Kwenye swala la kumpongeza makonda nimekuelewa muheshimiwa mpina na swala la Afya na kulipia gharama za kulipia magharama za marehemu nimekuelewa bg up.mpina nimekuelewa ktk engo hizo.
Uzuri wa bunge bhana kama unaakili timamu na ufikiri mzuri utaelewa hoja ya mtu baina ya mtu....Asa waziri anatoa taarifa kama hiyo mbele ya hoja kama hii....ni wazi kwamba tuna tatizo kubwa sana la uongozi.
Yaan wanaonesha kabisa Kuna shida mahali mtu ameleta hoja nzur sana yaan nikajua itaungwa mkono na wabunge wote lkn ona Sasa had wazir anakuja na taarifa ya hovyo kabisa sijui ilimradi tuu aonekane ametoa mchango bungen daaah had unashangaa yaan huyo wazir sijapenda alichokitetea hapo nikajua anaunga hoja nakujazia baadhi ya mambo kumbe anakuja na hoja ya kijinga sana
Hili taifa nyie viongozi watt zenu au ndugu zenu mnawza luusu ndugu zenu watumie izo sifa inamana mnapingana namwezi mungu jinsi alivo umba mtu hili taifa tumuombe mungu atupe viongozi wenye hofu naimani yamwenyezi mungu mungu baliki yzd
Mh. Mpina yuko sahihi sana. Taifa bado halijajitosheleza kuwatibu Wananchi magonjwa mengi kama visukari, moyo, saratani, texi dume nk. Sasa leo mnagharimika na kuleta madawa ya mapambo kama ya kuongeza makalio na matiti. Hii inaashiria kwamba Serikali yetu haina vipaumbele. Ni sawasawa na mzazi ambaye watoto wanalala na njaa lakini baba anakwenda kulewa pombe.
Hakuna kitu kama hicho ni umalaya tuu na kupenda wanawake wenye makalio makubwa na matiti makubwa yaan wanaboa sana na hizi taarifa taarifa kwenye point za msingi kama hizi zinaboa sana
Mpina nakupenda sana wewe ni jembe sana
Mpina mwamba furani hivi...wapi yulemzee mwingine aloomba bunge liidhinishe KILIMO ya ngada🌿🌿🌯🌯
Kama mollel ni waziri basi mjinga yoyote yule dunian anaweza kua waziri😂😂😂😂😂😂😂😂
Mpina pekee ndo wakuridi bungeni pekee yekee...... Anaongea peint hata makofi huskiii
Yaan hata makofi tuu hamna daah ila mtu aongee ujinga hapo utaona makofi
Kwenye swala la kumpongeza makonda nimekuelewa muheshimiwa mpina na swala la Afya na kulipia gharama za kulipia magharama za marehemu nimekuelewa bg up.mpina nimekuelewa ktk engo hizo.
Ktk wa ccm naependa kufuatilia michango yk ni Mpina wng ni vilaza tu .
sometime nikiona unavyowasaidia machozi yananitoka natamani nimuone mzazi wangu akiwa na maiki akueleze ila simuoni machozi yananitoka
Ata mimi siupokei ujinga huo
Wewe unafaa kuwaha mbugee wa tanzania makonda hanasimamiya ilani ya chama cha ccm
Wewe Mpina ndiyo maana Niliambiwa kwenye Maombi nikutamkie Neno salama. Barikiwa sana. Figo inaua Watanzania wengi. Mungu mkuu atusaidie sote. Amen.
Uzuri wa bunge bhana kama unaakili timamu na ufikiri mzuri utaelewa hoja ya mtu baina ya mtu....Asa waziri anatoa taarifa kama hiyo mbele ya hoja kama hii....ni wazi kwamba tuna tatizo kubwa sana la uongozi.
Yaan wanaonesha kabisa Kuna shida mahali mtu ameleta hoja nzur sana yaan nikajua itaungwa mkono na wabunge wote lkn ona Sasa had wazir anakuja na taarifa ya hovyo kabisa sijui ilimradi tuu aonekane ametoa mchango bungen daaah had unashangaa yaan huyo wazir sijapenda alichokitetea hapo nikajua anaunga hoja nakujazia baadhi ya mambo kumbe anakuja na hoja ya kijinga sana
Mpinza umepigaje apo
Molel sijawahi kumuelewa ..vitu vya maana vinaminywa muda
Hili taifa nyie viongozi watt zenu au ndugu zenu mnawza luusu ndugu zenu watumie izo sifa inamana mnapingana namwezi mungu jinsi alivo umba mtu hili taifa tumuombe mungu atupe viongozi wenye hofu naimani yamwenyezi mungu mungu baliki yzd
Saf sana mpina pambana Yuko pamoja
Mh. Mpina yuko sahihi sana. Taifa bado halijajitosheleza kuwatibu Wananchi magonjwa mengi kama visukari, moyo, saratani, texi dume nk. Sasa leo mnagharimika na kuleta madawa ya mapambo kama ya kuongeza makalio na matiti. Hii inaashiria kwamba Serikali yetu haina vipaumbele. Ni sawasawa na mzazi ambaye watoto wanalala na njaa lakini baba anakwenda kulewa pombe.
Yeye anadhani wananchi wote ni masikini
Mpina ni mmoja tu wapiga kura wa jimbo lake hawakukosea wana mbuge makin kwel kwel.
Hakuna kitu kama hicho ni umalaya tuu na kupenda wanawake wenye makalio makubwa na matiti makubwa yaan wanaboa sana na hizi taarifa taarifa kwenye point za msingi kama hizi zinaboa sana
Wewe pekee ndio huwa unanilia bundle yangu ktk bunge hili
Gharama za matibabu ni kubwa sana ..siku hizi ukilazwa Taifa na rufaaa hospital ni balaa gharama sana
Shida mnakuja na ushamba wenu wa africa
Maiti inalipiwa ,maiti milioni 7 aibu tupu tz
Makalio
Mpina mimi nakuelewa
Nnn
Asante sana
😢
😮
😂😂😂