JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Wasani wa Tanzania musisahawu mama Kanumba…..kumbukeni Kanumba ndio yeye ametuma mjulikane….Mama kanumba pole sanaa!!!! 😢😢😢😢😢uyu mzazi ni wenu nyinyi wasani wote Irene Uwoa wewe utazidi kubarikiwa zaidi 🙏🙏🙏
Huyu mama kila mara anasema alishamsamehe, kwa hiyo kila akionana nae au akiulizwa anasema amemsamehe,ina maana akishasamehe mbele za watu,akigeuka anafuta msamaha!!!
Huyu Mama,hajui mwanae alikuwa freemason, Lulu Hana kosa kabisaaaa,fungaeuombe Mtoto wako umnusuru huko kuzimu, yupo hajafa, Omba Mungu akupe Maono nakukufunulia yaliyojificha, Lulu Hana kosa kabisaaaa
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Heri wapatanishi maana wataitwa wana wa Mungu
Hongera Irine ubarikiwe 🙏
Mama Kanumba na Lulu mmetufundisha jinsi tunapaswa kusameheana. Hakika kwa hili mmemtukuza Mungu.
Kanumba sasa amepumzika kwa Amani❤️🙏
😄
Mama nimefulai mpka nimetowa machozi mungu atakupa mengi zaidi
Nimesisimuka jaman😢mama Mungu akulinde❤❤
Jaman nimefulai saaaaaana na saaana MUNGU awabaliki mama kanumba ❤❤❤❤
Nimefurahi sana mungu hawape nguvu aki
Hyu mama kila nikimuangaliaga roho inaniuma hta sijui kwann😢😢😢😢
😨😨😨😨😨
Jamanii watu wa Mungu awasamehee wote tupendane sote tu .
Wakati wa Mungu ni sahihi katika JINA la Yesu kristo
Kweli wakati wa Mungu ni sahihi zaidi
Uyu mama mungu amuongoze kabisa ❤❤
Maashaallah , Allah akulipe khery sana umefanya jambo jema sana kusamehe kwa moyo mmoja ,Allah aendelee kukubariki mama kanumba
Mama ameongea kwa hisia ya ndani kabisa ktk moyo wake tena kwa mapenz makubwa kabisa mpaka machozi yamenitoka😢 lulu mkumbatie tena mama
Wasani wa Tanzania musisahawu mama Kanumba…..kumbukeni Kanumba ndio yeye ametuma mjulikane….Mama kanumba pole sanaa!!!! 😢😢😢😢😢uyu mzazi ni wenu nyinyi wasani wote
Irene Uwoa wewe utazidi kubarikiwa zaidi 🙏🙏🙏
Mama utapata mwisho mwema milelee
Inshaallah
Mwenyezimungu akutunze Mama❤️
Mungu wabariki lulu na mm kanumba
Hongera sana mama❤
Amina amina mama❤❤❤❤
Mpaka nime😢 god bless you mom
Amina
Safi sana mama❤
mubarikiwe sana mungu nimwema kilasiku kwetu ❤
Hongera mama
Bas had hpa Kuna mijitu itatukana😂😂😂😂😂maana Kuna watu hawanaga formular
Imetamaradi??
Asatente Mama umeachilia na Mungu atakubalikai
Kweli wakati wa Mungu nisahihi mama umusahe tu yaishe najuwa umeumiya sana tu ila samehe ili upate Amani ndani yako nayeye pia.
Jamani Mungu ni mwemaaa
Nime😢 jamani Mungu ambariki huyu Mama
Amina❤
Mungu hawa bariki sana😅
Mungu Hawa au away!!
Mimi naitaji namba ya waatssap ya Mala kanumba naitaji musaidoya n'a qhilingi ndogo Niko drc congo
Hadi raha
Shetani kashindwa kwa kweli
Nimelia walahi 😢😢
😭😭😭😭😭
Yaani huyu mama nikamwangalia huwa namuhuliza mungu maswali kwanini ulimchukua kanumba na unajua ni tegemeo la mamake
Kweli huzuni hadi nimetoa machozi
😢 Mungu ametenda maajabu
Hadhi rahaaa
Duh hadi machozi yamenitoka kwa furaha 😢😢😢😢🙏🙏
Mimi pia
Mungu akubarik mama lulu muifadh uy nimama yako
🙏🔥🙌😍wow
❤❤❤
Huyu mama kila mara anasema alishamsamehe, kwa hiyo kila akionana nae au akiulizwa anasema amemsamehe,ina maana akishasamehe mbele za watu,akigeuka anafuta msamaha!!!
Hadi machozi 🇹🇿🇴🇲😭
Hapa mama ameshafunguka, Asante mama hakika umefunguka vyema Lulu tafadhali muangalie huyu mama hata kwa kidogo jmn nimefrah mno😅😅😅😅
Huyu Mama,hajui mwanae alikuwa freemason, Lulu Hana kosa kabisaaaa,fungaeuombe Mtoto wako umnusuru huko kuzimu, yupo hajafa, Omba Mungu akupe Maono nakukufunulia yaliyojificha, Lulu Hana kosa kabisaaaa
Acha ujinga wewe
Nawe ukifa tukwambiaje😢
Ulikuwepo acha kuropokwa
Natamani Lulu amualike nyumbani
Echeni mambo hayo Lulu ni mke wa mtu.
Sasa lulu usimtume Tena mama kanumba
Alikuwa anamtuma wapi
@@mwajumamwajuma55😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@mwajumamwajuma55Hahaha jmn watu😅😅😅😅😅
Utu mana naye na lulu muache lulu bwana alishatumikia kifungo chake bimeisha
Amuacheje!? Kwani kamfanyaje lulu? Si amemuondolea kinyongo?
Hujazaa ukizaa utaelewa,
@@happymarwa4517Yaan ata Lulu ameelewa sasa machungu ya mama Kanumba,sbb na yeye amezaa
Nimefurahi sana mungu hawape nguvu aki
😢nimefurah sana ummy jmn, Mungu akubalik mama
Kiukwel mama hongera kilakitu kinamdawake ninakupenda sana mamakanumba
Hawape au awape!!!
❤❤❤
❤❤❤❤❤