SUNGURA NI FULSA MPYA MJINI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ก.ย. 2024
  • Ufugaji wa sungura ni kitengo kidogo cha ustawi wa mifugo kwa minajili ya kuongeza uzalishaji wa nyama ya sungura, na pia kwa mapato. Kama mnyama yeyote sungura anahitaji utunzaji mwema ili waweze kuwa na afya nzuri pia sungura anaitaji kujengewa banda (cage) ambayo inautoaji taka mzuri yani mkojo na mavi ambavyo pia unavivuna lengo kukuongezea kipato. Na kama watoto wa binadamu pia sungura wanahitaji kupewa chakula kisafi cha hali ya juu kilicho na madini ya protini na kalsham na pia kupewa maji masafi.
    Tuna mpango wa ufugaji wa sungura wa kisasa kibiashara ajira, wastahafu, pia na kuondoa uwezekano wa magojwa yatokanayo na ulaji wa nyama nyekundu.
    Magonjwa yatokanayo na nyama nyekundu hutisha uhai maendeleo na ustawi wa Taifa letu, na kupunguza kasi ya maendeleo ya jamii, Nchi na Taifa kwa ujumla.
    Hivyo basi mpango huu utasisitiza ulaji wa nyama ya Sungura ambayo ni nyeupe isiyo na madhara kwa afya ya mlaji katika jamii
    Wengi wamenufaika na mbegu bora kutoka kwetu na sungura wetu wanauzazi bora kwa hakika atubahatishi tunasonga mbele. Ujachelewa mda ndo huu mkuu kamata fursa mapema mkuu
    Cha kuongezia tu sungura uzaa kila mwezi tofauti na wanyama wengine.
    Weka order yako mapema
    Tupigie simu
    +255655752854
    +255627009399
    Email:makuparabbit@gmail.com
    @makupa_rabbits tunakufikia popote ulipo tanzania nzima
    #sungura #worlds #tanzania #tanzaniakwanza #tanzaniasafari #mpwapwa #dodoma #rabbits #kilimo #ufugaji #uchumi #animals #agriculture #paje #daressalaam #zanzibari #sir #simba #public #new #newz #habari #magazeti #bata #mbwa #hotel #rabbitmeat #sungurakibiashara #makuparabbit #tanzaniarabbits

ความคิดเห็น • 4