MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA INYONGA MKOANI KATAVI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akiwasalimia na Wananchi wa Inyonga mkoani Katavi, ikiwa ni sehemu ya ziara yake leo tarehe 13 Julai, 2024.
Hongera mama❤
Mama hamna kitu
Mh mkuu wa nchi tunapenda kukujulisha hapa muleba umeme unazima Kila siku mpaka sisi wakereketwa tunashindwa kujibu hoja tusaidie mama
Hahaha nacheka ya huzuni kweli yani Samia kwenye inchi za wenyewe anawapatiya Wanaume Mikono sasa kwenye inchi yake ya Tanzania anawanyima Mikono hahahahah twangaliye Mbaliiiiiiiiii
Rais umeupigaa mwingiii🎉🎉🎉
Ndoo nini????
Ndoo kazi iendelee🎉