UTAJIRI MKUBWA WA UHAKIKA NDANI YA WIKI MOJA TU KWA YAKINI TUMIA URADI HUU NA DUA HII

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 212

  • @jamilafuad-5702
    @jamilafuad-5702 ปีที่แล้ว +50

    Mashallah asalkum vip hakika leo natoa ushuhuda kwa sala ya mtume s.w hakika ina maajabu makubwa subuhanaallah...mi niliposikia hay mawaidh nilimuhadithia mumewang na tukaaza kuyafanyia kazi hali yetu ilikuwa ngumu kimaisha basi baada ya siku 3 tu ilitokea risk tusioitarajia subuhanaallah Allah alitufanyia wepes na hadi sasa tunaendelea inshallah mpaka mwisho wa maisha yetu.

    • @sultanasalim5177
      @sultanasalim5177 ปีที่แล้ว +1

      Mashaallah

    • @rizikially9535
      @rizikially9535 11 หลายเดือนก่อน +2

      Unasemaje hayo maneno naomba niandikie hapa

    • @jumaahmadi7909
      @jumaahmadi7909 10 หลายเดือนก่อน +2

      Maashallah

    • @zenasalum2231
      @zenasalum2231 10 หลายเดือนก่อน +2

      Maasha Allah

    • @omaramne4465
      @omaramne4465 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@rizikially9535unamsalimia mtume kuna namna tofauti ww utaangalia wepesi wako , Kama hujui hapa hapa TH-cam Andika jinsi ya kumswali mtume itakuja alaf utaona.

  • @foodcook3626
    @foodcook3626 ปีที่แล้ว +26

    Sheikh unaniliza!!!! Nampenda Allah na mtume wake wallahi namswalia mtume idadi isiyo na hesabu hadi kufa yangu na kufufuliwa kwangu iwe hivyo mpaka ku uwanja wa hesabu aamin

    • @mkambaselemani-ej7np
      @mkambaselemani-ej7np ปีที่แล้ว

      Sgeh naomba uniandukue Sala ya maradhi ya mtune hii qibrikunubi nijisaidue

    • @alyazain290
      @alyazain290 ปีที่แล้ว

      Allaahumma aamin yaa rabby

    • @bipoposaidmohaa6242
      @bipoposaidmohaa6242 ปีที่แล้ว

      Assalam alekum vp hali zanu naomba kuandikiwa swala ya mtume iyo ya mwisho tafadhalini

    • @user-lt7kk4ye9c
      @user-lt7kk4ye9c 5 หลายเดือนก่อน

      Maradhi na shida mara 1000
      Allahuma swali alaa Muhammad waala ali Muhammad twilb khulb wadhawahia waafiat liabidani washifahiwa wa nuril abusariw wadhwihawia wakhutil aluwahy wadhwihawia​@@mkambaselemani-ej7np

  • @omanomqn4345
    @omanomqn4345 ปีที่แล้ว +23

    Mashaallah,,, wallahi napenda kusikiliza mawaidha yako,,, yanatia raha moyoni na hamasa juu ya mtume muhammad SWALALLAHU ALAYHI WASSALAM,,,, kuanzia leo namie nataka nimswalie hadi nione matokeo,,

    • @sofiamunga9179
      @sofiamunga9179 ปีที่แล้ว +1

      Mashalah... Walah sheikh othman Allah akuzidishie hekma mawaidha yako haki yaniweka Sawa.

    • @nasreenmohammed9304
      @nasreenmohammed9304 ปีที่แล้ว

      Shikh Allah akuzidishie ww na ss Allah atupe kama anavyokupa ww
      Sheikh kwa kuwa dua zako zinapaa na ss tuombee dua kwa. Allah atuwezeshe tufikie kiwango cha kumsala Mtume wetu Muhammad. Saw

    • @maimunaabdallah1294
      @maimunaabdallah1294 ปีที่แล้ว

      😀

    • @geradybahati3127
      @geradybahati3127 ปีที่แล้ว

      Tunaomba atufundishe jinsi ya kuoga hedhi mashekh wengi Wanatuchanganya

  • @jamillahaidha8184
    @jamillahaidha8184 ปีที่แล้ว +9

    Naitekeleza na Nina hamu kuanza namuomba Allah aliyekujibu Shekh namimi anijibu kupitia uradi huu naamini kutokana na unayoyasema na viapo vyako kusisitiza, Yah Allah tukidhie haja zetu na Kama hazina kheri na sisi tubadilishie yenye kheri na turidhike nayo Ameeen

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 ปีที่แล้ว +14

    Mie naanza in shaa Allah usiku huu wa kwetu uk 🇬🇧 nataka hii iwenikazi yangu hadi Alfajir ikiingia naanza saa saba hadi Alfajir in shaa Allah mungu atuwezeshe mana shekhe namatatizo mengi ya kifamiliya wallah watoto hadi mume Niombee allah atuwezeshe kwa kila mwenye nia in shaa allah Shukran shekh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah nafatilia sana vipindi vyako

    • @salummakame5086
      @salummakame5086 ปีที่แล้ว +2

      Assalaamu alaikum .
      Naomba makarama uloyaona baada ya kusoma nipate hamasa

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 7 วันที่ผ่านมา

      Assalam aleykum ww
      Vipi dada mahra
      Tüpe majibu ya Swala ya Mtume

  • @Capt.A.T
    @Capt.A.T ปีที่แล้ว +9

    Maa Shaa Allah. Tahadharini ndugu zanguni. Hakika Mwenyeenzi Mngu, yuko karibu sana haswa, katika sujud. Unapokuwa unaomba hazako katika sujud. Usitie mchezo wala fikra zakipuzi.
    Ilinipita fikra nikaitamka katika dua. Allahu Akbar ! Nitipaliwa vibaya sana hata kukosa pumzi na kububujikwa na machozi. Uchungu mwingi kifuani. Mpaka nilipo staghfir, na sala za mtume ndipo nikapata afwaani. Allahu Akbar.

    • @user-ic7iw2dh7o
      @user-ic7iw2dh7o 10 หลายเดือนก่อน +1

      ah hatari sana Allah yupo karibu mnoooo ni kweli kabisa wala sikupingi mana na mimi nishafanya

  • @aminaismailmikina1240
    @aminaismailmikina1240 ปีที่แล้ว +5

    Assalam alaykum waramatullah wabarakat shekh othman Mungu akubariki sana tena sana kwa darasa zako tangu nimeanza kusikiliza hizi daras zako kuhusu mtume wetu Muhammad nilianza kuzifanyia kazi hata mwezi mitatu haijaisha na leo usiku nimemuota mtume wetu Muhammad akisoma dua hii allahumma swali alaa saydina na muhammad mara 3 na nikaona noor ya taa moja kali san na mengine nimeyaona kweny ndoto mashallah 🤲

  • @user-rz7ss3ju7j
    @user-rz7ss3ju7j 4 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh Othuman Allah akuhifadhi akupe umri wenye manufaa kwako na kwa Uislamu wetu

  • @cishahayoali1136
    @cishahayoali1136 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah nikipaji kilioje ulichonacho, Sheikh Allah akuhifadhi na azidi kukuinuwa na akupe nguvu na afya na ulinzi katika harakati zako Allahumma Ameen!
    Nashukuru kwa kwa kuzumzia umuhim wa sala ya mtume Muhammad, na nimefaidika na nimepata mazingatio!

  • @ashalaurent2465
    @ashalaurent2465 ปีที่แล้ว +5

    Mashaallah Mungu awaongezee duniani na kesho akhera nakependa kwaajili ya ALLAH mwenyezi Mungu atuhifadhi pamoja tuingie peponi kesho

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 ปีที่แล้ว +13

    Allahumma swali alaa saydina MUHAMMAD waalihi waas habihi wasalam❤️❤️❤️

    • @faridaikussi
      @faridaikussi ปีที่แล้ว

      Asante Salma alkyumi umepatia

    • @user-zz5ng1yb8d
      @user-zz5ng1yb8d 8 หลายเดือนก่อน +2

      Hapa bado zinanichanganya, ni hiyo alosema da salma,au allahumaswal alamuhamad yalabswal alaih wasalim,?

    • @ElizabethLizzy-pk3zj
      @ElizabethLizzy-pk3zj หลายเดือนก่อน

      ​@@user-zz5ng1yb8dni hiyo ya salima

  • @husnamasoud4989
    @husnamasoud4989 ปีที่แล้ว +9

    Shukran Ustadh, tutalifanyia kazi BibIdhniLlAh, Allah akuweke akuhifadhi na kila baya 🤲🏻

  • @firstlady9848
    @firstlady9848 ปีที่แล้ว +6

    Mimi sikupingi Sheikh langu Sala ya mtume imenipa chochote nikitakacho I love Muhammad ❤️💞💞 s.w.m

    • @nuuraalinoor3630
      @nuuraalinoor3630 ปีที่แล้ว

      mashaAllah thanks bro, which salawat were you reciting? please share with me.

    • @user-ic7iw2dh7o
      @user-ic7iw2dh7o 10 หลายเดือนก่อน

      Allahumma swali wasalim alaa sayyidaa Muhammad (SAW)

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve ปีที่แล้ว +5

    Shukran sheikhe Ahsante sana nakupenda sana sheikhe kwa ajili ya Allah sheikhe namuomba Allah akuzidishie umri wenye afya njema na siha mzr akujaalie pepo ya fredaus kwa uwezo wake na Rehma zake Allah akujaalie uwe pamoja na Mtume wetu Muhammad s.A.w peponi

    • @yasmeeenmusajuma6531
      @yasmeeenmusajuma6531 ปีที่แล้ว

      Swala zausikuu

    • @suweidkhamis722
      @suweidkhamis722 ปีที่แล้ว

      Kila comment nakuona mashaallah

    • @Samsungjprime-ww9ve
      @Samsungjprime-ww9ve ปีที่แล้ว

      @@suweidkhamis722 Mashaallah napenda kufatilia na kuskiliza hawa masheikhe nafaidika na mengi nakujifunza mengi maana sesoma lkn angalau niwe mskilizaji ili nijuwe vyakujirekebisha nakujuwa yalo mzr na mabaya

    • @shemmaster7swaleyuun228
      @shemmaster7swaleyuun228 ปีที่แล้ว

      Aamin yaarabbi

  • @salmakaratta1420
    @salmakaratta1420 ปีที่แล้ว +6

    Sh.umenifurahisha sana, Allah pekee atakushindia kila jema unalokusudia kutusaidia walimwengu.Nakukubali mtu wa Mungu.InshaAllah tuombeane uzima.

  • @wardaam3707
    @wardaam3707 ปีที่แล้ว +14

    Allahu akbar sheikh othmani tunashukuru kwa darsa zako

  • @hafsawambi779
    @hafsawambi779 ปีที่แล้ว +6

    Jazzaka llah kheyri shukran sana sheikh Allah atuwafikishe kwa rehma zake

  • @bobomuamarg3856
    @bobomuamarg3856 ปีที่แล้ว +4

    Assalam alaikum wa rahmatullahi wa barakaatuh.
    Wallahi kwa zawadi hii umetusambaziya . Nikuombee tu Allah Akuzawadiye kheri zote za Waja wema na Akulinde Allah na Alizo walinda Waja wema "Amin "

    • @bobomuamarg3856
      @bobomuamarg3856 ปีที่แล้ว

      Akulinde na Shari Alizo Walinda Waja wema "Amin "

    • @fatmaameer5333
      @fatmaameer5333 ปีที่แล้ว

      Shukran kwa kutujuza mambo ya kheri ALLAH akuhifadhi akuzidie kheri barak kwa ulivo navo

  • @rahmatahmed1871
    @rahmatahmed1871 ปีที่แล้ว +5

    Assalam Aleikum warahmatullah wabarakatu
    ALLAAHUMMA SALII WA SALIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤❤❤
    Jazak Allaahu kheri yaa sheikh Allaah akulipe kwa Nia yako yarabby

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 ปีที่แล้ว +2

    Shukran sheik Jazakka Allahu kher 🙏Allah akulipe kher hpa leo duniani hdi kesho akhera.Allahu Akbar,Alhamdhulillahi 🤝

  • @athmanharubu171
    @athmanharubu171 9 หลายเดือนก่อน +3

    Masha Allah,mm sala ya mtume imeniondolea tatizo ambalo nilikuwa sijui nitafanya Nini?, wallahi haikufika hata masaa mawili nilipata nilichokuwa nakiomba, Alhamdullah,

  • @user-oy5gj8fv4b
    @user-oy5gj8fv4b หลายเดือนก่อน

    Aslm alkm shekhe Othman mm napenda sanaaa kusikiliza mawaidha yko wallahi , Allah akuhifadhi

  • @nayeemn9275
    @nayeemn9275 ปีที่แล้ว +2

    Mashaa Allah tabaraka Allah, Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka, Akupe mema duniani na Akhera.

  • @ashumohd2192
    @ashumohd2192 ปีที่แล้ว +3

    Shukran saana ALLAH akulipe ujira mkubwa BiidhnLLAH 🤲

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 ปีที่แล้ว +17

    Masha Allah awesome lecture..BarakAllah feek sheikh

  • @lawamatu4221
    @lawamatu4221 8 หลายเดือนก่อน

    Ma sha Allah....nimeanza usiku wa Leo...ninamatattizo mengi in shaa Allah mwenyezi Mungu atanifanyia wepesi

  • @abdifarah-yq5tf
    @abdifarah-yq5tf ปีที่แล้ว +3

    Alhamdulillah nimemswalia mtume SAW nimepona gas ulecers

  • @user-dg8dt5bg7q
    @user-dg8dt5bg7q 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah ALLAH akupe umri mrefu uzidi kutupa darsa za NNABY MUHAMMAD SAW DAAIMAN ABADAH!!!!! ni hivo hivo sisemi kitu!! But swalatu NNABY ziendelee ndugu zangu utafanikiwa haqiqatan!!!!!!!!!!

  • @fatmamuhammad4772
    @fatmamuhammad4772 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah ustadh na shukran kwa mawaidha yako mazuri yenye kutupatia manufaa jazaa yako kwa Allah.Allah akuhifadhi

  • @CheiaNdiricho-kn4zb
    @CheiaNdiricho-kn4zb ปีที่แล้ว +4

    Masha allah ❤ sheikh nakupenda sana❤❤❤❤❤❤

  • @roquaal5682
    @roquaal5682 ปีที่แล้ว +3

    Maashaallah allah akulipe pepo ya firdaus

  • @saidira726
    @saidira726 ปีที่แล้ว +1

    Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh.
    Sheikh wangu endelea utupe mambo matamu ya Allah, Allah azidi kukupa nguvu na uwezo wa kuendelea kusaidia ummati Muhammad swalallahu alaihi wa alihi wa salam, kila wapingao mambo unayo fundisha watapinga Allah awe akiwafanya sababu ya kuzidi kupanda daraja, baadhi yetu tunafaidika na ilm yako

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 ปีที่แล้ว +1

    Shukran sheikh na jikuta machoz inadondoka Mwez Mungu akulipe kila laheri🤲

  • @allynyangehassan5121
    @allynyangehassan5121 ปีที่แล้ว

    Salam alaikum warahmtulillah wabarakatuh shukhuran ya sheikh Othman Michael Allah akuraishishiye duniani na akheran Allah Huma amin

  • @abelsaranguti8732
    @abelsaranguti8732 ปีที่แล้ว +1

    masha Allah , mwenyezi mungu akuzidishie zaidi

  • @zakhealthbeauty1619
    @zakhealthbeauty1619 ปีที่แล้ว +1

    Allah akbar leo nimekesha kwa ajiri yakusikiliza darsa lako mashaallah Mashaallah tabaraak rahman Allah akueke kwa ajiri yetu

  • @melchiorndayizeye9761
    @melchiorndayizeye9761 ปีที่แล้ว +2

    ❤😂 walahii shekh, natanguliza shuklulani saaan mimi hapa ni muchristo lakini nilifuatilia hiii uladhi wa ko shehk ,mambo ya ukafili nimetupa nilukua na made ni ya kupfa mtu ,kwa week 1 tuuu. Ghali ya Nissan mpya ,deni kwisha kwa siku moja 😊😊 walahi mungu akupatie lehema.

  • @aidhajaafar391
    @aidhajaafar391 ปีที่แล้ว +3

    Mimi natoa shuhuda jamani ninauza biashara yangu alhamdulillah na ninaamini Allah atazidhisha

    • @user-lt7kk4ye9c
      @user-lt7kk4ye9c 5 หลายเดือนก่อน

      Unasoma ngap Kila siku na wakat gan?

  • @abdulhafidhelbahassany52
    @abdulhafidhelbahassany52 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah aturuzuqu mapenzi yakumpenda Mtume wetu na kumsalia yeye .
    Allah akubaarik sheikh. Masha Allah

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n ปีที่แล้ว

    Aslm alkm ww.... Masha Allah!!! Nikweli kabisaa hata mimi nikimaliza kumswalia nabii Muhammad S. A .w. mimi hucheuka. Allahu maswali wasalim aleyh.. Jazakallah kheir 🙏 Nikweli hilo bilashaka Masha Allah 🌹

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah shukran jazzakallah khairan

  • @sofiaomar8939
    @sofiaomar8939 ปีที่แล้ว +1

    Shukran sheikh, nafaidika sana n darsa zako, alakujazie kheir ameen

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi8092 ปีที่แล้ว +4

    Alhamdulilah kwahíi neema kubwa cna

  • @user-xx1yw7jw2p
    @user-xx1yw7jw2p ปีที่แล้ว

    Jazaka lwaah kheir mungu akuzidishie ilmu uzidi kutufundisha tumepata faida nyingi alhamdulilaah

  • @fatumahayani4671
    @fatumahayani4671 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah Allah akuhifadhi shekh na ss pia atujalie mwisho mwema

  • @jumamohamedi5855
    @jumamohamedi5855 ปีที่แล้ว +1

    Maashaallah Allah akulinde uzidi kutupatia elimu hizi Inshaalaah

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 10 หลายเดือนก่อน +1

    Maaa Shaa Allah Shukran Wajazaukum llah khayra

  • @MmMm-hx6ln
    @MmMm-hx6ln ปีที่แล้ว +2

    ASALAM alaykum,sheikh mi nakuomba unapofahamisha Dua,au uradi bas jaribu kusoma taratibu maana tunaandika Ili tuipate vzr,hata ukiirejea mara mbili mbili itakua vzr sana, bila ya hivyo inatufanya tuirejeshe video Kila wakat kupata kuiandika ,ahsante

  • @SADIKIMALISAWA-ou8sk
    @SADIKIMALISAWA-ou8sk 3 หลายเดือนก่อน

    Jazaka allah khaira

  • @azizadjumadazuu2731
    @azizadjumadazuu2731 ปีที่แล้ว +4

    Kwakwel Allah akujaze kheri

  • @alyazain290
    @alyazain290 ปีที่แล้ว

    Allah akupe mwisho mwema yaa sheikh atukutanishe sote sisi na ww pamoja na bwana mtume s.a.w

  • @latifasuleiman7527
    @latifasuleiman7527 ปีที่แล้ว

    Mashallah sheikh tunakupenda kwani unatupa faida nyingi katika darsa zako mwenyez mungu akulipe kheri

  • @sulekhamohammed5358
    @sulekhamohammed5358 หลายเดือนก่อน

    Shukran Allah akupe Afya

  • @ayoubahmad7107
    @ayoubahmad7107 ปีที่แล้ว

    Shekh othman michle.....unanikosha sana.....ukitaka kuongeza mke wa tatu tuwasiliane mimi ni mpemba....itabid uelekee uku bi.idhnillah

  • @sabahabdallah5791
    @sabahabdallah5791 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah. Saw❤

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 ปีที่แล้ว +5

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️

  • @assinaassende7561
    @assinaassende7561 ปีที่แล้ว +3

    Allah akulipe kila laheli

  • @nasradada7050
    @nasradada7050 ปีที่แล้ว

    MA Sha ALLAH tabaraka Allah kwa somo lako Allah akujaze umri WA faida na kwa thikri yako

  • @sofiyabakari9730
    @sofiyabakari9730 ปีที่แล้ว +3

    Shekhe umenenepa maa shaa llah

  • @user-fv3ob5ww6w
    @user-fv3ob5ww6w 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kila nikisikia hii clip nahisi ipo kwa ajili yangu...huyo msomali hajamuona mimi wallah nimemuona mtume s.a w mara mbili ..mara yakwanza nilikua nimekithirisha sana kuswa usiku saa 9 hadi asbh naswali rakaa 11 kila usiki na kumswalia mtume ..nilimuota mtume akiwa mtu mzima nilifurahi sana ...mara ya pili nilioteshwa nikamuona akuwa mdogo kwenye umri wa miaka km 12 au 14 hv ...na hiyo siku asbh nilikua namkatia mume wangu kachumbri nilivyoikata nyanya huyo nyanya ikawa imeandikwa jina la Allah kwa kiarabu naomba niitume humu muione hadi najiogopa ..subhannah llah ...madarasa yako yatukuzwe Allah akulipe pepo na uwe na mwisho mwema amina

  • @zowaina9946
    @zowaina9946 ปีที่แล้ว

    MANSHAALLAH tabaraka RAHMAN nakupenda kwa ajili ya ALLAH ALHAMDULILLAH

  • @ZaiduHashim-ry1zr
    @ZaiduHashim-ry1zr ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah Allah akupe unalo stahili

  • @kulthum8335
    @kulthum8335 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah jazakawallah Allah hakuzidishie

  • @user-ce8ew9pc6y
    @user-ce8ew9pc6y ปีที่แล้ว

    Shekhe Mimi napenda Sana mawadha yao yemenipa elimu Alhamdulilah arwah akujaliie umli mlefu uzidi kutupa faida sisi navitukuu vyetu

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 ปีที่แล้ว +2

    mashaallah my shekh

  • @nassibmalik9934
    @nassibmalik9934 ปีที่แล้ว +1

    Naamini bi idhini llahi ntapata majibu shekh nmeanza kumswalia mtume kwa speed kubwa sana 🙏🙏

  • @saidamur5747
    @saidamur5747 ปีที่แล้ว +1

    Allah.akufanyie.wepesi.kwakila.jambo

  • @fatinahasani882
    @fatinahasani882 ปีที่แล้ว

    Jazaka llahu khayra allah akufikishe mbali

  • @hemedphd8532
    @hemedphd8532 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah shekh wetu shukran shekh

  • @mesalimchama1874
    @mesalimchama1874 ปีที่แล้ว

    Shukran Allah atujalie miongoni mwao tutekeleze

  • @masudimwinyi7301
    @masudimwinyi7301 ปีที่แล้ว

    Mashallah sheikh wangu Allah akujaalie kheri ishallah

  • @mohamedrokaz5272
    @mohamedrokaz5272 ปีที่แล้ว

    Mashaalh ustad mm pia nitaanza inshaalh mungu atupe kheri

  • @AshuraRamadhan-hm6jc
    @AshuraRamadhan-hm6jc 11 หลายเดือนก่อน +1

    MAA SHAA ALLAHU

  • @maimunamselemo8427
    @maimunamselemo8427 ปีที่แล้ว

    MashaAllah sheikh wetu Allah akuweke

  • @UessoSalimo-cd3mw
    @UessoSalimo-cd3mw ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah from Mozambique

  • @wahabingaheka637
    @wahabingaheka637 ปีที่แล้ว

    Allah akufanyie wepes utufundishe na mengine

  • @mkmwayama4534
    @mkmwayama4534 ปีที่แล้ว

    Allah akupe umri mrefu sh. Uthman .....nimefuatilia sana hii chanel...Nimesoma mengi

  • @halimamathew285
    @halimamathew285 ปีที่แล้ว

    Mashaallah.mashaallah.shekhe.Allah.akuhifadhi

  • @fatmahraseid7019
    @fatmahraseid7019 ปีที่แล้ว

    Mashallah Allah kujaalie umri mrefu wenye uchamungu ndani yake

  • @Asha-kj6fz
    @Asha-kj6fz ปีที่แล้ว

    Allah akupe umri mrefu inshaallah

  • @user-xx1yw7jw2p
    @user-xx1yw7jw2p ปีที่แล้ว

    Sheikh othman mungu akuzidishie kila la kheri

  • @dungayusufu1954
    @dungayusufu1954 ปีที่แล้ว

    mashaalah allah akulipe ishaalah

  • @hassanmwaliko6895
    @hassanmwaliko6895 ปีที่แล้ว

    Asalaam Aleyikum skh othuman
    Michael nashukuru sana kwa mawaitha Yako
    Naomba Dua nipone Marathi
    Tumbo gas.shukuran

  • @SelemaniHassan
    @SelemaniHassan 10 หลายเดือนก่อน

    Inshallah mimi nitajitayidi sana inshallah nitakupeeni jibu

  • @fatnaally-ou7xx
    @fatnaally-ou7xx ปีที่แล้ว +1

    Allah shekhe kiukwelli napenda nitoe ushuuda hata Mimi huwezi aminiii hizi wiki na fanya ibada Kwa wingi na kumswalia mtume na kuswali tahajudi nawaona mpakavmaswahaba wananiombea dua isitoshe mtume nae ananiombea msamaha Kwa Allah kiukweli na kuwa sitamani hata kulala nataka mudavwote niwe na fanya ibada mpaka wanangu wanaoba sasa mama mbona kama anachizika tumswalue mtume jamani

    • @fatnaally-ou7xx
      @fatnaally-ou7xx ปีที่แล้ว

      Nikichoka nakuwa nasikilizia kipindi chako kiukwelli ni kizuri mno naoneshwa mpaka wanao taka kunuzuru subhanaallah ama kweli muomba mungu akosi fungu lake

    • @athumanikhamisi3377
      @athumanikhamisi3377 ปีที่แล้ว

      اللهم صل على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 7 วันที่ผ่านมา

      Allahu Akbar Maa Shaa Allah dada fatna
      Ahsante sana

  • @ummulabduul-je8db
    @ummulabduul-je8db 6 หลายเดือนก่อน

    ALLAHUMA SWALI ALLASAIDINA MUHAMMAD WAALIHI WASWAHBIHI WASALAM❤

  • @user-zh7xb5lm5s
    @user-zh7xb5lm5s 9 หลายเดือนก่อน

    mashallah mazungumzo ya fikra

  • @aminakhamis5078
    @aminakhamis5078 ปีที่แล้ว

    Assalm aleykum warahmtullh wabrkth. Na mm nita aza hii Inshaa Allaah usiku wa leyo na naziri yagu iwapo nitakmlisha juu ya yale ninayo yategemeya Bdhin llah nita kutafuta niwe miyogon mwa wenyew kutaka kutowa ushu huda Inshaa Allaah

    • @user-ni4ji5kp4e
      @user-ni4ji5kp4e ปีที่แล้ว

      ❤❤masha allah shekhe na mm nafanya in sha allah nitakuwa tajir

  • @abdijabarkunyo55
    @abdijabarkunyo55 11 หลายเดือนก่อน

    ManshaAllah,Leo naanza inshaAllah❤

  • @dungayusufu1954
    @dungayusufu1954 ปีที่แล้ว +2

    alah akbar, mtume ninuru fanyeni hili linaukweli asilimia mia hakika

  • @saidamur5747
    @saidamur5747 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah.shukurani.shekhe

  • @barbiesefu
    @barbiesefu ปีที่แล้ว

    Wallahi sheikh umesema kweli ,mimi wakati fulani ,baba yangu alifungwaka,alafu nikamswalia mtume "slw"kwa namnahii alafu alitoka hapohapo Kabla sijamaliza..."alaumaswalati kamilatu wa Salim sakaman taaman anla saidina Muhammad..."

  • @bdvx9012
    @bdvx9012 ปีที่แล้ว

    Shukulani shekhe Inshaallah tutalifayaa kazi Inshaallah Allah Akubaliki sana ,

  • @zwatts38
    @zwatts38 ปีที่แล้ว +5

    Kwa nini shekhe huwa anasema Mtume bila kumalizia s.a.w?? Sipendezewi kwa kweli

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allha

  • @rukorioyusuf1268
    @rukorioyusuf1268 ปีที่แล้ว

    mashaallah nimependa mawaidha yako

  • @hadijagere
    @hadijagere ปีที่แล้ว

    Ma shaa Allah nataka nianze namimi

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 ปีที่แล้ว +3

    Hii swala ya mtume naiyamini asilimia 100

  • @SadikiyusufuSadiki-c1u
    @SadikiyusufuSadiki-c1u หลายเดือนก่อน

    Asslam aleyikum jmn mswalieni mtume kunamaajabu makumbwa xn siwezi kusema

  • @user-zz7ep5of2m
    @user-zz7ep5of2m 8 หลายเดือนก่อน

    Masha allah