafi xana
Simba pia tunafeli kwenye makocha wa viungo
Karmo ni mzur kuliko eote hpo
namtaka kramo mm naitwa nikorasi
Onana ahondoke na Matora
Boli litembee mwizi usimpigie mayowe mkimbinze kimiyakiya
Klamo asiondoke bonge la mchezaji
Iyo video ya cramo mboni sijaiona hta kwenye kikosi apo hatumuoni nyie munaangalia wapi munaponuona kramo
Kramo anatusha Simba nguvu1
Kiramo nimtu na nusu anakuja kutufulaisha wana simba
Media zingne ni mikundu tuu
Kramo mchezaji mzuri Sana tena sana 11:50
Kramo mwenywe hajaenda
Tunahitaji vitendo, na sio sifa za majina ya wachezaji
Matora ametuchosha na rushwa
Acha fitina, Matola pia ni mshabiki number 1 wa simba
Clamo abaki bhana
Ni mchezaj mzuri lakn kumbuken kakaaa mwaka mzima njee alaf kuhusu kufanya mazoez kama wanabyomuonesha hvy Ni uongo tu
Kramo asiondoke aondoke onana tafaadhari sana Simba NGUVU moja
Matola ni kocha Matola hachezi mpira anafundisha mpira kwani mwalimu anapofundisha darasani wanafunzi wote wanamuelewa?
Hapooo wa kumtoaa ni onanaa bhanaaa arokeeee huyoooooo
Wafanye kazi
Acheni uongo wa kipuuzi taarifa za uongo uongo atutaki kama amn content acheni kubwabwaja maneno
Atoke onana kramo abaki awe nampazu ataondoa ufarume wa azizi na chama
Bongo njaa Kali waongoooooo wakubwa sana
Karm abk jmn
Mmeanza huongo kocha amemuona saa ngapi?
Mimi nina iman na simba yangu mugu awape baraka
Nyie waongo mbona tp mazembo wamempeleka Baleke yanga kwa mkopo?
Binafsi nimefurahi qram ABAKI bana
Karmo bado tunamuhitaji sana atatusaidia
Aubin kram nibonge lamchezaj wampe miaka 2
Klamo ni bora kuliko ona!
Tuachieni kramo tumuone mabosi wetu wa simba kramo mtu na nusu afu memletea mafundi wenzake bala
Choko ngoja nikuunfollow kabsaa kocha hata ajafka unaongea nn choko ww
Kramo abakie
MO amesajiri ila shida ni Matora ni tanitzo
Uyu jamaa kilusi pale simba
Tatizo lake nn ?
@@user-gn6zz3bq4n Kila Kocha akija anafukuzwa yeye anabakia Xaxa nikipi kinacho fanya yeye abaki wezake wafukuzwe. Asituletee makundi ya wachezaji pale
Kramo ni mtu kuntu
Hivi simba huyo mshauri wao Nani Yan umuache mchezaji mzuri kama klamo
Kramo tumuone sasa wasimutoe
Onana andoke karmo abaki
Kwani wewe ni wakala wa kramo au ninyi ndio vijana wa hovyo mnaodhalilisha wasomi kwa kukosa weredi wa kazi zenu.
Crip gani inasambaa ya kramo acheni uongo uongo
Wajinga Sana nyie,kocha na kramo Wala hawapo bado huko.mnatafutwa kutukanwa
Kramo abaki jmn ni mwamba kweli kweli kama Elie mpanzu imeshindikana kusajiliwa
Acheni uongo nyinyi
Acha uongo. Kocha leo ndiyo anaenda Misri hajamuona mazoezini. Lakini wewe umeshaanza uongo wa kipumbavu.
Kramo safi
Mo kashikwa na Matola wakati Matola jipu
Tunaomba klamo abaki siba maana uwezowake nimkubwa