Shahidi wa mauaji ya mwandamanaji Rex Masai ajiondoa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- Mmoja wa mashahidi wakuu katika kesi ya mauji ya mwandamanaji Rex Masai, amejiondoa kwa kuhofia usalama wake. Akizungumza na runinga ya Citizen mamake marehemu Rex Masai, alielezea wasiwasi alionao kuhusu hatma ya kesi ya mwanawe akidai kuwa huenda kuna njama ya kuficha ushahidi. Rais wa chama cha mawakili nchini LSK, Faith Odhiambo amemsuta mkuu wa mashtaka ya umma kwa kudai kuwa mashahidi hawajajitokeza akimtaka aweke mikakati ya kuwahakikishia usalama wao .
Oh mungu 😢😢, Roho ya Rex isilale bure ad ukweli ufichuke
Mungu ni mwenye haki, kama watakunyima haki ongea na Mungu, atakushangaza na atakachowafanyia watesi wako . Our prayers mama 🙏
Let my tears 😭😭😭😭😭 flow. God of justice reigns
True
Hamdulillah nilisema Mungu kama tuta kufa bure tu kwa haki bas Mungu alie muwa asipate amani hadi siku ya mwisho wake na Mungu halali na ipo siku walio uwa wengine pia Mungu sio atumani
😢😢😢 hakuna hakimu Zaidi ya mungu ipo siku utapata haki mama mbele ya muumba
Uwongo...malipo ni hapa hapa, hakuna muumba utakayesimama mbele yake. Usipopata haki hapa basi sahau kwingine, hizo ni hadithi za sungura walizokupumbaza nazo ili uendelee kungojea hadi kifo.
Kweli kabisa
@@stove7197 Ni Kwa sababu imani yako ya kumuamini mungu ni ndogo sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂@@stove7197
Stove tunaona we ni devil worshiper upende usipende iko supreme being na ukikufa utapatana nae ...pumbavu
Mungu yupo na halali
N cc tv ni yanin?
Ingekuwa ni mimi babake my friend hao ama huyo police wangekuja kwangu wakikula nyasi...... nonsense sina time na kudeal with extremely corrupt courts and police officers not..
Ukweli kabisa. Hata Mimi nikiwa na uwezo akuje na nyuki..Mungu atusamehe ni uchungu
We don't need any witness thr killer cop is known and ruto ndio alimtuma amuue so kama kweli kuna haki ruto is responsible
Usjali bro hii lazma italipa hata kama itachukua muda ila itajipa
sasa ushaidi wa nini tena wakati muuaji anajulikana wazi wazi
Ulimuona akimpiga risasi 😂😂😂yaani ukajua huyo askari mnasemanga niyeye muuaji alikuwa na bunduki aina gani😂😂.yaani mtu ako na bunduki ya kutupa teargas but Kenyans saying the killercop😂😂😂
@kefawaithaka6841 if you don't have anything substantial to say is better to zip up, someone's son lost his life in the hands of a useless police officer and it was captured on a cct but the government is trying to hide culprit and threatening witnesses.
@@kefawaithaka6841Use your mind upside not upside down nkt
Very unfortunate.
Oh God, they killed him cold blood.
CCTV captured it. Wawache Mzaha
Woiye ruto mungu anakuona
You can't bribe God!!God knows n he will surely bring justice in his own way
Haki pole sana kwa familia, 😢😢😢😢
Kwani kenya imekuwa aje
Alafu huyo askari alipelekea Hiyo laana kwa nyumba. Watoto wa huyo askari watalaaniwa milele.
Rest in peace
Ruto atamuua
Zakayo dangerous!
Why not revenge its the best way for justice 😅😅
I thought cctv footage should be used tena witnesses
Wakenya tusijalibu kurudia makosa yakujagua serekali kama hii tena!!!.b very careful tukijagua serekari
Tunapenda kuambiwa na kukupali wongo kama Leo hivi kunaendelea Bwani😠😠😠😠
😢
The same way ruto did with ICC witnesses 😢
Maisha yako muhimu,, story mob wachana naye
Unaongea kama mtoto nikama akili zako zimejaa mavi what if NI mtoto wako ameuliwa utasema hivo
@@jamesgathaiya6450 Nonsense
@christinechirchir, if you lose a child in unjust way will you keep quiet ? Silence is golden !
@@liliannyambane513 why you keep complaining na huyo kijana alipatikana off guard parliament ni wapi aki kama ni mtoto wangu siwezi ongea anything juu akutolewa kwa nyumba na kuwawa bure
Witness protection in Kenya is a joke,..
Huyo cop aliuwa Rex wife yake anafanya na lpoa
Hadi ule jonarlist alishutiwa rubber bullets et alizimwa