Aibu!! "PESA ZA CCM ZIMEMPONZA MSIGWA ANAJITAPATAPA" ALITAKAKUVURUGA CHADEMA" KALONGA AYATAPIKA YOTE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 65

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 15 วันที่ผ่านมา +7

    Ndg Kalonga nashukuru kwamba umezungumza ukweli hayo unayozungumza nadhani ni ya kweli kabisa. Mungu yu pamoja na wamchao. Bahati mbaya ni kwamba Mhe Msigwa kiapo cha madhabahuni kinaweza kumtesa kweli kabisa ni wakati wake kutubu na kurejea hata ikiwa si kuwa mwanachama wa CDM.

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 15 วันที่ผ่านมา +6

    Ubarikiwe kaka ubarikiwe kwa kusema ukweli hakika msigwa ni yuda msaliti

    • @corporatethugsent7380
      @corporatethugsent7380 15 วันที่ผ่านมา

      Daaa aseee kumbe CHADEMA Ina watu jaman hawaskikagi biut wanahekima sanaaa yan dah

  • @CornenciaFaustine-pd2rc
    @CornenciaFaustine-pd2rc 15 วันที่ผ่านมา +4

    Kumwita mchungaji msigwa ni kukinajisi cheo cha uchungaji kidini. Nafikiri ataeleweka vyema kama ataitwa msigwa iskariote aka mzee wa vipande thelathini.

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 15 วันที่ผ่านมา +8

    Magufuli mwenyewe alishindwa kukiuwa chadema atakuwa msingwa

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 15 วันที่ผ่านมา +1

    Usimtukane mwenzio fanya kazi yako tu

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 15 วันที่ผ่านมา +3

    Mchungaji feki, kapoteza dira

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o 15 วันที่ผ่านมา +2

    Nakuona dogo kwenye interview.

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 15 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa mikowa yetu mbeya na songwe mtajuwa ni wilaya ipi inawasomi waliyo bobea hasa wanasheria. Hongera sana wasomi wa rungwe mnatutowa soni

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey 14 วันที่ผ่านมา +1

    KABAINI KWAMBA CHADEMA HAINA SERA NA WALA VIONGOZI PIA NAO HAWANA SERA
    KAONDOKA IMEKUWA NDIO SERA YENYEWE TAFUTENI JENGINE KWA SASA MSIGWA CHADEMA NI BENDERA KUFUATA UPEPO UENDAPO

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 13 วันที่ผ่านมา +1

    sitarajii umsifie Msigwa hata kwa fimbo linda ajira yako ya usaidizi! tundu rafiki yangu wa karibu sana lakini siwezi msema msigwa kisa jinsi tunavyofahamiana na Lisu. Msigwa kaamua tumieni muda wenu kuijenga CDM kumsema hakusaidii hata kwa pesa! Ubora wa chama sio kusimangana ni kukijenga chama toka SACCOS ya mchaga mmoja kuwa chama cha kijamii!

  • @BarakaMwambapa-o4i
    @BarakaMwambapa-o4i 15 วันที่ผ่านมา +3

    Kalonga nimekupata

  • @chezariboy
    @chezariboy 15 วันที่ผ่านมา +2

    Kwenye loliondo na sakata la wamasaimsohwa alikuwa. Bubu alikuwa upande wa samia na uccm. Kwelii nimeaminii, with wanamjua kea kina Sana msigwa

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 13 วันที่ผ่านมา

      mmetoka hamkutoka wezi toka kenya nyie tupa kule!

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel9690 15 วันที่ผ่านมา +2

    na asikie alipo huyo msigwa

  • @benardkinde8496
    @benardkinde8496 15 วันที่ผ่านมา +4

    Ni kweli kabisa kama kweli ni mchungaji msigwa hayupo salama maana Mungu hapendezwi na wazalimu na wanafiki

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 13 วันที่ผ่านมา

      fungua kanisa kama umejua Mungu amemchukia aliyejitoa na kumpenda mmiliki wa SACCOS

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel9690 15 วันที่ผ่านมา +2

    Hakuna mwenye ubavu wa kui ua chadema tuna usubiria mkutano wake aje aseme habari ya sacos.

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 13 วันที่ผ่านมา

      si bora umuulize Makengeza mmiliki wa SACCOS

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel9690 15 วันที่ผ่านมา +2

    Msigwa asingeweza baki chadema bila uongozi ndo Mana kasaliti

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t 9 วันที่ผ่านมา

    Kigeugeu hakinaga mwisho na huko akikosa cheo ataondoka kwan nn? Mbn hakuondoka chadema alipokua kiongozi

  • @joelsaganya4077
    @joelsaganya4077 15 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna kikao kimoja cha bunge Msigwa aliambiwa na wabunge wenzake kuwa hafai hata kuchunga nguruwe, kilichotokea kimethibitisha yaliyonenwa.

  • @yudanziku6030
    @yudanziku6030 15 วันที่ผ่านมา +3

    Msigwa kwa hadhi yake boraa awe mkimya kwakweli.

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 15 วันที่ผ่านมา

      Amuulize zito kabwa aliekua anaandaliwa majukwaa na ccm

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 14 วันที่ผ่านมา

    Duh! Baadhi ya hawa watumishi wa mungu wanahitaji kuombewa rehema kwa kweli. Wanaweza kuwa wanaumia sana mioyoni wakijifanyia self examination. Tuwaombee tuu

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard 15 วันที่ผ่านมา +1

    Msigwa tulimwamini sasa amegeuka mamluki amelikoroga na atalinywa

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t 9 วันที่ผ่านมา

    Kabla hajahamia ccm alikua anasemaje kuhusu.ccm na Leo anesemaje kuhusu chadema.msikilizeni

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 14 วันที่ผ่านมา

    Kaka uko vizuri sana Asante sana

  • @DamasAmos-ue2gh
    @DamasAmos-ue2gh 14 วันที่ผ่านมา

    Ndungu yangu musigwa simchungaji uchungaji wake unalusu lushwa uyo nimchungaji muchumia tumbo akuna chauchungaji pele ninjaatu wengine wanamchezea mungu

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 15 วันที่ผ่านมา +1

    Msingwa mnafiki tu anajiita mchungaji kanunuliwa na makaratasi ya Dunia

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c 10 วันที่ผ่านมา

    Msigwa ni feki ,maana anajifanya mtumishi wa mungu kumbe huko serikalin ameenda kua tapel wa vyama au serkalin

  • @annemlay11
    @annemlay11 14 วันที่ผ่านมา

    CHADEMA kwa asili kina shida.Msigwa na Lowasa nani zaidi.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 14 วันที่ผ่านมา

    Mko sawa nafikiri mwakani itakiuwa kivumbi nguo kuchanika

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 15 วันที่ผ่านมา

    Wateuzi wanaleta soni kulawiti kupigilia chupa raia sehemu za siri nani atakuwa na imani nawateuzi wenye udhaifu kama huo.

  • @chezariboy
    @chezariboy 15 วันที่ผ่านมา

    Duiiiuuu,, nimekuamni kwenye lalamiko la uuzaji loliyondo msgwa hjawai uunga mkono

  • @HadaikaNgabona
    @HadaikaNgabona 13 วันที่ผ่านมา

    Wewe bado una cheo siku ukiacha na wewe utavua gwanda.

  • @JuliusMlengeswa
    @JuliusMlengeswa 15 วันที่ผ่านมา

    Siasa haina rafiki au adui wa kudumu! Huoni maslahi Hamia penye maslahi mapema

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 15 วันที่ผ่านมา

  • @MnubiMm
    @MnubiMm 14 วันที่ผ่านมา

    Hivi kumbe nyie ndio mlimtuma yule kijana achome picha ya Raisi haya usemayo ni yale ulioambiwa na bosi wako ila bakisha akiba ya Maneno hayana Ukweli unamtafutia Msigwa njia ya kuchafua msingwa lakini pia msigwa alionekana wasiwazi ataenda kumpinga Mbowe kwenye Uchaguzi mkuu kwa nini usiseme haya kabla ya msigwa kuja CCM story tu hiyo

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 15 วันที่ผ่านมา

    Mama atamweka sasa msigwa kama katibu mwenzi

  • @marakidtz9454
    @marakidtz9454 15 วันที่ผ่านมา

    Hii habar ni ya Jana Jumatatu Jitahidi Uwe Unaenda Ontime

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 14 วันที่ผ่านมา

    Mchungaji kuku

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 15 วันที่ผ่านมา

    Aondoke tu kibaraka mkubwa na wananchi hawana tena imani nae labda wampe nafasi za kiteuzi

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 15 วันที่ผ่านมา

    Kumbe anaroho mbaya

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 15 วันที่ผ่านมา +1

    Chadema wanachama na viongozi wao niwatu wakuprnda shari .mnamtetea mtu mhalifu .

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 15 วันที่ผ่านมา

      CHAGADEMA ni chama cha wahuni,wao ndio wanashawishi vijana kuvuta bangi,kutukana,kukosa adabu nk

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 15 วันที่ผ่านมา

      Jitahidi ukate rufaa kijana arudi ndani, kama huridhiki na miaka miwili au faini ya milioni tano!

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 15 วันที่ผ่านมา

      Wahuni ni wale wanaofuja rasilimali za Tanganyika ​@@walidmgonja3644

    • @user-bx3ko9ft5t
      @user-bx3ko9ft5t 15 วันที่ผ่านมา +2

      Upendo usipende chadema Iko juuu

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 15 วันที่ผ่านมา

      @@user-bx3ko9ft5t ni kweli chagadema ipo juu Kilimanjaro

  • @lupyanamatimbwi8064
    @lupyanamatimbwi8064 15 วันที่ผ่านมา +6

    Msigwa mnafiki au hypocrite

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 15 วันที่ผ่านมา

    Alijitoa kafara na ubunge iringa hapati

  • @user-tb8zb4rv6h
    @user-tb8zb4rv6h 15 วันที่ผ่านมา

    Nyie chadema hamuoni kama chama chenu kinakwenda Mirama?

  • @obinasimbeye1750
    @obinasimbeye1750 11 วันที่ผ่านมา

    Kajitoa kafara

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 15 วันที่ผ่านมา

    Hata Godbless Lema yuko Mbioni kusaliti kwasababu ya Maslahi binafsi, ni muda tuu utaongea.

    • @user-jc8el6je5e
      @user-jc8el6je5e 15 วันที่ผ่านมา

      Wewe nikma gwajima alivyo sema amempoteza MAKONDA kwenye siasa lakini....,....,..,.

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 15 วันที่ผ่านมา

    Tangia alipotetea uzwaji wa mapoli loliondo nilimfuta kichwan mwangu

    • @tanzanite9944
      @tanzanite9944 15 วันที่ผ่านมา

      Nawewe unaamini kuwa Mbuga ya Loliondo imeuzwa? Shida za akili za Watu wa chadema ndio mama hii Sasa kuamini kila kitu. Yaani kitu kikikodishwa kwa Chadema ni kimeuzwa.

    • @neliusgosbertbaguma8693
      @neliusgosbertbaguma8693 15 วันที่ผ่านมา

      Kwahiyo unaona sawa kukodisha mbuga na kuhamisha wakazi? Kama ilikodishwa uliambiwa wamelipa sh ngapi na watakaa kwa muda gani?

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri 15 วันที่ผ่านมา

    WEWE KAMA NI MSAIDI MKABILA NA MDINI HUYO ALAFU MBINAFSI HANA HOJA YEYOTE KUTUPOTOSHA SISI WA TANZANIA SIASA ZENU HAZINA NA FASI NCHII HII

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 15 วันที่ผ่านมา +1

      Haya tena mtetezi wa mama hebu tuambie una hoja ipi ya maana kama unaona ukabila na udini basi wewe ni.....

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 15 วันที่ผ่านมา

      Hamza mwislamu wewe ndo muuza roliondo na mamako. Waarabu wamekupa kilemba na ukajisahau wewe ni mtanzania unamuuza mpaka mkeo au kumtoa mwanao awe mke wa tatu. Nani anahitaji awe mke wa tatu. Si hajiamini. Utawezaje kuwa kiongozi kwa namna hii.

  • @user-cz5sd6ys8i
    @user-cz5sd6ys8i 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona wewe ni chawa alafu hujioni,chadema na Wana chama wao wako sahiii