PENZI LA HARMONIZE NA KAJALA LAKOLEA NI BEGA KWA BEGA, WAZUNGUMZA “SISI NI FAMILIA”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ก.พ. 2021
  • Usiku wa kuamkia Leo Harmonize na Kajala waliohudhuria shughuli ya uzinduzi wa application ya simu inayofanya kazi za kibenki, Harmonize akiwa kama balozi.. na wakati wa shughuli hiyo Harmonize hakuacha kuoneshana mahaba yake ya Mpenzi wake Kajala.. Play hapa kutazama ilivyokuwa

ความคิดเห็น • 187

  • @matambwekhaalidun1473
    @matambwekhaalidun1473 3 ปีที่แล้ว +74

    Kama una mkubali konde boy gonga like yako tujuane👍

    • @mishiabdul4163
      @mishiabdul4163 3 ปีที่แล้ว

      Waache wale raha zaoo wenye.... Maybe n ya msimu

  • @aishamwinyi5048
    @aishamwinyi5048 3 ปีที่แล้ว +14

    Mambo kwa awamu injoy kajala mama 💕

  • @immeimme2364
    @immeimme2364 3 ปีที่แล้ว +10

    Wow so beautiful and lovely ❤️❤️❤️🇰🇪

  • @kabulamhembe1024
    @kabulamhembe1024 3 ปีที่แล้ว +13

    Konde boy anajitahidi care na amelizika na kajala kabisaa hundred percent

    • @khadijaangore4408
      @khadijaangore4408 3 ปีที่แล้ว

      wamependezana sana. Na mzungu yuko wapi

    • @monicahovda4524
      @monicahovda4524 3 ปีที่แล้ว +1

      Alafu kajara anaonekana analelewa na ameridhika kafurahi kwani amezidi kupendeza

  • @samwelsamson4135
    @samwelsamson4135 3 ปีที่แล้ว +19

    Hyu ndie Konde Boy bna

  • @lizynyeze7521
    @lizynyeze7521 3 ปีที่แล้ว

    Wako sawa..hight zimeendana

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 3 ปีที่แล้ว +3

    Wanapendezana MashaAllh

  • @frederickkimweri1899
    @frederickkimweri1899 3 ปีที่แล้ว +14

    Kwa nini mnapenda kuzungumzia watu kuachana hivi mna matatizo gani, ombeeni wenzenu mema nanyi mtapata mema.
    Wakiachana ni bahati mbaya tu

    • @bahatisunga1642
      @bahatisunga1642 3 ปีที่แล้ว +1

      Binadamu wa kitanzania ndiyo walivyo hawapendani

    • @CTM.24Updates
      @CTM.24Updates 3 ปีที่แล้ว

      Watahachana 2🤣🤣😂🤣

    • @Ryoof-qo7if
      @Ryoof-qo7if 3 ปีที่แล้ว +1

      @@CTM.24Updates unawanga ukiwa wapi🤣🤣

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 3 ปีที่แล้ว

      Hao ndio huchukia mazuri ya wenzao na hawatafanikiwa hata na uzeeni watakuwa wachawi

    • @CTM.24Updates
      @CTM.24Updates 3 ปีที่แล้ว

      @@Ryoof-qo7if JIJINI ILALA MKOA WA DR🤣🤣😂😂🙄

  • @mohammedabdalahmponela6543
    @mohammedabdalahmponela6543 3 ปีที่แล้ว +4

    Atali sana

  • @asiamkwama4389
    @asiamkwama4389 3 ปีที่แล้ว +2

    Waooo watoto wangu mama panya nawapenda

    • @mdzainb3722
      @mdzainb3722 3 ปีที่แล้ว

      💃💃💃💃

  • @hadija846
    @hadija846 3 ปีที่แล้ว +1

    💞💞💖💖🙏🏼Wakumusi Pamoja sana😍

  • @florenceuwayezu265
    @florenceuwayezu265 3 ปีที่แล้ว

    Waouh lovely😘💕

  • @sarahaswan9221
    @sarahaswan9221 3 ปีที่แล้ว +1

    Woow 🔥🔥🥰

  • @magdalena7223
    @magdalena7223 3 ปีที่แล้ว +1

    Pendeza sana kajala &konde boy

  • @raphaeledward4125
    @raphaeledward4125 3 ปีที่แล้ว +1

    Jeshiiii nakubali

  • @tatubadi9010
    @tatubadi9010 3 ปีที่แล้ว +2

    Tatizo hamjui tu wamakonde wanajua Sana kupenda af Wana huruma Sana.. Waache wakolezane tu..

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 3 ปีที่แล้ว +2

    Wow, Mr and Mrs harmonize

  • @jamilasaid1764
    @jamilasaid1764 3 ปีที่แล้ว +2

    Kupendwa lah sana hasa umupate Mme anae juwa thamani ya mwanamke utaona ulichelewa

  • @kelvinprosper6925
    @kelvinprosper6925 3 ปีที่แล้ว +2

    kajala anasura tamu kbs

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 3 ปีที่แล้ว +1

    Aliekuchagulia mavaz kakosea kwenye kiatu hicho kiatu sio cha suti huo ni mtwango ilatakiwa uvae simple shoes ya suti du!!hongera

  • @Portugal309
    @Portugal309 3 ปีที่แล้ว +3

    Kajala enjoy for now pia Sara alipitia hayo labda kizungu kilimshinda kaka labda mtaishi kwa muda ...ghafla picha za ujauzito🤭

  • @hassanmbarouk2959
    @hassanmbarouk2959 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakubali

  • @Imanikkk
    @Imanikkk 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awepe afya njema

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 ปีที่แล้ว +2

    Wamependaza

  • @samwelsamson4135
    @samwelsamson4135 3 ปีที่แล้ว +10

    Kamwe hawezi kupotea watapotea wte Pale Wasaff ila yeye ndo atabak Kuwamfalme

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 3 ปีที่แล้ว +3

    Haya sasa paka mko wapi mnaona Panya anavyowatafuna visigino mnauguza vidonda 😄😄🤩🤩🤩😂😂😂😂😂😂😂

    • @mohamedmatogoro4067
      @mohamedmatogoro4067 3 ปีที่แล้ว

      Hata harmorapa alisumbua sana kwa kiki ila mzk zero na ndio yeye mzk zeroo

    • @hadija846
      @hadija846 3 ปีที่แล้ว

      Hahaaaahaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣kabisa👍😍

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu2676 3 ปีที่แล้ว +4

    Kutafuta hela ndo suala l msingi, hzo habr wataachna sitak kusikia....

  • @neemabatraham1073
    @neemabatraham1073 3 ปีที่แล้ว +2

    WAKATI WENU UKIPATA VIMBAAA TENA MAKWAPA YOTE NICE

  • @pascalkana3103
    @pascalkana3103 3 ปีที่แล้ว +1

    Konde boy jeshi nice couple

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 3 ปีที่แล้ว

    kode boy keep going bro

  • @ab3ab313
    @ab3ab313 3 ปีที่แล้ว

    ❤🤝

  • @liegaliega8280
    @liegaliega8280 3 ปีที่แล้ว

    Pamoja sana

  • @nubianqueenn830
    @nubianqueenn830 3 ปีที่แล้ว +1

    Saha hajuwi kizungu anaongeya rugayakwao nakizungu kichache tu

  • @nurathsaidy4379
    @nurathsaidy4379 3 ปีที่แล้ว

    Nawapenda

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awasaidie muoane wapenzi wazuri

  • @neemakaluwa1841
    @neemakaluwa1841 3 ปีที่แล้ว

    Mungu awasimamie na ntafurahi zaid nikiona mmefunga ndoa. Nawaombea sana ili wale vifurutobwe wafedheheke na roho mbaya zao.

  • @Kwazulu1
    @Kwazulu1 3 ปีที่แล้ว

    Barakua

  • @jessymalembeka6181
    @jessymalembeka6181 3 ปีที่แล้ว +6

    HAHAHA,MABAUNSA HAWALI MASIKINI HAHAHAHAH

    • @Jameskaguo
      @Jameskaguo 3 ปีที่แล้ว +1

      hahaha si wanalipwa hata mimi kama ananilipa vizuri, kula kitu kidogo

    • @hadija846
      @hadija846 3 ปีที่แล้ว

      Haiwekani kula we vipi? Huo ni ushamba wakitiliwa dawa ya usingizi itakuwaje?

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 3 ปีที่แล้ว +3

    Kupendwa raha jamani hasa ukidekezwa kama malkia

    • @ramadhanausy7687
      @ramadhanausy7687 3 ปีที่แล้ว

      Mapenzi bila pesa inawezekana ila pesa ndo inastawisha mapenzi, Mungu anijalie nipate pesa

  • @wemabin4675
    @wemabin4675 3 ปีที่แล้ว +5

    Anapenda matembo wenzie

  • @denisjr11media21
    @denisjr11media21 3 ปีที่แล้ว

    Noma

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 3 ปีที่แล้ว +2

    aaaaaa Sarah wapi wajamani aaaaa

  • @muddyabdallah8920
    @muddyabdallah8920 3 ปีที่แล้ว

    💓💓💓💞💞💞🌹

  • @sofianikita1567
    @sofianikita1567 3 ปีที่แล้ว +3

    wamependeza

  • @claudialupimo7614
    @claudialupimo7614 3 ปีที่แล้ว +3

    Hawana maajabu. Hawanistui kabisaa

  • @jaycee9067
    @jaycee9067 3 ปีที่แล้ว +1

    Konde boy mwee 😂😂😂 lazima wakueleze!

  • @reginjep5410
    @reginjep5410 3 ปีที่แล้ว +1

    Harmonize Mimi ni shabiki wako hapa Kenya nilitaka tu nikuambie kesho Mimi sitaki story eti we umeachana na kajala coz mnaraim tu sana na vile Mimi naona kajala ni mwanamke nzuri sana gani she is humble to earth I say

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 3 ปีที่แล้ว +3

    Ukipata tumia ukikosa jutia! Ee hivyo!

  • @mudrikdrick3941
    @mudrikdrick3941 3 ปีที่แล้ว +2

    dahh ilo buti lajeshh

    • @mwajumakweli6774
      @mwajumakweli6774 3 ปีที่แล้ว

      😀😀😀😀 Nilijuwa nimeliona mimi tu

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns 3 ปีที่แล้ว

    Naombeni support yenu kusubscribe kwenye channel yetu.
    @Fgldesigns Studio
    Na utizame video za design za nyumba

  • @fatmamshangama9824
    @fatmamshangama9824 3 ปีที่แล้ว +1

    Kupendwa raha jamn uwiiii jamn

  • @vallerinejesse2299
    @vallerinejesse2299 3 ปีที่แล้ว +11

    Mimi shabiki wako ila sijabikii kubadili mademu kila uchao. Kama umempenda huyu kajala funga nae ndoa muishi mzae watoto. UMRI unakwenda!

    • @zou7470
      @zou7470 3 ปีที่แล้ว +1

      Lkn siyo kawaida yake akishindwa ndo anabadilisha kipindi yupo na sara alitulia but tumuombeye kila la kher tu wadumu kwenye mahusiyano yao

    • @bahatisunga1642
      @bahatisunga1642 3 ปีที่แล้ว +1

      Haswaaaa

  • @evaristjames9845
    @evaristjames9845 3 ปีที่แล้ว +1

    Inawezekana Hawa Wana tatizo la afya ya akili

  • @mariamabednegoyusuph9499
    @mariamabednegoyusuph9499 3 ปีที่แล้ว

    Hello Millad Isack Muyenjwa👋

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 3 ปีที่แล้ว +2

    Raha iliyoje sikuhizi kajala analindwa

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 ปีที่แล้ว +1

    Yule mzungu ayaon hayaaaa

    • @tatubadi9010
      @tatubadi9010 3 ปีที่แล้ว

      Anayaona but nothing to do..

  • @azashaban5846
    @azashaban5846 3 ปีที่แล้ว

    mmh atar na kilo mbili hongera yao ila angalia asikubemende mamanaaaa haya👭👭

  • @nazmaabdullkarim8022
    @nazmaabdullkarim8022 3 ปีที่แล้ว

    Kajala nampenda

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.9707 3 ปีที่แล้ว +1

    Tuliongea mchana usku tukalala tuu.do sumu imekolea balaa

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 3 ปีที่แล้ว

    Harmonize poa sana

  • @halimafazeli52
    @halimafazeli52 3 ปีที่แล้ว +1

    Mina penda Sana kuona mwana ume anamjali mpezi wake najisikia Amani najiuriza wanaume kama awa wapo

    • @mirishonasari3972
      @mirishonasari3972 3 ปีที่แล้ว

      Walishakufa na Vita ya pili ya dunia amebaki tyu hamo

  • @princearthurjohn8397
    @princearthurjohn8397 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimependa mwanzo wenu

  • @jenifambaga1836
    @jenifambaga1836 3 ปีที่แล้ว +4

    Hatarii

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya8384 3 ปีที่แล้ว

    Waaa najua kuna watu wanaumia kufeni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👊👊👊👊🙀🙀

  • @asyakareem2416
    @asyakareem2416 3 ปีที่แล้ว

    Wote ni washamba siku zinaenda badala mtu kufukuzia maisha wanakaz ya kulanda kila kona kujionyesha nan asie jua kupenda

    • @samwelmbai698
      @samwelmbai698 3 ปีที่แล้ว

      Wako kwa tukio plz heshimuni maamuzi yao

  • @eliamakere3089
    @eliamakere3089 3 ปีที่แล้ว +1

    nyie mnaosoma vyuo n. k jitafakarini mara nyingi kadri iwezekanavyo.. konde hajasoma ila ni brand ambassador wa crdb.. kweli nimeamini maisha hayana bingwa.

  • @shamimuabdallah8801
    @shamimuabdallah8801 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwa hiyo hao mabodi gadi hawali chakula wenyewe haiwahusu ama!!

    • @hassancharles4395
      @hassancharles4395 3 ปีที่แล้ว +1

      Unakulaje boss wako anakula naww unakaa kula usha ona wap hyoo

    • @annahaule7428
      @annahaule7428 3 ปีที่แล้ว

      Hahaaaa watakula baadae,had boss ashibe kwanza

  • @rajabumapunda416
    @rajabumapunda416 3 ปีที่แล้ว +1

    Atamakaburu walisema uyu ndie mfarume mpya haaahaa

  • @adamumuki1242
    @adamumuki1242 3 ปีที่แล้ว

    Kajara msela wa zamani na mtoto wauswazz chinga cinema patamuuu apo

  • @uthaylahqueen7181
    @uthaylahqueen7181 3 ปีที่แล้ว +2

    wamepndza

  • @lydiaanabel1087
    @lydiaanabel1087 3 ปีที่แล้ว

    love not yet have board no have ages men is men

  • @majutovizurimwakibibi8758
    @majutovizurimwakibibi8758 3 ปีที่แล้ว

    Dogo dem mzuri

  • @janetnadauson2988
    @janetnadauson2988 3 ปีที่แล้ว

    Msiachane bas ba

  • @hashimhamis2380
    @hashimhamis2380 3 ปีที่แล้ว

    Dah suti na mabuti duh

  • @rosegodwin6376
    @rosegodwin6376 3 ปีที่แล้ว

    Simba

  • @gmosha1
    @gmosha1 3 ปีที่แล้ว

    Mbona hiyo suti aliyovaa inaomba poo!!! Sababu ilivyobana?? Duh🤣🤣

  • @dicksonnoel3216
    @dicksonnoel3216 3 ปีที่แล้ว

    😀😃😃😄😆😅🤣❤❤❤❤❤

  • @bahatisunga1642
    @bahatisunga1642 3 ปีที่แล้ว +1

    Wacha weeeeeee ndeza sana nyie Haimo umependeza na izo nywele

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 3 ปีที่แล้ว

    Ila harmonize mmmmm a mavituko vya kwenye paa

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya8384 3 ปีที่แล้ว

    Lakini hamo suka ywele u look young kajala anakaa mkubwa but mko poa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @manajaboy9233
    @manajaboy9233 3 ปีที่แล้ว

    Hyo mlinzi vip jaman mbona sijamuona na chochot mkononi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @magnificententertainment9328
    @magnificententertainment9328 3 ปีที่แล้ว +2

    Mbona km amevaa buti la jeje....😂😂😂

    • @emmamtembei4890
      @emmamtembei4890 3 ปีที่แล้ว

      Inatakiwa huyo Kajala amfundishe kuvaa huyo kijana wake.Mana hajui namna yakupangilia mavazi na viatu

    • @kasigehamisi7802
      @kasigehamisi7802 3 ปีที่แล้ว

      @@emmamtembei4890 maisha jamani hatar.tusake hela tu

    • @emmamtembei4890
      @emmamtembei4890 3 ปีที่แล้ว

      @@kasigehamisi7802 Umeonaeee

  • @pennystang6065
    @pennystang6065 3 ปีที่แล้ว

    Kajala Alicia rundisha suruali ya wema?

  • @zurfambogo6519
    @zurfambogo6519 3 ปีที่แล้ว

    Mh

  • @yohanazabron7435
    @yohanazabron7435 3 ปีที่แล้ว

    Harmonize kua naadabu huyosimamayako? yaani wejamaa hunautofauti nafisi

  • @joelmbughi428
    @joelmbughi428 3 ปีที่แล้ว

    Akiwa shabiki wa Simba ...ataliwa

  • @goodluckdaniel8733
    @goodluckdaniel8733 3 ปีที่แล้ว

    Zuchu

  • @yohanazabron7435
    @yohanazabron7435 3 ปีที่แล้ว

    Wechoko siulisema kupatademu nakutangaza niushamba? Weumefanyann aliekwambia tunashida yakujua mamboyako nan achaufala

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 3 ปีที่แล้ว

    Leo chuma hakijavaaa ile chain yake

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 ปีที่แล้ว +2

    Masikini walinzi hawali

    • @careemissa2502
      @careemissa2502 3 ปีที่แล้ว

      Hahahaha yn nyinyi binadam hamkosi lkusema unakulaje wakat unatakiwa umlinde boss

    • @mwasitirashid7185
      @mwasitirashid7185 3 ปีที่แล้ว

      Ahahahahah

    • @doreensamwely8740
      @doreensamwely8740 3 ปีที่แล้ว

      Kumbe hata we umeona eee Mimi rohoo inauma duuu siwez

  • @aminaalli2287
    @aminaalli2287 3 ปีที่แล้ว

    HAMONAIZ NAOMBA MSAADA WAKO NAUMWA SIKIO SILALI..HALISIKII VIZUR NA LILIKUA ZIMA LIMEANZA MUDA SI MREFU NAOMBENI MNIOMBEE

  • @mussamchena9595
    @mussamchena9595 3 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ggtt8145
    @ggtt8145 3 ปีที่แล้ว

    Waliachana na sarah ama?mtu anicomb aki

  • @zuwenaabrahman9913
    @zuwenaabrahman9913 3 ปีที่แล้ว

    dada jiandae kufunuliwa na kuachwa musisome maisha kwa tamaa ya pesa

    • @noofal-zeidi2770
      @noofal-zeidi2770 3 ปีที่แล้ว

      Hujui kama wana tatoo

    • @seifjuma3471
      @seifjuma3471 3 ปีที่แล้ว

      Wewe usha funuliwa na wangapi dada au kwasababu aufahamiki? tujifunze kuwaombea wenzetu mema, waingie kwenyendoa nasi kuziniana

    • @Portugal309
      @Portugal309 3 ปีที่แล้ว

      @@noofal-zeidi2770 😂😂😂 Kwa hio tattoo zinapromoti mapenzi?

    • @noofal-zeidi2770
      @noofal-zeidi2770 3 ปีที่แล้ว

      @@Portugal309 ndio neon

  • @salehmasoud5104
    @salehmasoud5104 3 ปีที่แล้ว +1

    Yule mzungu amefikia wap ?

    • @mrjagenmuuz5704
      @mrjagenmuuz5704 3 ปีที่แล้ว

      Tuliambiwa walıowana akasıfıwa hapendı kuzalilisha wanawake

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbona mabodgad hawachukui msosi

    • @mariamthomas2545
      @mariamthomas2545 3 ปีที่แล้ว

      Kawachukulie

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 ปีที่แล้ว

      Wamewekewa mihogo ya kukaanga kwenye HOT POT 😎😎😎😎

    • @hidayakasambwa3713
      @hidayakasambwa3713 3 ปีที่แล้ว

      Hao wab
      wana kula sana, watakula nyuma ya kamela.

  • @sharonchristian3711
    @sharonchristian3711 3 ปีที่แล้ว

    Mdada wa watu anajikuutaa🤣

    • @fatumajumbe7345
      @fatumajumbe7345 3 ปีที่แล้ว

      Lazima ajikute ukipata nafasi tumia mama

  • @karibuduniani8344
    @karibuduniani8344 3 ปีที่แล้ว

    Sikiliza EP ya dogo huyu kutoka mbeya aliyewakosha mastaa wengi kwa kipaji chake.
    th-cam.com/play/PLIUjnAd_BhEsSLVtshfnrRiS7_blb1TMI.html

  • @sharkysharky2717
    @sharkysharky2717 3 ปีที่แล้ว +1

    Mkongo yuko wapi Leo au hawaoni🤣🤣🤣🤣

  • @pamelauwera3830
    @pamelauwera3830 3 ปีที่แล้ว

    Mi na X wangu tulifika hapo ila bado tukaachana tu