Magufuli aagiza DC, Polisi Nkasi kumlipa Sh15 milioni mwanamke aliyeibiwa ng'ombe 25
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ต.ค. 2019
- Rais John Magufuli ameagiza DC wa Nkasi na askari polisi wilayani humo kumlipa Shilingi 12.5 milioni na Shilingi 15 milioni nyingine kama fidia mwanamke aliyeibiwa ng’ombe wake 25, ametoa siku tano fedha hizo kulipwa.
#AzamTVUpdates #AzamNews #MagufuliRukwa
Powered by #upholsterydesignsco
Kaz nzur Sana yaani wee ongoza miaka yote tyu uwe Kama mseven hatutaki rais mwingine
Atari sana Lazima muzilipe Askari Lazima jasho litoke This is Magufuli times sit down and Enjoy the Show 😝
vukuza kazi hapa hapa wakwanza Jamal💖💖💝💝💝💗💗💗💗💗
Kazi njema raisi wawanyong
Mungu anazipokea sadaka zako kwa wanyonge
Asanteee raisi
Fine kama zotee
Mmoja kati ya marais wachache kutokea
Duh
duh siasa ni kitu gani sasa cjawahi pata jibu haswa