Nipo hapa New Jersey U.S.A najifariji na nyimbo zako.Katika huzuni na majaribu wengi tunachanganyikiwa maana wengi wa karibu wanatuacha lakini kumbe Mfalme mwenye uwezo yupo muda wote kufariji.Ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana UN.Nakupenda sana kwa ajili ya Utumishi wako.Dada wa ukweli.Unayevaa vizuri .Title Vitenge. Nakukumbuka tangu ulipo solo na Yombo ule wimbo YESU YESU Anaokoa...... BWANA AENDELEE KUKUTUNZA
Wambie Mamangu uku wanajidanganya kusema Mungu ahangalii mavazi anahangalia roho😭😭😭 duuu ndio maneno ya waimbaji wakisasa kwani waimbaji wakisasa tukisimama kama uyu mama akika kuna jambo Mungu atalitenda kwetu 😭😭🙏😭😭
Dadawe sauti yako yaponya mioyo. Mamangu mzazi kafanyiwa opareshion 8 huwa namwona kama muujiza na hilo hunifanya niutafute uso wa Mungu sana. Naomba siku moja nikutane nawe uso kwa uso
AMEN AMEN, mwenyezi Mungu akubariki sana mom ,,,,,, umeni bariki sana na neno nime amini MWENYEZI MUNGU atafunguwa njia zangu nipate mahali paku jenga na promotion pia nitapata ,
Asantee sana Upendo Nkone niko katika kipindi kigumu nimetiwa moyo sanaaa na hii interview hakika nmemuona BWANA limejikuta nalia sanaa naamini MUNGU ananipitisha katika hili jaribu maana kuna mahali pema pameandaliwa kwa ajili yangu🙏
Nimepitia majaribu mengi,lakini through Nkone Mimi niliuona mkono wa Bwana,ninapigwa vita katika familia,kutengwa nao,lakini Mungu Ni Nani through Nkone am blessed,life still continuing
Upendo nkone nimerudia zaidi ya mara moja kuingalia hii interview ninavyoiangalia hii interview yako MOYO wangu unapitia wakati mgumu sana lakini kwa maombi yako nasikia Amani moyoni mwangu nasikia faraja naona mzigo umenituka,,,, MUNGU akubariki
Aiseee ata mimi nina wakati mgumu sana Bishala haziendi mtaji umekwisha mke wangu anaklibia kujifungua ata nyumban hela ya kula sina pamoja nakujitahid na kuhangaika sifanikiwi ila hapa nimepata moyo ....nguvu mpya ,yupo Mungu msemaji wa mwisho
Nimeyapitia mengi,duniani unakataliwa,unasemwa uongo,unasengenywa,unatusiwa,unachekwa,mamayo ndio huyo na analia,hujui pa kwenda,uliowasaudia wakishavuka daraja kiboko ndio hiyo,furahini
Nipo hapa New Jersey U.S.A najifariji na nyimbo zako.Katika huzuni na majaribu wengi tunachanganyikiwa maana wengi wa karibu wanatuacha lakini kumbe Mfalme mwenye uwezo yupo muda wote kufariji.Ubarikiwe sana
6:20 daaah huyu dada ana sauti... Allah amemjaalia.
Ubarikiwe sana UN.Nakupenda sana kwa ajili ya Utumishi wako.Dada wa ukweli.Unayevaa vizuri .Title Vitenge.
Nakukumbuka tangu ulipo solo na Yombo ule wimbo YESU YESU Anaokoa......
BWANA AENDELEE KUKUTUNZA
Hatutaaibika mungu ni mwaminifu..
Glory🔥🔥🔥
Mama yangu kipenzi nakupenda mungu akulinde mama
Wambie Mamangu uku wanajidanganya kusema Mungu ahangalii mavazi anahangalia roho😭😭😭 duuu ndio maneno ya waimbaji wakisasa kwani waimbaji wakisasa tukisimama kama uyu mama akika kuna jambo Mungu atalitenda kwetu 😭😭🙏😭😭
Dadawe sauti yako yaponya mioyo. Mamangu mzazi kafanyiwa opareshion 8 huwa namwona kama muujiza na hilo hunifanya niutafute uso wa Mungu sana. Naomba siku moja nikutane nawe uso kwa uso
Wajina Asante kwa faraja Mungu akutunze kwa ajili ya watu wengi
Sjawahi kukutana na interview kama hii it's more than blessing 🙌💖
Machozi mengi, mama Mungu akubaliki sana, nakupenda ntaaka kukuwona macho Kwa macho. Nmetoka Rwanda
Mungu kubariki sana mom nakupendaga sana mom yangu ❤️❤️❤️🙏🙏🙏
MUNGU akuinuwe zaidi kwa huduma yake ❤❤❤
AMEN AMEN, mwenyezi Mungu akubariki sana mom ,,,,,, umeni bariki sana na neno nime amini MWENYEZI MUNGU atafunguwa njia zangu nipate mahali paku jenga na promotion pia nitapata ,
Dada upendo huwa unanibariki sana ktk nyimbo zako. Barikiwa sana Dada
Asantee sana Upendo Nkone niko katika kipindi kigumu nimetiwa moyo sanaaa na hii interview hakika nmemuona BWANA limejikuta nalia sanaa naamini MUNGU ananipitisha katika hili jaribu maana kuna mahali pema pameandaliwa kwa ajili yangu🙏
Ameen,,inatia moyo sana,,b blessed mtu wa Mungu
Ubalikiwe sana mamangu
Umenibaliki kabisaa
Amen Yupo Mungu Msemaji Wa Mwisho 🙏🙏
Mungu akupe nguvu mpya uishi miaka mingi your;; such a encouraging woman ofGod😭😭😭am a upcoming Artist and i am encouraged
Ubarikiwe mama yng, ctokusahau kwa uimbaji wako
To many more blessings Upendo nkone..
God bless you woman of God🙏
Mama Mungu akubariki nimependa interview yako, hakika Mungu azidi kukuinua
So wanderfully woman; nimekupenda sana kwa huduma yako; be blessed
Ume ni himiza tena katika Imani maman nashukuru Mungu kuku tiya nguvu, kutoka Congo 🇨🇩 nazipenda nyimbo zako
Mama Mungu. Akubariki kupitia huu ujumbe nimevuka Leo nimevuka Mungu Jameni akubariki sana mama shikia hapo maana zawadi utapewa
Jina la Bwana lisifiwe. Umenitia moyo sana Mchungaji Upendo. Mungu akubariki na akuzidishie Kibali na neema
wow Mungu aendelee kumtunza kwa ajili yetu.
Mungu akubaliki mamy upend ♥️♥️
Nimepitia majaribu mengi,lakini through Nkone Mimi niliuona mkono wa Bwana,ninapigwa vita katika familia,kutengwa nao,lakini Mungu Ni Nani through Nkone am blessed,life still continuing
Nitamwabudu mungu wa upendo nkone
Yupo Mungu msemaji wa mwisho🙏
Nabarikiwa sana kutoka Kenya
Mungu akubariki sana
Kama vile nikiimba nikitoka Kwa madhabau watu wanapopinga makofi nami moyoni nasema Mungu upokee sifa..Mungu nisaidie tu
Ubarikiwe sana mama nyimbo zako zimenitowa mbari
Hakika Mungu ni msemaji wa mwisho
Asante sana Mama Fadhili na Zabron.. ninachoweza sema ni MUNGU akubariki sana na akunze sana..
Ubarikiwe mama
Ubarikiwe Dada angu upendo....Mungu akuinue katika viwango vya juu na vilivyo na kibali mbele za Mungu
I was hopeless but thru this song am feeling encouraged 🙏
I've been looking for this interview, be blessed woman of God
Upendo nimebarikiwa Sana zidi kumtumikia Mungu mama next naomba awe angel bernard please Kaka Huruma charles
😩😩😩💞 mom nakupenda sanaaaaaa
Mungu akuinue zaid mama nakupenda
Nakupenda sana Upendo Nkone, unafanyika baraka sana kwangu,
Amen Amen interview inaishi mpaka 2021
Upendo nkone nimerudia zaidi ya mara moja kuingalia hii interview ninavyoiangalia hii interview yako MOYO wangu unapitia wakati mgumu sana lakini kwa maombi yako nasikia Amani moyoni mwangu nasikia faraja naona mzigo umenituka,,,, MUNGU akubariki
Aiseee ata mimi nina wakati mgumu sana Bishala haziendi mtaji umekwisha mke wangu anaklibia kujifungua ata nyumban hela ya kula sina pamoja nakujitahid na kuhangaika sifanikiwi ila hapa nimepata moyo ....nguvu mpya ,yupo Mungu msemaji wa mwisho
AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 barikiwaa mtumishii wa Mungu
interview imejaa uwepo wa Mungu
Indeed ..I thank God it draws me closer to Him..wengine wakiacha yeah Yuko na Mimi
Mama mama mama.umenitoa machoz kwa kweli.yani nimejiona kama nimetua mzigo wangu wooote
😭😭😭 utabaki na Mimi yesu
Ubalikiwe sana Mama
And this woman of God can preach and bless many , upendo u do inspire me alot
Utukufu kwa Bwana
Unanibariki sana mama..MUNGU akutunze sana
Amen dada ubarikiwe sana tena sana.
Be blessed mom 💜💜 Mungu akutunze maneno yak yanatia moyo sana
It's well Upendo Nkone
upendo ni sawa na kinanda nimefanya naye kazi na Malumbu yaani ye all time kazikazi!!!!
Mungu akubariki sana mama kwa huduma yako,Kuna sehemu Mungu anakupeleka
Nmebarikiwa sana, Kumskiliza Upendo Nkone
Powerful 🙌😭umenitia moyo sana
Maa Shaa Allah.. Interview nzuri
Nimebarikiwa
Amen asante Maman😭
una sauti nzuri ubarikiwe sana!
Mungu akubariki sana mama🙏🙏
Nmebarikiwa sana na kipindi
Unachosema ni kweli kabisa.Mungu akubariki sana mama.
Sio siri nimekuwa emotional jaman
Amen Amen am blessed
I LOVE YOU WOMAN OF GOD YOU INSPIRE ME SANA❤❤❤
Ooh God !! Toka nilivoanza kuangalia ninalia tu,Naona unaongea na Mimi kabisa...
Nimetoka kenya,mama umeninguza kweli.napitia mangumu lakini naamini mungu atafanya nji
I'm blessed
Nimependa sana wimbo huu
Haluyaa
My mum nakupenda sana 💞💞
wow..... so sweet
Best Singer
Amen Amen
Hawa ndo waimbaji wanaohitajika katik kipindi hiki ,,ila huwa unanyimbo za kuponya mioyo ya watu na kuwainua ukwel nakukubali Sana mama❤️❤️❤️
May God bless for good songs. For the encouragement barikiwa
So inspiring...I like your ministry upendo...May the Lords grace and favor locate you..
Brown from huye Rwanda nampenda sana huyo mama 🌻
Mungu akubariki sana brother Brown
Da mungu akubarik
Barikiwa maman yangu
Baraka sana
Amen, very powerful
Jambo Mama Upendo. naomba uniombeye, Mungu akubariki Sana. Kwa fareja kubwa. Asante, Amena!
Nimeyapitia mengi,duniani unakataliwa,unasemwa uongo,unasengenywa,unatusiwa,unachekwa,mamayo ndio huyo na analia,hujui pa kwenda,uliowasaudia wakishavuka daraja kiboko ndio hiyo,furahini
Mama wewe Ni wa aina yake nakuambiaa Mungu akutunze
Upendo nkone unatiamoyo sana
NAMPENDA HUYU DADA HATALI.
Very touching
nabarikiwa sana nawe
Hatutaabika MUNGU ni mwanaminifu
Amém 😭😭😭🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Amen
Kwa wiki naitazama mara 3
Namwomba MUNGU anifanye kama wewe, niombee na uniachie vazi lako kwa jina la YESU niko nyumaa yako.
Omba Mungu akupe vazi lako kwa sababu uwezi jua vazi lake lina changamoto kiasi gani
😭😭😭😭😭😭
Dah inaliza iyi jaman
Amina
Jmn jmn uyu mama ndo muimbaji sito acha kumpenda kwakweli
Kweli Mungu diyi msemaji wamwisho