Amen yesu ni Bwana ..naukumbuka ushuhuda huu uliutoa kanisani mwa Jerusalem revival temple himo nimeguswa na ushuda wako mchungaji nawapenda wote wachungaji wangu
Hakika Yesu ni Bwana! Asante sana kwa kushea ushuhuda huu maana unadhihirisha kwa uwazi kabisa matendo makuu sana ya Mungu. Glory be to God. Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu.
Jamaniii mama hongera Sana huwa napenda nikuone tuu na baba barikiwa Sana kwa wimbo mzur nyimbo zako nazipataje
Tupigie 0756 498 083
Napokea afya njema kwa jina la yesu
Jamani mungu yupo na anaponya ukiwa na imani utaponya hata mimi aliniponya huo ugonjwa sai niko saudia na chapa kazi
Tupe namba yako tafadhali
Huu wimbo aisee nauihitaji unaitwaje mbona mzuri hivo❤❤❤❤❤❤kiukweli unatia moyo🙏🏻🙏🏻
Hadija nmeokoka nampenda yesu NAMI pia nahitaji nipone
Piga simu hii 0756 498 083
Amina natamani na mimi siku moja mungu aniponyeeee naamini kuponywa
Tupigie 0756 498 083
Mungu nimuweza Mambo yote
Mama! Mama!mama! Yaan nimesikia touches zisizo za kawaida..viko visima vikubwa sana vwa hazina ndani yenu watumishi wangu Mungu awabariki sana
Mungu aendelee kuwabariki enyi watumishi wa Mungu.
Nawakumbuka,mliwahikuja kanisani kwetu Dar.kwa Mch, Kametta
namimi nimeshayashuhudia matendo watu wakipona✍️✍️❤✍️kikubwa mtu uache dhambi Mungu hashindwi lolote lile🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amen 🙏
Amen 🙏 hata mimi ataniponya kwa jina la yesu kristo
AMEN SANA.NA IWE KWAKO HIVYO.NI OMBI LANGU UPONE KWA UTUKUFU WA MUNGU MWENYEWE.
Amen
Nabarikiwa sana kupitia watumishi hawa Mungu awatunze daima.
Nawapenda sana.
Be blessed my spiritual parents
Mungu ni mwema kweli kila wakati
Amen Mama Yetu. Mungu akuhifadhi daima. Ushuhuda wakuganga mioyo iliochoka nakujeruhika. Binafsi nimehisi faraja naimani yangu kujengeka nakukua. Mungu azidi kukuneemesha
Amina Sana mungu hanaponya Nataponya Zaidi na Zaidi
Amen yesu ni Bwana ..naukumbuka ushuhuda huu uliutoa kanisani mwa Jerusalem revival temple himo nimeguswa na ushuda wako mchungaji nawapenda wote wachungaji wangu
Amen 🙏
Haki ni ushuhuda wa kutia moyo eeh mungu kutana na Hitaji la moyo wangu nami niyashuhudie matendo makuu ya mungu kama huyu mama mchungaji🙏🙏
Amen🙏🙏🙏mama mungu azidi kukutunza.
Wimbo mzuri sana
Mungu akulinde
Amen God is Great 🙏
Amen
Hakika Yesu ni Bwana! Asante sana kwa kushea ushuhuda huu maana unadhihirisha kwa uwazi kabisa matendo makuu sana ya Mungu. Glory be to God. Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu.
Mungu awape maisha marefu, mnafanana sana
Hakika ametenda
Jamani Esther wangu my dear maludio yako wapi
Nimebarikiwa sana, God bless you.
wekeni no mniombee na mm
Amen
Nataman nipate namba ya mchungaji nasumbuliwa na magonjwa
0756 498 083
Wapumbavu wajinga mnawadanganya watu, ulipimwa hosptal gan ya serekar? Daktal yup wa serikar anathibitisha uponyaji huo, wajinga wapumbavu waongo