PENZI LA HARMONIZE NA KAJALA LAKOLEA NI BEGA KWA BEGA, WAZUNGUMZA “SISI NI FAMILIA”
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ก.พ. 2021
- Usiku wa kuamkia Leo Harmonize na Kajala waliohudhuria shughuli ya uzinduzi wa application ya simu inayofanya kazi za kibenki, Harmonize akiwa kama balozi.. na wakati wa shughuli hiyo Harmonize hakuacha kuoneshana mahaba yake ya Mpenzi wake Kajala.. Play hapa kutazama ilivyokuwa
Kama una mkubali konde boy gonga like yako tujuane👍
Waache wale raha zaoo wenye.... Maybe n ya msimu
Mambo kwa awamu injoy kajala mama 💕
Wow so beautiful and lovely ❤️❤️❤️🇰🇪
Konde boy anajitahidi care na amelizika na kajala kabisaa hundred percent
wamependezana sana. Na mzungu yuko wapi
Alafu kajara anaonekana analelewa na ameridhika kafurahi kwani amezidi kupendeza
Hyu ndie Konde Boy bna
Wako sawa..hight zimeendana
Wanapendezana MashaAllh
Kwa nini mnapenda kuzungumzia watu kuachana hivi mna matatizo gani, ombeeni wenzenu mema nanyi mtapata mema.
Wakiachana ni bahati mbaya tu
Binadamu wa kitanzania ndiyo walivyo hawapendani
Watahachana 2🤣🤣😂🤣
@@CTM.24Updates unawanga ukiwa wapi🤣🤣
Hao ndio huchukia mazuri ya wenzao na hawatafanikiwa hata na uzeeni watakuwa wachawi
@@Ryoof-qo7if JIJINI ILALA MKOA WA DR🤣🤣😂😂🙄
Atali sana
Waooo watoto wangu mama panya nawapenda
💃💃💃💃
💞💞💖💖🙏🏼Wakumusi Pamoja sana😍
Waouh lovely😘💕
Woow 🔥🔥🥰
Pendeza sana kajala &konde boy
Jeshiiii nakubali
Tatizo hamjui tu wamakonde wanajua Sana kupenda af Wana huruma Sana.. Waache wakolezane tu..
Wow, Mr and Mrs harmonize
Ongela dda kajala
Kupendwa lah sana hasa umupate Mme anae juwa thamani ya mwanamke utaona ulichelewa
kajala anasura tamu kbs
Aliekuchagulia mavaz kakosea kwenye kiatu hicho kiatu sio cha suti huo ni mtwango ilatakiwa uvae simple shoes ya suti du!!hongera
Kajala enjoy for now pia Sara alipitia hayo labda kizungu kilimshinda kaka labda mtaishi kwa muda ...ghafla picha za ujauzito🤭
Nakubali
Mungu awepe afya njema
Wamependaza
Kamwe hawezi kupotea watapotea wte Pale Wasaff ila yeye ndo atabak Kuwamfalme
🤣🤣🤣🤣
Dogo naona unazidi kupaa watu wanapoteana uku
Haya sasa paka mko wapi mnaona Panya anavyowatafuna visigino mnauguza vidonda 😄😄🤩🤩🤩😂😂😂😂😂😂😂
Hata harmorapa alisumbua sana kwa kiki ila mzk zero na ndio yeye mzk zeroo
Hahaaaahaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣kabisa👍😍
Kutafuta hela ndo suala l msingi, hzo habr wataachna sitak kusikia....
WAKATI WENU UKIPATA VIMBAAA TENA MAKWAPA YOTE NICE
Konde boy jeshi nice couple
kode boy keep going bro
❤🤝
Pamoja sana
Saha hajuwi kizungu anaongeya rugayakwao nakizungu kichache tu
Haswaaa
Nawapenda
Mungu awasaidie muoane wapenzi wazuri
Mungu awasimamie na ntafurahi zaid nikiona mmefunga ndoa. Nawaombea sana ili wale vifurutobwe wafedheheke na roho mbaya zao.
Barakua
Naona dogo yupo na mama yake
HAHAHA,MABAUNSA HAWALI MASIKINI HAHAHAHAH
hahaha si wanalipwa hata mimi kama ananilipa vizuri, kula kitu kidogo
Haiwekani kula we vipi? Huo ni ushamba wakitiliwa dawa ya usingizi itakuwaje?
Kupendwa raha jamani hasa ukidekezwa kama malkia
Mapenzi bila pesa inawezekana ila pesa ndo inastawisha mapenzi, Mungu anijalie nipate pesa
Anapenda matembo wenzie
hataki vifupa😂😂😂
😁😁😀😀
Noma
aaaaaa Sarah wapi wajamani aaaaa
💓💓💓💞💞💞🌹
wamependeza
Hawana maajabu. Hawanistui kabisaa
Inakuchomasana kmvp tukuchomoe
Konde boy mwee 😂😂😂 lazima wakueleze!
Harmonize Mimi ni shabiki wako hapa Kenya nilitaka tu nikuambie kesho Mimi sitaki story eti we umeachana na kajala coz mnaraim tu sana na vile Mimi naona kajala ni mwanamke nzuri sana gani she is humble to earth I say
*yani she is humble I say
Basi umekosea
Ukipata tumia ukikosa jutia! Ee hivyo!
dahh ilo buti lajeshh
😀😀😀😀 Nilijuwa nimeliona mimi tu
Naombeni support yenu kusubscribe kwenye channel yetu.
@Fgldesigns Studio
Na utizame video za design za nyumba
Kupendwa raha jamn uwiiii jamn
Mimi shabiki wako ila sijabikii kubadili mademu kila uchao. Kama umempenda huyu kajala funga nae ndoa muishi mzae watoto. UMRI unakwenda!
Lkn siyo kawaida yake akishindwa ndo anabadilisha kipindi yupo na sara alitulia but tumuombeye kila la kher tu wadumu kwenye mahusiyano yao
Haswaaaa
Inawezekana Hawa Wana tatizo la afya ya akili
Hello Millad Isack Muyenjwa👋
Raha iliyoje sikuhizi kajala analindwa
Yule mzungu ayaon hayaaaa
Anayaona but nothing to do..
mmh atar na kilo mbili hongera yao ila angalia asikubemende mamanaaaa haya👭👭
Kajala nampenda
Tuliongea mchana usku tukalala tuu.do sumu imekolea balaa
Harmonize poa sana
Mina penda Sana kuona mwana ume anamjali mpezi wake najisikia Amani najiuriza wanaume kama awa wapo
Walishakufa na Vita ya pili ya dunia amebaki tyu hamo
Nimependa mwanzo wenu
Usisahau na mwisho
Hatarii
Waaa najua kuna watu wanaumia kufeni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👊👊👊👊🙀🙀
Wote ni washamba siku zinaenda badala mtu kufukuzia maisha wanakaz ya kulanda kila kona kujionyesha nan asie jua kupenda
Wako kwa tukio plz heshimuni maamuzi yao
nyie mnaosoma vyuo n. k jitafakarini mara nyingi kadri iwezekanavyo.. konde hajasoma ila ni brand ambassador wa crdb.. kweli nimeamini maisha hayana bingwa.
Kwa hiyo hao mabodi gadi hawali chakula wenyewe haiwahusu ama!!
Unakulaje boss wako anakula naww unakaa kula usha ona wap hyoo
Hahaaaa watakula baadae,had boss ashibe kwanza
Atamakaburu walisema uyu ndie mfarume mpya haaahaa
Kajara msela wa zamani na mtoto wauswazz chinga cinema patamuuu apo
wamepndza
love not yet have board no have ages men is men
Dogo dem mzuri
Msiachane bas ba
Dah suti na mabuti duh
Simba
Mbona hiyo suti aliyovaa inaomba poo!!! Sababu ilivyobana?? Duh🤣🤣
😀😃😃😄😆😅🤣❤❤❤❤❤
Wacha weeeeeee ndeza sana nyie Haimo umependeza na izo nywele
Ila harmonize mmmmm a mavituko vya kwenye paa
Lakini hamo suka ywele u look young kajala anakaa mkubwa but mko poa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hyo mlinzi vip jaman mbona sijamuona na chochot mkononi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mbona km amevaa buti la jeje....😂😂😂
Inatakiwa huyo Kajala amfundishe kuvaa huyo kijana wake.Mana hajui namna yakupangilia mavazi na viatu
@@emmamtembei4890 maisha jamani hatar.tusake hela tu
@@kasigehamisi7802 Umeonaeee
Kajala Alicia rundisha suruali ya wema?
Mh
Harmonize kua naadabu huyosimamayako? yaani wejamaa hunautofauti nafisi
Akiwa shabiki wa Simba ...ataliwa
Zuchu
Wechoko siulisema kupatademu nakutangaza niushamba? Weumefanyann aliekwambia tunashida yakujua mamboyako nan achaufala
Leo chuma hakijavaaa ile chain yake
Masikini walinzi hawali
Hahahaha yn nyinyi binadam hamkosi lkusema unakulaje wakat unatakiwa umlinde boss
Ahahahahah
Kumbe hata we umeona eee Mimi rohoo inauma duuu siwez
HAMONAIZ NAOMBA MSAADA WAKO NAUMWA SIKIO SILALI..HALISIKII VIZUR NA LILIKUA ZIMA LIMEANZA MUDA SI MREFU NAOMBENI MNIOMBEE
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Waliachana na sarah ama?mtu anicomb aki
dada jiandae kufunuliwa na kuachwa musisome maisha kwa tamaa ya pesa
Hujui kama wana tatoo
Wewe usha funuliwa na wangapi dada au kwasababu aufahamiki? tujifunze kuwaombea wenzetu mema, waingie kwenyendoa nasi kuziniana
@@noofal-zeidi2770 😂😂😂 Kwa hio tattoo zinapromoti mapenzi?
@@Portugal309 ndio neon
Yule mzungu amefikia wap ?
Tuliambiwa walıowana akasıfıwa hapendı kuzalilisha wanawake
Mbona mabodgad hawachukui msosi
Kawachukulie
Wamewekewa mihogo ya kukaanga kwenye HOT POT 😎😎😎😎
Hao wab
wana kula sana, watakula nyuma ya kamela.
Mdada wa watu anajikuutaa🤣
Lazima ajikute ukipata nafasi tumia mama
Sikiliza EP ya dogo huyu kutoka mbeya aliyewakosha mastaa wengi kwa kipaji chake.
th-cam.com/play/PLIUjnAd_BhEsSLVtshfnrRiS7_blb1TMI.html
Mkongo yuko wapi Leo au hawaoni🤣🤣🤣🤣
Mi na X wangu tulifika hapo ila bado tukaachana tu
Tena tulikua twachat mpaka simu yawa moto
Ata mm
@@fatumajumbe7345 hahaha,km mm t