Kwa simulizi zaidi subscribe channel hii Ya MwambaFix Ili Kupata Simulizi Za Kusisimua #mwambafix #simulizi #simulizizamaisha #simulizizamapenzi #simuliziyakusikitisha
Aiseee nilimsikia mwanangu flani anasikiliza simulizi zako ❤ saiv kila simulizi ikitoka... mimi ndo namshtua mshkaji 😂😂😂 tunakukubal sana kaka mungu azidi kukufungulia milango ya riziki 😊 one love from zanzibar ❤🫡
Asnte Sana mwamba tunakufuatilia Sana kutoka Kenya hadi tusiposikiza simulizi zako tunaona Kuna kitu tumekosa mamangu anazipenda Sana simulizi zako ubarikiwe bro
Dahhh mungu akubariki Kaka,unatuondolea stress baada ya mihangaiko...tunajiliwaza na simulizi.. yaani hadi kieleweke
Safi bro kazi after kazi mwamba tupo pamoja
Aiseee nilimsikia mwanangu flani anasikiliza simulizi zako ❤ saiv kila simulizi ikitoka... mimi ndo namshtua mshkaji 😂😂😂 tunakukubal sana kaka mungu azidi kukufungulia milango ya riziki 😊 one love from zanzibar ❤🫡
Asnte Sana mwamba tunakufuatilia Sana kutoka Kenya hadi tusiposikiza simulizi zako tunaona Kuna kitu tumekosa mamangu anazipenda Sana simulizi zako ubarikiwe bro
Nilimic hii sauti ikisimulia simulizi mpya asnt my brother
Thx Mwamba for this
Daaaaaaaaaa aiseeee simulizi nzuri na yakusisimua
Ningejua nisingesikiliza kwanza mpka uweke tatu, maana nzur mpka najuta kuskiliza kha❤
By the napendaga Simulizi za kutisha zaidi kama hizi,,asante kaka Mwamba Fix
Mwamba u ni noma san
Twende nalo from 🇰🇪
Mashallah musimulizi makini sana
Bro uko juu napenda sana simulizi zako nakufutilia sana asante sana
Hii story ni tamu sana asee👍
Waooh nakubal kaka 🥰🔥🔥🔥
Vzr Sana kaka
Mungu akubariki sana kaka 🎉🎉
Simulizi nzuli sana
Mwamba Happy new year
Ww co mwamba jina la sanaa tuu ila ww ni MWAAAMBA KWELI KWELI
Mwamba n mmoja tu good job kaka uko vyema🙏🏻
Sa ikitoka ntajuaje jaman
❤
❤❤
Next please bro
Nice story
🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️ from 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
👌❤️
Wewe nakukubali sanaaaaaa
Nakukubar san kwel we mbamba nimekusikilz tok hadithi ya dereva wa lori
To be continued
Nice one
2024❤
Asant mwamb
Dah simulizi mbona nzuri inaondoa mawazo na kuwa sehemu moja
Duuh kulala na baba mkwe tena😢😢😢wachawi walaaniwe
Nimesubiri kiniuma simulizi mpya😊 hatimae
Kwan mume wa mume wangu vipi😢
Inaendelea 3
😢😢😢😢
Na saut yako wakat wa kusimulia ndio inaongeza ladha ya simulizi
Unajua bob lete nyngne
Mm nilisema nisiklze had vifike japo vipande vi 3 ila doh naona siwez 😂
Cjawahi jutia MB zangu kwenye simulizi za mwamba
Ww mm jmn nimesubr hatr
Asanteh mwamba❤
@@zuriathkajala2370 duuuuh afu sio story ni trela 2
Haha nitumie namba nikupe simulizi zangu
Unajua kaka ila usicheleweshe sana
Nikiwa hapa naona huwa data zangu huwa zinaisha kwa uhalali😂😂😂
na hiiiii ya inakaa tu kichawi chawi,,
Nanga 😂
Story ni pambeee usiichelewesheee tafadhali
Ivi stor unazitoa wap maana huna stor mbovu
🫡🫡🫡🫡💯
👍👍👍
❤❤❤❤❤❤❤