Yarabi nikuomba unipe afya njema uniondoshe kila aina ya maradhi kwenye mwili ninayo yajua na kusikia maumivu yake na nisio yajua Yarabi nifanyie wepesi kwenye utafutaji wangu wa riziki yarabi nakuomba ukiongoze vyema. kizazi changu na ukipe afya jema Yarabi nakuomba usamehe mama. yangu makosa yake na umpe maisha marefu na mfanyie wepesi kwenye riziki zake Amiin
Ya allah kwa ukubwa wa dua hii niondolee uchaw unaotembea katika mwili wangu mm pamoja na mtoto wangu na mume wangu utulinde utuhifadh allahuma ameen ya rabb
Yaa Allah nijaliye afya njema Mimi na familia yangu wanangu wajukuu zangu mume wangu tukinge na husda za watu majini wachawi tuondolee maradhi katika miili yetu yarab
Ya Allah nakuomba kupitia dua hii uniondolee kila aina ya uchawi inayo tembeya mwilini mwangu eeeh mwenyezi Mungu nakuomba unipe shifaa kupitia dua hii amiin
YAA ALLAH NIOSHEE MARADH YOTE MWILIN MWANGU NA VITU VYA TEMBEA YAA ALLAH NIONDOSHEE YAA ALLAH NA SIHR YAA ALLAH DHIONDOE ZOTE INSHALLAH VIJICHO VIBAYA VIENDOE NUKS MIKOS NA BINT YANGU MUONDOLEE MARADH NA SIHR MWILIN NA MAMA ANGU MUONDOLEE MARADH YOTE MWILINA NA SIHR INSHALLAH NIJAALIE AMAN KWENYE NDOA YANGU NA AMAN KWENYE KAZ YANGU NA UTAJIR TUWE NA MAISHA MAZUR INSHALLAH
Ya rabby niupushe na kila shari unilinde popote pale uniepushe na machawi majini na mahasid unitakase unifungulie mwangaza katika maisha yangu, amiin ya rabby.
Yarabi nakuomba umuondoshee maradhi. yanayo msumbua binti yangu na upe maisha marefu yenye mafaniko umuongoze kwenye masomo yake hapat uufaur atimize ndoto zake Amiin
Emungu na kuomba dua hii ndo iwe canzo ca matatizo yangu yote yalio jaa kwenye mwiili wangu yarabii nijalie iwe tiba kwangu nimesha hangaika sana sipati tiba ya maradhi yangu na kuomba ya allaah kupitia dua hii ndo iwetiba kwangu inshallaah
Yarabi nikuomba unipe afya njema uniondoshe kila aina ya maradhi kwenye mwili ninayo yajua na kusikia maumivu yake na nisio yajua Yarabi nifanyie wepesi kwenye utafutaji wangu wa riziki yarabi nakuomba ukiongoze vyema. kizazi changu na ukipe afya jema Yarabi nakuomba usamehe mama. yangu makosa yake na umpe maisha marefu na mfanyie wepesi kwenye riziki zake Amiin
Ya allah kwa ukubwa wa dua hii niondolee uchaw unaotembea katika mwili wangu mm pamoja na mtoto wangu na mume wangu utulinde utuhifadh allahuma ameen ya rabb
Kupitia dua hii mwenyezi mungu naomba aniponye mkono huu unanisimbua
Ya Allah tuondoshee maradh yavdonda vya tumbo macho na mengine tusiyo yajua utuondoshee husda za walimwengu utufungulie tulip yatarajia amin
Na unifungulie rizki pembe zote za Dunia eeh Allah naomba unifanyie wepesi
Yaa Allah nijaliye afya njema Mimi na familia yangu wanangu wajukuu zangu mume wangu tukinge na husda za watu majini wachawi tuondolee maradhi katika miili yetu yarab
Ya Allah nakuomba kupitia dua hii uniondolee kila aina ya uchawi inayo tembeya mwilini mwangu eeeh mwenyezi Mungu nakuomba unipe shifaa kupitia dua hii amiin
YAA ALLAH NIOSHEE MARADH YOTE MWILIN MWANGU NA VITU VYA TEMBEA YAA ALLAH NIONDOSHEE YAA ALLAH NA SIHR YAA ALLAH DHIONDOE ZOTE INSHALLAH VIJICHO VIBAYA VIENDOE NUKS MIKOS NA BINT YANGU MUONDOLEE MARADH NA SIHR MWILIN NA MAMA ANGU MUONDOLEE MARADH YOTE MWILINA NA SIHR INSHALLAH NIJAALIE AMAN KWENYE NDOA YANGU NA AMAN KWENYE KAZ YANGU NA UTAJIR TUWE NA MAISHA MAZUR INSHALLAH
Yaah allah nakuomba hii duwaa iwe tiba na kinga katika marazi yangu ishaallah
Aamina yaa Rabbi
Aamiin inshallah mungu ataleta kheri
Yah Allah mfanyie wepesi mwanangu apone ugonjwa unao msimbua nakama Kuna kitu kibaya basi kitoweke kwa uwezo wa Allah inshallah 🙏
Ya rabby niupushe na kila shari unilinde popote pale uniepushe na machawi majini na mahasid unitakase unifungulie mwangaza katika maisha yangu, amiin ya rabby.
Yarabi nakuomba umuondoshee maradhi. yanayo msumbua binti yangu na upe maisha marefu yenye mafaniko umuongoze kwenye masomo yake hapat uufaur atimize ndoto zake Amiin
Aamin
Amin
Yarrabi nilindie watoto wangu pamoja na mama na uwaepusha na wa chawi pamoja husda
Ya Allah niondoshee maradh yanayotusubua mwilinimwetu mim na familia yangu
Tubariki sote waja wako 🤲🤲🤲🙏ameeeen
Allah uniondolee maladhi yote mwilini majini ya warabu uniondolee
Aammiiiyn rabal 'ala miiiyn iwe kwetu sote ya rabiiy kheri
Nijalie Yale yote yenye heri kwangu pamoja na familia yangu, na utuoondolee Yale yote mabaya - Amina
Yah Allah nifanyie wepesi katika maombi yangu niondolee ubaya uliopo juu yangu vitu vibaya vilivyopo katika mwili wangu vitoweke inshallah
Aamina yaa Rabbi
Amini insha Allah mwenyez mungu atatulinda na kila aina ya mabala Insha Allah
Amini yarabialamin alhamdulilah
SHUKLAN SHEIKH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER INSHALLAH
Aamin kwa sote
Yarabi niondoshe maradhi ktk mwil wng mm p1 na family yang tuweke mbal na madu zetu
Ya rabby nilindie mamangu babangu dungu zangu, uwaepushe na machawi pamoja na mahsda
MashaAllah.
Inshaaaallah
Allah awahifadh maustadh wetu
Amin
Aaamina ustadh Allah akulipe kheri
Emungu na kuomba dua hii ndo iwe canzo ca matatizo yangu yote yalio jaa kwenye mwiili wangu yarabii nijalie iwe tiba kwangu nimesha hangaika sana sipati tiba ya maradhi yangu na kuomba ya allaah kupitia dua hii ndo iwetiba kwangu inshallaah
Amin inshallah 🙏
🙏
Amina ya rabila lamin
Mashaallah
Mashaallah❤ quluan
ameen ameen
آمين يارب
🕋🕋🕋🕋🕋🕋🕋🕋🕋🕋🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲 Aliya sayyed May family 🤲🕋 aameen summa
Mashallah ❤
Baraka llahu fiiq ustadh kwani Mimi na mdogo wangu tumeteseka Sana lakin Sasa alhamdullillah nitapona na nitamuokoa mdogo wangu bi idhini llah
Allahumma Aamin
Mashallah
🤲🤲🤲🙏🙏🙏
Shukuran mngu awazidishie
Allahumma Aamin
Amiin
Ya Allah niondoshee masheni yaliyo mwilini mwangu na magonjwa yanayonisumbua kuanzia rohoni kuwaka moto hadi tumboni
Allah tuondoshe magongwa yanayo onekana na yasionekana
Allah mujalie mwanangu afya yake yakupendeza Kam Jin's walivyo watoto wenzake amiin inshallah
Ya Allah njalie mwanangu mukumbwa akili yakushik anachofundishe elimu ya Dunia na ahera
Yaarab tujalie pepo yako utuepushe na moto wa jahanam ya Allah tujalie mwisho mwema
Amiin mm shida hiyo ya Allah tuondolee..yarabb
Amin
Allahumma amiin
Mashaallah
Amin