Kitambulisho changu cha nida leo ninavyoongea huu ni mwaka wa tatu sijakipata wakati ni cha mhimu yaani hii nchi watendaji ni wa ovyo sana sasa unafikir ikitokea mhuni kama huyo akiniambia toa pesa nikutolee Kitambulisho cha nida naweza nikarubunika kumbe tatizo ni serikali
Uyu kesho tu anahukumiwa jela maisha alafu majambazi wauwaji wabakaji wanajidai na kuvimba mkiwarudisha na kuwapeleka kila siku kesi zao zinasomwa aziishi mmmh
@@LouisianaRiri anajua wangap tanzania wanajua kama yeye shida yake ni hela apewe andeleeh mbele asaidie kuhaki hata wezi wa benk kama soft hacker au white hacker
Kwa akili yangu kama vyeti alivyo tengeneza huyu jamaa vili wai kumvusha mtu kwenda sehemu yoyote basi ni hatari sana lakini kitaalumaa mm nilivo soma bacherol of science in information technology ,Kuna white hacker ,grey hacker and black hacker , wote Hawa Wana umuhimu wake imarisheni mifumo na muwe waaminifu ita saidia sana kudhibiti , ni rahisi sana kwakijana huyo ila nihatari sana mtu wa uhamiaji akiwa anagushi au kula rushwa I love my country Tanzania
Wafiraji NA WABAKSJI WAMEFICHWA ILA HUYU VYETI TU KAONYESHWA LAKIN WALE WENYE KES YA KUNYONGWA KABISA MMEWAFICHA, HII NCHI HII ILS YOTE KISA NYUMA YUP MTU MKUBWA,
Sasa hivi ukitaka Rita wanakuambia nenda stational siyo ofisi za Lita sasa serikali wanategemea Nini WAKATI watz kuanzia miaka ya 2000 kurudi ni shida vilikuwa wa chini hatujui UMUHIMU wa vyeti
watu kama hao wanyongwe tu hata sisi huku zanzibar tumepasisha vyombo then tunaambiwa road lessence zetu ni faki. na inawezekana anashirikiana na wafanya kazi wa serikalini.kwa kweli wanatuumiza
Msitukele mbona wale walio baka hamkutaja majina ..tokeni hapa😢😢
hongereni uhamiaji kwa kazi nzuri
❤ naipenda Tanzania yangu ongera sana jeshi Ra uhamiaji mzidi kusimamia shelia za nchi Mungu walinde Mungu ibaliki Tanzania yetu 🇹🇿 🙏🙏🙏🙏
Hongereni uhamiaji kwa kazi nzuri
Watangaze walifu wote tusibague 😂😂😂
Mbona huyo amekamatwa haraka kuliko wale waliobaka yule binti?
Kwani mnataka akulie wapi hata kugushi ni kazi kujeni Kenya tuwafunze jinsi ya ku survive bana 😂😂😂😂Aaaaaaiii
Mmefanya kazi nzuri sana. Kamata hao (ila muwaendeleze kielimu).
NIDA nao wasitusumbue na kutulipusha upya wakati tunaomba marekebisho ya National ID zetu ambazo walizikosea wao wenyewe
Ahsante
Pia kuna bint kabakwa na watu wa tano mlikumbuke hilo
Kitambulisho changu cha nida leo ninavyoongea huu ni mwaka wa tatu sijakipata wakati ni cha mhimu yaani hii nchi watendaji ni wa ovyo sana sasa unafikir ikitokea mhuni kama huyo akiniambia toa pesa nikutolee Kitambulisho cha nida naweza nikarubunika kumbe tatizo ni serikali
Huyu ni mwamba kabisa sema tu nchi yetu haijui kuwatumia watu kama hawa,
Daah Yan ukiisikiliza utaogopa ww mwenyew, jamaa it imemuweka pabaya
Siku Zote Wanasema Usihukumu Kabla Huja Hukumiwa Kwenye Hiiii Nchi Wema Ni Wachache Sanaah
Huyo msimfunge apewe chansi asome ila apewe elimu
Ao jamaa kwa kompyuta noma sana shida ni matapeli tu
He is genius and we suppose them in this nation,assist he And not engulfing his endowments
Uyu kesho tu anahukumiwa jela maisha alafu majambazi wauwaji wabakaji wanajidai na kuvimba mkiwarudisha na kuwapeleka kila siku kesi zao zinasomwa aziishi mmmh
Uzinguaji wa kupata hizo vitambulisho ndio maana watu hutumia njia ovu kama hzo
watu kama hao ni wa pekee wapewe kazi SO KUMUHUKUMU AENDELEZWE
Upuuz icho kitu sio special ni elimu tuu kam ujasoma utaona kila mtu kpaji ata mim naweza ila huo ni ujambaz,,,
@@LouisianaRiri anajua wangap tanzania wanajua kama yeye shida yake ni hela apewe andeleeh mbele asaidie kuhaki hata wezi wa benk kama soft hacker au white hacker
Ndg watanzania miongoni mwa kesi ngumu ni hii lazima ikufinge tu..🤔
Nyie askari mnazingua mambo ya msingi huwa hamzungunzii ktk media ila ujinga ujinga mnauwanika hazaran
Kunawanyaruanda wanajifanya wahaya kiusalamani hatali angalieni kongo
Kwa akili yangu kama vyeti alivyo tengeneza huyu jamaa vili wai kumvusha mtu kwenda sehemu yoyote basi ni hatari sana lakini kitaalumaa mm nilivo soma bacherol of science in information technology ,Kuna white hacker ,grey hacker and black hacker , wote Hawa Wana umuhimu wake imarisheni mifumo na muwe waaminifu ita saidia sana kudhibiti , ni rahisi sana kwakijana huyo ila nihatari sana mtu wa uhamiaji akiwa anagushi au kula rushwa I love my country Tanzania
Good job
kwani nyie vyeti vyenu vipo sawa na nyie jmn ukipita msasa hupati alie na vyeti sawa
Huyo ni total solutions stationary 😂
Hizi habar unazizingatia Sana binti kabakwa hamjatuonesha kama watuhumiwa wamekamatwa binti apate haki yake au kwavile jina lilitaja afande 😂😂😂
😂😂😂hiyo ndiyo tz
Mbona Madisadi hamuwakaöatii
waliomlawiti binti 5 ( polis) Hamuwaleti hapa medya
This is shame to polıce
Haki itendeke kwa waribaki mucrindane maana inaonekana kuna mwenzenu yumo kwenye sakata.
Wafungwe hao ndio wanakuja kuwa watu hatari kwenye taifa letu asante san jeshi letu 🇹🇿🇹🇿📺
Ale kichapo Kisha afungwe
Kazi kwako
Wafiraji NA WABAKSJI WAMEFICHWA ILA HUYU VYETI TU KAONYESHWA LAKIN WALE WENYE KES YA KUNYONGWA KABISA MMEWAFICHA, HII NCHI HII ILS YOTE KISA NYUMA YUP MTU MKUBWA,
Awataje wote aliowapatia vyeti feki
Daaa full ofisi hiyo computer pekuoni vizuri
Nyinyi wenyewe , hamtoi vyeti kwa wakati mnategemea wananchi wafanye nini
Upo sahihi mwenyewe nilikosa cheti na koz nilienda yani
Sasa hivi ukitaka Rita wanakuambia nenda stational siyo ofisi za Lita sasa serikali wanategemea Nini WAKATI watz kuanzia miaka ya 2000 kurudi ni shida vilikuwa wa chini hatujui UMUHIMU wa vyeti
Mambo haya yameanza tena!?
Nawale walio mfira binti
Watekani na wabakajiiiiiiii mbona hamkamati
Warawiti na wabakaji hatuonyweshwi. Bali wagushaji
Wte wana hatia
Mtoto kautaka
Wengine wanaenda Kozi ya JKT yeye anawatengenezea vyeti feki kirahisi tu😎
Kuna wanajeshi wako mtaani hawaja pata nafasi yakupata vyeti unalijua hilo
Huyo msimfunge mpelekeni ritha au mpeni KAZI mnawafunga vijana kama hao nguvu KAZI
kongore mkuu uyo ni adui sio dogo anaweza kuiuza nchi
Sasa hapo atauzaje nchi zaidi ya wanao saini mikataba feki kwa mabeberu.
Mbona waletaji unga na madawa ya kulevya hamuwagusi au kwa sababu ni watoto wa wakubwa
Sio kitengo chao na sio kazi yao boss kipo kitengo cha kuziya na kupambana na madawa ya kulevya
Mwambaa haachi pesaa kila sekta yupo😂
Aajiriwe huyu apewe kitengo hicho ni kipaji mimi naamini jela kuna vipaji vingi mnoo
Tunataka wabaji.
Walio mlawiti bint wayombo mbona hamuwaonyeshi?
Tuachieni sisi selikali
Tutamaza wenye
watu kama hao wanyongwe tu
hata sisi huku zanzibar tumepasisha vyombo then tunaambiwa road lessence zetu ni faki.
na inawezekana anashirikiana na wafanya kazi wa serikalini.kwa kweli wanatuumiza
Mbona hamkamati wabakajiiiiiiii
umebakwaa nn
Walio mteka setv?
Wabakqji ndio siyo hatari.
Mbona wariyomlawiti binti wako wapi kenge nyinyi
Nani Kennedy unattainable selikali