Kaka umejaa unyenyekevu sana ...nilibalikiwa na wewe tulipoongea Dar...uwanja wa tanganyika pekas....ubalikiwe sana unaimba vizuri...umejaa hekima Bwana akutunzw
Barikiweni Sana makuhani wa Bwana ,hakika kwa Yesu ni kutamu mnooo,hata kma napitia gumu kiasi gani nikitizama hii video ninapata nguvu ya kuomba na kusonga mbele
Wema wa mungu nimeuona hakika. Kupitia moyo wangu nilipoufungua. Afya yangu inashuhudia wema wa mungu hakika. Najisikia kumwelezea nimemwona kupitia Afya yangu. Amenifanya nimekuwa mpya ndani na nje. Asante yesu. Haleluya.
Oh sawa ,huwa nachanganya Mungu amefariki sana sina namna naweza kueleza pale ninapokusikiliza ukiimba ila ninalo neno la shukrani mbele za Mungu kwaajili yako
Mwanzo 1: 2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji. 3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru. 4 Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza. *MUNGU AONDOE GIZA, UKIWA NA UTUPU KWENYE MAISHA YETU! IWE NURU!! ULIMWENGU WETU UWE MWEMA, KAMILI, WENYE UWEPO WA MUNGU, MAMLAKA, UPONYAJI, UZIMA, USHINDI, TUMAINI JIPYA, ISHARA, MIUJIZA NA MAAJABU!!!*
Mwaka 2017 nlikua napitia magumu mno, huu wimbo nlikua nausikiliza usiku kucha Hadi nipate kulala, Mungu alinitokea hatimae
Naziona nguvu za Mungu maishani mwangu
Mungu ninakushukuru leo nimekutana na nguvu zako kupitia video hii. Mungu wabariki watumishi wako wote uwazidishie baraka amina
Kaka umejaa unyenyekevu sana ...nilibalikiwa na wewe tulipoongea Dar...uwanja wa tanganyika pekas....ubalikiwe sana unaimba vizuri...umejaa hekima Bwana akutunzw
Very powerful message... Mungu ni mwema Sana 🙏🙏🙏
Barikiwa sana 🙏🏼🙏🏼 . Amen
Asante MUNGU wangu kwa WEMA WAKO ambao haukomi maishani mwetu. Ewe YESU u RAFIKI MWEMA😭😭😭🙏🙏🙏
Glory to God..... Karbu Yesu ukae kwangu siku zote maishani mwanguu uwe wangu Yesu... Uwe wangu daima
Barikiweni Sana makuhani wa Bwana ,hakika kwa Yesu ni kutamu mnooo,hata kma napitia gumu kiasi gani nikitizama hii video ninapata nguvu ya kuomba na kusonga mbele
Amen...nimezungwa na nguvu zako
Powerful song barikiwa sana mtumishi
Amen, karibu Yesu, siku zote maishani mwangu
Godian bwana Yesu akutunze Sana Kaka yetu unatubariki sana . Mwl ametoka katavi kiukwel ametubarik. By Michael nikiwa katavi
Amen ..Barikiwa sana
Mm naomba namba zao
Amen nabarikiwa mno Mungu akutunze baba
Mtumishi Gordian Mungu aendelee kukupigania ktk huduma
Ameen
Mungu baba uliye nijalia kuwepo dinian ww ndiye nikuabudie milele na sikuzote
Karibu Yesu maishani mwangu uwe wangu
Karbu kwangu yesuu, yesu ni rafiki mwema kwangu nilitabiliwa kifo lakini niko hai bado nakupenda yesu, barukiweni sana watumishi
Karibu yesu maishan mwangu uwe Wang daima nabarikiwa snaaa na huduma yenu
Karbu Yesu mwokoz wangu kaa kwangu daima
AMEN. Karibu YESU na UFALME wako unitawale milele yote.
Mungu azid kukutumia mwl God maana Mungu aliniponya kptia ibada ya mbez. Kurudisha Mambo yaliyoibwa
Godian Mtumishi wa Mungu songa mbele Hongera sana Kaka
Amen Dada barikiwa
Karibu KRISTO YESU uwe kwangu daima maishani mwangu
Uwe WANGU uwe WANGU uweeeeeeeeeeeee wanguuuu wanguuuu wanguuuu 😭😭😭😭😭🙏
Yesu we ni rafiki yangu na ni rafiki wa kweli niongoze Bwana
3yrs ago but nguvu nazopata n kama hii ni ya leo God is real🙏🙏
Kakangu Godian Mungu akutunze
Uwe wangu Daima, katika shida zangu wewe uwe wangu daima.
It's good.
Wema wa mungu nimeuona hakika. Kupitia moyo wangu nilipoufungua. Afya yangu inashuhudia wema wa mungu hakika. Najisikia kumwelezea nimemwona kupitia Afya yangu. Amenifanya nimekuwa mpya ndani na nje. Asante yesu. Haleluya.
Nmebarikiwa sana
Nilitarajia Mwenye wimbo angeongoza kuimba.
Hallelujah hallelujah hallelujah 👏👏👏
Hakika wema wako umenizunguka haleluya
Wimbo huu unagusa sana!
Hatari tupu aisee hiiiiiii mhhh hiiiiiiiiii>iiiiiii
Karibu Yesu Maishani mwangu uwe wangu daimaaa
God is good all the time tutamtumaini yeye daima milele
Wema wa,Mungu jaman,asante yesu
Karibu YESU siku zote uwe wangu daima
haleluya ubarikiwe sana BABA YANGU YESU WANGU NAKUPENDA ASANTE KWA WATUMISHI WAKO
Haleluy ubarikiw sana mwl wangu
Mbarikiwe sana jaman
Oh haleluya karibu yesu uwe wangu siku zote za maisha yangu
Saqrrv x azad sasd bgg gfg
Unanibariki sana Mtumishi wa Mungu kwa uimbaji wako! endelea kunyenyekea miguuni pa Mungu Godian
🔥🔥
Ee Yesu wangu niokoe,
Kila cku Mungu unabaki kuwa Mungu tu karibu Yesu ukae nami
nimebarikiwa sana
Glory! Glory 🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Karibu Yesu ukae kwangu
Nilalapo na niamkapo wema wako bado upo namiiii
nawapenda sana hawa watu kwa JINA LA YESU
Kabisa Mungu awabariki
Mungu awabariki na awapake mafuta by innocent in Tanzania at makambako
🙏🙏🙏Ameeen
Karibu YESU siku zote maishani mwangu
Karibu Yesu Kristo siku sote maisha
Mungu ni mwema kweli
Mungu npe hekima
Haleluya🙏
wooow hongera ticha god
Asante saaana
Goodluck Mungu yu pamoja nawe
Amen...ila Naitwa Gordian Goodluck ni mwingine
Oh sawa ,huwa nachanganya Mungu amefariki sana sina namna naweza kueleza pale ninapokusikiliza ukiimba ila ninalo neno la shukrani mbele za Mungu kwaajili yako
@@bensonsamweli5689 amen utukufu kwa Bwana...
Mungu azidi kuwatunza
Haleluya,
Amen Amen watumishi
Mungu wetu ashukuriwe
Mtumishi Gordian, hapa ni mkoa gani na lini
Semina ya wanawake Dar es Salaam Mwezi huu wa 6/2019
@@lovenessmichael9593 asante
Asante naona ushapata jibu Dada @Lilian Sukhe
@@gordiannewton9080 karibu dodoma kkkt cathedral mtumishi wa Mungu, Ukipata kibali
Jesus Jesus Jesus
Mwl,karibu sana kenya,hakika umekuwa baraka kwangu,karibu na uwalishe na wakenya,nakupenda na upendo wa agape
Kuna nguvu katika damu ya Yesu
Nimebaki na wewe yesu
Mungu awalinde mwanangu
Amen, Haleluyaaa
asantee mungu wema wako bado Upo kwangu wwe yesu utabaki milele hakuna alie kama wwe
Ameen
😭😭😭😭😭Amen
😭😭🙏
Amina
Oooh Hallelujah 😭😭
Nabarikiwa kila nikiusikiliza huu wimbo...🙏🙏
😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
Nisaidie Yesu
AMEEN AMEEN BARIKIWE SANA WALAWI......
God🙌🙌
Ameeeni
Amen Amen Amen?
😭😭😭😭😭😭😭
Mwanzo 1:
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
4 Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.
*MUNGU AONDOE GIZA, UKIWA NA UTUPU KWENYE MAISHA YETU! IWE NURU!! ULIMWENGU WETU UWE MWEMA, KAMILI, WENYE UWEPO WA MUNGU, MAMLAKA, UPONYAJI, UZIMA, USHINDI, TUMAINI JIPYA, ISHARA, MIUJIZA NA MAAJABU!!!*
Amen tunapokea
Ameen
Amen Mungu ni mwema
JOSEPHINE MBESERE
Wema wako Bwana bado upo nami rafiki Mwema, Asante Mungu napokea mahali hapa
Amen mbarikiwe na mungu
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Neema ya Mungu itimize mapenzi yake kwa maisha yetu bila Yesu hatuwezi nipo nabubujika kwa somo hili
Baba
Be blessed Christine
Oooh asante yesu kwa watumishi wako unaowatumia kusema nasi
mungu mwema
Karbu Yesu mwokoz wangu kaa kwangu daima